my colleaguemate hujawahi tuangusha, hakika wewe na Mumeo Mkasa mtabaki kuwa juu. Mungu awabariki na Daima awajalie upendo na maisha marefu ili mzidi kuitangaza injili Kwa Watu wote.
From Kenya,I love this family,i can't stay for one day without watching their songs,they are blessings to me en my whole life,may Almighty God bless you the Mukhasa's
my colleaguemate hujawahi tuangusha, hakika wewe na Mumeo Mkasa mtabaki kuwa juu. Mungu awabariki na Daima awajalie upendo na maisha marefu ili mzidi kuitangaza injili Kwa Watu wote.
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu
jaman mukasa family barikiwa
Wimbo nzuri sana
daima huwa mnanifanya nimuone Mungu ktk nyakati zote hakika nawapenda upeo
Hongeren sana kwa uinjilishaji Mungu awabariki
💓💖💖kwani akuna audio ya hii song
Mukasa inatosha maana hata mungu anajua kama unakipaji duh
Mungu awalinde na kuwainua viwango vingine pia awajaze utukufu wake nainuliwa sana na uimbaji wenu barikiwa sana sana
Baraka za Mungu na awabariki sana awajalie afya njema kwa ajili ya sifa na shukurani kwa Mungu kwa kutumia Karama ya neno kwa njia ya kusifu
Uko juu ,
Nimeupenda mno huu wimboo
From Kenya,I love this family,i can't stay for one day without watching their songs,they are blessings to me en my whole life,may Almighty God bless you the Mukhasa's
Familia iyobarikiwa na kuimba,Mungu azidi kuwabariki.nawapenda mnooooo
Haya nami nimerudi tena
Wimbo bora mno.. Baraka tele tele....
congrants mukasa
Mungu awape maisha marefu ili tuzidi kubarikiwa na kazi zenu
familia takatifu hingera mwalimu mukasa kwa kipaji mlichopewa
Wimbo huu... hata baada ya miaka tatu bado nakupenda sana. Kazi nzuri sana.