Tazama maisha ya Omar bakhresa Na Nyumba yake pamoja Na Magari anayomiliki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 140

  • @user-gu1lg2zr8s
    @user-gu1lg2zr8s Před 5 měsíci +2

    MashaAlla tabaraqallah. Huyu ni mimi miaka mitatu ijayo insha'Allah. Taqabal ya rab. Mpe amani na mali zake ❤❤

  • @florakaaya4559
    @florakaaya4559 Před 2 lety +11

    Huyu ni mtu wa watu Mungu ampe maisha marefu yenye furaha na AMANI🙏🙏

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety +12

    Mashalah halafu yuko kimya da mungu aendelee kumpa kwasababu anasaidia sana Hamo ujakosea

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 Před 4 měsíci +2

    Bismilahi mashallaa

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 Před 4 lety +37

    Dini haijakataza kuishi vizuri duniani Mashallah

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 Před 2 lety

      Tabaraqaallah

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Mungu awajalie maisha marefu sana hapa dunia mmejitolea kwa moyo thabiti kwa ajili ya watanzania wa lefo yote utakuta miwatu bahathi inapora mamilioni ya ela za masiki lakini anachofanyia amna zaidi sana ya kua laaaana kuuu

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Před 2 lety +12

    MASHAA ALLAH pili tujifundishe kupitiya ndugu yetu bahresa uslamu sikushi Kwa ubahili .

  • @dulabori9922
    @dulabori9922 Před 4 lety +11

    Mungu amzidishie na amfanyie wepesi pia asisahau wenye uhitaji maalumu

  • @dullysavage5939
    @dullysavage5939 Před 2 lety +3

    🤲 Mashalla mungu amuongoze ktk kheri,bali asijihau awasaidie mayatima na wenye mahitaji maalumu ili mungu akampe malipo mema kesha ahera.

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Před 3 lety +7

    Tungekuwa akina Sisi wapenda misifa watu wasingelala mana kwenye mitandao kungekoma bakherese upo vizuri🔥🔥

  • @alalwialalwiii8194
    @alalwialalwiii8194 Před 2 lety +5

    Maashallh I mungu tupe nasiee

  • @HusseinHaule-pr5ov
    @HusseinHaule-pr5ov Před 3 měsíci

    Allah atujahaliye na sisi japo hata vibanda vya kuishi na familia zetu Inshaallah

  • @ahmedshahar728
    @ahmedshahar728 Před 2 lety +6

    Masha'Allaah. Taba'rakallaah

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 4 lety +5

    Allah hufurahi pale anapomuona mja ameruzukiwa na anatumia mali hiyo kwenye kheri, Masha Allah

    • @issashabani345
      @issashabani345 Před 3 lety +1

      Huyo ni muislam akifa atazikwa na sanda na atalala kwenye mchanga wala amnishitui wala

  • @maryabby7952
    @maryabby7952 Před 4 lety +14

    Allah amjaalie awe nimwenyekutoa zakka na kuwasaidia mayatima ili apate mwisho mwema

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Před 2 lety

    Safi kabisa maisha poa mno hayo Kila mtu Mungu akimbaliki angependa kuishi vizuri safi kabisa

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 Před 4 měsíci

    Alla ampenda mja wake ssiye kuwa na kibri na madharau

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 Před 3 lety +6

    Masha'allaaaah!!
    Nooron alanoor!!

  • @hakusfakir7364
    @hakusfakir7364 Před 2 lety

    Mashaaallah....yakini......ukimtegemea.....ALLAH.....ktk....mali....zako....zinadumu.....daima....milele....🤲🙏

  • @estarwamboi291
    @estarwamboi291 Před 2 lety +7

    🎵Mfano was mtu mwenye pesa. Mtazame bharesa🎵 Harmonize song

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 Před 4 lety +3

    hakuna neno usiishi vzr sija weka hpo nimesema haya maisha niyakupita nendeni muka wasaidie masikini vijijini nyinyi ndo mungu alo wapa uwezo na pia tuwa ombee dua kutoa hao walonacho.

    • @sundaymsuya1433
      @sundaymsuya1433 Před 2 lety

      Atasaidia wangapi kwenye hii dunia ukiona hivi pambana naww angalau umkaribie usiongee kwa xababu hauna je ww ukipata pesa km hivo alivo utaweza saidia kweli au unaongea kwaxababu hauna

  • @fredmbossa
    @fredmbossa Před 2 lety +5

    Nilichogundua humu wanaponda wengi ni waisalmu,mara sanda mara utaviacha hapahapa duniani ,,,kwahiyo ukiwa duniani unatakiwa uwe maskini tu ,,,,wivu watu unawasumbua

  • @abdul-rahmanal-sis7097

    Mashallah hadha min Fadhil Rabbi

  • @omarbachu1074
    @omarbachu1074 Před 3 lety +5

    MashaAllah!

  • @aljadiidualjadiidu6889
    @aljadiidualjadiidu6889 Před 2 lety +2

    Maashaa Allah Tabaaraka'Allah

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 4 lety +5

    Mashallah ila yote nimapito subhanallah

  • @paulinasemindu1292
    @paulinasemindu1292 Před 4 lety +6

    binadam tuna wivu sana.kila.mtu.oh vinapita cjui sanda jmn.mungu anamakusudi yake kumpa!hata uwe maskini.sanda pia.inatungoja.hata tajir msi.muonee wivu kila.mtu.anadhambi.hata uwe maskini.hapo.tu.unavyomuonea wivu.nixhambi tosha kwa dini.yetu ss wakristo! mungu co.mjinga kwann.kakunyima.ww kampa yeye?

  • @badar3781
    @badar3781 Před 2 lety +1

    Mashalla mungu azidi kukupa

  • @allysultan9441
    @allysultan9441 Před 2 lety +3

    Nimependa hiyo Quran ikisomwa kwa sauti nzuri

  • @athumanmkilindi6215
    @athumanmkilindi6215 Před 2 lety +1

    Mashallah Allah allah

  • @rajvanymatuma5977
    @rajvanymatuma5977 Před 2 lety

    ongela yake mungu amzidishie

  • @user-bx1oz2ib1z
    @user-bx1oz2ib1z Před rokem

    Nasikia sauti ya seikh Ali jaabir akisoma qur an

  • @badar3781
    @badar3781 Před 2 lety

    Mashalla mashalla vizuri sana

  • @medwho959
    @medwho959 Před 2 lety

    Allah awahifadhi.

  • @jamalmohamed3400
    @jamalmohamed3400 Před 2 lety

    Masha ALLAH...

  • @wilemakunga1016
    @wilemakunga1016 Před 2 lety +2

    Hakika nimeskia Quran tukufu inasomwa

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Před rokem

    Huyu hadi amejisalimia kwa kioo 😂😂

  • @ismailiamblosi2681
    @ismailiamblosi2681 Před rokem

    Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini

  • @amirimbwambo3463
    @amirimbwambo3463 Před 2 lety +1

    Mashaa llah

  • @bahrujbaura8042
    @bahrujbaura8042 Před 3 lety +3

    Alafu nimsikie mtu anitajie uchafu wa Diamond!angalien watu wanavyo ishi mwenye pesa hajisifu Wala kujitangaza ushamba tu!

    • @eliyanorobeth8567
      @eliyanorobeth8567 Před 2 lety

      Yani wewe ni mpumbafu kwelikweli!!!! Sa diamond kaingiaje kwenye hil
      Tafuta zako nawewe Basi uish bila kujisfu. Pia chakukuongezea tafta jibu la swali hil MSANII NI NINI?????? HUTOHANGAIKA

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477

    Mimi nakushauri ujenge pepo yako kwa Allah utaikuta kuliko kujenga kasri ukaliwacha na kila kilichomo huchukui ata sent 1 hivyo jitahidi kujenga akhera yako inshallah

    • @mrsnam6897
      @mrsnam6897 Před 4 lety +2

      Sasa ingekua ni wewe na pesa unazo ungelifikiria hivyo kweli

    • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
      @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 Před 4 lety

      @@mrsnam6897 sana 2 naomba mungu kila ck wallah

    • @noahvan6890
      @noahvan6890 Před 4 lety +4

      Umaskini dhambi, tafuta pesa uishi vizuri sio kulaumu kwanza ushatenda dhambi mpk hapo

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 Před 3 lety +1

      Una uhakika kuwa hasaidii wenye uhitaji au unataka hadi angekua ana rekodi wakati anatoa?
      Acheni akili za kimasikini hizo

    • @fikirimajila2897
      @fikirimajila2897 Před 2 lety +2

      Kwahiyo ulitaka aishi kwenye pagare ndourizike

  • @nbwchannel4997
    @nbwchannel4997 Před 2 lety

    Tatizo tusichague watu kua uyu akionyesha mali zake mshamba mwengine Mungu amsaidie sio fresh.

  • @aishapengo2970
    @aishapengo2970 Před 2 lety +1

    Mashallah

  • @nassirhamis5848
    @nassirhamis5848 Před 2 lety +1

    Mashaallah

  • @mrsnam6897
    @mrsnam6897 Před 4 lety +3

    Nilicho kigundua kwa hizo comments duniani hapa hatutofanikiwa na akhera adhabu inatusubiri
    Watu wamejawa na wivu wa mali za mtu, unaona eti utakufa utaziacha, jaman jaman😋😋😋😋😋😋😋😋😋

    • @sasamjr2517
      @sasamjr2517 Před 4 lety

      Umeona eenh waswahil tunaroho mbaya kimshinda sheitwan

    • @amospoti3766
      @amospoti3766 Před 3 lety

      Kuna comments hapa hata shetani atazikataa siku ya kiama kwamba hakuwa shauri ahao watu kuandika mtu anawazia mwenzake ahela ili hali yeye n mzinifu muongo na muuaji

    • @dinopaul2618
      @dinopaul2618 Před 2 lety

      😂😂😂

  • @ezzyb2565
    @ezzyb2565 Před 7 lety +10

    Jamani hii ni nyumba ama mall?

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 Před rokem

    Masha Allah

  • @carlitacelestinopedro7127

    Mashaallah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo6057 Před 2 lety +3

    duuh mzebaba anaishi aise

  • @fatmasaid9074
    @fatmasaid9074 Před 2 lety

    utajir wa akhera tuuu mapitooo TU ayo kuwa tajir dunianii pia mtihan ndugu zanguu

  • @mohamedahmed-wc5te
    @mohamedahmed-wc5te Před 4 lety

    Leo juu ya mgongo wa dunia kesho sanda chini na ndani kwa tumbo la dunia.Allah atughafuru na atuongoze kwa duniani na kesho akhera.Amiiiin

    • @hallin9561
      @hallin9561 Před 4 lety +4

      Kwaiyo kama kesho tutakufa basi leo tulale kwenye nyasi kisa kesho tutaiacha dunia.. Tuache mawazo ayo wabeba imani

  • @nbwchannel4997
    @nbwchannel4997 Před 2 lety +1

    Inapendeza sana

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 Před 4 měsíci

    Amiin

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 Před 2 lety

    Masha allah

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 Před rokem

    MashaAllah

  • @odeanmachaku3719
    @odeanmachaku3719 Před 2 lety

    Hard work pays

  • @ramabendera8183
    @ramabendera8183 Před 4 lety +1

    Tabarakahllau

  • @aboubakaryjuma8349
    @aboubakaryjuma8349 Před 2 lety

    Kunawatu wanaishi Jamani!!

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 Před 4 lety +2

    wasedieni masikini vijijini dunia tunapita

    • @sasamjr2517
      @sasamjr2517 Před 4 lety +1

      Ata ww unayohaki ya kisaidia masikin kwa Mungu alichokupa

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 7 lety +6

    Huyu ameshapewa duniani hatujui akhera.

    • @mrsnam6897
      @mrsnam6897 Před 4 lety +2

      Mungu Anjalie akhera yenye ubara kuliko wa hapa duniani

    • @nadirmahfoudh1812
      @nadirmahfoudh1812 Před 3 lety +1

      Namuomba Allah ampe zaidi huko Akhera sababu Omar anajitahidi sana ktk kuekeza akhera kuliko duniani Masha'Allah

  • @bakarialykitemwe9232
    @bakarialykitemwe9232 Před 3 lety +4

    Mo hana chochote hawa ndio matajir dadadeki

    • @fadhilisamson4085
      @fadhilisamson4085 Před 2 lety

      Kwani hao wanakusaidia nini kwenye maisha yako boss

    • @bakarialykitemwe9232
      @bakarialykitemwe9232 Před 2 lety +1

      @@fadhilisamson4085 kwakweli wote wana nisaidia mana kila tajiri ana msaada ktk jamii yani mo ana nisaidia na bakhresa ananisaidia masada unaweza usione machoni lakini kupitia kodi zao serekali inafaidika na raia pia so nafaidika

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 Před 2 lety +1

      @@bakarialykitemwe9232 sasa mbona watu wanasem bakharesa mo tajir ni mo hvi ni kweli?

    • @bakarialykitemwe9232
      @bakarialykitemwe9232 Před 2 lety +2

      @@zalhathasaid2060 inawezekana ikawa kweli kulingana na tafiti zao wanazo fanya lakini kwangu mimi nikiangalia vitu anavyo miliki bakhressa sikubali kuniambia mo tajir zaidi ya bakhressa

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 Před 2 lety +1

      @@bakarialykitemwe9232 na mimi ivoivo

  • @mustafamsati6462
    @mustafamsati6462 Před 3 lety +2

    Kweli chibu gari kaitoahapo

  • @roggerssimon122
    @roggerssimon122 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣 nmeona ferar c aipoteze niikote jaman

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 2 lety

    Kwa sasa nipo Tandale nimepanga ila nahangaikia japo chumba ki1 ili nihamie kwangu ama kweli maisha hayana huruma🙈

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 Před 2 lety

    Ingekua za daimond sijui ingekuaje

  • @ramadhanijuma8874
    @ramadhanijuma8874 Před 2 lety

    Hiyo ni israf.......

  • @marryelasto1592
    @marryelasto1592 Před 4 lety +4

    Dini kwanza ayo yote tutayaacha hapq

    • @dinopaul2618
      @dinopaul2618 Před 2 lety

      Kwani huwezi fanya vyote kwa pamoja🤔

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 7 lety

    Mpaka snema ndani

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před rokem

    Tutafute pesa

  • @shafiiakida4561
    @shafiiakida4561 Před 3 lety

    mashallah

  • @touchgloves2613
    @touchgloves2613 Před 2 lety

    Huwezi sema dini inapenda extravagants km hizi maana wakat ww una vyumba kumi na tano usivyovitumia kuna watu hawana pakulala ktk mitaa unayopita na unawaona

    • @nadiakarata8984
      @nadiakarata8984 Před 2 lety +1

      Dini haikatazi shekh kuishi vizuri na himkatazi shekh mtu kuhadisia neema mungu alizokujalia mandhari si kwa kebehi na majivuno. Mungu amzidishie na atujalie na sisi pia Inshallah.

  • @feristerjames4522
    @feristerjames4522 Před 2 lety +1

    Sasa uyo domo ndo sone hapa watu hawajisifii itakua wancheka tu

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 Před 2 lety

    Kama kuna haki za watu hpo ndio shida!!

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 Před 3 lety +1

    Hili huenda likawa ni jengo la biashara

  • @tuntulusekelo4191
    @tuntulusekelo4191 Před 4 lety +1

    duhh chapaa nyoko

  • @sultannassor9756
    @sultannassor9756 Před 4 lety

    haki ninayo lkn uwezo sina uwezo wangu nikuwakumbusha walo nacho kutoa

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 Před 3 lety

    Pesa kitu ingine

  • @idduyusuph9408
    @idduyusuph9408 Před 4 lety +2

    Ila mwisho wa siku atakufa vyote ata viacha tu

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 Před 2 lety

    Na wala humuoni akijigamba sio wasanii wetu wa bongo

  • @juliusmassawe597
    @juliusmassawe597 Před 4 lety

    Mmmmm!!!

  • @shafiiwise2638
    @shafiiwise2638 Před 4 lety

    Toa mal kwa wahusika xo maonyesho

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před 2 lety

    Baba ake hanaga izi. Yeye kapewa theluthi2 ashaanza mbwembwe wakati baba hata akitoa msaada hataki media

    • @sonko-13
      @sonko-13 Před 2 lety

      😂 naww mwambie baba yako akupe,

    • @malota2138
      @malota2138 Před 2 lety +1

      @@sonko-13 😂😂😂

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 Před 2 lety

    Kila nafsiii itaonja umauti,

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 Před 7 lety

    wat na maisha yao

  • @ahmedbahannan2754
    @ahmedbahannan2754 Před 7 lety +7

    Kama mali yako halali ni sawa kutumia pesa yako kufanya maisha yako kuwa mazuri, lakini sioni kama ni uzuri kuweka video kama hizi kwa youtube kuonyesha mambo yako ya kibinafsi hadharani. kama unaonyesha kiwanda chako ni sawa lakini nyumbani kwako bora usifanye.

    • @abdullaali6226
      @abdullaali6226 Před 5 lety

      Ahmed Bahannan huyo alotuma hii video sio mwenyewe Omar Bakhressa, mwenyewe humkuti popote kutuma, hata hivyo alotuma hajatuma kwa lengo baya, just nasie tuone tu,

    • @mrsnam6897
      @mrsnam6897 Před 4 lety +2

      Jamoni wivu jamon wivu unatutesa na umaskini hautotuacha

    • @mozaseif2812
      @mozaseif2812 Před 3 lety

      Ah mtihan mashallah matajir wetu

  • @rajabaliremtulla6369
    @rajabaliremtulla6369 Před 5 lety +1

    to put such a video on the utube reveals the pride of the owner. I do not suite whilst the Quran is recited

  • @rukiaabdallah92
    @rukiaabdallah92 Před 7 lety +2

    Ni vya dunia tu hatoki na kitu chochote isipokuwa sanda tu 😷

  • @asiakheir3846
    @asiakheir3846 Před 7 lety +8

    Jitahidi kuwekeza kwa Allahpia. MashaaAllah wenyehusda wasivione.

  • @abdul-rahmanal-sis7097

    Mashallah hadha min Fadhil Rabbi

  • @ismailiamblosi2681
    @ismailiamblosi2681 Před rokem

    Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před 2 lety

    Mashallah

  • @saifalrajhi5001
    @saifalrajhi5001 Před 7 lety +1

    Sasa Omar na Salim Bakhresa yupi ni yupi

    • @abdullaali6226
      @abdullaali6226 Před 5 lety +4

      Huyo Omar ni mtoto mmoja tu wa Bakhressa ndo anamiliki hiyo, wako na watoto wengine.

  • @ismailiamblosi2681
    @ismailiamblosi2681 Před rokem

    Tajiri uza malizako zote na pesa uwape masikini

  • @paulinasteiner5417
    @paulinasteiner5417 Před 3 lety

    Mashallah