Professor Jay Feat Alikiba - CALLING (Official Audio)
Vložit
- čas přidán 10. 12. 2023
- #Calling #ProfessorJay #Alikiba
Calling by Professor Jay Feat Alikiba (C) 2023
Calling OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
Written & Performed by: Professor Jay & Alikiba
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz - Hudba
Jamani alikiba ni msani wa kuigwa da kanikosha moyo wangu kwa kuamua kumsapoti kaka etu
Sanaa kakaa 💐👑
Ndio Kaka yetu jeshiii❤
😂😂SUBIR SIMBA LA MASIMBA ATOKE MAREKANI YEYE MMOJA NIKAMA ELUFU MOJA ANAMCHAPA NA MAMILION HALAFU ANACHAFUA MITANDAONI MWEZ AMA WIKI HAWAZAG SIMBA NDIO MTU WA WAKUIGWA SIO KIBA 😂😂😂
Nani kakudanganya kuwa alikiba ni msanii wakuombwa kwa professor? Kiba ni mdogo!
Anaga majivuno
Kama wewe shabiki kweli wa professor Jay weka like hapo chini❤❤❤.
Ahsante mzee wetu jay.... Unatufunza sana wanao .
Hata likes 10 sipati kwel .....i love this from Kenya
Lazi safi
King kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Alikibaaaaaaaaaaaaaa 📌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Noma sana bonge la ngoma...Hakuna mapenz humo
Namkubali Ali kiba jaman mm mpaka nashindwa kuongea ❤
Kama umerejea kuskiliza zaidi ya mara 2 hii nyimbo weka like
10 times❤
She calling @ Alikiba hio chorus umeme @ hit imepenya 2030❤@ nipe like King @jay
Hyo chorus!🙌🙌 Kiba Noma!
Vigogo wawili, kazi nzuri wazee wangu
Huyu alikiba mbona anaimba sana what a beautiful song 🎵 😍 ❤️
Wakongwe wa music wamekutana katika calling naombeni like zao na coment zao 💯💯❤❤❤🔥🔥🔥
Tulio rudi hapa baada yakutoka kuona jinsi walivyokuwa nahimade kwenye account ya king kiba🔥🔥
Sauti kama inarudi hiv keep going mwamba
Binadam ndo inatakiwa kuixh kama ivooo ukiona mwenzako kaanguka basi jitahidi kumuinua kw namna yoyote ileee🎉🎉🎉🎉🎉
Alikiba ni kiumbe kingine sana ongera sana prof jay
Jamani Alikiba Ni Msani Wakuhigw Amewez Kumsupport Legend Kweny Kipind Kam Hiki Mungu Awape Maisha Marefu 🎉🎉🎉🎉
Miambaa🔥🔥🔥🔥
Nakubali sana alikiba big up @professorjay
Aaaah kweli nimekubali Kazi profesa umerikavaa 1❤❤ brother
Alikiba forever ❤
Mungu ni mwema jaman profess kaamka tenaa hakika wakumshukur ni Allah.pekee❤❤🙏🙏
Gonga like kama umemkubali j na kiba
Akili nyng sna nanyi ndo wasanii wa kidunia tunapata mafunzo mazr toka kwenu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 akili kumkichwa
Bongo flavor Original ❤❤❤❤
🎉🎉🎉 mashallah Family
Ndani ya wimbo huu kuna sehemu wamegusa maisha magumu saaana niliopitia mpaka chozi lime dondoka😭😭😭 now na mshukuru Mungu sio mbaya
RESPECT WIMBO BORA KBS 🙏🙏🙏
Kingkiba
Alikiba ameshindikana vibes vocals 🔥
Hakika mungu ni mwema sauti ya mh/brother professor jay imerudi tena
Ngoma ya kufunga mwaka kwa wapambanaji wote🙏🙏
Tunaomuombea pr J azidi kuimarika ki mziki na ki siasa gonga like❤
Hamornize..... diamond will always be your Idol.....you can't change that fact,he gave u life....from Kenya
asante mungu mwenyezi kwa zawadi hii ya uzima leo umewakutanisha wanamziki wakongwe nilingojeea ushirikiano wao kwa muda mrefu namuona jpm kwa mbali asante mungu wimbo huu unaponya miohoyo yenye majeraha R I P JPM
ebwana kaka kingkiba ukarikiwe kaka AMEN umefanya kitu kilicho bora haijawai tokea hongera sana kaka we love you❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Huyu kibaa ni lasilimali ya taifa tuitunzee 🔥🔥🙌
Alikiba The King professor Jay sàuti yako naomba mungu anipe kipaji Kama yako ili ili niweze kuchana❤❤
Mashallah professor jize sauti imerudi nifuraha kubwa sana hii
Prof & prof. King & King.💪
I have the feelings for this song😭😭it has taken me back to my childhood time when I went through thick and thin with my mum......😢😢😢
❤❤❤wasani wangu wa mda wote ndio hawa Prof na king ❤❤na mumeeleweka sana msg imefika sio kuimba amapiano bila ujumbe wowote much respect legends
Much respect legend❤
Noma,Prof ni mgodi unaotembea kakutana King ni hatari,Calling✊
Hili ngoma asilimia kubwa yaongelelea maisha niliyopitia
Kaka alikiba tangu nianze sikiliza mzk maishan mwang had now naumr26 hakika maishan mwang nakupenda Sanaa kaka angu ww ndo msaan Wang kwa mda wote dunian I love My brother 🎉🎉🎉🎉🎉mungu akupe maisha merefuu my brother ❤❤❤❤
Alikiba still king of our hearts Professor Jay recognize it ❤❤❤
King Kiba jamani chorus iyi nzito kabisa ❤❤❤❤
Boonge la Ngoma mkubwa sauti yake imerejea kama zamani god is great
Bonge la Ngoma. Inanikumbusha ile ngoma ya Alikiba #Yatima
Mulemule Kaka Ila zote Ni kalii
❤❤❤❤nimeipendaaa sanaaa wafalme wa bongo fleva❤❤❤❤
Hivi nasikia kasharudi kwa sauti yake kama ilivyo zamani ongera sana baba mkuu
Tuliwoipenda hii ngoma tujuwane
Oya tupo
Prof Jay has a natural talent😊
👍👍👍 As in ... He does it so Well even Simba naturally Stays Out of His Way 😂😂😂
This is a living song ....listening to it so many times lets share this song ...lets do justice for it
hii ndio maana halisi ya kuwa kioo cha jamii
Moja ya ngoma Kali zimewahi kutolewa kwenye industry ya bongo kuhusu hustle za watu aisee ni hii
Congratulations big bro Prof Jay, Ali Kiba & Harmonize 👏🏿👏🏿👏🏿
Ukisikiliza Kwa umakini inafunza Kwa kweli
@@KasubiArexanderProfessor hajawahi kufel
❤❤❤❤king saut kama saut
Mzee wa mitulinga🔥🔥🔥
uishi maisha maref alikiba, professor J bado upo San mungu akujaalie nguv
Professor Jay,unakumbuka ulimwambia alikiba afute vumbi kiti,Leo amekuwa wakwanza kukusapoti . Thanks 🙏 my brother 👑 King kiba
It was just a punch line, pia Kiba na Prof wanafanya aina tofauti ya miziki,, hakumaanisha Kiba
Watu wanakumbukumbu mweeeh😂😂😂😂😂
Kwan ilikuaje nikumbushe ety😢
@@user-gx8gm7bi6z Kwenye wimbo wa Professor Jay unaoitwa 'KIBABE' kuna mstari unasema...
"Usiponiskia leo jua kesho narudi,,
Mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi,,"
Ngoma inayosema.futa fumbi.kiti Ile inamuhusu jamaa yule wa mji
Alikiba weeee kwa vocal hauna mpinzani Tz 😢 tu es un artiste qui chante avec émotion force à toi et longue car c'est l'Afrique qui gagne on est ensemble 🇨🇩 RDC ❤
Sjutii Kuwa Kings Music❤
🎉pr always fire
i missed this kind of melodies
Masikini jy nakuombea upate afya njema ili urudi barabara ni Mungu ni muweza wa yote Amina
Nc song congratulations 4 this 2 legend
Alikiba avec tes belles mélodies tu rends mon cœur fort j'aimerais ta belle musique pour toute ma vie suis congolais précisément dans la ville de Goma
❤+❤=❤❤ 😊😊
I think this Gina before kaka yangu hajaanza kuumwa ilikuw I nasubir iwe tu time#siku469
wimbo mkali sana,daah ujumbe mzito sanaaa
Mungu Awasaidie pia mungu mmpe maisha marefu king kiba
Big shout outs for staying to the basics of rap...old school vibes for life
I get sound of old school
I'm Proud Of You My Two Legend Good Meesage For Us We Appreciate Your Talent My 🤴Kings 🤴
Ngoma imeniliza sana hivi😢, imenikumbusha maisha ya kulelewa na mama wa kambo.
Watu weny roho safi
Alikiba hatariii Mungu akulinde na p jay
wimbo umenigusa sana ✊🇧🇮
Best song 2024
Nafanya kuirudia rudia hii nyimbo. Pamoja na ukongwe wao hawakuwai kufanya collabo na sasa wamekuja kuua kabisa 👏👏
Favorite songs 😍😢 wimbo wenye uzitowake jumbe mungu mwema professor back again kwenye utawala wako 🙏🙏👑🎵
Hit song
King wa hip hop akiwa na king wa bongo flava , wimbo mkubwa sn
Kiba you did it smart 👈😇
Jay you did it as a leader!
To me! You guys live longer ❤️
Much love from kenya 🇰🇪🔥♥️
The King 👑 kiba I like you too much
kiba na profesa noma sana
Utu kwenye UTU wake of course #KingKiba ana UTU sana. I salute you my brother #Professor_Jay
Legendary ft legend, old school on new version. What a song
Big up jay na kiba❤❤❤
Hii nyimbo nifaraja kwa wale wote tunao haso 🙏🙏🙏 eshima kwenu jy na ak
Legends Hiphop and Bongo flava ❤ always on top KingKiba Prof Jize
King kiba hii ndio style ya muziki niliyokupendea nayo, melody za hali ya juu, pia naskia back vocals vizur yaani hapa ali umefanya vizur mno
king king never disappointed
Hii chorus kali sana respect kiba ukuweka kinyongo ulikunjua roho
#Professor wa Bongo flavor ft #King wa Bongo flavor
Ukisikia msanii ni kioo cha jamii ndio hii.
Na kazi ya msanii ni mbili tu
1.KUBURUDISHA JAMII
2.KUELIMISHA JAMII
So ukisikiliza hii song UNAPATA ELIMU KUBWA na huwezi toka bure
Hivyo basi nikupongeze my big brother #ProfessorJay kwa ujumbe mzuri kwa jamii
Pia big up kwa my brother #AliKiba kolas tamu..
Sauti imerudi-king wa hiphop.
Mungu Mkuu Kweli.
Miamba wamekutana👏👏🔥🔥🔥🔥
Ngoma Kali xn wakongwe
Amen! Let keep sharing to others this motivation from king 👑 of bongo flave and King of Hip pop and legendary, flowers for them pls 🌹🌹💐💐🥀🥀🥀