BIASHARA 15 ZA MTAJI MDOGO ZENYE MZUNGUKO MKUBWA NA FAIDA KUBWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 220

  • @SarahMonyo-x7v
    @SarahMonyo-x7v Před měsícem

    Nahitaji kitabu kwa njia ya simu

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před měsícem

      @@SarahMonyo-x7v utapata. Ni Tsh 15000 tu kwenda lipa number 5122948 voda au Tigo pesa 0710387 388 (Kelvin Kyaluoko) kisha tuma message whatsapp kwa namba hiyohiyo nikutumie whatsapp

  • @joycehagman3086
    @joycehagman3086 Před 7 dny

    Asante baba,na penda kusaidia vijana making mama nyumbani bongo, keep post, I come back home to visit

  • @user-kw6kg8kl1v
    @user-kw6kg8kl1v Před 8 měsíci +26

    Nimependa biashara ya dagaa ilinilipa sana ila badae nikakosa connection nzuri ya kupata mzigo but now natarajia kuanza tena, kikubwa ni kuthubu na kuweka aibu pembeni watu tuache kubweteka, asante ninajifunza mengi sana na mengi nimeyafanyia kazi, Mungu akubariki sana kaka Kelvin

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 8 měsíci +2

      Kabisaa. Safi sanaaa

    • @user-kw6kg8kl1v
      @user-kw6kg8kl1v Před 8 měsíci +2

      Pia naomba chimbo la vyombo vya mtumba sahani, sufuria nk yaani vyombo mchanganyiko ila vya mtumba tu

    • @OfficialMutrah
      @OfficialMutrah Před 5 měsíci

      ​@@user-kw6kg8kl1vsamahan tafadhali waweza nipatia namba zako tuongee kidogo

    • @OfficialMutrah
      @OfficialMutrah Před 5 měsíci +2

      Samahan waweza nipatia namba zako tuongee kidogo

    • @muniramboya8105
      @muniramboya8105 Před 5 měsíci

      Ukipata naomba unisaidie fatadhali

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e Před 5 měsíci +6

    kaka ahsante sana bonge moja la plani umebadilisha kichwachangu

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 Před 16 dny +1

    Ubarikiwe sana kakaa. Mimi nna biashara yangu ya product zangu za seamose. Naitaji msaada wako wa muongozo nipate wateja. Na biashara yangu itambulike

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u Před 11 dny

      Dada naomba kujua seamose ni kama nini, Niko kenya

    • @irenebeddah6524
      @irenebeddah6524 Před 2 dny

      @@user-ye1dt2eb8u ni tiba lishe.. kwa kiswahili wanaitwa mwani. Ukiingia humu u tube unaelezewa sana faida zake.

  • @user-qz2sk3is9c
    @user-qz2sk3is9c Před 3 měsíci +4

    Yaap....!!
    Good idea

  • @gabrielmassawe354
    @gabrielmassawe354 Před 4 měsíci +6

    I appreciate brother, nipo Dodoma, ila chimbo zako zote ni za Dar, kuna connection yoyote kupata chimbo la nguo za watoto na yeboyebo. Ahsante sana.

  • @GlorianaMtui
    @GlorianaMtui Před 5 měsíci +2

    Kaka Asante sana, Mimi nina kipaji cha kushauri ila sijui nianzaje kujitangaza

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 Před měsícem

    Nimependa sana elimu hii mr kelvin, baki nasi siku zote....!!

  • @marianyahenge9529
    @marianyahenge9529 Před 5 měsíci +1

    God bless you kelvin

  • @user-pt6ky6jo6g
    @user-pt6ky6jo6g Před 4 měsíci +5

    Nimependa biashara ya vindala vya wadada jinsi ya kupata chimbo ndo shida mm nipo TUNDUMA

  • @munuoernest
    @munuoernest Před měsícem +2

    Mm kaka ningependa kuuza nguo za ndan naomba nisaidie

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před měsícem +3

      @@munuoernest Waliooomba kujifunza hii Biashara.
      ....
      UCHAMBUZI BIASHARA YA NGUO ZA NDANI.
      .
      Hii ni biashara nzuri kwako sababu kadhaa,
      kwanza inagusa watu wengi zaidi kuliko biashara za nguo aina nyingine kama vile Jeans,Tshirt,magauni au suit zenye watu wake na hobbies zao lakini sio kwa nguo za ndani ambazo hao wote hapo ndani wamevaa kati ya boxer,braa, chupi,vest n.k .
      .
      Zaidi ya 90% ya watu wote duniani wanavaa nguo za ndani kuanzia mtoto mchanga na maisha yake yote.
      .
      Pia nguo za ndani HAZINA Msimu kwamba usubiri sikukuu au wanafunzi wakifungua,muda wote zinanunulika, hivyo utauza muda wote.
      .
      Hii ni biashara ambayo inahitaji kiasi kidogo cha mtaji na kianzio hicho kinakupa faida zaidi na zaidi.
      .
      Hii ni biashara Ambayo ukiwa na mtaji wa kuanzia laki mbili tu unaweza kupata mzigo mkubwa.
      .
      Nguo za china ndio bidhaa nzuri zaidi kwa mfanyabiashara kupatia pesa kuliko zinazotoka sehemu nyingine yoyote duniani hasa kwa Tanzania.
      .
      Ila kama una wateja wako unaweza uza za popote ila kama unaanza nashauri anzia za China.
      .
      Sababu kubwa ni kwamba zinauzwa bei rahisi . Kwa mfano biashara ya chupi ili ukue kimtaji kwa haraka zaidi basi uza za china na sio za sehemu ingine . China ndio utapata chupi zile zinauzwa 1000,1500,2000/- kwa pic 1 . Na hizi bei ndio ambazo watu wengi zaidi ya 80% au 90% wanaweza kuzimudu.
      .
      Kwa hio kwa % hizo umeishaona namna soko ambavyo ni pana. Kama utaamua kuchanganya na bidhaa nje ya china basi weka kidogo na nguvu kubwa iwe china ,fanya hivo ili kuchukua wateja wengi zaidi .
      .
      Fanya hii biashara upige pesa.
      .
      Kama una Uwezo agiza Moja kwa moja China alafu uzia wafanyabiashara na Wajasiriamali kwa jumla. (kama hujui kuagiza china hakikisha hukosi darasa la mwezi wa tano nitafundisha na kukupa Agent& suppliers wa china)
      .
      Kama mtaji bado mdogo nenda kariakoo mtaa wa mchikichi na gogo, Mchikichi na sikukuu huko kuna machimbo bei rahisi. Mmoja wapo ni huyu 0743356395 au 0763356395 walikua kariakoo mtaa wa mchikichi na sikukuu kwa sasa stoo zao ziko makumbusho plaza. Huyu atakupa chupi za 1000 ambazo utauza 2000 na kuendelea au za 1500 ambazo utauza Tsh 2500 mpaka 500 sema Anauza jumla kuanzia pc 100 kwaio mtaji wa laki unatosha
      .
      Hii biashara si lazima uwe na frem, unaweza kuzungusha majumbani, kuuza online, kuwa na kibanda kidogo, Kuuza chuoni nk, Duka au kuuza gulioni.

  • @taswirayajamii
    @taswirayajamii Před 6 dny

    Mr tatzo linakuja mtaji ndy changamoto xna
    unakuta mtu unawazo zuri xna lakn mtaji, elimu tumepata lakn mtaji changamoto

  • @uwizeraeseprance
    @uwizeraeseprance Před měsícem

    Hello Nn 16:18 aishi Kigali nimevutiwa sana na bishara 15 zenye mtaki mdogo nimevutiwa na 4 kati ya hizo nazo ni:-biashara 1matunda
    2 Maziwa
    3 Urembo na
    4 Maziwa Hii Nina uzoefu kiasi asante

  • @user-ds3tz8io8n
    @user-ds3tz8io8n Před 7 měsíci +3

    Napenda zaidi biashara ya kuagiza bidhaa nje, hapo umenikuna mr kibenje.

  • @JACKLINEMGAYA-wx1ku
    @JACKLINEMGAYA-wx1ku Před 8 měsíci +6

    biashara ya dagaa na genge smart na na nguo za mtumba za watoto

  • @SmilingAstronomicalModel-zl5jx

    Uko poa sana nikutafute wakati gani unipe darasa maana wife wsngu anataka sana biashara lakini anashindwa aanzie wapi na pesa ipo.

  • @ESTHERMASELE
    @ESTHERMASELE Před měsícem

    Biashara ya dagaa ni nzuri unahitaji tu uhakika wa kupata mizigo

  • @KelvinErnest-my3ur
    @KelvinErnest-my3ur Před 4 měsíci +3

    Biashara ya nguo za ndani hyo nzuri

  • @upendolairumbe889
    @upendolairumbe889 Před 8 měsíci +2

    Madini👐👐

  • @JoyceEdward-fv4ou
    @JoyceEdward-fv4ou Před 2 měsíci +1

    Napenda kuuza viatu vya mtumba

  • @user-pi2ne7eb2m
    @user-pi2ne7eb2m Před měsícem +1

    Naomba kujua kuhusu biashara ya vitenge

  • @SophiaMkumbwa-fu3uc
    @SophiaMkumbwa-fu3uc Před 4 měsíci +6

    Kaka mimi nna frem nimelipia but nlkua na aidia ya kufanya duka la vipodz lakin now nimebak na laki moja too

    • @AYUBUNYONI
      @AYUBUNYONI Před 2 měsíci

      😂😂😂😂

    • @rehemalusindengawa5186
      @rehemalusindengawa5186 Před 16 dny

      @@AYUBUNYONI😂😂umenifanya nicheke pia

    • @Egnas99
      @Egnas99 Před 3 dny

      Kaka nitafute tuzungumze tunyanyue biashara iyo nitaongezea mtaji

  • @zechariahissa6096
    @zechariahissa6096 Před 5 měsíci +2

    Nimependa biashara ya vifaa vya simu

  • @othmanSuleiman99
    @othmanSuleiman99 Před 2 měsíci

    Kaka naikubali sana biashara ya vinywaji na vyakula iyo haina mbamba

  • @fratilupembe3479
    @fratilupembe3479 Před 8 měsíci +2

    Video to watch

  • @AgnessAnne-g2c
    @AgnessAnne-g2c Před 5 dny

    Nahitaji kitabu kwa njia ya simu

  • @ShalomPaul-b5y
    @ShalomPaul-b5y Před měsícem

    Naomba kuuliza unahitajika mtaji wa shingapi kuagiza mzigo alibaba

  • @neemakijoji4725
    @neemakijoji4725 Před 6 měsíci +2

    Napenda biashara ya keki na bites

  • @esteryohana5370
    @esteryohana5370 Před 6 měsíci

    Samahan kevi, nikihitaji kutangaziwa biashara naww nafata vigezo gani

  • @SomjiZemania
    @SomjiZemania Před 13 dny

    Uwinga

  • @ElizabethKilindi
    @ElizabethKilindi Před měsícem

    Kaka please naomba unsaidie kunfafanulia zaid biashara ya nguo za wadada na uremb naanzia mtaji wa bei gan

  • @Choleta_Charles
    @Choleta_Charles Před 8 měsíci +9

    Mwanzo wa Biashara siku zote ni uthubutu na uvumilivu, bila hivyo ni zero....utajikuta ukikata tamaa mapema mno, au kufanya hiki na kuacha, kesho tena unafanya hiki unaacha...mwisho wa siku ndyo inafikia stage ya kukata tamaa.

  • @konakitaatv
    @konakitaatv Před 2 měsíci

    good ideas,umeshau na biashara ya crypocurrencies wengi hawaijuina wengi wanaogpopa kirisklakininibishara inayolipa sana

  • @farajasikawa5503
    @farajasikawa5503 Před měsícem

    Napenda biashara ya nguo za ndani na urembo lkn sijui chimbo

  • @mrhekimasuleiman3884
    @mrhekimasuleiman3884 Před 4 měsíci +1

    i wan't get it throgh soft cop, how can i get it

  • @MuhamedAjigar-dw9ve
    @MuhamedAjigar-dw9ve Před 3 měsíci

    Nahitaji kufanya biashara ya vifaa vya simu lkn inshallah mungu akipenda niende china Kwa hiyo inabidi niwe na mtaji wa kiasi gani naomba jibu napatikana what's pp tu

    • @MuhamadiMtopa
      @MuhamadiMtopa Před měsícem

      Ata mm napenda sana biashara ya vifaa vya simu

  • @uwizeraeseprance
    @uwizeraeseprance Před měsícem

    Nielimishe sana kwa biasha ya matunda plse

  • @bowaschifunda8691
    @bowaschifunda8691 Před 8 měsíci +1

    Mimi baiashara ambao napenda sana Mimi kuza nguo sasa naweza nika anzaje

  • @RehemaMuzo
    @RehemaMuzo Před měsícem

    Nimeipenda biashara ya nguo za ndani na urembo ntapata wapi Kwa bei ya jumla?

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 Před 29 dny

    Pia nataka kuthubutu kuuza mapazia na masuka nitayauzia mkoani chimbo lake lipo wapi tuandikie namba ya simu

  • @angeljohnson5093
    @angeljohnson5093 Před 7 měsíci +1

    Kaka me napenda biashara ya nguo za wanaume za kaliakooo

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 Před 29 dny

    Mm nataka kuuza yeboyebo na ndala chimbonlake lip wapi?

  • @catherinepayson-bx5iw
    @catherinepayson-bx5iw Před 6 měsíci +2

    Chimbo la nguo za ndani kaka naomba nisaidie

  • @upendosanga1409
    @upendosanga1409 Před měsícem

    16:18 nmependa hyo ya genge la mahitaji madogomadogo ya nyumban

  • @ShalomPaul-b5y
    @ShalomPaul-b5y Před měsícem

    5:1

  • @user-cz7xw9oc4z
    @user-cz7xw9oc4z Před 8 měsíci +3

    Chimbo la dagaa wapi kak

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 6 měsíci

      Ukipata watu wa Mwanza itakua vizuri sana

  • @user-ur1ol3hd8t
    @user-ur1ol3hd8t Před 5 měsíci +1

    iyo ya vyombo

  • @user-hh3dr3mz1x
    @user-hh3dr3mz1x Před 6 měsíci +2

    Nikiwa na laki tano naweza anzisha biashara ya nguo za dukani special kuzunguka kwenye minada

  • @francischarles235
    @francischarles235 Před 7 měsíci +1

    Kitabu soft copy bei gani?

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 7 měsíci

      Ni Tsh 10000 tu. Lipia kwenda lipa number 5122948 voda au Mpesa 0762815104 kisha tuma message whatsapp kwa namba hiyohiyo nikutumie.

  • @AmbweneKiputa
    @AmbweneKiputa Před 4 měsíci

    Kaka naomba ufanunuzi wa biashara ya nguo za ndan je niko mkoa mbeya nataman sana kufanya na nakufuatilia sana

  • @user-eu1vl4ib1i
    @user-eu1vl4ib1i Před 8 měsíci +1

    🙏🙏🙏

  • @eliphaceasheli8270
    @eliphaceasheli8270 Před 18 dny

    Pia chimbo la dagaa hasa wa mwanza connection ya kupata mizigo

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 18 dny

      @@eliphaceasheli8270 Dagaa hawa upate watu wa Mwanza wavuvi

  • @othmanSuleiman99
    @othmanSuleiman99 Před 2 měsíci

  • @TusekileMwaswapu
    @TusekileMwaswapu Před 5 měsíci +2

    Chimbo la nguo za ndani kaka

  • @DeboraDabana
    @DeboraDabana Před 2 měsíci

    Nimependa biashara ya dagaa nijinsi gani nitapata auconection nawafanya biashara wengine

  • @kikiteri7486
    @kikiteri7486 Před 24 dny

    Unisaidie nianzishe biashara ya vyombo

  • @ModestaNyagawa
    @ModestaNyagawa Před měsícem

    Naomba muongozo wa biashara ya vitenge

  • @FloraKibasa
    @FloraKibasa Před měsícem

    Naenda biashar ya vinywaji nitaata wapi iweze nilipa

  • @khadijaMustapha-if3rr
    @khadijaMustapha-if3rr Před 6 měsíci +1

    kaka apo kwenye biashara za vitu vya usaf nataka kujua vizuri na mtaji na napataje connection ili niweze kupata

  • @LeaMkumbwa-gx4zf
    @LeaMkumbwa-gx4zf Před 5 měsíci

    Nimeipenda biashara ya nguo zawatoto nijue mtaji wake

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 4 měsíci

      mm nauza mitumba kaka ata laki unaanza na unapata faida kubwa kikubwa kujituma na kueshim wateja bs

  • @thobiasbukali9008
    @thobiasbukali9008 Před 8 měsíci +4

    Kuongea ni rahisi sana, hiyo ya kupiga picha aliwahi jaribu wife, tena alipata wateja kibao. Lkn baada ya mzigo kufika mpaka leo bado nguo zipo wakitafutwa sababu kibao. Miezi 2 sasa.

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 8 měsíci +1

      Asikate tamaa apambane. Biashara inaweza kuwa ngumu mwanzoni lakini milango ikifunguka ni kutengeneza pesa. Tatizo wengi wanaishi njiani au kupoteza nguvu kabaka hawajajenga jina

    • @sakinamyao8284
      @sakinamyao8284 Před 8 měsíci +1

      Alitakiwa akusanye pesa zao kwanza.
      Hayo ni matatizo ya wateja wanaoagiza bila kutoa pesa mwisho wa siku unaingia hasara

    • @user-ds3tz8io8n
      @user-ds3tz8io8n Před 7 měsíci

      Chiffu naanzaje hiyo ya kuagiza china na kwingineko

  • @RehemaAthumani-lf9ov
    @RehemaAthumani-lf9ov Před 5 měsíci +3

    Nimependa biashara ya mashuka kaka lakini siijui nitayapata wapi

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 Před 4 měsíci

    nichki mm mwenzako

  • @vinboe_tvonline2288
    @vinboe_tvonline2288 Před 6 měsíci

    Hongera kaka uko vizur

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před 5 měsíci

    Kaka mm cjawah kufanya biashara tofauti na duka la dawa za binadamu nataka nifanye biashara ya mitumba ,nguo za watoto na mashuka

  • @valeriapeter6812
    @valeriapeter6812 Před 8 měsíci +2

    Kaka naisaidie chimbo la hereni kwa bei ya jumla.

  • @husnasadath-df6uk
    @husnasadath-df6uk Před 4 měsíci +1

    Biashara za mitumba

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 Před 4 měsíci

      napenda tujadili na ww husna mm iyo ndio kitu naipenda sana na akiliyangu ipo uko

  • @KelvinNyaitara
    @KelvinNyaitara Před 8 měsíci +1

    Sawa kiongozi

  • @user-zh2xc1lz2t
    @user-zh2xc1lz2t Před 8 měsíci +3

    Kaka nakufatiliaa sanaa MUNGU anisaidiee nfanikiwee kupitiaa ww

  • @NaomyAjinjo
    @NaomyAjinjo Před 10 dny

    Nifafanulie Zaid hiyo biashara ya udalali natak nidili na mashuka

  • @aimanmuhammed5486
    @aimanmuhammed5486 Před 3 měsíci

    Nipo zenji ntapata wapi connection ya balo za nguo za watoto?

  • @vishainstitute438
    @vishainstitute438 Před 3 měsíci

    Asante Biashara gani naweza kufanya ya kutumia gari?

  • @EmmanuelPaul-iq2wr
    @EmmanuelPaul-iq2wr Před 3 měsíci

    Makava yaana faida

  • @joanithamchunguzi4357
    @joanithamchunguzi4357 Před 5 měsíci

    Nimependa biashara ya nguo za ndan au mashuka

  • @kimlulu2769
    @kimlulu2769 Před 8 měsíci +2

    Biashara ya kuuza chakula Cha mifugo na kilimo na dawa zake je ni nzuri?

  • @jofreymkanda6869
    @jofreymkanda6869 Před 6 měsíci +1

    Naomba uelezee zaidi biashara ya matunda, haswa haswa Apples

  • @user-qi9wt9cg7f
    @user-qi9wt9cg7f Před 6 měsíci

    Bro nahitaji icho kitabu hardcopy nakipataje????

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 6 měsíci

      Kwa sasa zipo softcopy. Hardcopy mpaka mwezi May

  • @saphinielnathaniel4273
    @saphinielnathaniel4273 Před 8 měsíci +3

    Naomba sehem ya kupata vifungashio vya matunda

    • @lilykingo609
      @lilykingo609 Před 7 měsíci

      Kama upo dar..vifungashio aina zote nenda mtaa wa tandamti

    • @rukiasaid9130
      @rukiasaid9130 Před 4 měsíci

      kariakoo​@paulomollel118

  • @user-yk8ct8ev9l
    @user-yk8ct8ev9l Před 8 měsíci +3

    Mkumbuke mwanzo mgumu ye anatoa mawazo tu.

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 8 měsíci

      Ndiooo. Mwanzo mgumu lakini inawezekana. Bora upate mwanzo mgumu lakini upate matokeo

    • @user-yk8ct8ev9l
      @user-yk8ct8ev9l Před 8 měsíci

      Sawa tunapambana si kwamb tumekaa.

  • @user-jw5bq5qh7t
    @user-jw5bq5qh7t Před 5 měsíci

    Kwel kaka nimekuelewa keni

  • @eliphaceasheli8270
    @eliphaceasheli8270 Před 18 dny

    Kaka angu samahan sana naomba nielekeze kuhusu chimbo la nguo za ndani za kike na zakiume

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 18 dny

      @@eliphaceasheli8270 Waliooomba kujifunza hii Biashara.
      ....
      UCHAMBUZI BIASHARA YA NGUO ZA NDANI.
      .
      Hii ni biashara nzuri kwako sababu kadhaa,
      kwanza inagusa watu wengi zaidi kuliko biashara za nguo aina nyingine kama vile Jeans,Tshirt,magauni au suit zenye watu wake na hobbies zao lakini sio kwa nguo za ndani ambazo hao wote hapo ndani wamevaa kati ya boxer,braa, chupi,vest n.k .
      .
      Zaidi ya 90% ya watu wote duniani wanavaa nguo za ndani kuanzia mtoto mchanga na maisha yake yote.
      .
      Pia nguo za ndani HAZINA Msimu kwamba usubiri sikukuu au wanafunzi wakifungua,muda wote zinanunulika, hivyo utauza muda wote.
      .
      Hii ni biashara ambayo inahitaji kiasi kidogo cha mtaji na kianzio hicho kinakupa faida zaidi na zaidi.
      .
      Hii ni biashara Ambayo ukiwa na mtaji wa kuanzia laki mbili tu unaweza kupata mzigo mkubwa.
      .
      Nguo za china ndio bidhaa nzuri zaidi kwa mfanyabiashara kupatia pesa kuliko zinazotoka sehemu nyingine yoyote duniani hasa kwa Tanzania.
      .
      Ila kama una wateja wako unaweza uza za popote ila kama unaanza nashauri anzia za China.
      .
      Sababu kubwa ni kwamba zinauzwa bei rahisi . Kwa mfano biashara ya chupi ili ukue kimtaji kwa haraka zaidi basi uza za china na sio za sehemu ingine . China ndio utapata chupi zile zinauzwa 1000,1500,2000/- kwa pic 1 . Na hizi bei ndio ambazo watu wengi zaidi ya 80% au 90% wanaweza kuzimudu.
      .
      Kwa hio kwa % hizo umeishaona namna soko ambavyo ni pana. Kama utaamua kuchanganya na bidhaa nje ya china basi weka kidogo na nguvu kubwa iwe china ,fanya hivo ili kuchukua wateja wengi zaidi .
      .
      Fanya hii biashara upige pesa.
      .
      Kama una Uwezo agiza Moja kwa moja China alafu uzia wafanyabiashara na Wajasiriamali kwa jumla. (kama hujui kuagiza china hakikisha hukosi darasa la mwezi wa tano nitafundisha na kukupa Agent& suppliers wa china)
      .
      Kama mtaji bado mdogo nenda kariakoo mtaa wa mchikichi na gogo, Mchikichi na sikukuu huko kuna machimbo bei rahisi. Mmoja wapo ni huyu 0743356395 au 0763356395 walikua kariakoo mtaa wa mchikichi na sikukuu kwa sasa stoo zao ziko makumbusho plaza. Huyu atakupa chupi za 1000 ambazo utauza 2000 na kuendelea au za 1500 ambazo utauza Tsh 2500 mpaka 500 sema Anauza jumla kuanzia pc 100 kwaio mtaji wa laki unatosha
      .
      Hii biashara si lazima uwe na frem, unaweza kuzungusha majumbani, kuuza online, kuwa na kibanda kidogo, Kuuza chuoni nk, Duka au kuuza gulioni.

  • @ElyNdaro
    @ElyNdaro Před 5 měsíci

    Hebu fafanua zaidi kuhusu biashara ya viatu

  • @zuwenaalmasi9835
    @zuwenaalmasi9835 Před 8 měsíci +1

    Naomba namba yako boss au niunge kwenye gruop lako whatsup

  • @mpegesaaswile6581
    @mpegesaaswile6581 Před měsícem

    Kuongea ni rahisi sana

  • @user-xz1th6lp6g
    @user-xz1th6lp6g Před 8 měsíci +1

    Biashara ya nguo za ndani mwalimu natamani nifanye

  • @EvalyAnthony-ci4tc
    @EvalyAnthony-ci4tc Před 6 měsíci

    Kaka kwenye nguo zandani hapo nataka nijue zaidi mtaji wakuanzia nahata machimbo yake kwenye bei nafuu

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  Před 6 měsíci

      Mtaji kuanzia laki moja

    • @aliciamwalimu582
      @aliciamwalimu582 Před 3 měsíci

      Unaelezea vzr lkn as a teacher ukiulizwa maswali jaribu kuelezea vzr uko too short

  • @lucymaganga-bf1qq
    @lucymaganga-bf1qq Před 5 měsíci

    Nimeenda biashara ya urembo Kwa akina dada inaweza nisaidie kuifafanua

  • @robertmgori8165
    @robertmgori8165 Před 7 měsíci

    thanks brother

  • @adjahamis
    @adjahamis Před 5 měsíci

    mimi nafanya biyashala yangenge lakiniinanikata nifanyenini ilifaida iyonekane yanikilanikirikuzagenge linanikata najikutanaongezeya tenapesayangu yahakiba nifanyenini ili genge lijiendeshelenyew nafaida iyonekane

  • @adjahamis
    @adjahamis Před 5 měsíci

    nifanyenini biyashala yagenge ijizungushe yenyew nainipefaida

  • @uwizeraeseprance
    @uwizeraeseprance Před měsícem

    Pia nahitaji hicho kitabu

  • @EmmanuelPaul-iq2wr
    @EmmanuelPaul-iq2wr Před 3 měsíci

    Me ntk kuuza matunda najli ubu niioone

  • @RehemaMuzo
    @RehemaMuzo Před měsícem

    4:10

  • @lexalzsoko5163
    @lexalzsoko5163 Před 2 měsíci

    Biashara ya Uwakala ya Tigopesa mpesa nk vp inafaa kwa wenye mtaji kuanzia Million?

  • @user-lr2ff5mp5t
    @user-lr2ff5mp5t Před měsícem

    Bishr ya matund ila bishal ninyo pend ni kuza nafaka

  • @RehemaGodfrey
    @RehemaGodfrey Před měsícem

    Mimi nataka kitabu nitapaje.niko dar salesam

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 Před 6 měsíci

    Chimbo la madhuka ya mtumba plz kaka.

  • @user-di7wr5pl8g
    @user-di7wr5pl8g Před 6 měsíci

    Naomba nieleze vzr hii ya dagaa

  • @user-sp5vh1vb2z
    @user-sp5vh1vb2z Před 7 měsíci +1

    Me nmependa biashara ya nguo za ndan lakin hap nna 10,000