Hello brothers in christ. Napenda nyimbo zenu, sauti , vyenye munachezeya mungu. Nyimbo zenu zina niweka faraja na zinanikumbusha siku tutakutana wote wakristo mbinguni, nimaajabu. Tuvae silaha zote zamungu. More blessings ufunuo kwaya.
Emmanuel,za Uzima Nina wazo juu ya hii kwaya nilitamani tuhamie kwenye digital choir tufanye live record and perfomance pamoja na official page ya kwaya ya taarifa na update zote n wazo langu hilo amen
Hello brothers in christ. Napenda nyimbo zenu, sauti , vyenye munachezeya mungu.
Nyimbo zenu zina niweka faraja na zinanikumbusha siku tutakutana wote wakristo mbinguni, nimaajabu.
Tuvae silaha zote zamungu.
More blessings ufunuo kwaya.
Big fan from Zimbabwe...brought here by usisahau ( song of the yr 2023). Please kindly place lyrics and translation for me and others
Nice a very blessing song, sio wakati wa kulala
Mbalikiwe Wana baba
Hareruya wapi kupongeza nyimbo zakuzimu
More energy from God praise God to fullness guys
Hongereni mnaimba siku hizi
Your harmony is amazing 👏
Ufunuo kwaya BWANA YESU azidi kuwanua tunabarikiww
Ameen🙏🙏
Tutavaa silaha zote
Emmanuel,za Uzima Nina wazo juu ya hii kwaya nilitamani tuhamie kwenye digital choir tufanye live record and perfomance pamoja na official page ya kwaya ya taarifa na update zote n wazo langu hilo amen
Kabisa naunga mkono
Kikubwa nikuimba ktk roho na kweli unaweza ukafanya live lakin isiwe na upako kama hii tumeona hongeren watumishi pambanen
Mungu azidi kuwainua muende viwango vingine
HALELUYA
Mnamwimbia mnguu shetani mbona amwereweki nywere nahereni mumesoma andiko gani mashetani nyiye
Unahukumu Kwan wewe ni MUNGU fyuuuu kwenda huko
Shetani mwenyewe hujioni na matendo yako
Shetani ni www mwenyewe toka katika jina la yesu
How do you start judging ur fellow in such bad way,I see some people here are accompanied by the devil sprit,msy God heal you dear