JINA EPISODE 13 (Last Episode )

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • This is Channel is for action movies based on African and African Blockbuster Action Movies in English HD movies don't forget to subscribe @BenroyalMovies Grand theft Auto v, Mobile legends trending now More Movies Jungwa Movie • Best African Action Mo... Operation M22 • [Eng sub] Best African... South African English Movie #beastofnonation #southafricanmovie #netflixmovies #netflix #viral #video #nigerianmovies #africanmovie #southafrica #southafricanmovie #drama #viral #video #actionmovie #netflix #new #Best #actionmovie #operationm22 #benroyalmovies #movie #operationredsea #new #video #actionmovie #bestafricanmovie #benroyalmovies #diamondplatnumz #english #bongomovies #juakaliseries #benroyalpictures #safemovie #mobilelegends #bestgameplay #foryou #freefire #funny #fyp #funnyvideo #netflix #operationredsea2018 #freefire #actionmovie #netflix #video #africanmovies #english #operationredsea #netflix #africanmovie #actionmovie #phillipians #southafrica #philippines #bongomovies #trending #best #hulu #blockbusteractionmovie #viral #video #viralvideo #trending #mobilelegends #mobilegame #mobile #trendingnow

Komentáře • 304

  • @user-cb6so2tb2g
    @user-cb6so2tb2g Před 5 měsíci +4

    Nataman nijue jna la kwaya mana nyimbo zao zmenibariki sana

  • @bikyeombemteulwa2724
    @bikyeombemteulwa2724 Před 7 měsíci +4

    Nimejikuta nalia kwafuraha kama mulijuwa je? Istoria ya maisha yangu amakweli popote mulipo mumenifaji kwelikweli MUNGU aguse mioyo yawengine wasio ijuwa thamani ya JINA LA YESU amen 🙏

  • @MishaelKyando-gz8tm
    @MishaelKyando-gz8tm Před 7 měsíci +3

    Nashukulu mungu Kwa kuwatumia vijana wenzangu Kunibadilisha . Pia mungu ambaliki Mtunzi NAMIpia nimetambua kuwa Mimi ni mpitaji . Hivyo naitaji kumludia mungu wangu. 📖📓 Nahahidi naenda kununua na biblia Asante sana

  • @edozzedga6299
    @edozzedga6299 Před 7 měsíci +1

    Great ... Jina la thamani "Yesu".... Kweli....

  • @LatifaKapange-cs8qm
    @LatifaKapange-cs8qm Před 7 měsíci +5

    Ended with joyful emotional❤😊, I like that

  • @johnmajiulaya
    @johnmajiulaya Před 7 měsíci +2

    Daaah Move safiiiiiiii move yenye mafunzp mazuriiiii

  • @user-cj2xv4yt6e
    @user-cj2xv4yt6e Před 7 měsíci +2

    Daaa! Mjawahi kufeli mungu awabaliki na vipaji mzidi kutuelimisha ongeren

  • @JuniorSimbeye
    @JuniorSimbeye Před 7 měsíci +2

    Jaman mnastahir tuzo kwa kaz kubwa mlioweza kuifanya kwen film hii uandish mzur pia unao simamia maadili ya taifa letu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 # JuniorSimbeye

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 Před 7 měsíci +2

    Mungu awabariki sana na vipaji vyenu vikainuke zaidi na zaidi mnajua sana, Amina

  • @user-ov4ch9bf1v
    @user-ov4ch9bf1v Před 6 měsíci +1

    Nawapenda saan Ben Royal mungu awatangulie nimejifunza vitu vingi hasa nyimbo zilikuwa zinanifariji Ameen

  • @nyamaikite7839
    @nyamaikite7839 Před 7 měsíci +3

    In a scale rate out of 10 you score 9 benroyal pictures hakika filamu zenu ni za kupendeza tunataka zaidi pia❤

  • @AndreaLyelu-vb4bn
    @AndreaLyelu-vb4bn Před 7 měsíci +8

    For real naangaliaga tamthilia nyingi sana ila huwa zinakuwa na bad end but hii kutoka mwanzo mpaka mwisho nilikuwa na ninyi na nimeipenda bure na nawaelewa na ninawa ahidi siku moja nitakuja kuigiza na nyie mana napenda ila sijawahi kuigiza but for real nawaelewa sana ila tu Isarito kakimbilia dar arudi basi mwamba sana kwenye action na hata sio hi o tu thamthilia zenu nazikubali sana na mazingira mazuri kweli naamini Mbeya is a green city na nayapenda mazingira pia

    • @LYEMA12
      @LYEMA12 Před 7 měsíci +1

      Yani Tanzania hakuna waigizaji kama benroya asee njie hatari sana Mungu awabariki sana benroya

    • @KisheryMicro
      @KisheryMicro Před 7 měsíci +1

      kazi nzuri sana sikutamani iishe

    • @AndreaLyelu-vb4bn
      @AndreaLyelu-vb4bn Před 7 měsíci

      @@KisheryMicro Yani nimeipenda kuliko kazi zote

  • @user-cr5sw1uc4w
    @user-cr5sw1uc4w Před 6 měsíci +1

    Asante sana mm gonga mwamba

  • @mikekassege8529
    @mikekassege8529 Před 7 měsíci +1

    Peter & Jogoo aiseee mnatisha sanaa

  • @mwashyombo9241
    @mwashyombo9241 Před 7 měsíci +1

    Nawapenda saana

  • @almashauribinyakichwaaldo9337
    @almashauribinyakichwaaldo9337 Před 7 měsíci +1

    Mmbarikiwe sana

  • @user-cj8dt8tv1w
    @user-cj8dt8tv1w Před 7 měsíci +2

    Ila master g mwendo wake unanichosha

  • @user-zo8ve9og7b
    @user-zo8ve9og7b Před 7 měsíci +1

    mmetisha sana

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 Před 7 měsíci +3

    Daaah story kali sana...
    Hongera sana Benroyal

  • @johnmajiulaya
    @johnmajiulaya Před 7 měsíci +1

    Hongereni sana ndugu zangu

  • @rickmatty4210
    @rickmatty4210 Před 7 měsíci +1

    Kazi ni nzuri sana Toka mwanzo Hadi mwisho
    Mbarikiwe sana 👏👏👏👏

  • @LEONARDJULIUS
    @LEONARDJULIUS Před 7 měsíci +1

    kàzi nzuri sana

  • @JoxhBarasa
    @JoxhBarasa Před 7 měsíci +1

    Ameeeeeeeen ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @giftlwae953
    @giftlwae953 Před 7 měsíci +1

    Tuishi Kama mlivyo higiza. Amen

  • @daudic.mpinga4606
    @daudic.mpinga4606 Před 7 měsíci

    Amen ,MUNGU awabariki sana ,naimani ujumbe huu umewafikia vijana wengi sanaa.

  • @janetadamcharo1606
    @janetadamcharo1606 Před 7 měsíci +1

    Mbarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @charlienyenga528
    @charlienyenga528 Před 7 měsíci +2

    kazi ssa sana 🔥🔥🔥🔥

  • @rehemakazungu6945
    @rehemakazungu6945 Před 7 měsíci +1

    Amina 🙏🙏

  • @CharlotteMuyenga
    @CharlotteMuyenga Před 7 měsíci

    Amen Amen mbarikiwe sana ❤❤🙏🙌🏾Mungu ni mwema sana ❤❤

  • @kulishaandry5730
    @kulishaandry5730 Před 7 měsíci +2

    Master KG humu umetisha sana, Big up kk

  • @mdungimdungikhamis7779
    @mdungimdungikhamis7779 Před 5 měsíci +1

    Jamani hii inajifunza kiti kulikubwa sana please ndio mwisho hapa kweli Jamani

  • @user-go1np7hl8q
    @user-go1np7hl8q Před 7 měsíci +1

    Daah kwann imesha mapema hivi aisee

  • @misanangasa8296
    @misanangasa8296 Před 7 měsíci

    Kazi nzuri sana ina funzo ndani yake
    Fanya ulete action movie tume miss ngumi

  • @mwashyombo9241
    @mwashyombo9241 Před 7 měsíci +1

    From Lusaka zambia nawapenda saana saana kaza kaza kaza kaza kaz isonge

  • @marymorlyn2838
    @marymorlyn2838 Před 7 měsíci +1

    Hadi ya kuandika yanakosekana but from start to the end hii tamthilia ni kali sana

  • @tinomligo8250
    @tinomligo8250 Před 7 měsíci +7

    Nimebalikiwa sana kuitazama hii story mwanzo hadi mwisho hakika nimebalikiwa🎉🎉

  • @MishaelKyando-gz8tm
    @MishaelKyando-gz8tm Před 7 měsíci +3

    Nimejua mahana ya wokovu kupitia Nyinyi mungu awabariki muweze kutupa Vitu vizuri kama Hivi SiSi ,JINA na kadha wakadha Benroyal films tupo sambamba 🙌 ❤❤

  • @EdibiliSalum
    @EdibiliSalum Před 7 měsíci +1

    Nzuri mno

  • @Kevoodudu969
    @Kevoodudu969 Před 7 měsíci +4

    Team work nmeiona 🙌🙌🙌

  • @pappilonfar
    @pappilonfar Před 7 měsíci +3

    Mater G...Aamina sana😂😂😂

  • @elizabethmulupirapando9774
    @elizabethmulupirapando9774 Před 7 měsíci +1

    Asanteni sana kwa kazi nzuri kwa kweli kazi yenu ni nzuri sana wacha mungu wa amani azidi kuwainua nyinyi wote 🙏❤❤much love from Kenya 🇰🇪

  • @prospergasper3193
    @prospergasper3193 Před 5 měsíci

    KAZI NZURI SANA lkn mwishon cjamwona #NALA AKIOMBEWA ila mmejitahidi sana na nnazifatilia Kaz zenu kila iitwayo Leo #GOD BE WITH YOU 🙏

  • @RUNINGAYAMSWAHILI-ts2zc
    @RUNINGAYAMSWAHILI-ts2zc Před 29 dny +1

    Hongera sana Ben Royal na waigizaji wote kwa filamu bora. Hii ni mara ya kwanza kuandika maoni yangu mtandaoni kwa sababu ya ubora na uzuri wa filamu ya JINA. Hakika kupitia filamu hii mmeweka alama itakayokumbukwa mbinguni. Filamu hii imesukwa kwa ustadi mkubwa wenye kuzingatia theolojia ya mchakato wa wokovu kupitia Jina la Yesu. Falsafa na ubunifu uliotumika katika filamu hii ni nguzo ya kuwavuta watu kwa Mungu. Mungu aifungulie njia isambae duniani kote, Amina

  • @user-pe7td1rv7v
    @user-pe7td1rv7v Před 7 měsíci

    Tuzo kwenu jaman na movie n nzurii saaana kazi n nzur saana mwenyezi mungu azidi kuwaoa kibali mbele zake mfike mahali pazur zaidi

  • @user-kv4ek9mb9w
    @user-kv4ek9mb9w Před 7 měsíci +1

    Kaka baraka asante kwa ujumbe mzuri Mungu awaogoze kwenye kuleta ujumbe kama huo nimependa sana , nimejifunza kitu kutoka kwenu❤ na wapenda sana🎉❤🥰🤗

  • @aminahaule1806
    @aminahaule1806 Před 7 měsíci +3

    Very interesting movie and shows the God love to us , thanks much all and director

  • @jeanclaudebyolenganya5157
    @jeanclaudebyolenganya5157 Před 7 měsíci

    Hakuna jina lipitalo majina yote duniani na kuzimu, hisipokua jina la YESU KRISTO liwaokowalo wenye dhambi wote.
    Mbarikiwe sana kwa tamthilia hii nzuri inayojaa fundisho kwa kizazi cha sasa.

  • @Raz254vicky
    @Raz254vicky Před 7 měsíci +1

    Kazi nzuru

  • @hekimatinga2990
    @hekimatinga2990 Před 7 měsíci +2

    God bless u bro Naamini wengi wataelewa maana ya wokovu kupitia hii tamthilia🙌🙌🙌 MUNGU azidi kukuinua

    • @Benroyalmovies
      @Benroyalmovies  Před 7 měsíci +2

      Amen

    • @user-qr7np7fg9e
      @user-qr7np7fg9e Před 19 dny

      @@Benroyalmovies nawakubali sana mabr Mungu awabariki sana naomba angalau unitumie namba yenu ya whatsApp samahani lkn 🙏🙏🙏

  • @mwashyombo9241
    @mwashyombo9241 Před 7 měsíci +1

    Hakika mnawesa

  • @babananiliu-dq5cr
    @babananiliu-dq5cr Před 7 měsíci +1

    Bonge la move yan

  • @JacklyneDedan
    @JacklyneDedan Před 7 měsíci +1

    U did the best more blessings .Ila peter mwasomolaa umeua upewe maua yko. Msininukuu vby cio kama wengne mmefany vby ila yy nimemuona kuwa ni man of match😅😅😅 much love 😘😘

  • @josephmwanyekule7375
    @josephmwanyekule7375 Před 6 měsíci +2

    BENROYAL KAZI ZAKO AUJAWAHI KUTUANGUSHA AISEEEE MBEYA CITY IS GREEN GODY BLESS NINYI NYOOTE

  • @efrahimtadeo5965
    @efrahimtadeo5965 Před 7 měsíci

    Kazi nzuri na nusu hongera kwa kundi zima

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 Před 7 měsíci +1

    Woow work I like it love you all

  • @fadhilikandonga2465
    @fadhilikandonga2465 Před 7 měsíci

    Asanteni sana kwa kutuonyesha njia ya kweli bila kukata tamaa

  • @Laucheng193
    @Laucheng193 Před 7 měsíci +1

    Yohana 5
    21 Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.

  • @bonnybitson2993
    @bonnybitson2993 Před 7 měsíci

    Hii ngoma aliimba master g tusaidiane namna ya kuipata

  • @Mrboom720
    @Mrboom720 Před 7 měsíci +1

    Aseee story

  • @NuhuMetson-mt1vc
    @NuhuMetson-mt1vc Před 7 měsíci +2

    Master g anatabasam jicho lot kwa mremb

  • @lutachahalajohnkalokozi6297
    @lutachahalajohnkalokozi6297 Před 7 měsíci +1

    Asanteni sana

  • @chalespaulo-zm8sz
    @chalespaulo-zm8sz Před 7 měsíci

    Hakika imenibarik nataman muitafute nzuri kama hii

  • @dullyommy22
    @dullyommy22 Před 7 měsíci +1

    Leo nimekubar show🎉🎉🎉

  • @aminahaule1806
    @aminahaule1806 Před 7 měsíci +2

    musician wapewe maua yao kwakweli hongereni kwa kazi nzuri yakueleimisha jamii na kumuwakilisha Mungu❤❤

    • @jeremiahfanuel9579
      @jeremiahfanuel9579 Před 7 měsíci

      Laiti waigizaji wote bongo wangeandaa KAZI kama hii Tanzania yote tungeliokoka

  • @azookiping8675
    @azookiping8675 Před 7 měsíci

    Hakika mfanya kazi nzuri wanangu

  • @benedictomaujamtutui8693
    @benedictomaujamtutui8693 Před 7 měsíci +1

    Wajina your the best tangu nimeanza episode ya 1 mpaka tamati hakika umefanya kitu kikubwa sana Mungu aendelee kukufunulia upate kuelimisha kondoo wake... Be blessed 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @NasraAlly-yx6gt
    @NasraAlly-yx6gt Před 6 měsíci +1

    Asante kwa kaz nzur Ben Royal nawapenda San kikosi mast g na Abel

  • @GideonMwablambo
    @GideonMwablambo Před 7 měsíci +1

    i like it

  • @yusuphkidoto6766
    @yusuphkidoto6766 Před 7 měsíci +2

    Wote nawakubali ila master G unanikosha sana

    • @ndongoropwii4835
      @ndongoropwii4835 Před 7 měsíci

      Nakubal nitakufulahisha mpaka siku naondoka nduniani tuko pamoja😅

  • @mesharkctz2374
    @mesharkctz2374 Před 7 měsíci

    İme isha kwa ujumbe mzuli ila nilitaman kumwona masta G kapigwa pala tuna taka nyingne jaman atuja wai waangusha kwenye kutazama ❤❤❤❤😂❤❤

  • @frankluswaga
    @frankluswaga Před 7 měsíci +1

    ❤❤❤ Amina Amina Amina sana... Asanteni beniroyal Mungu atawabariki wa kazi yenu hii iliyotukuka. More blessings!

  • @sammymutuamunyoki6291
    @sammymutuamunyoki6291 Před 7 měsíci

    ❤❤❤Asanteni sana benroyal pitures

  • @Christia-07
    @Christia-07 Před 7 měsíci

    Nakubal sana 🙏♥️🔥🔥

  • @brathonisanga8391
    @brathonisanga8391 Před 7 měsíci

    asanteni sana familia 👏👏👏👏 #benroyalpicktures

  • @user-zw7mr6jo9b
    @user-zw7mr6jo9b Před 7 měsíci

    Very nice movie nawapenda kutoka kenya

  • @estererasto8521
    @estererasto8521 Před 7 měsíci +2

    Kazi nzuri, ukwel nimefurahia hii movie❤❤, yaan mnajua mnajua mnajua tena.

  • @BrownD
    @BrownD Před 7 měsíci +1

    Kuanza MWANZO Hadi Mwisho Movie Ina Mafunzo ma Kubwa Ina Fundisha kua una weza uka Badilika katika Hali ya uaribifu na ukawa mtu Alie Safi mbele za Mungu Hongereni sana kwa Movie Hii Na Tumaini mta Leta nyingine zaidi ya Hii Mungu Awe Pamoja Nasi 🙏🙏🙏

  • @HumphreyFrank-pe4qs
    @HumphreyFrank-pe4qs Před 7 měsíci

    Kazi nzur sana 🙏

  • @ngoshaog1255
    @ngoshaog1255 Před 7 měsíci +1

    🔥🔥🔥

  • @barakalawrence742
    @barakalawrence742 Před 7 měsíci +1

    HUWA NAANGALIA MOVIE ZAKO KARIBU ZOTE NA NAZIPENDA ILA HIII NIMEIPENDA ZAIDI, MUBARIKIWE ZAIDI SANA

  • @Mberwaelisha
    @Mberwaelisha Před 7 měsíci

    mi nataka niombewe. Utaombewa Gerezani nyanyuka Twende

  • @Davidchalz
    @Davidchalz Před 7 měsíci +1

    mwendo wa master G😹🙌

  • @luckynoah
    @luckynoah Před 7 měsíci +1

    Hii ni kali sana bwana mkubwa anakipaji sana

  • @karembo7082
    @karembo7082 Před 7 měsíci

    Mungu nimwema siku ZOTE 🙏🙏

  • @officialshelomwangole256
    @officialshelomwangole256 Před 7 měsíci

    Hongereni sana vijana

  • @shujaad-melody5799
    @shujaad-melody5799 Před 7 měsíci +1

    Ss kwa nini nyinyi muna kawiza jama nyiye wasenge sana

  • @jobsimpamba71
    @jobsimpamba71 Před 7 měsíci +1

    Good blesse vijana pamoja na muchungaji kazi nzuli sana muendelee tunawapenda sana❤❤❤

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 Před 7 měsíci +4

    Great Work... Mungu awabariki Team BenRoyal🙏🏽🙏🏽🙏🏽🇰🇪✌️💥

  • @aidanidallu7030
    @aidanidallu7030 Před 7 měsíci +1

    Ahsante kwa mafunzo mazuri kwetu❤️💕💕❤️❤️👏🏾

  • @user-yb4kx7qd7m
    @user-yb4kx7qd7m Před 7 měsíci

    Safi sana

  • @emmanuelantony-wq3ml
    @emmanuelantony-wq3ml Před 7 měsíci +1

    Good job ❤

  • @elizakovaga12
    @elizakovaga12 Před 7 měsíci

    Mi naomba kujua Hawa waimbaji kama wana album ya nyimbo zao au jina la kwaya yao🥰

  • @mpinaskid9316
    @mpinaskid9316 Před 7 měsíci +4

    Daaah the movie is so dop er enjoyed a lot funny moments 😂😂
    Love❤ some lessons here...
    Very creative congrats boys👏👏👏 en galz🎉🎉

  • @JuniorSimbeye
    @JuniorSimbeye Před 7 měsíci

    Tunahitaji kaz zaid tuko na nyimbo mwanzo mwisho katika ubora zaid

  • @Laucheng193
    @Laucheng193 Před 7 měsíci

    Mmemaliza vizuri jamani big up benroyal

  • @sarahadolf9722
    @sarahadolf9722 Před 7 měsíci

    Mbarikiwe sana❤

  • @KAHIGIMAGWALITZ
    @KAHIGIMAGWALITZ Před 7 měsíci +3

    Tunaisubili kwa hamu kubwa sana na mungu awabaliki 🙏🔥

  • @babananiliu-dq5cr
    @babananiliu-dq5cr Před 7 měsíci +1

    🙌🙌🙌

  • @SalumuPatlicki-qq9ph
    @SalumuPatlicki-qq9ph Před 7 měsíci

    Amina sana

  • @abdrazackhashim6549
    @abdrazackhashim6549 Před 7 měsíci

    kazi nzuri ✊✊✊