Professor Jay Feat Harmonize - Yatapita (Official Music Video) Sms 8499592 to 15577 Vodacom Tz
Vložit
- čas přidán 20. 10. 2018
- #Yatapita #ProfessorJay #Harmonize
Yatapita by Professor Jay Feat Harmonize (C) 2018
''Sms 8499592 to 15577 Vodacom Tz''
YATAPITA OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
Written & Performed by: Professor Jay & Harmonize
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com | mxcartertz@gmail.com
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz - Hudba
Jaman mm mgen humu naomba msada wa like kama 200 tu
Keep it up konde na pro j
3g hyyhx hdhh truly rf z 2:05 😅the h 2:05 v 2:05 7bv vrhdcccchh rfdsf 😊cu😅c ?y7h?2i jfcxcgfc xxzo😅 2:05
BWHna ❤😄💐❤❤❤❤❤🙆🌴🕯️❤❤❤🕯️❤❤, ❤
L'Olimpia
Professor Jay amenileta hapa kwenye ngoma hii... Wacheni uchoyo wa likes. Naomba likes kama 50 hivi ila ukipenda kuzidishi usiogope #+254
Mi ni sharama kutoka Kenya ruiru hawawezani na nyinyi wako down pia
Sawa bwana
Nippool
Wagapi tupo hapa 2024
Here we are❤
🎉🎉🎉
tuko pamoja hapa
Mimi
Mimi apa
Jamani harmonizer kauwa samahanni japo like mbili tu
Kenya + 254 Tumeikubali....
Kama Umekubali imeipa Jamii Morale Kutia Watu Nguvu... Gonga Like...
Harmonize ft Proffesor Jay.🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali
Don't think the dream will pass away without despair and lead God before your life, Nice song big up professor ft harmonize gonga like za kutosha tuwatakie afya njema.
Nice song
Kweli
💥
🤟mwanaume htenks
Za nn
Kama bado unaskiza hi nyimbo ndani ya 2023 gonga like
Sijawahii pata like jamani, naombeni like zenu wapendwa🙏..
💃🕺🎶🎼
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿TZ
2021
Powasana
Hizi ndio nyimbo tunazotaka kuzisikia, nyimbo zinazoakisi maisha halisi ya mapambano katika usakaji wa riziki! well done Professor Jay... Hii ndio ngoma bora kwa mwaka 2018. Kama unakubaliana na mimi gonga like twende pamoja
Hili goma balaaa...... Naombe like ata mbili jmn, msininyime #yatapita tuuu 😥
Sawa
Nimekubali bro kz yk ni mzuli
ngoma iko juu
Makini sana
da
Kama bado unaangalia hiingoma mbaka leo 2023 kama mm dondosha like apo👍👍
Who is still listening to these legendary song in 2023?
wakwanza kucoment. jamani naombeni like 3 tu. uwiiiiiii tafathali jamani. yatapita tuuu
Yatapita
Yatapta
Iko 100
Ziko zaidi ya 100 sasa
Baracka Shirima hizi likes huwa mnaomba za nini
Walai # YATAPITA " oyoooo kama umerudia zaidi ya mara moja plz nipe lyk tujuwane.....
Kweli iyo jeshiiii halali tule kwa jasho... Acheni tu kupe like zetu jamani...
Siku moja profesa ungeambiwa kuwa sauti yako isingekuwa na Mamlaka kama mwanzo,huwenda ungebisha kwa kuwa hukuona sababu.
Lakini Sasa nadhani umeshuhudia uumbaji wa Mungu ukiendelea kwako,mambo makubwa ya wokovu yaliyo fanyika kwako ni alama ya upendo wa Mungu kwa wanadamu. Ubarikiwe,tunakupenda sana.
Gonga like kama umeikubali hii ngoma profesa legend na konde boy🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Nimelike kwa sabu yako @aish@
Nc
Aishamstin Bae vp mumy
unajua sana prof j 😁😁😁😁
kama umeangalia zaidi ya mara moja kama Mimi conga like twende sawa tumpe sapot wa Kunyumba uko juu kama Mwezi
Kama Bado Unaitazama Hii Ngoma 2024 Like Hapa Twende Sawa 🙏
Ngoma kama hii utaisikiliza ukiwa na wanao,siyo tu mapenzi au matusi. Hongera P Jay 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Like nne tu na mm nionkane jamani... Prof J 🤘🏿🤘🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Fransis Paris hizo
UKopoa sanaaa blaushabk tm
Fransis Paris sasa mbona zimefikia 100na zaidi Mara zinafika mia2 unafurahi unakufa
Ngoma Kali Sana salute mzee baba mh... Kiongozi wa binadam na wanyama mikumi....
Nani ankubaliana namm kuwa hiii ngoma no ngoma bora ya mwaka huuu bilia ubishi na pai harmonize kafanya kaz kubwa ktk hii ngoma na pia kwa mwaka huu zaid ya msaanii yeyotegonga like tujuane
Habil Saidi h
Sana.mtuwangu
True
2024 kama bado unauskiza huu wimbo gonga like tukisonga
Kama una mkubali jay gonga like hap wew❤❤
Wakenya ambao ni mashabiki wa professor Jay since akiwa hardblasters Crew hadi wa leo like here
Hatali sana jama namo
Proffessor jay... U inspired me since early 2000 nikiwa kinda sana na bado nipo naku support.. mungu akulinde na uzidi kuwa inspiration kwa jamii... ONELOVE MY NINJA
Sebastian Roswe huyu jamaa hajawi kosea
Good song ujumbe mzuri xaana tusekate tamaa yatapita
True Legend
Very nice song
Kma ulisha kutana na Mambo mengi Lakini kwa Jina La Mungu 🙏 Yalisha pita gonga Like apa
Ameni
Kama bado unaangalia hii ngoma gonga like tujuane
Phil tupo pamoja
Naangalia daily...
Tupo
Am in love wid the song indeed Tanzanians mnaweza Mimi mkenya nimewakubali kama wewe mtanzania gonga like apa mingi..mnaweza
Nimepitia kilicho imbwa nawe kama unaptia au umepitia kilicho imbwa gonga like hapa
Me ndo napitia
m sijawai pata like at moja husiku namda bando tunapita
Harmonize one of the most hardworking artists in TZ 🇹🇿 🇹🇿 The real definition of from rags to riches...... Big up👊👊
Showing love from kenya,,
Yatakwisha, aisee nipeni likes
+254 professor jay amepiga kuua
Nice
Yatapita ☹️☹️one day tuta fika insha allah ✊🏼
Dondosha like yako kama unakubal goma hiliiiii
2021 mpo mnao sikiliza hii ngoma kama mm tujuane 🇶🇦🥂
Harmonize ni mnoma tena sana but prof Jay ndio amenileta hapa. Nani mwingine..
Same here 👊
Mr blue noma pamoja na Fid q
Professor jay is a legend.
Mm
Nooomasana
Hivi ni mimi tuu narudia hivi hii video au tupo wengi!!!😉😉 kila mstari ni somo. #Yatapita
ata nami nipeni like ata moja jamani
@@lidialichad2719 😂😅😂 usijisikie mpweke nimekupa hako ka1. Ningekuwa na uwezo ingekupa hata vi3 🔥💥🔥
Mmmmmmmmmmmhhhhh me hii mara ya tano 😭😭
@@frankonlygod8711 safi sana🤗 ila naamini utaendelea tuu kuitazama
Kigali-Rwanda we are enjoy your beautiful melodie, we love u
Nawe uba wayumvishe
Aparty of beautiful melody this msg is🙏
Yes
@@haragakizajeanpaul1435 @Haragakiza
Yap nice melody
This song is keeping me going every day whenever I feel like giving up it gives me courage and I know I will achieve my goals much love from kenya ❤️❤️🙏🙏🔥🔥🔥🔥
Kama umegundua harmonize anasauti ya sotojo gonga like😂
Sina mengi ya ku comment ila vitendo vyake vyatosha kumkubali kama pia wewe wamkubali kweli kweli harmonize kijana mdogo lakini ana mambo mazito kabisa #Yatapita🔥💪👏
im from south sudan i love proffesor jay since i was 6years upto now........show some love to him
Dah!!! hamornizeee kuimba mapenz anapotea njia ila akiimba nyimboo za maisha ndo anatokelezea ata ile atarudiii nyimbo qaliii sanaaaa!! yaaan Uyu jamaaa
Oyooooooo yatapita wale wa prof jay like zenu zote hapa kama una changamoto na una amini yatapita nipe likes husipo like we mchawi
Jay anaweza🙏
@@brucerutayisire9411 daaa ebanaeee
Kila sku Dovico nachekwa sipati likes jamani nimewakosea nn ndgu zangu plz
Dovico Christopher hahaa, wewe mkali
Wanaume wazma mnalilia likes, huo ni umamaaa
Nakubali sana very nice song
Nimeamini wewe ndio teacher konde kweli nakubali ngoma zinaishi masikioni kwetu
Get well sooner Prof! Praying for your quick recovery!
Professor Jay's music has been so consistent in the industry for long🎶🎶🐐🐐 Long Live Prof, Jay💯
xjawahi kupata like ata moja ila hamo ni fundi axee
Kwakwel hawa jamaa mafund san nakubar harmo &master j tbt
Rabashetz Ramsey safi
Braza jay kiikweli ngoma Kali sana tena sana ujumbe upo na unamaasisha tukaze tusikate tamaa katika maisha haya hata kijana alie kaa kiitikio shida yuko poa sana
Rabashetz Ramsey fundi haswa
Hiii kali
Ni kweli tunapitia shida Nyingi📝 ambazo zingine zinasababishwa Na watu Wenye roho MBAYA lakini jalali ametupa kibali tunazidi kuzipita Na zingine tushazipita🤑💯🇰🇪🌍Sasa Ni Mapito za Zamani Na bila wasiwasi tunakula mazao mema ingawaje Wenye chuki wapo tu ... Yatapita 💯🇰🇪🌍
Hii nyimbo ilikua ina ni motivate miaka 5 iliyopita kila nikifeli interview nilikua naplay huu wimbo ila sasa hivi imebaki history
Wewe harmonize sio MTU mzuri, wajipange sana kwa style hii wewe ndio shina
Ngoma kali sana Jay unazidi kuudhihirishia uma kuwa wewe ni mkongwe ktk mziki wetu
From Somalia proff is the greatest in Tanzania apana tambua Diamond na sisemi kwa chuki
Kazi iimesimama kazi kubwa hongereni sana hsa mdogo wangu Harmonize hujawah kosea pambana kijana
Mbunge +Mwana Music Professor Jay ,,,,M/mungu akikupa kakupa2 Hata cc 2we WANGA kiasi gani 2taishia majungu2 sasa Huyo Harmonize alivyojua kua anaimba na mbunge si Kwa MKORASI huo👂🎧.....#NyimboKONK💪sana
Msiponipa like. Yatapita tu😏😏
😂😂😂
Ngoma imetii
😂😂😂
Nyimbo imedondoshwa Siku ya birthday yangu. Like basi kunitakia heri
Nakubali kaka
Prof J wake wapite na like wa kindeboy tukimalizia
konde mi boy from kenya nipe likes hata mimi leo
Alie utamani wali wa mamalishe kama mm like hapa
Hii nyimbo haichoshi jamani gonga like kama unakubal
Kama bado unacheki mpaka 2020 like hapa
Bado tupo
Ukisikia hii nyimbo na umekata tamaa lzma unyanyuke na kuyaanza maisha kwa kutafta kwa bidii sana inakupa hope na ni mfano halisi wa maisha yetu waafrica tunakoanzia. Hii nizaidi ya zote duniani.
Zuhura Nkungu
Kwel
Wanangu tuungane kwa support 243, 254,255,naija...
Me pia nataka like tano tu woiye
Sending love from Rwanda 🇷🇼, wallah we will always miss this people.
Sijawahi pata like jmn afu kibaya nachekwa
Hata swala la mimi kukosa Like,Litapita tu 😢😢
clever phd Hahaha ushapata
🤣🤣
clever phd hahahaaaaa
hahaaaa
We're so proud of y'all
Push the Africa ahead of the world
East African musicians are doing great work
#the message from south Sudanese boy 🇯🇴
Ooh! Santa sana Commander Pro. Jay kwa michano mikali ya kutia nguvu. Ww n kioo kizuri sana katka jamii. Mungu akuzidishie kipajicho.
Ndo nimeingia now Naombeni like za Harmonize hapa
Gonga like hapa kama umeikubali ngoma hii kama mimi👊👊👊
Kila siku na mudae silali bado
kama ipo kuna siku itakujae ya halali nile kwa jasho ninani yupo 2024 june tarehe 30 tuseme yatapita
Kama yuko hapa 2023 nipe like❤😅
Kama tupo pamoja kwenye ngoma hii gonga likes
This guy is dope
hamisi hussein vp
Jay ..hua na kukubali phylosoph yako na uandishi wako....
,,kiki houston...BURUNDI
Wangapi tunasubiri wimbo wao mpya jameni, Konde ni mkali
Tafta harmonize ufanye naye wimbo mwingine, harmonize anajuwa sana aafu hapa kenya wanamsifia Sana.
naomben like za hawa wanaume nasi yatapita
Kama umeikubali video ya #Yàtapita gonga like
Yatapita💯
Creativity...💯
Sound flow.💯
Content......💯
Lines flow...💯
I luv this song..... very nice
kama huna ubaguzi naomba like zako
Tumemiss hz nyimbo sana...maana kila sku n mapenz tu........thank yu mzeeee kwa kulikumbuka hl
kama una mpenda prfsar jay click hapa chini
Professor J, the legend of Hip hop in our country we believe on him
Km umemuona. Valencia. Wa. Man united kwny boda boda. Gonga like.
All the way from New Years city I can’t believe legend can still be the best let’s have some like Tanzania 🇹🇿 this is dope
Micheal Brown TV hh
Micheal Brown TV ka
Aho
Kasidakiswahili
Professor Jay jana, leo na kesho.. Sensational artist ever grazed TZ music industry. Much respect. Harmonize kama vile wembe .. #goodmusic
#globalvibes
Much respect to gud music
Hii Ngoma iko na mafunzo mengi ya dunia....big up Harmonize na Jay
Kali sanaaaaaaaa jamani ata like tano jamanii
Kila mtu anataka comment yake tui like manina zenu nyinyi ndio mnatupa kazi tunaosoma comment zenye ujumbe acheni useng......ngoma kali bro since way back nakukubali kaka.
I came here for professor's strong message... This song has been my anthem since.
Professor Jay is my true legend in swahili rapper👏👌💪watching from Africa in Kenya🇰🇪 at Kilifi county
Hey Tanzanyiaa, am from Tunisia well done insperation song from this guy rap darassaClassic
kama unaamini harmonize ndio msanii mkali kwa sasa bongo angusha like na comment twende sambamba.............ovaaaah
Young Cabaiser hapana msanii mkali atabaki tu Profeser ndani ya Tz na sidhani kama kutatokea mwingine kama huyo juu wcb ni mapepe tu hamna lolote hapo
Oh good
kama mapepe ni kawahida tu kwa msanii hyo ni chuk bnafs na mtakoma harmonize nakukubali miaka 8000 kiwasheeee baba tunaendelea kukufatilia upo juu na unatutesa wengi tyu
prof jay ni baba yao east afrika gonga like hapa from 254
Professor Jay is an inspirational artist. I have been listening to his music since enzi za zali la mentali- he delivers his lyrics in the most poetic way.
You are such a blessing and an inspiration to the community.
Duh ur right bro.. true Hip Hop ni Medicine
Yap