Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Nakubali sana kazi zenu naombeni like Tano jamani
Jamani tumesubiri Kwaham sana mashabiki zenu tunaipenda kazi zenu naamini mtapiga hatua kwa lengo mnalo hitaji God bless you guys..🙏🙏
Dah!!! Niliisubili sana
🔥🔥🔥🔥🔥 sana nzuri sana naagaria kutoka Zambia
Nimeusubr kwa nguvu zote and wao it's amazing hii kitu bro ❤❤❤
Mungu awabariki kwa kutuletea series yetu pendwa yenye mafundisho....Hakika mmejua kunifurahisha🙏🙏🐥
Kwaheshima ya hii muv naaza kuangalia sehem ya 7 kwanza ndio niendereNimeisubili sanaaaa
Froma South Africa 🇿🇦 nimemuona mbanga
Qali sana....hii ......muendelezo tunaomba mapama wandewa......
Hii ngoma imenikamata benroyal ametisha sana naisubiri ye 9
Finaly Brother Siwila
Hakuna kukumbatiana mnakumbatiana Nini 😂😂😂 bonge la movie hongereni wote mlio shiriki
Saf San 😅😅😅😅sema mlipotea
Daaaah wanangu m.t.u n benroyal mnatisha sana kweny hii move
Wow much love from Kenya ❤❤,,nataka hii njungwa pia
movie ni nzuri kuliko ,japo mnachelewa kutupatia zifuatazo❤respect sana
Watu wangu much love from Kenya
Amin
Ubarikiwe sana kaka mkubwa benroyal
Niliisubiri kwa ham sana ❤❤❤ nawakubali xana hawa jama
Hapo mwisho ni fire 🔥 😂😂😂
WAnangu mnajitahidi sana,hatujui n changamoto zipi mnazipitia lakin Mungu atahwayangulia
Kimyaaaa mala gafla iyo nimefurahi kuniona tena ❤
Mnachelewesha sanah mzigo huuu
Sema mnatuzingua Sana msipende kurudi nyuma songeni mbele tujuwe mmoja mnaka Sana
Jungwa 🎉
Balaa jipya
nimesubili sanaa kwa muda mlefu episode 8. mim ni mshabiki wa seris zenu zote.lakin kwanini mnachelewesha ep zinazofuata kiasikwamba mnatukatisha tamaa mashabiki wenu. SAM FROM TABORA TOWN
Dah wanangu mnajua,,,,director ametulia Sana. Big IQ ✊
Good job kulen maua yenu hiphop never die
Mlikuwa wapi jaman 😢tuli wa misiiii❤❤❤
Movi ninzur ila mnakaa san hadi tunasahau tulipo ishia ❤❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 karibuni tena , siku nyingi hatuwaoni
Tumerud
Subira kwa muda ila asante kwa kurudi tena wakuu👏🇰🇪
nili subiri sana kazi ya ben nakubari sani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
mtu 🔥🔥🥳
🎉 dah mnatufanya tunasahau tuliko ishia na NGOMA ni Kali sana mnatuangusha kinyama
Waaah niliisubiri sana❤❤❤
wakuu hiki nichuma hadi chuma tena 😅😅😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥 aise kazi nzuri sana hongeren
Baraka nakuaminia sana bro much love from Kenya 🇰🇪
Froma Kasulu Kihoma,Mapigo na Mwendo.MTU
Movie nzur yenye mafundisho mazuri niliimis Sana yani
Hii inasisimua sanaaa🔥🔥
❤❤ da aisee tulikaa linyonge sana mpaka nilikata tamaa yani ila nashukuru imerejea na furaha imerudi
Kazi nzuri episode ya 9 please ❤
Nilisubria adi cmu ikaniaribikia😢😢😢 ahsanteni sna 🎉🎉🎉
Asante Benrayal lakn umsikawie tena sana tupate mwendelezo kila siku🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MTU finally,,abeli unafurahisha na uo wimbo kazi safi sana,, pia baraka safii Sana na kuihigiza🔥🔥🔥🔥
Nawapenda wote mnajua coz nawakubali sana
Daaa kitambo adi nilisahaau kabisa😢😢🎉🎉😂
Benroyal❤❤
Jamani mnaka kimya Sana mnatutesa mashabik wenu
Ata sisi Tunateseka msipo tuona😰😰😃
Jmn tumewamiss sanMashallah so much amazing ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hard work
Dah um ndan kuna unyama mwingi sana wa Action mixer masong ya kwenda asee,swal je kuna mwendelezo au ndo tusubil sana
😍😍😍 nakubali wanangu
Sa msikae sana maana paka tunachukia kitu kizuri aiseee jitahidini
Nili subira sana mwendelezo. Aksanteni sana kwaku Rudi tena ... Courage mes acteurs préférés. Je vous suis depuis la RDC
Duuuuh nyinyi nooma❤❤
Tafadhali msipotee tena. Mafans wenu kutoka Kenya tuliwamiss
Tumerud tenaaa
Wow,hongera director🙌
Dah mnajua sana jamaa
Amanda I love you ❤❤❤ This is on fire 🔥
Kichoyoo na juice nakupenda San ben
Aweeeee
💥💥💥 m.t.u❤
Kaz nzur benroyal🔥🔥🔥
Aki sio kutuweka ivi❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Mtu mtu apewe yake ya nguvu.......🎉🎉🎉🎉🎉episode 9 iko imefika wap
Nawakubari sana, yani Mnajuwa kufanya kazi mpka basi yani
Abel bhana ety huyu si mkristo uoni anavyovaaa
mnatasha sana wanangu wa mbeya 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Benroyal uko vizuri kaka hongera
Wow kazi nzuri Tuliisubiri sana... ❤❤
Mnajua Sana mungu awabariki sana
kazi nzur sanaaa goood
Akuna mtz asyependa vitu vzr❤
Noumaaaa❤🎉😢
baada ya mda mrefu finally 🔥
Yoooh yoooh to be honest I'mso happy to see this one wow
Ohh hongereni mumerudi TENA. Tuambieni bas Mulikuwa wapi mbn kimya kirefu sana
Narudi boss
Wakuu nani amesubiri kama mimi nimekuja mbio kidogo nivujike muguu msnikanyange please like 50 zanguvu jina MTU❤❤❤❤
Oya we mtuuu❤
Inatakiwa kuwahisha kipande kingine maan me nawapenda sana jamaa zang nyie nahata me ni MTU
Asante sana
@@nalamzalendoo pamoja MTU
💪nakubali. Ni full respect benroyal family
Bila shaka najua hamtatukwamisha tena wajomba
J fish kaumiza Sana 🔥
Oyaaaaa japo mmetuweka sana ilakin mnajua aiseee Mwenyezi MUNGU awaongize zaidi 🙏🙏🙏🙏 am from Tanga but home town Iringa
MTU AGAIN IS ON 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Muendelezo ❤❤❤
nimeisubiri sana hii
from kenya.....I luv you guys
Nice one❤❤
Mmetisha sana😂😂😂 hakuna kukumbatiana dadeki😂😂😂
Wanachelewa sana hawa
Nawakubali sana
Kichoyo sana kwao hiki kijamaa kimeninyima juisi yan juisi ya kiswahili kabisa much love bhn❤❤❤❤❤
❤❤❤ namba episode ya 9 isichelewe jaman
Mr. Director Benrayol, we need next episode please
Moja ya mwezi Nitakua na fraa bc ni huu ujao mahan moja ya move zangu za mwaka ni hii hapa alafu inafata sisu
Nawakubali sanaa benroyal ila msiwe mnachelewesha series jamn mtatupoteza kama hii sikujua kama imetoka kwel
Nakubali sana kazi zenu naombeni like Tano jamani
Jamani tumesubiri Kwaham sana mashabiki zenu tunaipenda kazi zenu naamini mtapiga hatua kwa lengo mnalo hitaji God bless you guys..🙏🙏
Dah!!! Niliisubili sana
🔥🔥🔥🔥🔥 sana nzuri sana naagaria kutoka Zambia
Nimeusubr kwa nguvu zote and wao it's amazing hii kitu bro ❤❤❤
Mungu awabariki kwa kutuletea series yetu pendwa yenye mafundisho....
Hakika mmejua kunifurahisha🙏🙏🐥
Kwaheshima ya hii muv naaza kuangalia sehem ya 7 kwanza ndio niendere
Nimeisubili sanaaaa
Froma South Africa 🇿🇦 nimemuona mbanga
Qali sana....hii ......muendelezo tunaomba mapama wandewa......
Hii ngoma imenikamata benroyal ametisha sana naisubiri ye 9
Finaly Brother Siwila
Hakuna kukumbatiana mnakumbatiana Nini 😂😂😂 bonge la movie hongereni wote mlio shiriki
Saf San 😅😅😅😅sema mlipotea
Daaaah wanangu m.t.u n benroyal mnatisha sana kweny hii move
Wow much love from Kenya ❤❤,,nataka hii njungwa pia
movie ni nzuri kuliko ,japo mnachelewa kutupatia zifuatazo❤respect sana
Watu wangu much love from Kenya
Amin
Ubarikiwe sana kaka mkubwa benroyal
Niliisubiri kwa ham sana ❤❤❤ nawakubali xana hawa jama
Hapo mwisho ni fire 🔥 😂😂😂
WAnangu mnajitahidi sana,hatujui n changamoto zipi mnazipitia lakin Mungu atahwayangulia
Kimyaaaa mala gafla iyo nimefurahi kuniona tena ❤
Mnachelewesha sanah mzigo huuu
Sema mnatuzingua Sana ms
ipende kurudi nyuma songeni mbele tujuwe mmoja mnaka Sana
Jungwa 🎉
Balaa jipya
nimesubili sanaa kwa muda mlefu episode 8. mim ni mshabiki wa seris zenu zote.
lakin kwanini mnachelewesha ep zinazofuata kiasikwamba mnatukatisha tamaa mashabiki wenu. SAM FROM TABORA TOWN
Dah wanangu mnajua,,,,director ametulia Sana. Big IQ ✊
Good job kulen maua yenu hiphop never die
Mlikuwa wapi jaman 😢tuli wa misiiii❤❤❤
Movi ninzur ila mnakaa san hadi tunasahau tulipo ishia ❤❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 karibuni tena , siku nyingi hatuwaoni
Tumerud
Subira kwa muda ila asante kwa kurudi tena wakuu👏🇰🇪
nili subiri sana kazi ya ben nakubari sani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
mtu 🔥🔥🥳
🎉 dah mnatufanya tunasahau tuliko ishia na NGOMA ni Kali sana mnatuangusha kinyama
Waaah niliisubiri sana❤❤❤
wakuu hiki nichuma hadi chuma tena 😅😅😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥 aise kazi nzuri sana hongeren
Baraka nakuaminia sana bro much love from Kenya 🇰🇪
Froma Kasulu Kihoma,Mapigo na Mwendo.MTU
Movie nzur yenye mafundisho mazuri niliimis Sana yani
Hii inasisimua sanaaa🔥🔥
❤❤ da aisee tulikaa linyonge sana mpaka nilikata tamaa yani ila nashukuru imerejea na furaha imerudi
Kazi nzuri episode ya 9 please ❤
Nilisubria adi cmu ikaniaribikia😢😢😢 ahsanteni sna 🎉🎉🎉
Asante Benrayal lakn umsikawie tena sana tupate mwendelezo kila siku🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MTU finally,,abeli unafurahisha na uo wimbo kazi safi sana,, pia baraka safii Sana na kuihigiza🔥🔥🔥🔥
Nawapenda wote mnajua coz nawakubali sana
Daaa kitambo adi nilisahaau kabisa😢😢🎉🎉😂
Benroyal❤❤
Jamani mnaka kimya Sana mnatutesa mashabik wenu
Ata sisi Tunateseka msipo tuona😰😰😃
Jmn tumewamiss san
Mashallah so much amazing ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hard work
Dah um ndan kuna unyama mwingi sana wa Action mixer masong ya kwenda asee,swal je kuna mwendelezo au ndo tusubil sana
😍😍😍 nakubali wanangu
Sa msikae sana maana paka tunachukia kitu kizuri aiseee jitahidini
Nili subira sana mwendelezo. Aksanteni sana kwaku Rudi tena ... Courage mes acteurs préférés. Je vous suis depuis la RDC
Duuuuh nyinyi nooma❤❤
Tafadhali msipotee tena. Mafans wenu kutoka Kenya tuliwamiss
Tumerud tenaaa
Wow,hongera director🙌
Dah mnajua sana jamaa
Amanda I love you ❤❤❤ This is on fire 🔥
Kichoyoo na juice nakupenda San ben
Aweeeee
💥💥💥 m.t.u❤
Kaz nzur benroyal🔥🔥🔥
Aki sio kutuweka ivi❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Mtu mtu apewe yake ya nguvu.......🎉🎉🎉🎉🎉episode 9 iko imefika wap
Nawakubari sana, yani Mnajuwa kufanya kazi mpka basi yani
Abel bhana ety huyu si mkristo uoni anavyovaaa
mnatasha sana wanangu wa mbeya 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Benroyal uko vizuri kaka hongera
Wow kazi nzuri Tuliisubiri sana... ❤❤
Mnajua Sana mungu awabariki sana
kazi nzur sanaaa goood
Akuna mtz asyependa vitu vzr❤
Noumaaaa❤🎉😢
baada ya mda mrefu finally 🔥
Yoooh yoooh to be honest I'mso happy to see this one wow
Ohh hongereni mumerudi TENA. Tuambieni bas Mulikuwa wapi mbn kimya kirefu sana
Narudi boss
Wakuu nani amesubiri kama mimi nimekuja mbio kidogo nivujike muguu msnikanyange please like 50 zanguvu jina MTU❤❤❤❤
Oya we mtuuu❤
Inatakiwa kuwahisha kipande kingine maan me nawapenda sana jamaa zang nyie nahata me ni MTU
Asante sana
@@nalamzalendoo pamoja MTU
💪nakubali. Ni full respect benroyal family
Bila shaka najua hamtatukwamisha tena wajomba
J fish kaumiza Sana 🔥
Oyaaaaa japo mmetuweka sana ilakin mnajua aiseee Mwenyezi MUNGU awaongize zaidi 🙏🙏🙏🙏 am from Tanga but home town Iringa
MTU AGAIN IS ON 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Muendelezo ❤❤❤
nimeisubiri sana hii
from kenya.....I luv you guys
Nice one❤❤
Mmetisha sana😂😂😂 hakuna kukumbatiana dadeki😂😂😂
Wanachelewa sana hawa
Nawakubali sana
Asante sana
Kichoyo sana kwao hiki kijamaa kimeninyima juisi yan juisi ya kiswahili kabisa much love bhn❤❤❤❤❤
❤❤❤ namba episode ya 9 isichelewe jaman
Mr. Director Benrayol, we need next episode please
Moja ya mwezi Nitakua na fraa bc ni huu ujao mahan moja ya move zangu za mwaka ni hii hapa alafu inafata sisu
Nawakubali sanaa benroyal ila msiwe mnachelewesha series jamn mtatupoteza kama hii sikujua kama imetoka kwel