Ufunuo Choir - Malaika (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 14. 05. 2024
- Stream And Download Ufunuo Choir Audios on all Platforms
Boomplay:www.boomplay.com/albums/80176...
Audiomack:audiomack.com/ufunuo-choir/al...
Sportify:open.spotify.com/album/4MLJ2e...
Deezer:deezer.page.link/zfpqMWGgsVrf...
Digital technician: / bendouble9
For Booking Contact Ufunuo Choir
Phone:+255684479638
Email: ufunuoc@gmail.com
Video by :Amigo
Composer:Emmanuel Deus
Producer: Ferick Masanja
Catch up with Ufunuo Choir on Social Media
Instagram: / ufunuo_gospel_choir
Tiktok:www.tiktok.com/@ufunuo_gospel...
czcams.com/video/GBiEtKT7-XQ/video.htmlsi=LyH2SHpwBH2kIch4
Kama kuna mtu anasikiliza huu wimbo na vinyweleo vinasimama tujuane hapa jamani.! waaaaaaaa.! Amazing....!
Oya wakuu mwenye anaamini Kama mm hili songi lita be performed siku ya parapanda gonga like apa🙏🏽❤️🤗💪🏽
Mimi sio mkirsto lakini hii kwaya naipenda sana mnaimba vizur sana nyimbo zenye ujumbe Mungu azidi kuwainua
Karibu sasa- rasmi uwe mkristo🙄🙄
Amen @suleimanjuma3011 nakuombea neema ya kristo ikufikie hapo ilipo ili siku Moja upate wokovu
Amen
Karibu kwa Yesu kuna makuu kuzidi uimbaji
Okoka mama angu jaman
Ufunuo nikila kitu pamoja Sana wenu Lau bibinguzoyabwana
Mungu awabariki watumishi wa mungu mnaimba vizuri mno mubarikiwe
Da! Huu wimbo unanifanya vinyweleo vinasimama. Uuuuuuwiiiii! Sijui kama kuna mtu anasikia kama mimi.! Amazing!
Ninabarikiwa sana sana na nyimbo zenu, Mungu aendelee kuwainua zaidi.
mungu awabariki na aendelee kuwatumia kwa njia ya uimbaji
Hakuna anayeongelea sauti nzuri za hao big dadaz,yaani nawapenda hao watatu❤
Hongereni ufunuo choir, mnafanya vizuri sana mungu awabariki muwe juu mda wote.
Napenda sana nyimbo zenu MUNGU Awabariki
Nabarikiwa sana kwa kweli kwa nyimbo, stail ya kucheza kwa kweli kuna sehemu napona kupitia nyimbo mnazo ziimba kila siku lazima niwasikilize Mungu aendelee kuwainua
Renek mungu anazidi kukupiginia tunakumis vetenali kkt usharika temeke
God is good
Amazing song ,Mambo ni 🔥ufunuo choir
Mungu awabariki kwa huduma! Nzuri.
Kwaya hii naipenda sana, nyimbo zao nzuri sana. Napenda mavazi yao mazuri sana sana kwenye nyimbo zao zote. Hongereni sana Mungu abariki ibada yenu hii kwa njia ya uimbaji. 👏👏👏🙏🇹🇿
Barikiweni sana sana mtunzwe kwaajili yangu na familia yangu mmekuwa Baraka sanaaaaaaaa 🙏🙏🙏
Aiseee hii choir ni noma sanaaa.wanaimba had unasisimka moyo
Mungu wetu atukuzwe milele
Wau these ladies! God bless you. Amazing vocals
My goodness! You all need an AC unit in the sanctuary!
Tunaomba video wimbo Nimekukimbilia Bwana tunabarikiwa Sanaaa Maisha yangu ni Mungu anatenda.❤
Nyimbo nzuri zinanibariki sana moyo wangu unakuwa na amani . Mungu awabariki sana
God bless you sana Tena sana.am blessed!
Hallelujah hakika Yesu ni mfalme mkuu❤❤
Wanasauti znafanana solorist i love it vibonge saut zmekaaa❤💪 Mungu aendeelee kuwainuaa🙏
Wow wow wow hizo vocals! Simply out of this world. Mungu azidi kuwabariki Leo kesho na mtondogooo.
Mna sauti nzuri na maneno ya kubariki kwa kweli.Mungu awabariki.Upendo nyingi mno toka 🇦🇺 na 🇰🇪
Inspirational songs of another level,God bless ufunuo choir,that they kip spreading gospel
Kwanza nawapa maua yao pili ni kwaya usharikagani au kanisa gani
You're blessed dearest
Mungu azidi kujitwalia utukufu kupitia ninyi, kunyenyekea ni Jambo muhimu kumbukeni hilo 🙏
I feel the song deep down my heart flowing in my blood. Thank you God , bless them for me 🎉❤
Hadi mwili unasisimka kwa ukuu wa mungu walionao wapendwa wabwana mungu awalinde kwa ajili yangu na yetu sis sote😘😘
Kweli sauti ninzuri maneno yanatoka katika kitabu cha mungu mmenibariki na mubarikiwe na uimbaji wenu umetukuka
Waooooooo combination nzuri kwa hao wa Mama MUNGU awabariki mno
Amen
The best choir in Town
The choir always delivering it greatly.
The Keyboardist.... kudos..
Doing it with much passion.❤️🔥🔥🔥
Amen
Niliwamiss sana baada ya mwanamke rada, maisha yangu hakika mmerejea na malaika Mungu awabariki kwa kazi nzuri
Hallelujah Hallelujah hallelujah 🔥🔥 Asanteni ufunuo Kwa zawadi hii ya Baraka❤Nimebarikiwa
Amin wajori wa BABA
Ningekuwa na uwezo nijeniwaone tu anakwama maana namwona munguakitenda makubwa kupitia nyimbo zenu mbarikiwe sana ila ipo siku
Shalom shalom. ❤❤❤❤
Hakika nawapenda sana uimbaji wenu una uwepo wa Mungu. Mzidi kusonga katika Yesu
Amen Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu
@@ufunuochoirni kwaya ya kanisa gani nataka nije kuwatembelea
Iam in Kenya lakini kwa kweli nyie ni wa baraka kwa kizazi hiki,nyimbo zenu zinaupako na Roho Mtakatifu anadhihirika ndani ya nyimbo
❤❤Kenyans let's show love
How I love yuh ❤ sisemi.. keep on doing the work of God na ujira wenu mtalipwa na yeye
Mungu azidi kuwainua,,, mnatupatia Radha ya gosper yenyewe n
❤❤❤❤❤from🇰🇪.
Ur blessed&a blessing to us
Kilamkija mnakuja kwakishindo nakwanamna tofaut hakikamnajua naubunifu mnajua pia mungu awabariki
Tunashukuru sanaa
Amen, Jesus reigns
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Je vous aime énormement famille depuis Congo kinshasa 🇨🇩. Much love ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
Msusu
Glory to God🙌🙌🙏
jamani muweke feni za kutosha auu AC
watumishi wa Bwana jasho linawatesa…
Na hawana vile vitambaa vya kufutia majasho ambavyo wengine ni zugatu kumbe ni uchawi.
Tunaisubilia Kwa ham nyimbo hiyo malaika
Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu
Mbarikiwe sana
AMINI TU. ndio mbengu ya mwokovu,
Nawabariki sana. Juu juu juu zaidi
Ufunuo choir, nyinyi ni wa baraka sana.
Amen
Mungu azidi kuwainua viwango vya juu nikisikilizaga nyimbo zenu mwili unasisimuka
Kiukweli kutoka moyoni mnabariki sana moyo wangu mwimbieni bwanagu kwa roho na kweli
Amenaa
Amen
HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA HALELUYA
AMINI TU. ndio mbengu ya mwokovu. Nawabariki sana. Juu juuu juuu zaidi
Hongereni Wapendwa Mnaimba Vizuri sana, MUNGU Azidi kuwainua juu tena juu zaidi❤
❤❤❤❤
Nyimbo nzur kwel mungu awabariki
🙏🙏🙏🙏
❤❤❤❤❤❤❤kila ninapokuwa na wakati mbaya nafarijika sana na hii huduma
Mungu awabariki sana
Aminaaa Kubwa
Amen
Baraka kubwa sana muna nijenga kiroho sana hapa Congo
Mungu azidi kuwabariki. Kazi yenu ni njema sana.
Wow.....
You sing so well..
Much love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wimbo mzuri wenye sauti kuu🔥🔥🔥
Amen
Safi sana wimbo mzuri
Team, you never disappoint, more grace🙌🙌🙌 ❤❤❤
Mwalimu Emmanuel Deus pamoja na timu nzima ya ufunuo nawapenda sana Mungu awatunze kwa kazikubwa mnayoifanya awakumbuke Mungu kwenyeufalme wake
Ahsante sanaaa
Asante
Masororisti na wapenda sana
Wema da
Nawapenda mm na familia yangu
Kwakweli nawapenda sana❤❤
tupo ndani
Mungu awabalik
Mungu azidi kuwabariki
Mungu awabariki sn
Ameen Ameen MUNGU azidi kuwainua kwaya ufunuo kutoka Kwa asikofu mkuu wa kanisa la ufunuo kimara bonyokwa
wimbo mzuri kwa kwel
MUNGU wetu mkuu juu ya yote
Step zenu nazipenda sanaa
Show me your choir,then I will show you mine❤.. ufunuo blessed and annointed vocalist choir
Amen Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu
Ameen Ameen
Wimbo wa maisha yangu kwa kweli hujaniachia kila wakati naimba moyoni mwangu
Hivi karibuni.kaa tayari
My All Time Choir ❤. Wow, Good voices. God Bless You All.
Keep listening and enjoying our songs
Haraka sana
My favorite song , Mungu awabariki sana
Amen
Now waiting for shauri video.
Nawapenda saan Mungu aendelee kuwatumia vyema
Endelea kushare nakufurahia Wimbo Huu Tunakupenda pia
Bwana Yesu asifiwe kazi ni nzuri
Asante
🔥🔥🔥🔥🔥🔥