HADI RAHA! ALIKIBA APIGIWA SHANGWE AKIIMBA RUN DUNIA
Vložit
- čas přidán 29. 05. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - Zábava
Nyie huyu Alikiba ni Nyoko🔥🔥🔥 He deserves a crown 👑👑
Nice 1 na hapa ndipo tunapomsahau yule HASIMU wake. Alikiba is real King
King kiba is very creative 💪💯💯
King kiba ni mmoja tu Africa!hujutii kulipia kiingilio kwenye show yake..!#UNYAMA.
Mpigaji wa piano ,wa kidar yani stage yote imeenjoy
Nakubali nikiwa South Africa 🇿🇦
King of voice tz,,,,the only one King 👑 see u Nairobi next tm
Greatest of all time
Halafu kuna mjinga ana mfananisha na wapuuz wapuuz 😂😂😂😂
The True King of Bongo Flavour ✊🏼✊🏼✊🏼🔥🔥🔥🔥
King kiba nakukubar sana,chukua maua yako🎉🎉
Ivyo ndio msanii anatakiwa aimbe kwenye show na sio kupiga makelele tu na kufosi watu washangilie ujinga
Tuko tunaopenda kelele
Isingekuwa sio kwamba mziki unabadilishwa na ukisasa dah alikiba ni mtunzi mzuri na kabarikiwa sauti ,ukitaka kuamini hilo sikiliza nyimbo za zamani za alikiba,kama macmuga,hadidhi, mapenzi yanarun dunia,na zingine nyingi
True
Ila Kiba anajua kucheza na jukwaa
King kiba❤
King of music 🎉🎉
Jamani king mungu akulinde na akutunze
Mwanamuziki
The king
King of music 🔥🔥🔥🙌🏾
GOAT 👑
Lakini pia uvumilivu na vitendo vya karaha viliniumiza, Haya uliyofanya leo ikifika kesho utajibuni nini kiama, Unatema big G kwa karanga za kuonjeshwa👑👑👑🔥🔥🔥
Mfalme huyu Hakika utunzi mzuriii
Mfalme huyu Hakika utunzi mzuriii
Mashairi yasiyo hata na chembe ya matusi😊😊😊
Fundiiiiiii wa live bongo
Hugusikii brooo it was so dopest
Nimeludia mala ya 7 leo 22/02/2024 Hiyi concert kabixa ilikua ya kawaida Get your Flowers 🌺🌹 Mfalme wetu wa East Africa 🇹🇿🇹🇿👑🥇🪙
Niko hapa leo tarehe 18/04/2024 💪😊 on repeating again and again
noma sana❤❤❤
Nakukubali alikiba kaka
The great artist 4life ❤❤❤
Pamoja
Kupafom live na kuwaridhisha watu si mchezo 🧐 hasa Kwa bongo flavor..ambayo imejaa auto tunes.
King mnyama sana 🎉
Ni balaa
hiyo nikweli
King 👑🔥🔥🔥🙌🙌
Kwa Sasa hii ndo miziki inayo takiwa ya live sio play baki mtu amechomeka frashi eti Ana imba uongo huu ndo uana mziki jamaa alikiba ni no1tanzania
Bro you killed it on this lit.....
Huyu jamaa ni noma sana
Jamaaa anajua live dah ni mnomaaa
Jamani jamani king ajengewe sanamu
KingKiba🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅
Mwenye Muziki wake
King him self 🎉🎉🎉🎉
mshkaji yupo vizur
Huyu jamaa ajengewe sanamu tu popote nchini serikali wanasbur nn
Jamaaa ana jua
King kiba 💯
We ni king 👑👑👑 tu ila yupo xmba mtu huko Hy mi kelele kwenye xitej huxikii nyimba wala nn yani vurugu tu
Unyama mwingi sana 💯
🔥🔥🔥🔥
national asset
Wapi jamani nimepitwa
The king himself
King Kiba🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎶🎶🎵🎵🛠️✅
Hakuna makelele show live band safi kabsa na watu wameenjoy
Swala zima la kuimba live muachieni uyu baba amina
💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Huyu ni kiboko kwa live stage
Till goose-bumps wallah❤
Mwenye bongofleva yake
it's a frag🇰🇪🇰🇪🇰🇪
King. Hana mpinzani kwenye anga za live show
Wamjua Christian Bella??
show imejaa utulivu sn
Alikiba ako zaidi ya sawa 💯👑
Ata Mimi naa hinjoh🙏
one man army De King Himself 🎉
African chrismartin
fundi
Anyone 2025😅
❤😂😂🎉🎉
2024 0n may 04
czcams.com/video/Sd0uUyteGtM/video.htmlsi=DOsXhOrZtl_wssGC ANGALIA KISANGA
Huyu jamaa ajengewe sanamu tu popote nchini serikali wanasbur nn
Jamaa fundi tumpe maua yake
Mwamba kweli jamaa