Khadija badilika dada dunia tunapita usisubiri mtu afe ndo ujute useme kwann sikupatana nae omba mungu akupunguzie hasira....Mana siku zote hasira hasara
Khadija ana roho ya kichawi pia anamchukia wifiye Leyla.Alimuandama ataashia talaka.sasa Mungu kaonyesha ufalme wake huyo kipenzi chake Chiku ndo kamchukua kamwacha Leyla.Wanampiga vita lkn ndo ana kheri nao.Khadija aache na ushamba pia unachangia.Sisi watoto wa muji tunamwambia.Kiburi ni ushamba.Anaringa nini mtu mwenyewe hana chochote.Badilika mshamba wahedi
Na ww mzee yusuph ushaachan na mambo ya kidunia bac mambo yako na familia yako yamalize nyumbn kam dad yako kakosea wawek chin na mkeo myamalize huko sas aje hadharan kwa faida ya nan aaa achen bhan niny ni waislam hebu fanyen mambo kiislam bac
huosio ukali ana roho mbaya sana lipi kubwa alilomkosea wifi yake ugovi usiokwisha kama watoto mmmmmh mkubwa manajifanya wanajua dini amnalolo kajitia aibu wala haya pendezi kwa mungu wala kwa jamii
mzee Yusuf mambo ya family malizana kwenye family ndo ustaarab sio ueleze kwenye vyombo Vya habari kila MTU akajuwa ndo uislm ao wadaku wapuuze sema ya muhimu tu wewe MTU mwengine bana
uislamu wa mzee yusuph! ungekuwa ndio unaohubiriwa pande zote Tanzania? mmmmh! Tanzania ingekuwa salama sana. mwenendo wake hakika huyu ni mtakatifu wa Mungu. Mungu akutie nguvu Alhaj. mzee yusuph
kwani jamani niambieni nataka kujua mzee yusuph bado yupo na Leila ndoani au wamebaki kama mtu na mzazi mwenzie,,MUNGU awafanyie wepesi na kama bado yupo na Leila kindoa basi apumzike abaki na huyohuyo mmoja maana nimesikia jana mzee y anataka kuoa ila kasema atajipanga kama Mungu kapenda aoe ataoa na kama haikuwa rizki basi atapumzika kwani swala la kuoa sio la kukurupuka,,
Rosemary Benjamin anatakiwa kwenda lkn kwa hiyari yake na pia hakuweza kuondoka kwake ila kwa ruksa ya mumewe km anekataliwa hasiondoke kwake kwenda msbani na mumewe bac angebakia hme lkn alipata ruksa kutoka kwa mumewe ndo alienda umeelewaeee ddngu
Rosemary Benjamin anatakiwa kwenda lkn kwa hiyari yake na pia hakuweza kuondoka kwake ila kwa ruksa ya mumewe km anekataliwa hasiondoke kwake kwenda msbani na mumewe bac angebakia hme lkn alipata ruksa kutoka kwa mumewe ndo alienda umeelewaeee ddngu
Khadija badilika dada dunia tunapita usisubiri mtu afe ndo ujute useme kwann sikupatana nae omba mungu akupunguzie hasira....Mana siku zote hasira hasara
Latifah Issa kweli kabisa wataka msamaa kutoka kwa m.mungu na mwenyewe utaki kusamehe .
Latifah Issa kweli kabisa binadamu dhaifu leo tupo kesho hatupo
Latifah Issa mmmhh
Latifah Issa kwel
kweli
Khadija roho mbaya Wala sio hasira.tena hasira haipendezi kwa muisamu yeyote.hasira ya nn eti..
موزا يوسف بوله نكونبي سلام عليكم وا رحمات توالله
.....muislam wa kweli ni yule ambae anaweza kuzuwia hasira zake...
Zuhura Salum acheni kuendekeza dunia jman
Omba msamaha Dada khadija umekosea muda bado upo Allah atakusamehe
Thx kk Junior
mzee yusufu uko vzr kaka mungu akutangulie
roho mbaya haijengi khadija.....aya ni maisha tu
mawifi mawifi jameni wana mambo kote kote.
khadija apunguze roho mbaya,hana cha ukali au nn
Khadija lazima apatane na wifi yake ugomvi ni mambo ya kisheitwan jitahidi kusamehe kubwa dogo na subra iweke mbele in sha Allah
aaaaagh kwel yuseef isihukum wakat hujaona👏
mwanamke ana roho mbaya huyu lol khadija badilikaaaa mxew
pole mzee wetu
mama peku peku hii style ya kugeuza pc siitaki😂😂😂😂
Saumu Hassan hahahahahhaahah sawa
Huyu dada ana matatizo kwa kweli. Miaka miwili hujakanyaga kwa kaka yako? MMungu ambadilishe kwa kweli
hasira au roho mbaya
Asha b itakuwa kweli roho mbaya km kafanya kibri msibani
Mi naona ni roho mbaya
Mwambie awache roho mbaya sivizuri
Allah atuongoze sote inshallah
Khadija ana roho ya kichawi pia anamchukia wifiye Leyla.Alimuandama ataashia talaka.sasa Mungu kaonyesha ufalme wake huyo kipenzi chake Chiku ndo kamchukua kamwacha Leyla.Wanampiga vita lkn ndo ana kheri nao.Khadija aache na ushamba pia unachangia.Sisi watoto wa muji tunamwambia.Kiburi ni ushamba.Anaringa nini mtu mwenyewe hana chochote.Badilika mshamba wahedi
mbona mwakatisha
Wengine ma wifi wana wivu
heeee kwa hadija yule ule unene ni wa roho mbaya yule dada mh ila kuomba radhi kwa hadija hawezi yule dada
Acha basi Mzee Yusuph.
haya mi nnapita shauri zenu
roho mbaya tu hyo khadija
tuwekeeni full video jamani
dada yako mwambie awe na heshima na mkeo aipendezi
Na ww mzee yusuph ushaachan na mambo ya kidunia bac mambo yako na familia yako yamalize nyumbn kam dad yako kakosea wawek chin na mkeo myamalize huko sas aje hadharan kwa faida ya nan aaa achen bhan niny ni waislam hebu fanyen mambo kiislam bac
mzee yusuph hana kosa yeye kafuatwa
yaonyesha kuwa khadija na mzee nyote mlipenda chiku sn kuliko leyla
yule unaependa zaidi kuliko mwenzie mungu hukuondolea akakupima imani
junior syaary tunataka part tu hii imekatika
+Junior Syaary waiting
Pole mzee
mzeee yusufu bwana eti mle 2😅😅😅
Salma Akida assalaykum walahmatuwah wabarakat
waaleikum mslam Hassan nambie
Jamani mmekatisha mazungumzo kwanini? bac leteni part2 ya mazungumzo haya
hadija fyuuuuu zako
Mhhhhh
mashallah😨😨😨😨😨
Hasira bay
Allah akuhidi mzee
mm
Kusameheana ni lazima
WISLAAM UNYENYEKEVU
TUISHI KINYENYEKEVU
ongela sana mzee yusufu kwa kungundua ukweri mbere ya mwenyezi mungu ishallah mungu ata kupa maisha marefu
Kama alimnyima mkono tusihukumu alishaona kuna shida . Sisi inakuwa rahisi kusema fulani ana matatizo, hatujuhi mungu awasaidie wote.
Majina ya khadija ndivyo yalivyo mi mwenyewe Ni mkali hataree 😀
Lily Isma umenena ndug hata mie ñďò nilvyo ndug
Nasma 13 😂😂 nacheka kama mazuri hatupendi kuambiwa ukweli wala kusemwa yan ni shida majina ya khadija na ni majehuri 😂 ukituchefua tu hatare
Jamani duuh nilijuwa nimimi tuu
Tunakupenda sana mzee yusufu
Tunakupenda sana mzee yusufu
Safi
hakika allah humuongoza amtake mashllah mzee yussuf allah azid kutuongoza
Swag yakuongea kama amefunga macho
.
Allah humuongoza amtakae
Majaliwa sungambisi
Pole mzeeyusuf yote mambo ya mungu khadija badilika dunia tunapita
pole sana kaka angu mzee yusuf kwa msiba mapenzi ya mungu mungu akuwekee wepesi amina
kudura moham
edi
M/Mungu azidi kukuongoza Mzee.
khadijah mwenyewe sura yake yafanana tuu chuki...
Khadija wacha roho mbaya ili ukonde mh ukiendelea na uchafu wa moyo utazidi kuvimba zaidi ya hapo
alhaj kapunguza ukali wa maneno kuliko kusema ana roho mbya bora kusema ana hasira mkali sana🤗🤗jazaqallah hekmah kweli alhaaj
khadija badilika Dunia tunapita na leyla ni wif ako hata ukasilike
khadija badilika huyo niwifi ako tu hata umkasilikie
allaah akupe subra alhajj
huosio ukali ana roho mbaya sana lipi kubwa alilomkosea wifi yake ugovi usiokwisha kama watoto mmmmmh mkubwa manajifanya wanajua dini amnalolo kajitia aibu wala haya pendezi kwa mungu wala kwa jamii
labda ana h.i.v maana ukiwa navyo hatari sana
c roho mbaya huyo hadija mi naona atakuwa na mapepo anahitaj mambo.
mzee Yusuf mambo ya family malizana kwenye family ndo ustaarab sio ueleze kwenye vyombo Vya habari kila MTU akajuwa ndo uislm ao wadaku wapuuze sema ya muhimu tu wewe MTU mwengine bana
uislamu wa mzee yusuph! ungekuwa ndio unaohubiriwa pande zote Tanzania? mmmmh! Tanzania ingekuwa salama sana. mwenendo wake hakika huyu ni mtakatifu wa Mungu. Mungu akutie nguvu Alhaj. mzee yusuph
una hekima....alhamdulillah
daaaah
khadija wivu unamsumbua akimuona laila kamzid kilakitu anaona kaka yake anafaid kama ipo ipo tuuuu
khadija hanalolote Wivu unamsumbua akimuona laila kamzid kila kitu
pore
alingia weupe wa madawa pole hadija asiye fuzwa na mamaye hufuzwa na ulimwenge ipo siku utamujutia ndungu yako
mmmh
huyu khadija ana roho mbaya kwa kweli
mashaallah, mzee ana maneno ya hekima, allah amzidishie.
Allahuma Amiin
Thumma amin
roho mbaya hua aibadiliki
Mjinga tu uyo Adija MTU mzima akue nini apo
kwani jamani niambieni nataka kujua mzee yusuph bado yupo na Leila ndoani au wamebaki kama mtu na mzazi mwenzie,,MUNGU awafanyie wepesi na kama bado yupo na Leila kindoa basi apumzike abaki na huyohuyo mmoja maana nimesikia jana mzee y anataka kuoa ila kasema atajipanga kama Mungu kapenda aoe ataoa na kama haikuwa rizki basi atapumzika kwani swala la kuoa sio la kukurupuka,,
Mkali Allah pekee
pole mzee...moja ya mitihan hiyo
kwan niulize reila hakutAkiwa kwenda msiban au
Rosemary Benjamin anatakiwa kwenda lkn kwa hiyari yake na pia hakuweza kuondoka kwake ila kwa ruksa ya mumewe km anekataliwa hasiondoke kwake kwenda msbani na mumewe bac angebakia hme lkn alipata ruksa kutoka kwa mumewe ndo alienda umeelewaeee ddngu
Rosemary Benjamin anatakiwa kwenda lkn kwa hiyari yake na pia hakuweza kuondoka kwake ila kwa ruksa ya mumewe km anekataliwa hasiondoke kwake kwenda msbani na mumewe bac angebakia hme lkn alipata ruksa kutoka kwa mumewe ndo alienda umeelewaeee ddngu
Hasidi hana sababu...safura ya chuki ni shida this song was meant for khadija.
walai me naww sana sis anavyo fanya interview yake yani yuko poa makini
dah khadija acha roho mbaya
mungu atunusuru na kibur na shetan km Huyo nadhani atajutia kosa lake jaman bas tena kashakom Huyo na hafanyi tena
thax junior
Latifa h issa nisisiwote tubadilike