Part 2. KUBOMOLEWA KWA HEKALU LA SULEMANI na kufutwa kwa taifa la Israeli. Mwl. Vincent Mwakisyala
Vložit
- čas přidán 5. 05. 2024
- Endelea kufuatilia mtiririko maalumu wa video zetu upate maarifa ye neno la Mungu, Historia mbalimbali, pamoja na shuhuda za watu tofauti tofauti ili kukujenga kiimani, na kielimu.
Mwalimu Vincent Mwakisyala
+255 753114222
umeongea kweli kichoandikwa kwenye bibiria Ubarikiwe sana
MUNGU akubariki kwa kusoma bibria
Mwl hongela sana kwa ufafanuzi wako tunaomba uanzishe group WhatsApp tuwe tunapata mambo mengi zaidi
ubarikiwe kwa hisitoria ukweli
👊👍✌.
hapo kwenye qiblq
😅
Azam mdomo huo yamekukuta,,,hao ni wakubwa wakikuchekea ukawaona poa basi ujue IPO siku watakutembezae Cha mbwa Koko
Wewe muongo! kitabu cha biblia ni uwongo wa majini na watu asili yake ni ugiriki.
Hapana. Adam aliishi ktk bustani ya Eden ambayo ilikuwa ndani ya Irak ya sasa
UBARIKIWE na MUNGU MUUMBA WA VYOTE ELOÏME ALIYEMPENDA MWANADAMU KULIKO VIUMBE VYOTE