KIMENUKA: MAKONDA APIGWA NYUNDO NZITO NA KAMATI YA MAADALI CCM

Sdílet
Vložit

Komentáře • 25

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 11 dny +2

    Siasa safi na uongozi Bora ... kama ni tatizo!

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 Před 11 dny +2

    Shida ni kusema ukweli

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 Před 10 dny +1

    Waziri Nape humwita Rais Samia nani? Nape kila hotuba yake humwita mama na tumweshimu mama...

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Před 10 dny +1

    Kama kiongozi, anadririki vipi kutamka yale kwenye hadhara ile ilhali anafahamu ni "CONTEXT" tofauti kwa sisi tuliosoma Cuba bila shaka lipo jambo nyuma ya pazia "UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA" Wengine tukipewa mamlaka kiduchu tunadhani "we are above the law" au kutafuta kiki, kuleta taharuki, kuharibu, forum zipo za kuzungumzia sio kilichofanyika tuna vikao

  • @ManaseMoses-dc2dl
    @ManaseMoses-dc2dl Před 11 dny +2

    Ajitahidi kubadili mwenendo wake

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Před 10 dny +1

    Chama au serikali inayovujisha Siri maana yake Kuna ombwe la uongozi. Watu wa mitandao ya jamii wanawezaje kupata habari za Siri au za ndani ya chama. Chama kinaendeshwa kihuni. Hali ni ile ile kama ilivyokuwa enzi za jakaya.

  • @Lizer-zl2qh
    @Lizer-zl2qh Před 11 dny +2

    Makonda Hana maadili ya kiongozi,au kuhudumu katika ofisi ya umma.

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z Před 10 dny

      Nan anamaadili sasa😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-cg6iy2et7q
      @user-cg6iy2et7q Před 9 dny

      Ahaaa kumbe mtu akiwamkweli hua hatakiwi mimeshaamini

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Před 10 dny +2

    Serikali na Chama walikosea kumrejesha kwenye system, huyu alikuwa na makandokando mengi tu, rejea ishu ya kuingia na silaha Clouds studio, kipindi Roma mkatoliki ametekwa aliajidi siku fulani atatoka na kweli alitoka, swali hakujua kuingia na silaha ni kinyume na sheria, kubainisha fulani ataachiwa na ukatokea, yeye alojuaje au alikuwa ni sehemu ya tukio?

  • @sabinuskomba2535
    @sabinuskomba2535 Před 10 dny

    Sio lais bwana ni Rais

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Před 11 dny

    Hivi mitandao inapata wapi taarifa za ndani za chama?Km taarifa hizi nizakweli basi kuna zua maswali ndani ya Taasisi

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před 10 dny

    Nahisi wote waliotoa maini yao Ni wake wanaohifia uchaoakazi wako tunajua utendaji WA makonda acheni ubwege nyie mm marofa

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 Před 10 dny

    Kuna watu walipatikana wakimtukana mh. Jpm.kwa hiyo hawa watu pia wapo si mapya. Na huyu jamaa hajakosea, kosa lake kusema hadhalani labda!

  • @madukurumwanileles7909

    Uongo tu na wivu mwacheni apige kazi.

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf

    Chanel zakihuni ndo shida kuzisikiliza au naninyi mmepewa hela na mafisadi

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi Před 10 dny

    Mtu hawez sema ambako hakipo makonda anayosema yapo uyo c mgonjwa yupo ok Cha mcng awataje kwa ushahid kwenye kikao alichoitwa alaf kikao kitaje wanaomtukana Kama kweli na kcfche cr kikamfanya makonda anadanganya umma

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda Před 10 dny

    Sawa

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Před 10 dny

    Ni mouuzi akili ndogo. Wapumbavu wanasema ATI ana akili kilaza yule.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 11 dny

    @Lizer ww ndiyo unafaa kuongoza ummaa au acha wivu na Fitina,, tunawajua kuwa mtu ukiwa mkweli unachukiwa kwahiy vile mange anavyotukana matusi km yale naona sahihi? Acheni wivu bhana

    • @ZakayoYohana
      @ZakayoYohana Před 11 dny

      Mege tunamuhesabu kama chiz nahana nafac yoyote kwenye ofic zanchi yetu je nawakuu wa mikoa nao wanaropoka akawataje ila kama hawapo atupishe maana huyu jamaa kishazoea kuropoka

  • @ndikumanajackson9233
    @ndikumanajackson9233 Před 10 dny

    Makonda watanzania hamam pendi

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7s Před 10 dny

    Ukweli unachoma

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 Před 10 dny

    Ukweli utabaki kuwa hivyo hivyo! Hata wakuite mala elf moja!