ALHAJ MZEE YUSUPH Amtaka Khadija amuombe LEILA msamaha. TENA HADHARANI!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Ni baada ya Dada yake Khadija kukataa mkono wa wifi yake Leila msibani.

Komentáře • 115

  • @latifahissa1114
    @latifahissa1114 Před 7 lety +36

    Khadija badilika dada dunia tunapita usisubiri mtu afe ndo ujute useme kwann sikupatana nae omba mungu akupunguzie hasira....Mana siku zote hasira hasara

  • @siznic2156
    @siznic2156 Před 7 lety +4

    Khadija roho mbaya Wala sio hasira.tena hasira haipendezi kwa muisamu yeyote.hasira ya nn eti..

  • @AhmedOmar-dw8oi
    @AhmedOmar-dw8oi Před 5 lety

    موزا يوسف بوله نكونبي سلام عليكم وا رحمات توالله

  • @a.856
    @a.856 Před 7 lety +9

    .....muislam wa kweli ni yule ambae anaweza kuzuwia hasira zake...

    • @abuiyali6425
      @abuiyali6425 Před 6 lety

      Zuhura Salum acheni kuendekeza dunia jman

  • @asiamahami6140
    @asiamahami6140 Před 7 lety +5

    Omba msamaha Dada khadija umekosea muda bado upo Allah atakusamehe

  • @jenniphermunguakutangulie7432

    mzee yusufu uko vzr kaka mungu akutangulie

  • @jamailakinaia1923
    @jamailakinaia1923 Před 7 lety +6

    roho mbaya haijengi khadija.....aya ni maisha tu

  • @zuhrahalima5987
    @zuhrahalima5987 Před 7 lety +4

    mawifi mawifi jameni wana mambo kote kote.

  • @najmahbaby8690
    @najmahbaby8690 Před 7 lety +6

    khadija apunguze roho mbaya,hana cha ukali au nn

    • @zainabfarahan7331
      @zainabfarahan7331 Před 5 lety

      Khadija lazima apatane na wifi yake ugomvi ni mambo ya kisheitwan jitahidi kusamehe kubwa dogo na subra iweke mbele in sha Allah

  • @salmaakida3485
    @salmaakida3485 Před 7 lety

    aaaaagh kwel yuseef isihukum wakat hujaona👏

  • @patriciamassawe6496
    @patriciamassawe6496 Před 7 lety +3

    mwanamke ana roho mbaya huyu lol khadija badilikaaaa mxew

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016

    pole mzee wetu

  • @mammyyassie7322
    @mammyyassie7322 Před 7 lety +3

    Huyu dada ana matatizo kwa kweli. Miaka miwili hujakanyaga kwa kaka yako? MMungu ambadilishe kwa kweli

  • @ashab2537
    @ashab2537 Před 7 lety +14

    hasira au roho mbaya

  • @princeesssalma9622
    @princeesssalma9622 Před 7 lety

    Allah atuongoze sote inshallah

  • @omand1761
    @omand1761 Před 7 lety

    Khadija ana roho ya kichawi pia anamchukia wifiye Leyla.Alimuandama ataashia talaka.sasa Mungu kaonyesha ufalme wake huyo kipenzi chake Chiku ndo kamchukua kamwacha Leyla.Wanampiga vita lkn ndo ana kheri nao.Khadija aache na ushamba pia unachangia.Sisi watoto wa muji tunamwambia.Kiburi ni ushamba.Anaringa nini mtu mwenyewe hana chochote.Badilika mshamba wahedi

  • @mariamkimwaga4596
    @mariamkimwaga4596 Před 7 lety +4

    mbona mwakatisha

  • @rayrayroblox5663
    @rayrayroblox5663 Před 7 lety +3

    Wengine ma wifi wana wivu

  • @mwaijaramadhani6662
    @mwaijaramadhani6662 Před 7 lety

    heeee kwa hadija yule ule unene ni wa roho mbaya yule dada mh ila kuomba radhi kwa hadija hawezi yule dada

  • @emmakayombo9577
    @emmakayombo9577 Před 7 lety +2

    Acha basi Mzee Yusuph.

  • @mwanahamisimasudi7378
    @mwanahamisimasudi7378 Před 7 lety

    haya mi nnapita shauri zenu

  • @husnamarandu8380
    @husnamarandu8380 Před 7 lety

    roho mbaya tu hyo khadija

  • @churachura6091
    @churachura6091 Před 7 lety +2

    tuwekeeni full video jamani

  • @wemkaliyuan8379
    @wemkaliyuan8379 Před 7 lety +1

    dada yako mwambie awe na heshima na mkeo aipendezi

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w Před 7 lety +4

    Na ww mzee yusuph ushaachan na mambo ya kidunia bac mambo yako na familia yako yamalize nyumbn kam dad yako kakosea wawek chin na mkeo myamalize huko sas aje hadharan kwa faida ya nan aaa achen bhan niny ni waislam hebu fanyen mambo kiislam bac

  • @aishleyfumo2669
    @aishleyfumo2669 Před 7 lety

    yaonyesha kuwa khadija na mzee nyote mlipenda chiku sn kuliko leyla

    • @aishleyfumo2669
      @aishleyfumo2669 Před 7 lety

      yule unaependa zaidi kuliko mwenzie mungu hukuondolea akakupima imani

  • @yumnahassan1995
    @yumnahassan1995 Před 7 lety

    junior syaary tunataka part tu hii imekatika

  • @bethwairimu3115
    @bethwairimu3115 Před 7 lety

    Pole mzee

  • @salmaakida3485
    @salmaakida3485 Před 7 lety

    mzeee yusufu bwana eti mle 2😅😅😅

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 7 lety +2

    Jamani mmekatisha mazungumzo kwanini? bac leteni part2 ya mazungumzo haya

  • @ansfridacharles4886
    @ansfridacharles4886 Před 7 lety

    hadija fyuuuuu zako

  • @halimamohamedy3571
    @halimamohamedy3571 Před 7 lety

    Mhhhhh

  • @marjitujumajumamohmady5522

    mashallah😨😨😨😨😨

  • @hassanaisha8228
    @hassanaisha8228 Před 6 lety

    Hasira bay

  • @hamidamakamemohd8537
    @hamidamakamemohd8537 Před 6 lety

    Allah akuhidi mzee

  • @jumaawadhy4996
    @jumaawadhy4996 Před 6 lety

    mm

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha8035 Před 6 lety

    Kusameheana ni lazima

  • @dkalhajijbmatatala9392

    WISLAAM UNYENYEKEVU
    TUISHI KINYENYEKEVU

  • @rajabusuleiman9154
    @rajabusuleiman9154 Před 6 lety

    ongela sana mzee yusufu kwa kungundua ukweri mbere ya mwenyezi mungu ishallah mungu ata kupa maisha marefu

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před 6 lety

    Kama alimnyima mkono tusihukumu alishaona kuna shida . Sisi inakuwa rahisi kusema fulani ana matatizo, hatujuhi mungu awasaidie wote.

  • @lilyisma2292
    @lilyisma2292 Před 6 lety

    Majina ya khadija ndivyo yalivyo mi mwenyewe Ni mkali hataree 😀

    • @nasmafarmsltd9146
      @nasmafarmsltd9146 Před 6 lety +1

      Lily Isma umenena ndug hata mie ñďò nilvyo ndug

    • @lilyisma2292
      @lilyisma2292 Před 6 lety

      Nasma 13 😂😂 nacheka kama mazuri hatupendi kuambiwa ukweli wala kusemwa yan ni shida majina ya khadija na ni majehuri 😂 ukituchefua tu hatare

    • @khadijakoga7594
      @khadijakoga7594 Před 4 lety

      Jamani duuh nilijuwa nimimi tuu

  • @halimanyanda3736
    @halimanyanda3736 Před 6 lety

    Tunakupenda sana mzee yusufu

  • @halimanyanda3736
    @halimanyanda3736 Před 6 lety

    Tunakupenda sana mzee yusufu

  • @paulomgan2064
    @paulomgan2064 Před 6 lety

    Safi

  • @mohammedbusaidi8505
    @mohammedbusaidi8505 Před 6 lety +1

    hakika allah humuongoza amtake mashllah mzee yussuf allah azid kutuongoza

  • @pennystang6065
    @pennystang6065 Před 6 lety

    Swag yakuongea kama amefunga macho

  • @hamisisteven1269
    @hamisisteven1269 Před 6 lety

    .

  • @infohometv3896
    @infohometv3896 Před 6 lety

    Allah humuongoza amtakae

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 Před 7 lety

    Pole mzeeyusuf yote mambo ya mungu khadija badilika dunia tunapita

  • @kuduramohamedi6036
    @kuduramohamedi6036 Před 7 lety

    pole sana kaka angu mzee yusuf kwa msiba mapenzi ya mungu mungu akuwekee wepesi amina

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 Před 7 lety

    M/Mungu azidi kukuongoza Mzee.

  • @h.andayi8907
    @h.andayi8907 Před 7 lety

    khadijah mwenyewe sura yake yafanana tuu chuki...

  • @neemajilo4012
    @neemajilo4012 Před 7 lety

    Khadija wacha roho mbaya ili ukonde mh ukiendelea na uchafu wa moyo utazidi kuvimba zaidi ya hapo

  • @malkiasepetu8615
    @malkiasepetu8615 Před 7 lety +5

    alhaj kapunguza ukali wa maneno kuliko kusema ana roho mbya bora kusema ana hasira mkali sana🤗🤗jazaqallah hekmah kweli alhaaj

  • @khadikaismayl5803
    @khadikaismayl5803 Před 7 lety

    khadija badilika Dunia tunapita na leyla ni wif ako hata ukasilike

  • @khadikaismayl5803
    @khadikaismayl5803 Před 7 lety

    khadija badilika huyo niwifi ako tu hata umkasilikie

  • @rahmaahmed3585
    @rahmaahmed3585 Před 7 lety

    allaah akupe subra alhajj

  • @salmawage7259
    @salmawage7259 Před 7 lety

    huosio ukali ana roho mbaya sana lipi kubwa alilomkosea wifi yake ugovi usiokwisha kama watoto mmmmmh mkubwa manajifanya wanajua dini amnalolo kajitia aibu wala haya pendezi kwa mungu wala kwa jamii

  • @rukiaabdallah92
    @rukiaabdallah92 Před 7 lety

    labda ana h.i.v maana ukiwa navyo hatari sana

  • @hellenamwissa7424
    @hellenamwissa7424 Před 7 lety

    c roho mbaya huyo hadija mi naona atakuwa na mapepo anahitaj mambo.

    • @patimahassan3162
      @patimahassan3162 Před 7 lety +1

      mzee Yusuf mambo ya family malizana kwenye family ndo ustaarab sio ueleze kwenye vyombo Vya habari kila MTU akajuwa ndo uislm ao wadaku wapuuze sema ya muhimu tu wewe MTU mwengine bana

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    uislamu wa mzee yusuph! ungekuwa ndio unaohubiriwa pande zote Tanzania? mmmmh! Tanzania ingekuwa salama sana. mwenendo wake hakika huyu ni mtakatifu wa Mungu. Mungu akutie nguvu Alhaj. mzee yusuph

  • @ndagesikapasa6503
    @ndagesikapasa6503 Před 7 lety

    una hekima....alhamdulillah

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 Před 7 lety

    daaaah

  • @dorismamf7404
    @dorismamf7404 Před 7 lety +2

    khadija wivu unamsumbua akimuona laila kamzid kilakitu anaona kaka yake anafaid kama ipo ipo tuuuu

  • @dorismamf7404
    @dorismamf7404 Před 7 lety

    khadija hanalolote Wivu unamsumbua akimuona laila kamzid kila kitu

  • @imnathe1299
    @imnathe1299 Před 7 lety

    alingia weupe wa madawa pole hadija asiye fuzwa na mamaye hufuzwa na ulimwenge ipo siku utamujutia ndungu yako

  • @madamegift3312
    @madamegift3312 Před 7 lety

    mmmh

  • @khadijaomar8427
    @khadijaomar8427 Před 7 lety

    huyu khadija ana roho mbaya kwa kweli

  • @barwancb5723
    @barwancb5723 Před 7 lety +10

    mashaallah, mzee ana maneno ya hekima, allah amzidishie.

  • @mkamimatha2692
    @mkamimatha2692 Před 7 lety

    roho mbaya hua aibadiliki

  • @alialbusaidi9130
    @alialbusaidi9130 Před 7 lety

    Mjinga tu uyo Adija MTU mzima akue nini apo

  • @miraabdullah57
    @miraabdullah57 Před 7 lety

    kwani jamani niambieni nataka kujua mzee yusuph bado yupo na Leila ndoani au wamebaki kama mtu na mzazi mwenzie,,MUNGU awafanyie wepesi na kama bado yupo na Leila kindoa basi apumzike abaki na huyohuyo mmoja maana nimesikia jana mzee y anataka kuoa ila kasema atajipanga kama Mungu kapenda aoe ataoa na kama haikuwa rizki basi atapumzika kwani swala la kuoa sio la kukurupuka,,

  • @muhidinzangira9086
    @muhidinzangira9086 Před 7 lety

    Mkali Allah pekee

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 Před 7 lety

    pole mzee...moja ya mitihan hiyo

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 Před 7 lety

    kwan niulize reila hakutAkiwa kwenda msiban au

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 Před 7 lety

      Rosemary Benjamin anatakiwa kwenda lkn kwa hiyari yake na pia hakuweza kuondoka kwake ila kwa ruksa ya mumewe km anekataliwa hasiondoke kwake kwenda msbani na mumewe bac angebakia hme lkn alipata ruksa kutoka kwa mumewe ndo alienda umeelewaeee ddngu

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 Před 7 lety

      Rosemary Benjamin anatakiwa kwenda lkn kwa hiyari yake na pia hakuweza kuondoka kwake ila kwa ruksa ya mumewe km anekataliwa hasiondoke kwake kwenda msbani na mumewe bac angebakia hme lkn alipata ruksa kutoka kwa mumewe ndo alienda umeelewaeee ddngu

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 Před 7 lety +8

    Hasidi hana sababu...safura ya chuki ni shida this song was meant for khadija.

  • @mohammedrashidmzee5700

    walai me naww sana sis anavyo fanya interview yake yani yuko poa makini

  • @azizaooo6309
    @azizaooo6309 Před 7 lety

    dah khadija acha roho mbaya

  • @salhamm742
    @salhamm742 Před 7 lety +1

    mungu atunusuru na kibur na shetan km Huyo nadhani atajutia kosa lake jaman bas tena kashakom Huyo na hafanyi tena

  • @hawawezidianakukushusha756

    thax junior

  • @alima7862
    @alima7862 Před 7 lety

    Latifa h issa nisisiwote tubadilike