JINA EPISODE 13 (Last Episode )
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2024
- This is Channel is for action movies based on African and African Blockbuster Action Movies in English HD movies don't forget to subscribe @BenroyalMovies Grand theft Auto v, Mobile legends trending now More Movies Jungwa Movie • Best African Action Mo... Operation M22 • [Eng sub] Best African... South African English Movie #beastofnonation #southafricanmovie #netflixmovies #netflix #viral #video #nigerianmovies #africanmovie #southafrica #southafricanmovie #drama #viral #video #actionmovie #netflix #new #Best #actionmovie #operationm22 #benroyalmovies #movie #operationredsea #new #video #actionmovie #bestafricanmovie #benroyalmovies #diamondplatnumz #english #bongomovies #juakaliseries #benroyalpictures #safemovie #mobilelegends #bestgameplay #foryou #freefire #funny #fyp #funnyvideo #netflix #operationredsea2018 #freefire #actionmovie #netflix #video #africanmovies #english #operationredsea #netflix #africanmovie #actionmovie #phillipians #southafrica #philippines #bongomovies #trending #best #hulu #blockbusteractionmovie #viral #video #viralvideo #trending #mobilelegends #mobilegame #mobile #trendingnow
Nataman nijue jna la kwaya mana nyimbo zao zmenibariki sana
Nimejikuta nalia kwafuraha kama mulijuwa je? Istoria ya maisha yangu amakweli popote mulipo mumenifaji kwelikweli MUNGU aguse mioyo yawengine wasio ijuwa thamani ya JINA LA YESU amen 🙏
Nashukulu mungu Kwa kuwatumia vijana wenzangu Kunibadilisha . Pia mungu ambaliki Mtunzi NAMIpia nimetambua kuwa Mimi ni mpitaji . Hivyo naitaji kumludia mungu wangu. 📖📓 Nahahidi naenda kununua na biblia Asante sana
Ubarikiwe sana Mishael
Great ... Jina la thamani "Yesu".... Kweli....
Ended with joyful emotional❤😊, I like that
Daaah Move safiiiiiiii move yenye mafunzp mazuriiiii
Daaa! Mjawahi kufeli mungu awabaliki na vipaji mzidi kutuelimisha ongeren
Jaman mnastahir tuzo kwa kaz kubwa mlioweza kuifanya kwen film hii uandish mzur pia unao simamia maadili ya taifa letu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 # JuniorSimbeye
Mungu awabariki sana na vipaji vyenu vikainuke zaidi na zaidi mnajua sana, Amina
Nawapenda saan Ben Royal mungu awatangulie nimejifunza vitu vingi hasa nyimbo zilikuwa zinanifariji Ameen
In a scale rate out of 10 you score 9 benroyal pictures hakika filamu zenu ni za kupendeza tunataka zaidi pia❤
Asante sana
For real naangaliaga tamthilia nyingi sana ila huwa zinakuwa na bad end but hii kutoka mwanzo mpaka mwisho nilikuwa na ninyi na nimeipenda bure na nawaelewa na ninawa ahidi siku moja nitakuja kuigiza na nyie mana napenda ila sijawahi kuigiza but for real nawaelewa sana ila tu Isarito kakimbilia dar arudi basi mwamba sana kwenye action na hata sio hi o tu thamthilia zenu nazikubali sana na mazingira mazuri kweli naamini Mbeya is a green city na nayapenda mazingira pia
Yani Tanzania hakuna waigizaji kama benroya asee njie hatari sana Mungu awabariki sana benroya
kazi nzuri sana sikutamani iishe
@@KisheryMicro Yani nimeipenda kuliko kazi zote
Asante sana mm gonga mwamba
Peter & Jogoo aiseee mnatisha sanaa
Nawapenda saana
Mmbarikiwe sana
Ila master g mwendo wake unanichosha
mmetisha sana
Daaah story kali sana...
Hongera sana Benroyal
Hongereni sana ndugu zangu
Kazi ni nzuri sana Toka mwanzo Hadi mwisho
Mbarikiwe sana 👏👏👏👏
Asante sana
kàzi nzuri sana
Ameeeeeeeen ❤❤❤❤❤❤❤❤
Tuishi Kama mlivyo higiza. Amen
Amen ,MUNGU awabariki sana ,naimani ujumbe huu umewafikia vijana wengi sanaa.
Mbarikiwe sana 🙏🙏🙏
kazi ssa sana 🔥🔥🔥🔥
Amina 🙏🙏
Amen Amen mbarikiwe sana ❤❤🙏🙌🏾Mungu ni mwema sana ❤❤
Master KG humu umetisha sana, Big up kk
Tuko pamoja family
Jamani hii inajifunza kiti kulikubwa sana please ndio mwisho hapa kweli Jamani
Daah kwann imesha mapema hivi aisee
Kazi nzuri sana ina funzo ndani yake
Fanya ulete action movie tume miss ngumi
From Lusaka zambia nawapenda saana saana kaza kaza kaza kaza kaz isonge
Hadi ya kuandika yanakosekana but from start to the end hii tamthilia ni kali sana
Thank you Mary
Nimebalikiwa sana kuitazama hii story mwanzo hadi mwisho hakika nimebalikiwa🎉🎉
Amen, Karibu sana
Nimejua mahana ya wokovu kupitia Nyinyi mungu awabariki muweze kutupa Vitu vizuri kama Hivi SiSi ,JINA na kadha wakadha Benroyal films tupo sambamba 🙌 ❤❤
Karibu sana
Nzuri mno
Team work nmeiona 🙌🙌🙌
Mater G...Aamina sana😂😂😂
Sanaaaaa 😅😅
Asanteni sana kwa kazi nzuri kwa kweli kazi yenu ni nzuri sana wacha mungu wa amani azidi kuwainua nyinyi wote 🙏❤❤much love from Kenya 🇰🇪
KAZI NZURI SANA lkn mwishon cjamwona #NALA AKIOMBEWA ila mmejitahidi sana na nnazifatilia Kaz zenu kila iitwayo Leo #GOD BE WITH YOU 🙏
Hongera sana Ben Royal na waigizaji wote kwa filamu bora. Hii ni mara ya kwanza kuandika maoni yangu mtandaoni kwa sababu ya ubora na uzuri wa filamu ya JINA. Hakika kupitia filamu hii mmeweka alama itakayokumbukwa mbinguni. Filamu hii imesukwa kwa ustadi mkubwa wenye kuzingatia theolojia ya mchakato wa wokovu kupitia Jina la Yesu. Falsafa na ubunifu uliotumika katika filamu hii ni nguzo ya kuwavuta watu kwa Mungu. Mungu aifungulie njia isambae duniani kote, Amina
Amen
Tuzo kwenu jaman na movie n nzurii saaana kazi n nzur saana mwenyezi mungu azidi kuwaoa kibali mbele zake mfike mahali pazur zaidi
Kaka baraka asante kwa ujumbe mzuri Mungu awaogoze kwenye kuleta ujumbe kama huo nimependa sana , nimejifunza kitu kutoka kwenu❤ na wapenda sana🎉❤🥰🤗
Asante sana, Karibu
Very interesting movie and shows the God love to us , thanks much all and director
Hakuna jina lipitalo majina yote duniani na kuzimu, hisipokua jina la YESU KRISTO liwaokowalo wenye dhambi wote.
Mbarikiwe sana kwa tamthilia hii nzuri inayojaa fundisho kwa kizazi cha sasa.
Kazi nzuru
God bless u bro Naamini wengi wataelewa maana ya wokovu kupitia hii tamthilia🙌🙌🙌 MUNGU azidi kukuinua
Amen
@@Benroyalmovies nawakubali sana mabr Mungu awabariki sana naomba angalau unitumie namba yenu ya whatsApp samahani lkn 🙏🙏🙏
Hakika mnawesa
Bonge la move yan
U did the best more blessings .Ila peter mwasomolaa umeua upewe maua yko. Msininukuu vby cio kama wengne mmefany vby ila yy nimemuona kuwa ni man of match😅😅😅 much love 😘😘
BENROYAL KAZI ZAKO AUJAWAHI KUTUANGUSHA AISEEEE MBEYA CITY IS GREEN GODY BLESS NINYI NYOOTE
Kazi nzuri na nusu hongera kwa kundi zima
Woow work I like it love you all
Asanteni sana kwa kutuonyesha njia ya kweli bila kukata tamaa
Yohana 5
21 Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.
Hii ngoma aliimba master g tusaidiane namna ya kuipata
Aseee story
Master g anatabasam jicho lot kwa mremb
Naonekana ninakatamani aka katoto😅😅
Asanteni sana
Hakika imenibarik nataman muitafute nzuri kama hii
Leo nimekubar show🎉🎉🎉
musician wapewe maua yao kwakweli hongereni kwa kazi nzuri yakueleimisha jamii na kumuwakilisha Mungu❤❤
Laiti waigizaji wote bongo wangeandaa KAZI kama hii Tanzania yote tungeliokoka
Hakika mfanya kazi nzuri wanangu
Wajina your the best tangu nimeanza episode ya 1 mpaka tamati hakika umefanya kitu kikubwa sana Mungu aendelee kukufunulia upate kuelimisha kondoo wake... Be blessed 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Asante sana
Asante kwa kaz nzur Ben Royal nawapenda San kikosi mast g na Abel
Karibu sana,
i like it
Wote nawakubali ila master G unanikosha sana
Nakubal nitakufulahisha mpaka siku naondoka nduniani tuko pamoja😅
İme isha kwa ujumbe mzuli ila nilitaman kumwona masta G kapigwa pala tuna taka nyingne jaman atuja wai waangusha kwenye kutazama ❤❤❤❤😂❤❤
❤❤❤ Amina Amina Amina sana... Asanteni beniroyal Mungu atawabariki wa kazi yenu hii iliyotukuka. More blessings!
Amen 🙏
❤❤❤Asanteni sana benroyal pitures
Nakubal sana 🙏♥️🔥🔥
asanteni sana familia 👏👏👏👏 #benroyalpicktures
Very nice movie nawapenda kutoka kenya
Kazi nzuri, ukwel nimefurahia hii movie❤❤, yaan mnajua mnajua mnajua tena.
Kuanza MWANZO Hadi Mwisho Movie Ina Mafunzo ma Kubwa Ina Fundisha kua una weza uka Badilika katika Hali ya uaribifu na ukawa mtu Alie Safi mbele za Mungu Hongereni sana kwa Movie Hii Na Tumaini mta Leta nyingine zaidi ya Hii Mungu Awe Pamoja Nasi 🙏🙏🙏
Asante sana
Kazi nzur sana 🙏
🔥🔥🔥
HUWA NAANGALIA MOVIE ZAKO KARIBU ZOTE NA NAZIPENDA ILA HIII NIMEIPENDA ZAIDI, MUBARIKIWE ZAIDI SANA
mi nataka niombewe. Utaombewa Gerezani nyanyuka Twende
mwendo wa master G😹🙌
Hii ni kali sana bwana mkubwa anakipaji sana
Mungu nimwema siku ZOTE 🙏🙏
Hongereni sana vijana
Ss kwa nini nyinyi muna kawiza jama nyiye wasenge sana
Good blesse vijana pamoja na muchungaji kazi nzuli sana muendelee tunawapenda sana❤❤❤
Great Work... Mungu awabariki Team BenRoyal🙏🏽🙏🏽🙏🏽🇰🇪✌️💥
Amen
Ahsante kwa mafunzo mazuri kwetu❤️💕💕❤️❤️👏🏾
Safi sana
Good job ❤
Mi naomba kujua Hawa waimbaji kama wana album ya nyimbo zao au jina la kwaya yao🥰
Daaah the movie is so dop er enjoyed a lot funny moments 😂😂
Love❤ some lessons here...
Very creative congrats boys👏👏👏 en galz🎉🎉
Tunahitaji kaz zaid tuko na nyimbo mwanzo mwisho katika ubora zaid
Mmemaliza vizuri jamani big up benroyal
Mbarikiwe sana❤
Tunaisubili kwa hamu kubwa sana na mungu awabaliki 🙏🔥
🙌🙌🙌
Amina sana
kazi nzuri ✊✊✊