Professor Jay Feat Walter Chilambo - Siku 462 (Official Lyric Audio)
Vložit
- čas přidán 5. 11. 2023
- #professorjay #Siku462 #walterchilambo
Professor Jay Ft Walter Chilambo - Siku 462 (Producer & Mastering by BinLaden of Tongwe Studio records (C) 2023 exclusively licensed Under (Professor Jay )
Stream/Download: bfan.link/siku-462 - Hudba
Ashukuriwe Mungu naamini soon sauti pia itakaa sawa.
Kama unaamini Mungu anaweza kufanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya naomba likes 1000k
Sauti haitaweza kurudi vile maana kaimba kwenye nyimbo,walimtoboa koo ili watoe uchafu
I say pole sana kaka pro, Bado twakupenda kama vile mungu anavyo kupenda bado
Pole sn mungu akulinde
Mungu wetu ni mwaminifu hakika sauti itakaa sawa
@@emanuelhingiitarudi tuu kwa uwezo wake Allah hakuna linalo shindikana
Yaani mpaka sauti imepotea duuuuh Mungu fundi apewe sifa usiku na mchana ishi miaka mingi hapa duniani pamoja na familia yako mwanetu 🫂❤️🫶🙏
Dah pole sana kaka mungu ni mwema sana ashukurukiwe yeye mungu akupe nguvu tena kama awali ameeeen
Hakika Mungu ni mwema sana, mtumikie kwa akili, uwezo, nguvu na moyo wako wote 🙌, Ndiyo shukrani aitakayo Mungu kwako.
Huu sio wimbo ni ibaada ya Shukrani,ni ushuhuda ni somo , ni motivation speach , ni kila kitu kwa watu ambae walikua nawe kwenye safari yako ya majaribu ,Mungu atukuzwe siku zote
Amina
Amina
Hakika.Amen
Hakika Mungu ni mwema sana
Walter you are God sent, professor jay bado hujatimiza lengo na kusudi la Mungu safari yako bado ndefu tumshukuru Mungu Kwa kuendeleza safari yako apa duniani nasema asanti
Yesu kristo wanazareti aseme neno moja tu na upone.❤❤❤❤
God over everything 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nilikuwa nmelala nmeamka nimepatana na notification ya Professor😢To be sincerely this song it's touching 😭,#God has Done #Return Of The Legend
MUNGU yupo na anaishi kweny maisha yetu
Mwenyezi mungu azidi kukulinda baba
I salute JESUS ❤❤❤
Lets make this one #1 trending for the OG prof Jay
Glory to GOD
Amen
In god we trust...allahu akbar☝️
Ya Kipekee
An encouraging testimony
Amen
Pole Sana mzee wetu mungu yupamoja na wew make mungu ndo kila kitu kwetu sisi wanadamu tunapangiwa na mwenzi mungu pole Sana 👏🏼👏🏼😢😢
Daaaah!! Hakika Mungu ni Mkubwa. asante Mungu kwa wema wako.👏👏👏👏👏👏profesa Jay Mungu akupe afya njema zaidi ukae sawa. 👐👐
Na irejeee sauti yako kwa jina la Yesuu tena I Rudi yoteeee ikiwa kamili in Jesus Name I pray for you legend 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Alitobolewa koo kwahyo hyo ndio sauti yake ya sasa hawez kuwa na sauti ile tena😢
@@beautyibrahim8428 Sikia huyu Steve Nyerere mwingine
@@beautyibrahim8428 ila Yesu pekee anao uwezo wa kuirejesha
Hatimae Mungu kashinda tena na tena 🙏 🙏 🙏
Mungu ni mungu Hana mpizani mungu pekeee ahabudiwe ujafa ujaumbika muhim kufnya dua
Mungu apewe sifa
Mungu ni mwema kila wakati
Ahsante Mungu kwa kumuwekea mkono wako mpendwa wetu Joseph Haule, bado tunamhitaji sana Baba
Nimekosa cha kuandika zaidi.. Mungu ni mwenye nguvu upendo na huruma siku zote.. amina..
Mengi yamepita japo nimaumivu ila kikubwa kumshuru Allah nakusema Amen
Scientist need to investigate how professor Jay stayed in the game for over 10 years and he is still relevant and producing and releasing good music
Not 10 years...more than 25 years.
@@davidgibsonadhero275 that's why I said over ten
@@em_vee_joshu shud have said more than 20yrs.... At least ... 10 is too low its like u referring to 12-15yrs😂
@@ahz6907 😂😂😂💔 still 20 is more than ten
@@em_vee_joshikb
Everyone who is going through any painful moments this time around don't forget God is always there for you 🙏🙏🙏... We pray for you brother Professor 🙏
Hakika😢😢😢
Amen i gt hope of healing too
Amen Amen Amen.
Nimempoteza Baba yangu mzazi kwaajili ya umasikini shida ilikuwa ni figo, njia yetu NI moja IPO siku tutakutana, nakuchukia umasikini Mungu atupambanie atuepushe na umaskini😢 tarehe 10/January/2023 huu mwaka 😢
Hakika atuna cha kumlipa mungu kwa hii pumzi ya bule🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema na yeye ndo muweza wa yote
In every desert of calamity,God has an oasis of comfort 🙏🏾
I thanks u much for reminding us about the existence of Almighty God.
Get much better
Allahu akbar....allah is great!
For sure Sir.
Mungu ni mwema sana hakika yeye ni alpha na omeg🙏🙏🙏
Mbeba maono hafii
God is Good brother, Mungu ni mkubwa sana kaka, huu wimbo ni ibada tosha, umeshukuru zaidi hujalalamika. Mungu akuponye urudi katika hali bora na uimara zaidi.
This is not Jay i know, Mungu akuponye Jay . So sad 😭😭😭. You will be back strong
Kweli kabisa hajalalama
Nimejikuta nalia😢 ila mungu ni mwema hata sauti inatoka japokuwa si nzuri ila mimi nakuombea tu kaka 🤲🙏😭
Long live professor Jay..... glory to God.....Sauti yako ndo yaniliza mm😭 nikikumbuka #rap yako#Kikao cha dharura❤...Kama unaamini Mungu mkubwa uwezi ruka bila kulike hii ngoma... AsanteMungu kwa uhai na kumrejesha Jay🔥🙏
Water chilambo never disappointed ❤
Aah verse ya tatu ndio imenilenga machozi kabisa prof Mungu anakusudi nawe bro
Aca mungu aitwe Mungu jameni🙏🙏
Aanh we kama una check hii clip, na tena we mtuu kutoka Burundi 🇧🇮, ebana njoo ukagonge "LIKE" 👍🏽
God is the only one who save us and knows our end in this disaster earth
Thank you God to bring back our brother professor jay.
God bless you brother from Mozambique 🇲🇿
Mungu azidi kukupigania kaka mkubwa. Hakika huu ni ushuhuda tosha...Mungu ana kusudi na wewe. 🙏🙏
Mungu akurinde sana professor Jay
Love song from Dodoma Tanzania pole sanaa hata sauti yako bado haijakaa sawa mungu awe nawe🙏🙏🙏🙏😭😭😭💥🔥🔥🔥
Mungu atukuzwe... Amekutunza ili wengine tujifunze kitu. God is great.
Mungu ni mwema sana
Machozi yanilenga nikisikia sauti yake Prof kwa kweli it's pain bt all in all mungo akusaidia.... we love so much
I failed to hold my tears 😭 To God be the Glory!!🙌🙏
So did I 😢😢😢
I too...but GOD is just GOD!
😢😢God Is good all the time ❤️ ahsante Sana Mungu kwa uponyaji wako MKUU Sasa tunakushangilia pokea sifa na utukufu BABA 🙏
Mwanamuziki mwenye zero haters Tanzania. Keep it up bro
The highest meaning of life is to know the real face and work of God, and to worship Him. Most of the times one can only get this revelation after the genuine trial or tragedy. Wish you long live and smoothly journey in worshiping God Prof. Jay
Hii ndio maana ya kuokoka sasa!!
Hadi machozi yamenitoka...God is good all the time❤
God is always great,,,Pof Jay ww ni shujaa,,,,usiwahi vunjika moyo,kule umetoka ni mbali.
Mungu Yupo na anafanya kazi yake kwetu watoto wake! Hakika Mungu anampango na wewe mpende Sana🙏🥺
My mother had something similar some years ago ( around 2015/2016). Many predicted she wouldn’t live and they even said that, she wouldn’t wake up the next day when she was hospitalised. My mum serves as the NLC (New Life in Christ) community’s treasurer. She lost all hope of surviving because of this circumstance, and she wanted to return all of the money she had for her community. However, her secretary told her, “No, you are still our treasurer.” It is not the spirit of death that we witness. We will be acknowledging that you will pass away if we take this money. She was healed by God, and thanks to Him, she is still living.
Alll the best bro
Prof. Jay mrudie Mungu wako.
Mungu ana neno nawe 🙏🙏
Pole sana yaani aise My beloved brother God is good all the time keep it up dear lord 🙏 blessed you always 😊😊
This is what we call lesson.. God has a reason for such people who face intensive difficulties
Machozi yananilenga nikiskia huu wimbo.Kuna mungu ahsante Kwa uponyaji was Proff Jay.Bwana Yesu apewe sifa!!!
Kwa kupingwa kwake Sisi tumepona
Sasa yesu anahusika na nn hapo wakat yeye ni binaadam Kama sisi
@@baaliyanuun416km huna iman uwezi jua Yesu anausika nn ipo cku utakuja kujua anausika vp
@@mropeamadeus54 Amina
@@baaliyanuun416 Nadhani nimemjibu Proff Jay sio wewe.Katafute kiki pengine.
Mchizi mox nyimbo imetulia ila ujifunze bado hujachelewa rud kwa mungu utubie %
Mo pain 😭 if you listen this hot song but this is life no one no tomorrow
Mungu ni mwema, huu wimbo ni ushuhuda wa uwepo wa Mungu unatuongezea imani. 🙏🏿 Mungu azidi kukupigania Prof.
😢
From Nairobi Kenya we are happy Mwenyezi Mungu apewe sifa 🙏
Kama unatokea chunya do like for our artist prof J
Machozi Ya Upendo Na hisia Kali Ndani Ya Mwili Wangu Juu yenu wote Mliofanyiwa Mabaya Na Watu kwa Ajili ya Maslai Yao Na Ugonjwa tu wowote MUNGU ndye kila kitu tutakutana paradiso na MUNGU ndio muhukumu
Pole sana brother Jay
nimeumia sana ila Bwana ni kubwa sana
Maombi yetu yamesikika...kagongwa pia imesikika umo ndan ndo home land yetu 🙏🙏🙏🙏
We love you God, thanks for Prof.jay ! Utukufu juu mbinguni
Ila mzee water Kweny kiitikio umeua sana❤
This song teach Us to Remember we need to be humble everyday.. This world is way We pass like a Shadow
Exactly 💯
🎉🎉
Glory to The Most High Each and Every Single moment 🙏🏽
Yeremia 33:3 niite nami nitakuitikia nitakuonesha mamb magumu na makubwa usiyo yajua..🙏🙏
Tujifunze haya maisha kuishi kwa amani na watu kuwa mtiifu maisha kushuka nikawaida mwamba akitembelea mandinga makubwa mungu anaweza kukufanya chochote tumwombe mungu maisha yanaweza kuwa tofauti mungu mkubwa Sasa anaenda kuwa msada kwa wengine nakuombea umepitia daraja linaloenda kukufanya uwe shujaa 🎉🎉🎉🎉
Hakika ni kwa Mkono wa Mungu TU.
Glory to god, our hope, our prayers to you, and our love to you makes u healthy again
Sio kila kinacho kutokea kweny maisha yako watu wajue ni ushwaili tyu
Daaaah! Hakika jaman achen Mungu aitwe Mungu kama sauti ya prof J ndo hii??? Mungu ni mwenye rehema sana
Glory to the Most High God 🙌 🙏
Nothing is Impossible with Him
Much love from Kenya ❤ 🇰🇪. Long live Legend. 🌹 🌹
Pole sana kaka Mungu Mkubwa
Ahsante Mola kwa kumponya @professor jay.
Hakika Sifa na Utukufu za Mustahiri Yeye Aliye Mwema Kwetu na Proffesor Jay.
Hakika mungu ni mwema siku zote,anajibu maombi yetu😥🙏
Emotional Song,Allah is great
Mungu Ni mponyaji na msaada na hutumia gumu ili uweze kuutambua uwepo wake. Asante Mungu kwa nafasi nyingine juu ya mtumishi wako naiman bado anakusudi ambalo anatakiwa kulitimiza.
Sauti hii imenidondoza machozi😢. Jay Mungu yupo nawe natunamshukuru sana. Love from Rwanda 🇷🇼
Mungu ni mwema siku zote
Your resilience has been an inspiration to us all. Your determination and positive spirit in the face of adversity have shown us what true strength is. I want to thank you for fighting through the toughest days, for never giving up, and for embracing the healing process with grace.
Amen
Mungu muacheni Aitwe mungu
Saut kurudi haiwez tena ingawa Mimi Sio Mungu
Dah Profesa J Pole sana,Mungu u pamoja nawe,usiogope umeshapona.
Mungu asifiwe🙌🏾
Mwenyezi Mungu aendelee kukutia nguvu, upone na kusimama Tena.
I have been weeping bitterly when listening to this song.God loves you Proffessor Jay❤😭😭
Shukran nzur sana kwa Mungu nimezisikia
Mungu azidi kukuimalisha na kukupa maisha marefu
Asante mungu baba kwa ushuhuda huu wa Prof Jay.......
I was about to Give up, I don't know exactly where Energy come from after listening this. All the Glory belongs to GOD.
Don't give up man
Don't give up,God is God
The voice is a story in itself, Thank God for life
Madaktar Wanatibu ila mungu anaponya huu wimbo umentoa machozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
More love from 🇰🇪
Glory to God. Everyone in difficult and tough situations God is there for HIS glory
Daaaaa brother utakua sawa mungu mkubwa