ALLAH amsamehe makosa yake na amuweke mahala pa waliowema Amiin. Na wanawake bwana yaani huyu mzee Yussuf yeye siku zote wanakwenda kumhoji hawa waandishi wa Habari ni wanawake tu. Kweli wanawake vitimbwi vyao ni vikubwa.
Dah nimeumia hadi nimejikumbukia Mimi uzazi wa kwanza 2013 niliponea pafupi kuchelewa Dr wa operation alinikuta ninahali mbaya akahangaika ili aniokoe Mimi tu mtoto alijua amesha kufa na alipomtoa akajua mtoto kafa kumbe Mungu ndio msemaji wa mwisho
Zubeda Mohamedi Allahuma Amiin na kweli sio hospital tu na kuwahi na mapema kunasaidia tena iliyobakia kadara ya Allah MMungu mpe subra na amsameh makosa yake amzidishie mema yake na wakhti wake ulikuwa ushafika na sie atupe mwisho mwema
Jamani ikifika imefika mi chupa ilipasuka nikakaa siku 4 hospitali iliposhindikana nikafanyiwa oparesheni na tukapona Mimi na mtoto ni ahadi ilifika sio uzembe
Mzee yusufu wewe mtu wa allha ila usinungunike sana kwa mungu hakuna jins alipangalo yeye ndo halina jins shukur mungu na yeye nd mwing wa rehma mwenye kurehemu
Kumbe alikua hayuko serius huyu jamaa angewahi mapema mkewe asingalikufa alimpa taarifa mapema mwanamke kuzaa ni nusu kifo lazima uache kila kitu na akili yako yote iwe kwake
Michael Kunambi kifo ni kadari ya mungu hata kama angekuwa serious kama unavyodai basi pia angekufa hivyo hivyo maana tayari mungu keshapanga.wacheni kumlaumu na muache mungu afanye kazi yake.
mungu amlaze mahali pema insha allah
Allahumaghfilahaa warhamhaa
Muna Hasani Muna Hasani p
mungu amlaze mahala pema
amiin
ALLAH amsamehe makosa yake na amuweke mahala pa waliowema Amiin.
Na wanawake bwana yaani huyu mzee Yussuf yeye siku zote wanakwenda kumhoji hawa waandishi wa Habari ni wanawake tu. Kweli wanawake vitimbwi vyao ni vikubwa.
Wallah mitihani ndiyo kipimo cha imani ALLAH atuongoze
innalilahi wainnailayhi raajiun,pole ndg yetu alhajji mzee yusuph kwakuondokewa na mkeo kipenzi alpha atakupa subra
Ungeenda huko siku mbili mbele sio kumwambia aswali mtoto anashuka, mjinga huyu mzeee ulichukulia . Mazihara
Dah nimeumia hadi nimejikumbukia Mimi uzazi wa kwanza 2013 niliponea pafupi kuchelewa Dr wa operation alinikuta ninahali mbaya akahangaika ili aniokoe Mimi tu mtoto alijua amesha kufa na alipomtoa akajua mtoto kafa kumbe Mungu ndio msemaji wa mwisho
pole Sanaa
😢😢😢😢
Michael Kunambi we unahakili sana, Mungu akubariki km unalijua hlo
Mungu amlaze mahali pema peponi,Amiiin.
Pole sana innalillah wainnailayh rajiun. Mwanangu nae alipata tatizo hilo hilo lkn alhamdulillah alipona nashkuru
mungu amlaze mahali pema pepon mamaetu
M.mungu ailaze roho yake mahala pema pepon
Mashaallah mzee yusuff M/ mungu ukujaalie kila lakheri pamoja nasi inshaallah
Ukewenza noma mpk siku za mwisho bado mwanaume anakuacha peke yalo anakwenza
zamu!
Hahahaaaaa.uke wenza haukusilimu.siku zote sisi waume hudhania ni kusudi tu vile mke aona mume yuko zamu.kumbe mara zingine si hivo
Hta usipokuwa uke wenza mwanaume anaweza kukuaxha vilevile watu hawa
Mwenyezi Mungu akutie nguvu Mzee Yusuf. Pole sana kwa msiba
Zubeda Mohamedi Allahuma Amiin na kweli sio hospital tu na kuwahi na mapema kunasaidia tena iliyobakia kadara ya Allah MMungu mpe subra na amsameh makosa yake amzidishie mema yake na wakhti wake ulikuwa ushafika na sie atupe mwisho mwema
+Rehana Elloffy Amiin
Allhamndulillah mung amlaze mahli pema pepon
Mungu amlaze mahala pema peponi
Ila mtangazaji nimekuelewa mbaya kabisa.... So beatfuly
Pole sana Mzee yusuph sote 2nakwenda kinachogomba kutangulia
ALLAH AMWAKILE MUBE YISHIMIRA
Allhaa.akupee..taafifuu.msbaa.ni.mtihani.mkubwaa.allha.atakupaa.subraa.mzee.yusfu.sote.tutarejea.kwakeee.sisi.niamanaa.ya.allha
Walichelewa kumfanyia upasuaji,masaa nimengisana aliyoumwa
Doctar mshenzy kweli uyaachaje mgonjwa mahututi naunde kwenye kikao tena mbali koye kote huko jamaniii
Dokta ataachaje wagonjwa nankwenda mbali hivyo ..!!! So unprofessional
Pole sana Mzee Yusuf Na hao madokta walikua wazembe uvunje chupa tangu asubuhi mpaka jioni?
Jamani ikifika imefika mi chupa ilipasuka nikakaa siku 4 hospitali iliposhindikana nikafanyiwa oparesheni na tukapona Mimi na mtoto ni ahadi ilifika sio uzembe
@@zuhurambonde7599 Naam Zuhura, Tuwe na imani ya kua kikiandikwa hakirudi nyuma
innallillah wainaileih warajiun Allah amlaze mahali pema peponi inshallah
Pole sana
Allah amsameh mama uyoo
Daaa 😭Inauma Sanaaa🙆pole Sanaa😭😭😭Tutamkumbuka Daima😭
innalillah wainna illah rajiun
Mzee Yussuf MASHALLAH
duh! jaman Allah! amlaze pema pepon
M/mungu amlaze pahala pema peponi
allaha. atakupa. subra. mzee. yusuf
Ndio mwisho wa binadamu lkn hio hospital siyo ukifikwa na tatizo hapana dokta
pole sana mzee yusufu
Pole Sana mzee yusufu
Polesana mze you suf mungu amulaze mahala pema
amin
duh. mtu yupo kwenye siku za hatarii unamuacha peke yake
Unaonekn hujui process za kuzaa unaeza kuumwa Hadi wiki 2 na bado huzai. Sasa unaanzaje kukaa pachapacha uache kufnya shughul zak
Allah amekupa mtihani kukukumbusha,endelea na upuzi wako kama bado hujatanabahi Mzee
Inalillah wainaillah rajiun
Kumbe uzembe w madactar
pole sana mzee yusuf
Mungu amlanze pema peponi
ALHAMDULILLAH RAB LALAMIN. MUNGU AMPE KAULI THABIT.
Ili kua wampasue ila ahadi ilikua imefika Allah amrehem
Pole sana Mzee Yusuf
w sally vp kwema uko wapi ww kinyo
Kila nafsi itaonja mauti. Na itakapofika muda haitaongezeka saa wala kupungua.
Pole sana mzeee
Pole sana mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
I nna lillahi wainna lililahi lajuhuni mungu amlaze mahali pema peponi Amini 🙏🙏
allahumma ghfirlahaa warhamhaa
Allah amsaidie mtoto pole sana mzee Yusuf
Mtoto yupi na wakat mtoto kapita
Inna lilah waina ilahi rajiu
Sorry 4 the loss "The Big Dad". Let her soul rest in eternal peace, Amen.
pole sana
mmumgu amlaze pema kwenye wema..amsameh madhambi yk ampe kauli thabit
Amina...
Pole san muze yusuf
Pole muzee yusufu
Walikudanganya hao madokta mkeo alifariki tokea saa kumi
Pole sana
Hospital za tz ni mtihani
Duh pole
Jamaani. Wake ni muhisana
Kondo baya sana jmn...dah r.i.p
allah ampe qaul thaabit inshaallah.
Innalilah wainnalilah rajiuun
in a kill and a in nail lay rajiun sote niwakwake Na kwake tutarejea sote
Muda ulishafika maana watu wanakula huo mpatakuvana hawafi muda hua haujafika na ukifika hakuna cha kuzuia tutatafuta sababu tu ili ziraili asitajwe
Inna lilahi wa inna ilahi wa rajiuon m’ngu amsamehe dhambi zake amuweke kwenye wema ameen ya rabb
INNA LILAHI WA INNA ILAYHIRRAJIU'N
mungu amzidixhie marehem huyu
😢😢
💕
MUNGU amlaze pemapeponi inshallah
Pole
pole xana MZEE yusufu
pole
Inalilahi wainailaihirajuuna
Uzembe wa hali ya juu
Co uzembe ni maandiko
Pole sana, pole kwa familia
Ina Lilah waina ilahi rajiun
So sad 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭....
Mwenyezi Mimgu ampe kauloli thabiti
Mmechelewesha upasuaji
innalillahi wainnaillahi rajiun
mungu amsamehe makosa yake
allah amfanye katika waja wema
amiin
Da pole braza tumshukuru mungu yeye ndo anajuwa alipangalo
Pole San mungu amlaze mahali pema pepon
Laa nimrkubuks xiku nilipo psxuliwa mm ,mungu kampeda zsidi
huyu anae hoji ana kimbele mbele siutulie mtu aongee umezoea umbe kujazia juu kabla hujajua mtu anaongea
Allah Amrehem
Mzee yusufu wewe mtu wa allha ila usinungunike sana kwa mungu hakuna jins alipangalo yeye ndo halina jins shukur mungu na yeye nd mwing wa rehma mwenye kurehemu
إنا لله وإنا إليه راجعون
,japo nimechelewa lakin name nakupa pole sana mzee yusufu,
Anaongea huku anacheka...sijui kama anaumia kifo cha mkwewe
Micheal Kunambu kifo hakina tiba bro.
Hata angeenda mbio vipi asingeokoa roho
Nan alokufa tena mzee
mtoto alipona
freshi iyo vepe
Mwenyezmung amlaze mahala pema
Pele sana
Pore
Daaah
retained placenta
Vikatun
Mtangazaji ulivyomsogelea mzee ni balaa, cyo poa...
Pole...ana mumewe asiumie uumie ww kama nan
Anaskiliza tu kwa umakini
Balaa
Mwachlieni mbali huyo mnafik
We mwenyewe mnafiki ndo mana unawajua wanafiki wenzio
Kumbe alikua hayuko serius huyu jamaa angewahi mapema mkewe asingalikufa alimpa taarifa mapema mwanamke kuzaa ni nusu kifo lazima uache kila kitu na akili yako yote iwe kwake
Michael Kunambi mda ukifuka haina mjadala
Michael Kunambi Asante sana Kaka kwa kuelewa
Michael Kunambi kifo ni kadari ya mungu hata kama angekuwa serious kama unavyodai basi pia angekufa hivyo hivyo maana tayari mungu keshapanga.wacheni kumlaumu na muache mungu afanye kazi yake.
Kifo ni ahadi ataangefanyaje kifo kingemkuta tu
kifo hakikimbiliki ww
v
Mungu amlaze mahali pema peponi, ila hao madaktari n wazembe walimchelewesha cn kumfanyia opreshen.
pumzika wajina wangu