@@silaskamau364 skiza bwana kamau Hua wakati Kila mtu alikua Ni mkali usiulize wachuja nafaka wagosi wa Kaya,Daz baba,Johny walker,ngwea nk sio kama sasa Ni wasafi tu lakini mtu kuanza sema eti ahead of us time niku Andika maneno maana waona watu waandika tu sasa hio head of tym akiambiwa aseme hata hajui
Siku chache zimebaki tumalize 2023 tuanze 2024 happy new year in advance wote mnaompenda professor jay tunamuombeya maisha marefu na Mungu amuvushe mwaka professor na kumponya kabisa 🎉🎉🎉
Furaha isiyo kifani ilifanyika bonge la party, watoto uswahilini walibeba wali kwenye mashati.kama wakubali kuwa haya mashairi yalienda shule gonga likes zote za prof.
Get well soon Kaka Joseph Haule. You are one of the greatest legends of East African Music. You have inspired many of today's popular artists in East Africa
Nani bado anaangalia hii ngoma 2023 kama mimi gonga like 👍 twende sawa
😈🔥⬅️🏃
Sisi hapa
April
April 2023
Tuko wengi
Kama unsisikiliza hii Ngoma 2024 gonga like ❤❤❤
❤
Mmm🎉
Ferooz ndo amefanya nmekuja kutafuta professor jay
Hatar
Kama umeiangalia 2024 gonga like❤
Nani bado anaangaria hii Ngoma 2024 kaka mm gonga like 🎉🎉
Bosi some time tunakumbuka ngoma kali za kitambo
Mimi red 😂
Prof Jay unleashed his lyrical prowess on this one...2024 and am still here jamming 🔥 🔥
🎉🎉🙌
Mm hap
Flow Iko chonjo
The way Swahili is difficult to rap in..... makes it look easy
Hii ndio the real BONGO flavour with wazee wa bongo...yaani haitawai isha ladha vizazi na vizazi...naomba like 1000 za mheshimiwa professor J
Inamafundisho mhim sana
Of cauz
Kam kawa
Kali sana
Za,nn
Wale wa 2006 highschool leavers nipeni like zenu,hii Ngoma iliheat,Hadi sahii 2024
tunao angalia hi ngoma 2024 tujuwane kwa like plzzzz
Tokea Kenya,wewe ni Jembe Kubwa.Sijawahi pata comment wala like!!!!!!
kweli sana alex mumo
few days to 2023 and this jam still rocking,a generation of Tanzania musician were just a Gem. the flow in poetry showed real talent
Si aty nini
True
Rich Gang
Dv
@@joasyeliya P
It's 20th February 2024, still fav song 💯 thanks Prof for this memorial hit song 🎉🙌
IM THERE WITH YOU 21/02/24
It's 2023. I still can't get over this jam. The bars. The flow. Eish! Memories 🔥
Kile chama cha wasoma comments Tanzania {UWAKOTA} embu tupieni like hapa niwatambue.
mwaka 2021 like hapa twende sawa . anaemjua vicky jaman anifahamishee.
Anaitwa nargis Mohammed
Tuko area, hii ngomaaa kali saaaana
Kuja nikupe namba yake
Kasha zeeka 🤣🤣🤣🤣🤣
Pamoja
Juma Nature killed the hook 🔥 .Hit like for him too man!
Nani bado anaangalia hii mgoma 2024 gonga like ❤❤
Who's listening this beautiful song in 2020? 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
am here dude
Dude kaz hili
Me
NAIROBIWEST NIGGA IN THA HOUSE!
Patrick Paticool p
Naomba like km una watch this video in 2020
Tena Ndugu yangu Professor Jay katoka mbali sana ya Mola hayafahamiki na binadamu.
Tupo pamoja oldies the best👍
🇺🇸🇰🇪 moto sana
nakpa like na kamessage
I still watching this song , i remember when thay was out ,i was like 13 years old ,now it's 17 years ago . Damn
2023❤....... This song will forever be there for our coming Generations..... Much respect.....
leo ni pasaka 2024 ngoma la kuishi nalo ❤😂🎉🎉🎉🎉🎉
Kama unacheki ngoma hii 2021 weka like yako hap
pa1
Hyo ngoma noma sana
Nakubali
Mimi nacheki saa hivi na ni 2022!!jay alikua fayaaa
Niko hapa 2022
This song reminds me when i met my wife in Uganda, we've now been married 12 years.
Zebede Zandale be
daaa broo umetishaaaa
Hongera Sana ssebo
wow Beautyful
Don Oldwell 2020, hope you are still together,
Nani anaamini kuwa hii ngoma ni noma adi sasa 2024 agonge like zangu apo❤😅😅😊
Ngoma Bado ya moto wale wa 2024 TU like apa
Who is listening to this in 2021🇰🇪🇰🇪
Am here
Here
Ngoma kali haizeeki
Together
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wangapi ambao wanasikia kibao ichi 2019????
Alikula kwa, machooooo tu
Mm hapa leo hii trh 7.4.2019
فجر الروشدي pamoja sana.
Nipo hapa
Mm hapa
I just love this song 2024 here in Kenya and still loving it many years after it's release,if you like it just like it
2024 na tuko hapa.Gonga like hapa kama tuko pamoja
Prof Jay was ahead of time, the guy is a great poet, our generation will never see a great hip hop artist better than jay.
Oh please!! ... ahead of time?! everybody was hot in that tym
He has proved with time that he was a rare talent!
@@almeidhalu3238 some truth here. Bongo music was at its best then
@@silaskamau364 skiza bwana kamau Hua wakati Kila mtu alikua Ni mkali usiulize wachuja nafaka wagosi wa Kaya,Daz baba,Johny walker,ngwea nk sio kama sasa Ni wasafi tu lakini mtu kuanza sema eti ahead of us time niku Andika maneno maana waona watu waandika tu sasa hio head of tym akiambiwa aseme hata hajui
@@almeidhalu3238 I will say it again here for the record, Prof Jay was ahead of time and there is nothing you can do about it, its my opinion.
2040 if u came here know that this song is still a banger. We enjoyed it when it was released and forever it will remain a big tune
Professor Jay is a lyrical giant, you make East Africa proud.
From kericho Kenya 🇰🇪 ma favorite......pongezi kw kazi nzuri.......
I remember watching this song at Channel 5 ... Oh my ... 2020 still feeling this. Music made to last 🇰🇪💯
Channel ngofo hahaha i miss those old days
Channel 5 was my favourite
It's now known as EATV
2021 still representing
Am here for authentic stuff only
What a composition i say
Together
🔥🔥🔥🔥 on
2024 kwa mbigo🎉i used to hear this song when i was young❤ such a throw back❤
Siku chache zimebaki tumalize 2023 tuanze 2024 happy new year in advance wote mnaompenda professor jay tunamuombeya maisha marefu na Mungu amuvushe mwaka professor na kumponya kabisa 🎉🎉🎉
Siku hizi mentali akipata zali anaitwa benten 😂😂😂 salute kwa Mheshimiwa Professor Jay bado tuangalia mziki mzuri 3.09.2018
😂😂😂
Ha ha ha ha ...
Eti benten....hahahahahahaha
😀😀😀😀😀 mbovu sina ally chilinga umenichechesha sana
😂😂😂😂😒😊
Kidume nang'aa wanajigonga shenzi type (shenzi type) gonga like kama bado waicheck 2019
Furaha isiyo kifani ilifanyika bonge la party, watoto uswahilini walibeba wali kwenye mashati.kama wakubali kuwa haya mashairi yalienda shule gonga likes zote za prof.
Kweli baba ni kajala etiiiiii...kongowe dada maua kwake❣️
Potelea mbali uchawi hauendi kwa mentali wangap bdo tunaskiza mziki huu mzuri 2018
mimi hhahhaha
Bado uko poa sana
Kazi nzuri
2019 faza bado unabamba 🔥
2019
Kama utaendelea check ngoma hii 2022, nipe like kwa mara ya kwanza.
Nani anaicheki hii ngoma baada ya interview ya vicky pale ticktok ❤❤❤
few days to 2024 still watching this everlasting song
JUMA NATURE killed the hook man!And what a lyrical storyteller Proff JAY is!
Juma killed it,,,🙏🙏
Ooh yeah Story teller Jay is and will always be precise story teller
Storytelling at its best🙌🔥🔥🔥
From Nairobi, Kenya.
This is a legendary and timeless track.
Professor Jay naye Juma Nature ni ma gwiji wa muziki wa kizazi kipya.
2024 bado na enjoy hili dude
Unforgetable hit
Hello 2021!!!!! It's our tradition to comeback to this every once in a while big up Pf.🤜🏾🤛🏾
Makes me flash back the days of EATV channel 5, Nairobi. Classic and nostalgic memories. 🇺🇸🇰🇪
surely this brings back such sweet memories
Nani kamuona diamond akicheka hpo
EATV was🔥🔥
This is one in a million hit from one in a zillion poet singer, song writer & a public servant. ❤❤❤
Big Jay!! As Jay jnr you always be ma legend when it comes to bongo music. ...2024 and still on ma top chat. Much respect from kenya 🇰🇪
Who else still listening 🎧 to this beautiful song more love to pro jay 🇹🇿🇿🇲🇳🇦🇿🇦🇿🇼🌎💜💖
Ambao hawamjua huyu Dada ñi Nan mpaka leo na song wanaisikiliza mpaka kesho gonga like zako hapa
Inaumiza sana
I fell in love with this song ever since i was like 7 yrs old now am 25 and still it remains in my heart
Yaani nimeangalia hii ngoma tena baada ya kujua sauti ya kike inayosikika hapo ni kajala wee hatarii kajala shika maua yako🎉🎉🎉🎉🎉like jamn twende sawa
i am a camerounian and i like this song . used to hear it 10 years back when was a teenager and already loved . big up to you guys
🤛
Paul piya
U don't even understand Swahili 😂 why would u waste your time to listen to this song
@@gnarlyscouser470😂😂😂😂🤭
@@gnarlyscouser470comment ya kishamba kweli, wabongo sisi ni wapumbaf sana
Hii ngoma haitachuja miaka 1000 wangapi watakubaliana na mimi ngonga like twende sawa .
Knoma noma
Undead song I will lesten to this track till my end ,. Ukiwa bado unasikiliza hi 2023 plz weka like
Tunao iangalia hii hit song ya karine tujuane kwa like za kutosha
Kama unaiangalia iiiii ngoma 2020 gonga like
Who's still listening in 2020 while corona virus is outside stay home and be save momorise of Mombasa old is always a gold greeting from Norway 🖐🏾
Nanini kama GS Bacha balesa mwaka Huu wa 2024
Apa mpaka 2026 ngoma nado itaendelea kuwa Kali tu Kwa uwezo wa Mungu
No artist in East Africa can do sick hooks like Juma Nature.. Love from +254 #2020
Feerooz
@@benjaminmangheni7506 yes always ferooz
Watching from the Congo 🇨🇩
Much respect for the Prof Jay and the whole Bongo music. Love you my people
East Africa iconic those days .we miss lyrics like this .big up professor and nature
Professor Jay was one of my favorite rappers from Tz always telling stories in those raps😅. Love from kenya🇰🇪
It's 2021, still listening 🎧 this hit song, kweli zali🤣🤣
hii ni moja ya song yenye creativity kubwa sana
Jamani irudiliwe waweke prof ft kajala😂😂😂😂😂 mbwa sisi imetoboka siri kajala eshima kwako kwakutunza siri
Nargis kanileta tena hapa ❤30/6/2023 Mbunge Wangu jimbo la mikumi🥰🥰🥰🥰
2022 am still here bcoz i love this guy.THE RAPPER TURNED POLITICIAN
2020/2 nani yupo anaangalia???
Watu wa uswahilini wakadai unatumia ndumba walai 😂😂😂
3d July 2023
❤❤❤❤❤
Tunao cheki hii ngoma mwaka 2024 tujuane kwa like💓💗
Oh my👏....Professor Jay is a true swahili rapper💪{"watching from Africa in Kenya🇰🇪}HONGERA sana Tanzania🤝🙏
Kama unamkubali Professor J gonga like twende sawa (uchawi hauendi kwa mental)
Mbarisaana sauti yaviki ninoma sana yani iligoma nawazaga mengi sana mauwayote pokea j w j & vici 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Mungu akupe afya proff jizee ... InshaAllah utasmama tena ... Amin
HILI ZALI TULIACHE TYU AISEE
SHIKAMOO MH.JOSEPH HAULE
2019 NAIANGALIA HII NGOMA
Joseph haule lead vocals, juma kassim a.k.a nature lead chorus and p funk was on the mixing board! They killed totally
100000%
Yu forget kajala
@@eidbakari7980 kajala masanja
Acha ku uliza who's still Listening
We never Left❤
Febr 2024 nimerudi apa kucheki hii ngoma aysee hawa jamaa mwanzo waliweza sana. . Saiv matusi tu. Nani mwingine bado anaichungulia hii ngoma.
Get well soon Kaka Joseph Haule. You are one of the greatest legends of East African Music. You have inspired many of today's popular artists in East Africa
2022💖
Heshima kwa Prof J p funk majani na watanzania bomba la hit.
Yani ndio leo nafahamu kuwa hiyo sauti ya demu kwenye hii Ngoma ni ya Kajala masanja, Duuh hongera zake Mama Paula
Gonga like Kama 2024 unaitazama hii ngoma
Old is Gold. .lilikua Bonge la wimbo. .when music was alive
Prof Jay is such a story teller in his songs
Nani anaangalia hii ngoma 2024 gonga like tuwe wote
Kama unaiangalia hii ngoma siku ya leo gonga like
hatari mzee mida hii nasikliza hii ngoma nakubali xana gonga like kama tupo pamoja
Who's listening this beautiful song in 2021? am the first
2024 bado tunacheza zali za mentali🔥🔥🔥🔥
Kama bado uko hapa 2024 gonga like 👍
Kama bado una ukubali uwimbo wa wa henga gonga like wa henga wote fanyeni kama mna jikuna ivi alafu una like
Juma nature is the true icon of bongo fleva..
Gonga like kama umejua 2023 kwenye huu wimbo kuna sauti ya Kajala 😂😂😂😂
Tulokuja baada ya kujua ni saut ya kajala tuweke like
Mamae, this was one of my favorite song in 2003, had to listen it all long day, J you actually killed it! Still listening it in Dec 2020