Professor Jay - Kikao cha dharura (Official Audio)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 10. 2018
  • #MapinduziHalisi #ProfessorJay
  • Hudba

Komentáře • 358

  • @daudaloyce1891
    @daudaloyce1891 Před 4 lety +67

    Kimsingi nimesongwa na haka ka muda, nadhani mkichagua tena nitatekeleza kile ninachosema, 😁😁😁😁😁 gonga like kama unamkubali huyu legendary

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 Před 4 měsíci +8

    Nimefika hapa mwaka huu 2024 2025...

  • @david88.92
    @david88.92 Před 4 lety +233

    Kama Hiii ngoma umeisikiliza 2020 tia like 😄

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 Před 3 lety +18

    Kama unampenda professor j gonga like

  • @Iman675
    @Iman675 Před rokem +6

    2023 ,huu wimbo na wakati wa Sasa katika serikali ya kenya😢

  • @patrickmugo7249
    @patrickmugo7249 Před měsícem +4

    2024 and still lazima nisikilize ndio mzee na kikao cha dharura 😅😂

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 Před 3 lety +16

    Kwa wanaoiskiliza hiingoma kipindi hiki cha uchaguzi kandamiza ma like teleee

  • @peterkutoh3699
    @peterkutoh3699 Před 4 lety +105

    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura
    Prof Jay:
    Nawashukuru sana wananchi kwa kweza kunipa kura
    Nashangaa nimeitwa ghafla kwenye kikao cha dharula
    Kikao kinaashiria kina maswali juu yangu
    Hii inatokana na ndiyo mzee na ahadi zangu..
    Naona watu ni wengi wananchi walio na maana
    Najaribu kutafakari ni nini kinawachanganya!!
    Nipo tayari kujibu maswali yenu zamu kwa zamu
    Watakao uliza maswali na ningependa niwafahamu
    Swali:
    ..Naitwa sajent Byemero kwa niaba ya jeshi la polisi
    Nilikuwa nauliza zile helikopta zetu vipi?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Nafikiria kwanza kuanzisha chuo cha marubani
    Vinginevyo mtapata ajali nyingi sana angani.
    Baskeli hamjui kuendesha helikopta mtaendeshaje
    Kila mtu aendeshe yake huko angani itakuwaje?
    Swali:
    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta
    Na siku zinayoyoma tu mbona haujayaleta ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Wakulima mngeendelea tu kutumia jembe la mkono
    Serikali haina hela bajeti imefika kikomo
    Naona kilimo cha mkono kiniendelea vizuri
    Jamani kazeni mikono endeleeni kukaza misuli
    KIITIKIO
    Wananchi tupo pamoja hapo. (siyo mzeeeeeee)
    Watanzania tunaerewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Washika dau na wapiga kura pale (siyo mzeeeeeee)
    Eeehh: siyo mzee....eti, (siyo mzeeeeeee)
    Wakulima tupo pamoja pale, (siyo mzeeeeeee)
    Wanafunzi tunaelewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Mabahamedi na mapolisi pale (siyo mzeeeeeee)
    VERSE 2
    Prof Jay:
    Mabaaamedi ondoeni hofu kilio chenu nimekisikia
    Ma benzi yenu yapo bandarini tayari yameshawadia
    Nimemchagua kiranja ili anipe idadi yenu
    Niwape funguo zenu muondoke na magari yenu.
    Swali:
    Ulituahidi utatujengea barabara tano tano juu na chini
    Hizo zote hatutaki tunataka moja tu ardhini
    Kila siku tunapita barabara zinakuwa mbaya
    Umeyafumbia macho mheshimiwa huoni haya?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Barabara ya makwekwe nimesha imwaga kifusi
    Baada ya wiki mbili itakuwa safi kama urusi
    Makandarasi wanafanya kazi kutoka china na madagascar
    Kuhusu vibarabara naomba muondoe shaka.
    Swali:
    Eeh vipi mzee mabomba kutoa maji na maziwa nchi nzima ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Jamani naomba muulize maswali ya utu uzima
    Mabomba kutoa maji na maziwa haiwezekani
    Mlinukuu vibaya nasisitiza haiwezekani
    Swali:
    Mzee hali ni mbaya si tungegawana vya kwako?
    Kwenye kampeni zako si ilikuwa moja ya ahadi zako ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Eeehh? kugawana vya kwangu hilo swala litakuwa gumu
    Familia itanitazama ebo? nina majukumu
    Imeandikwa kila mtu atabeba msalaba wake
    Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
    Mbona mnaniuliza maswali mengi kunikomoa
    Jamani watanzania tunajenga tunabomoa
    RUDIA KIITIKIO x2
    VERSE :3
    Prof Jay:
    Wafanyakazi wa serikalini sasa nyinyi magari ya nini?
    Daladala chungu mzima mnaweza kuwahi kazini
    Nasema mnapenda sana starehe kuliko kazi
    Na hiyo ndio sababu mnaharibu hiki kizazi.
    Wanafunzi niliwahidi mtafanyia practical mwezini
    Kabla ya kupeleka mi nilifanya utafiti
    Nimengundua huko mwezini kweli kuna baridi sana
    Na pia kunavitisho kuwepo kambi za osama
    Mkinichngua tena mtakwenda huko mapema
    Nanita tekeleza kila neno ninalo sema
    Sema nimesongwa na haka kamuda
    Mkiniongezea muda kila kitu babu kubwa
    Wengine kimya na maswali yamepungua
    Yeyote mwenye swali ningependa kumtambua.
    Naona mnanong'ona na wengi mmekunja sura
    Hii inaonyesha mmeridhika kunipa kura
    Nadhani ndugu zangu tuko pamoja...... (aagh wapi)
    Jamani tupunguzeni jazba basi kidogo...... (hatutaki)
    Sasa watanzania mbona mnaazisha vurugu
    Nadhani mmesahau watanzania wote ni ndugu
    Babu Ayoub:
    Eeeh? jamani nasema hivi kikao kimeahirishwa
    Jamani maafande..... Afande miraj.... Afande mzafalu,
    afande nani Gondwe njooni mtusaidie huku.

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 Před 2 lety +24

    2022 minus 2 still feeling the hit. Legend

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Před 5 lety +46

    Hii imenifanya nikumbuke maisha ya zamani duuu!! Bongo frava umeitoa mbali sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻.

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 Před 2 lety +24

    When music was composed by the taleted musician as opposed today’s rubbish. Reminds me of my high school days

  • @yusufushabani691
    @yusufushabani691 Před 6 měsíci +3

    2024 here
    Hivi Babu Ayubu alipotelea wapi?

  • @chalimsupa6603
    @chalimsupa6603 Před 3 lety +10

    hii wimbo inachekesha sana... ahsante professor Jay! wamekuzoea

  • @abdifatahabdullahi729
    @abdifatahabdullahi729 Před 3 lety +23

    The relevance of this song on Kenyan political context. Mnakumbuka stadiums, free wifi, etc nothing came of it. Prof J will remain one of the best rapper ever.

    • @PembaImani
      @PembaImani Před 2 lety +1

      Tablets for school going kids, guaranteed paid internships for university graduates, universal health care, big 4 agenda oh noo...😭😭. Ebo! What a scam!

    • @biggiesmalls5050
      @biggiesmalls5050 Před 8 měsíci

      This song is a living reference to Kenya's political class

    • @isaacquesney2732
      @isaacquesney2732 Před 5 měsíci

      Prof's song highlights the current situation in Kenya. The hustler government resonates with what Prof says in this song.

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 Před 11 měsíci +8

    This guy is so accurate in voicing for the common citizens I wish tz would give him more chances on the legislative arena.

  • @jamesomondi4757
    @jamesomondi4757 Před 3 lety +17

    Tanzanian icon...Respect sir🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @MG-wx8yx
    @MG-wx8yx Před 3 lety +11

    Kama huielewi hii ngoma, basi pumzika kidogo, kichwa yako itakuwa haiko sawa! Rudi tena baadae.
    2021 and still like yesterday.

  • @maulidrehani
    @maulidrehani Před 5 lety +11

    Msanii wangu wa muda wote...mzee wa mitulinga

  • @NabakiZanzibar
    @NabakiZanzibar Před 2 lety +10

    Tujuane ambao bado tunaukubari huu wimbo mpaka sasa! #2022 #GYPSY
    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura...Life time song.

  • @eddynando2522
    @eddynando2522 Před 5 lety +25

    Living legend !! he prophesied of being an elected member of parliament now it has come to pass..... 2019 bado wimbo unahit

  • @manisule7668
    @manisule7668 Před 5 lety +10

    Ukiskia prophecy ndio hii ulijua utakua kiongozi na mungu amekujalia big up sana mkubwa

  • @karanjakiarii6238
    @karanjakiarii6238 Před 3 lety +10

    This was a true prophecy. That you were elected .. . and later.. maybe watu wakakwambia 'sio mzee'

  • @petermuma1582
    @petermuma1582 Před rokem +11

    This guy is one of the best brains in music I have looked for this song since 2008. Prof J the legend in living

  • @manassehjoseph3740
    @manassehjoseph3740 Před 4 lety +12

    Maisha in jinsi uishivyo ulijiaminisha Leo umefanikiwa good,

  • @FranklinFranklin-ux7gq
    @FranklinFranklin-ux7gq Před 14 dny +1

    This song belong to our president

  • @Divine_Destiny93
    @Divine_Destiny93 Před 10 měsíci +4

    Ruto government amplified by two songs... first Ndio mzee and Kikao cha dharura later all by Prof Jay..... Kweli usanii kioo cha jamii.... This song was released in 2004/2005 and its 2023 and it reflects perfect with kenyan economy and government at the moment..... 😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid Před 2 lety +3

    tuachane na diamond huyu mwamba wa bongo records big legendary

  • @mauriceogola9243
    @mauriceogola9243 Před 5 lety +25

    MC mkubwa sana . Nakukubali Eminen wa Africa

  • @guyokorma9211
    @guyokorma9211 Před rokem +6

    Prof Jay among the top prolific legend 🙌

  • @ellymwitakichonge8416
    @ellymwitakichonge8416 Před 5 lety +35

    Safi sana ,,mzeee Wa ndio mzeee umekuja kivingine gonga like hapa kama umemuelewa huyu jamaa na bonge la creativity,,

  • @kevinevans9923
    @kevinevans9923 Před 3 lety +4

    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta,nasiku zinayoyoma tu mbona hujahawajaletaa..loved this vibe,much love from 254 ❤️❤️❤️❤️

  • @johngachuhi4776
    @johngachuhi4776 Před 4 lety +20

    Tanzania finest ..am from kenya

  • @savimbialex8452
    @savimbialex8452 Před 5 lety +15

    Proff j zee...wametulinga...mti mkavu....your my legend...I will always love your music

  • @davidkojo9525
    @davidkojo9525 Před 10 měsíci +2

    Sometimes it feels like Prof Jay understood the Kenyan political state inside out. But it seems, politicians are the same everywhere. Kazi safi sana hii.

  • @delgalshan6318
    @delgalshan6318 Před 29 dny

    2024 na hali ya nchi ndo ilivyoo😂

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Před rokem +2

    Hip-hop na reggae ndo mziki wa kijamii

  • @mussalugete5480
    @mussalugete5480 Před 10 měsíci +1

    Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako Ndugu Mheshimiwa Joseph Leonard Haule

  • @fedrickwilliam1721
    @fedrickwilliam1721 Před 3 lety +4

    PROFESSOR JAY FOR PRESIDENT 2025

  • @yonarashidimbwambo2299
    @yonarashidimbwambo2299 Před 4 lety +4

    Nafurahia sana nyimbo za huyu mwamba

  • @yahyabakari4000
    @yahyabakari4000 Před 3 lety +2

    Mbona kama hizi nyimbo ulijitabilia hatima Yako kwenye Siasa Prof Jay 😢😢😢😢

  • @weezypaker7941
    @weezypaker7941 Před 3 lety +4

    I can never get enough of Jay and I don't even speak swahilli nut I understand the most but I wish can understand it all do beautiful

  • @butchaureprisioneiro5873
    @butchaureprisioneiro5873 Před 3 lety +6

    I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 Před 29 dny

    Classic classic classic song, nyimbo zinazoishi ... ⚘🌷🌹⚘🌷🌹🥀🌹🥀🌷⚘⚘🌷🌷🌺🌺🌺🌺🥀🥀🌹🌹...Chukua Maua yako Prof.Jay, Stay blessed.

  • @genosumaye140
    @genosumaye140 Před 2 lety +2

    Tunakutakia afya njema bro mungu ni mwema kila kitu kitakaa Sawa 🙏

  • @kiokomutua3209
    @kiokomutua3209 Před 5 lety +6

    Proff Jay had the so much talked about dream...EAfrica

  • @kevyprimus5859
    @kevyprimus5859 Před 5 lety +4

    yaani huu wimbo ni applicable kwenyew ishu za 2018 kabisaaa 🙌🙌🙌🙌

  • @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij
    @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij Před 7 měsíci +1

    This songs is masterpiece reflection of today's politicians..example being kenya

  • @vickyshio8732
    @vickyshio8732 Před 4 lety +5

    Kichwa kingne ich jaman. Nan ako hapa 2020??

  • @miriamdaniel3415
    @miriamdaniel3415 Před 5 lety +17

    hali mbaya tugawane vyakwako

  • @user-tl1du5jl8j
    @user-tl1du5jl8j Před 8 měsíci +1

    2023..still listeing from kenya much lov pr jay

  • @Narratoroflovestories
    @Narratoroflovestories Před rokem +1

    Dah nilikuwa naskiliza hii nyimbo nikiwa mdogo sna😊😊😊

  • @mmunjaru
    @mmunjaru Před rokem +1

    2023...Reminds me of the empty blanket promises made to Kenyans in 2022

  • @arshavine0
    @arshavine0 Před 2 lety +2

    Continuation of song" 𝘯𝘥𝘪𝘺𝘰 𝘮𝘻𝘦𝘦" 2022 and still listening to this legend💯......kenyans vote wisley professor Wajacoyah afadhali can change our country August 9th vote wisely

  • @fremmangyemo200
    @fremmangyemo200 Před 5 měsíci

    Mpaka Sasa Nafata Iyi Song ! Kazeni Msuli Vijana. Bomba zakutowa Maji Na Maziwa. Que Dieu te bénisse Prof J Légende Vivante

  • @staralive9260
    @staralive9260 Před 2 lety +1

    Magufuli alikuwa anampenda sana Sugu! Sema tu maslahi ya Chadema ndiyo yaliyomuweka kando Pro. Jay tokea zamani.!!

  • @georgeprince7597
    @georgeprince7597 Před 5 lety +15

    I been looking for this song for long time finally you posted thanks a lot Mzee

  • @rashidmsengwa.4789
    @rashidmsengwa.4789 Před 5 lety +10

    #arijitabilia ivi sasa kiongoz wa mikumi.... daa" life baana🙂

  • @PeyaMutombo-nj5ri
    @PeyaMutombo-nj5ri Před 11 měsíci +2

    Cette chanson m'a trop fait du bien vraiment

  • @hezbonokoth5013
    @hezbonokoth5013 Před rokem +8

    I was raised by these legends, music was pure talented content. 2023 still a reflection of future

  • @coldmama1714
    @coldmama1714 Před 2 lety +1

    Ma producers wazamani wslikua na talent kweli

  • @ErastoKavishe
    @ErastoKavishe Před 2 měsíci

    Ebwana noma

  • @mettanahonyo3345
    @mettanahonyo3345 Před rokem +2

    Living legend 💪

  • @namieokapi9500
    @namieokapi9500 Před 4 lety +3

    Namkubali P jay still number one in Tanzania 🔥🔥🔥

  • @omwamiofficialpage4913
    @omwamiofficialpage4913 Před 4 lety +2

    Eeeish proooof , zaidi ya noma yaani, mkali wa mistari, hipo, hop Kali sana afro pop, ya kikweli 2020

  • @seniorminor3071
    @seniorminor3071 Před 4 měsíci

    my all time legend 💪🏾

  • @20lutebeatz
    @20lutebeatz Před 3 lety +6

    I remember I bought this album that time I was too young

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 Před 11 měsíci +2

    This guy is so articulate in voicing for the common citizens I 4:04 4:05 4:05 4:06 wish tz would give him more chances on the legislative arena.

  • @daudisimwinga1324
    @daudisimwinga1324 Před 5 lety +3

    I wish pro jay atupe nyimbo moja inayozungumzia hali halisi ya kisiasa tz

  • @jolamboi8842
    @jolamboi8842 Před 5 lety +2

    Iyo nyimbo daaah!! Kitambo sana

  • @tabibuoptimist-kenya5335
    @tabibuoptimist-kenya5335 Před 5 lety +3

    ulishatabiri, na sasa unaishi ndoto yako. Big up

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před 3 lety +1

    Mwana hop anaepaswa heshima ni wew. Hukuan did q ,joh makin wala nn

  • @dylangivens17
    @dylangivens17 Před 2 lety +3

    My all time favorite Bongo artist.
    In 2022 May and still feeling the same hit as 2004

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 Před 5 lety +20

    Baskeli hujui kuendesha helicopter utaendeshaje 😂😂😂 back in high scul 2002-3-4-5 daah

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 Před 3 lety

    Sina shida na ww Proj j Mungu akupe ushindi japo mm ni ccm nakukubali

  • @ErickMwendwa-md2cz
    @ErickMwendwa-md2cz Před 2 měsíci

    Wa 2024 like hapa🎉🎉🎉

  • @mtunecessary
    @mtunecessary Před 5 lety +9

    Proffjize is back at it again... Lyrics zinashika sana
    #KisumuPresident

  • @edgartv3322
    @edgartv3322 Před 7 měsíci +5

    Dedication to William Ruto and his hustler supporters

  • @dishangib
    @dishangib Před rokem +1

    Oldskool Classic Hit 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @elvisngosia215
    @elvisngosia215 Před 8 měsíci +1

    This song has reminded me Kenya Kwanza promises Ruto promised kenyans heaven on earth, its now very tough 😂😂😂

  • @brownmwaibole8414
    @brownmwaibole8414 Před 5 lety +4

    Baba so Kwa utawala huu

  • @sylivesterkunbert8277
    @sylivesterkunbert8277 Před 5 lety +5

    Daaa kitambo sana but mistari yako mpaka sasa ni hot

  • @samsonmgeta2345
    @samsonmgeta2345 Před 4 lety +1

    Shikamoo professor afande mzafaruuuuuu

  • @chimbaonline1418
    @chimbaonline1418 Před 4 lety +1

    Jamaa uliona mbal asee

  • @johnnoel5849
    @johnnoel5849 Před 4 lety +3

    2020 Bado inafanya vzur gonga like km na ww unaisikilza bado

  • @user-jl1cc2mr6y
    @user-jl1cc2mr6y Před 6 měsíci

    Aiseee hii ngoma ilishika vibaya❤❤❤

  • @castronicodem1539
    @castronicodem1539 Před 3 lety +1

    Good song. Nakukubali jay

  • @ajcreativebrand4921
    @ajcreativebrand4921 Před 5 lety +6

    Kitambo hadi raha

  • @basomakivodo3516
    @basomakivodo3516 Před 4 lety +1

    Hiyi ngoma kilasiku Inakuwaga Mpya Kwangu Jamanii

  • @oirishgervas6603
    @oirishgervas6603 Před 5 měsíci +1

    2024 but still watching

  • @MOchieng85
    @MOchieng85 Před 2 lety +5

    Jina lako PROFESSOR linakufaa na hadhi yako vile vile, na nina uhakika itachukuwa karne(centuries) nyingi sana, pengine hatapatikana mwenye kukung'atua kwa kiti chako cha Ufalme, kwa maana wewe ndiwe!!! Mungu akuzidishie maisha marefu na afya nzuri tu.

  • @samwelelias1532
    @samwelelias1532 Před 4 lety +1

    Asnte kaka mkuu wa hii bongo flava kama tuko pamoja na wewe gonga like hapa twende saws

  • @barakakimaro5135
    @barakakimaro5135 Před 5 lety +6

    swafi

  • @dominiquebirler7031
    @dominiquebirler7031 Před 3 lety +3

    Wakenya bado tupo hapa 2020🇰🇪🇰🇪

  • @ramamkoko3572
    @ramamkoko3572 Před 5 lety +2

    God is great !Bro sasa hv ni MH. keep moving #MIKUMI standup

  • @opendoorspoutryfarm309
    @opendoorspoutryfarm309 Před 4 lety +3

    wangapi bado tunaitazama iyi ngoma adi 2021 sasa tujuane

  • @denniswambugu4219
    @denniswambugu4219 Před 3 lety +7

    Real poetry.......

  • @titusofficiall2926
    @titusofficiall2926 Před 5 lety +6

    #Legendary 🔥🔥🔥👊

  • @ramafrica9016
    @ramafrica9016 Před 3 lety

    Kazi nzuri,japo kitambo lakini bado ina heat

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 Před 2 lety +1

    Mzee wa bongo

  • @robertmabu9289
    @robertmabu9289 Před 4 lety

    Sio mzee dah bro kweliii we proffesor big up sanaaa mhe.