JINA EPISODE 9 | MTU | Benroyal Movies | Comedy

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Kwani kikosi ni mtu wa aina gani, ungana nasisi kufuatilia yatakayojili katika mwendelezo wa series ya jina sehemu ya 10
    #new #swahilimovie #tamthiliazetuleo #juakaliseries
    #jinaseries #mtu #bongomovies #diamondplatnumz
    #benroyalmovies #mbeyaimpact #bestafricanmovie

Komentáře • 263

  • @user-M97sp
    @user-M97sp Před 10 měsíci +5

    Oyiiii wangapi wanaotaka kujua km mimi kikosi ni mtu wa aina ganiii
    Mbn kanichanganya na yale macho mekundu

  • @theetrendingsisters2546
    @theetrendingsisters2546 Před 10 měsíci +23

    Naomba series yetu pendwa ikuje Kwa wakati tujue kuhusu kikosi ni nani kwani💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🍾🍾🍾✅✅✅✅

  • @Blaze-gp1yy
    @Blaze-gp1yy Před 10 měsíci +6

    Allah awajalie kufingia malengo sababu mnajituma sana kiukwel mnatufurahisha

  • @tuyajengeyaishe-vq5pq
    @tuyajengeyaishe-vq5pq Před 10 měsíci +3

    Kiufupi hiii kitu nzuri sana sana tatzo moja t mnachelewesha sana jamaa zang

  • @user-M97sp
    @user-M97sp Před 10 měsíci +5

    Yaan hii epsode tam saana vichaaa viwili vimekutana kikosi na master g haish taam

  • @derrickpoul9504
    @derrickpoul9504 Před 10 měsíci +6

    😂😂 namkubali kikosi afu Kikosi neno la Mungu limemuingia 😂

  • @Tibuhkhan254
    @Tibuhkhan254 Před 10 měsíci +6

    Jamaa nawakubali sana ila mulikuwa mumekawiza jamaa❤❤ bonnie,nala mzalendo congratulations

  • @user-sn5hk8im2h
    @user-sn5hk8im2h Před 10 měsíci +4

    Mnachelewa sana kutoa muendelezo mbaka tunasahau ila mko vizuri nawakubali sana.

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 Před 10 měsíci +9

    Duh hongereni kazi nzuri na imewahi Leo ❤❤❤

  • @johnmasanja1413
    @johnmasanja1413 Před 10 měsíci +8

    😂😂😂😂😂😂 mbna ni noma sana nimeipenda San kikos noma san

  • @samwelyisaya2492
    @samwelyisaya2492 Před 10 měsíci +8

    kazi nzuri 👊maana nimeisubili kwa hamu kubwa sana

  • @emmanuelkatana2794
    @emmanuelkatana2794 Před 10 měsíci +9

    Benroyal muko vizuri sasa💯

  • @shabaniabdilahi5945
    @shabaniabdilahi5945 Před 10 měsíci +4

    Mnafanya Vzur nawakubali

  • @EriaJumaa-th6xb
    @EriaJumaa-th6xb Před 10 měsíci +7

    Mnatucheleweshea sana mnatutowa mudi tunaowafatilia na kuwapenda kazi zenu

    • @nalamzalendoo
      @nalamzalendoo Před 10 měsíci +1

      Utokwe na mudi baki nae huyo Tusonge👊🏾

  • @paulmwaikole771
    @paulmwaikole771 Před 10 měsíci +4

    Wow .
    Series yangu pendwa👊🙏..
    Naisubiri jungwa🖐🤗

  • @bwalyajr12
    @bwalyajr12 Před 10 měsíci +4

    Mzitoe chapuu wanaa 😢😢 maana ni kalii

  • @deusmnema9093
    @deusmnema9093 Před 10 měsíci +13

    Bro napenda Sana kazi zenu nipeni support na mm

  • @BRYTAHOTMASTER
    @BRYTAHOTMASTER Před 10 měsíci +6

    10 naingoja kwa mpigo ....all the way from migori Kenya...nawakubali sana ... na naipenda sana "MTU"

  • @johnmajiulaya
    @johnmajiulaya Před 10 měsíci +3

    Wakubwa wa kazi nasema hvii Hizi Move zinapaswa tuzo ya mwaka kabisa

  • @iyogomusictz7369
    @iyogomusictz7369 Před 10 měsíci +5

    Nawafwatilia mnoo mimi shabiki number one

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Před 10 měsíci +2

    niliisubiri sana hatimaye ipo hewan safi sana team nzima kwakazi 👏👏

  • @valentinemunasiah
    @valentinemunasiah Před 10 měsíci +5

    Ongera baraka, vizuri sana kaka, kazi nzuri . Twaingoja episode 10 kwa
    Hamu.

  • @yohanaandrew-dj7lc
    @yohanaandrew-dj7lc Před 10 měsíci +3

    Duh yaaan hii ni zaid mnajuw sana plz naomb muwe mnatoa vpnd hata vitatu kwa pmoja❤❤❤❤

  • @erickrichard3134
    @erickrichard3134 Před 10 měsíci +4

    😅😅😅Kana kitu katafika mbinguni

  • @filimon5810
    @filimon5810 Před 10 měsíci +7

    Nimekuwa 24 lakini najuaxikoxi like

  • @tenendeabdallah2755
    @tenendeabdallah2755 Před 10 měsíci +6

    Hakika niliisubilia sana

  • @karembo7082
    @karembo7082 Před 10 měsíci +5

    Aaaaaa kikosii kweli hii move inafundisha sana kazi nzuri wakuu❤❤❤❤

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious Před 10 měsíci +3

    Moto Wa Kuotea Mbali 🙌🙌🙌

  • @theetrendingsisters2546
    @theetrendingsisters2546 Před 10 měsíci +5

    #JINA nakubali sana imeweza mtuuuuuuuu!!! MOJA KALI YAANI🔥🔥🔥🔥✅✅✅

  • @hamistebe5802
    @hamistebe5802 Před 10 měsíci +3

    Waisheni vyumaaaa Ben Royal...kasi iwe kubwaaaa

  • @ramadhankaniq7179
    @ramadhankaniq7179 Před 10 měsíci +6

    Hee Mashine mbona inasuasua Benry Clew, ✅fanyen kwel bongo hajawah tokea🔥🔥🔥💪

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před 10 měsíci +3

    Master Ji Leo kafurahi sana 😂😂😅

  • @user-nv1nc8cb7g
    @user-nv1nc8cb7g Před 10 měsíci +6

    bila shaka wala wasiwasi,kumovie haka kananipendeza sana❤ keep it up

  • @King_damizo
    @King_damizo Před 10 měsíci +3

    Nakubali kazi ZENU

  • @gerryidone2890
    @gerryidone2890 Před 10 měsíci +8

    Mi wakwanza Leo tena😢😢 kutoka mwisho😂

  • @boniphacemilanga4523
    @boniphacemilanga4523 Před 10 měsíci +3

    Nawaelewa sana

  • @user-bw3fu2wl3s
    @user-bw3fu2wl3s Před 10 měsíci +4

    Jaman jamani tunaomba muwe mtatuwahishia movies yetu bc dar

  • @jamessaimon5439
    @jamessaimon5439 Před 10 měsíci +3

    Ni nzur sanaatatzo unachelewa kupost qd tuna sahau tulips ishiaq😊😊

    • @Benroyalmovies
      @Benroyalmovies  Před 10 měsíci

      Tatizo hujui changamoto yetu ndo maana unasahau

  • @samielias7504
    @samielias7504 Před 10 měsíci +6

    Tupp pamoja adi mwisho

  • @YoxNation26
    @YoxNation26 Před 10 měsíci +2

    Machine kaka ben

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Před 10 měsíci +3

    Master G anaua sana

  • @JudyChepkurui-uq6po
    @JudyChepkurui-uq6po Před 10 měsíci +3

    Kazi safi

  • @thamaneliya2728
    @thamaneliya2728 Před 10 měsíci +5

    Na mimi leo nimejitaid

  • @jobsimpamba71
    @jobsimpamba71 Před 10 měsíci +2

    Asante sana tunaombatu musiwe munachelea sana ❤❤❤

  • @omymsomal8922
    @omymsomal8922 Před 10 měsíci +2

    Tunafurahia uwepo wenu uwezo wenu sanaa mlonayo hongeren mno

  • @kapangala-ov6gd
    @kapangala-ov6gd Před 10 měsíci +5

    Kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤

  • @fficialally363
    @fficialally363 Před 10 měsíci +2

    Nakubal kk wanangu wa isanga

  • @gastonjoseph2596
    @gastonjoseph2596 Před 10 měsíci +5

    😂😂😂😂😂hAtimAe namimi nimekua wAkwanzA

  • @valentinemunasiah
    @valentinemunasiah Před 10 měsíci +3

    Inapendeza xana

  • @ishaniramadhani8710
    @ishaniramadhani8710 Před 10 měsíci +2

    Hongereni sana Kwa kazi nzuri

  • @bailesmjanja5149
    @bailesmjanja5149 Před 9 měsíci +1

    tatzo mnalala sana, ni nzur lakn 2naichoka kwa kuichelewesha

  • @mecksonsanga7413
    @mecksonsanga7413 Před 10 měsíci +3

    Benroyal picture nimeipenda sana lakinibdada yake na tomu sijamuona nampenda sana

  • @MZUGITZ
    @MZUGITZ Před 10 měsíci +3

    Kaka be loyal unachelewesha sana kaka move kali sana naipend ila tunasahau kipnd kilichoisha kilikuwaj man inakaa muda mrefu

  • @Eliacytz
    @Eliacytz Před 10 měsíci +6

    Nasema hapa kazi tu. Oya weeeeeeee sio poa sana ya bongo inazidi kupepea anga za juu here from Mozambique 🇲🇿 pamoja sana

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 Před 10 měsíci +2

    Atimae today tumekutana Again🎉🔥🙌 from mozambique🇲🇿🇲🇿

  • @EmilyKiomela-on7hn
    @EmilyKiomela-on7hn Před 10 měsíci +1

    aaah kijamaa kichoyo kwao.hii n movie nyie ad inakera kw uzuri daaa💥

  • @isayamanyabili6152
    @isayamanyabili6152 Před 10 měsíci +2

    Achieni full bas hii ni Bora sana

  • @wasafi_charts1771
    @wasafi_charts1771 Před 10 měsíci +2

    Kazi nzuriii

  • @AsheryMwaweza-fb2oz
    @AsheryMwaweza-fb2oz Před 10 měsíci +4

    Nakubal

  • @jamalijafari1935
    @jamalijafari1935 Před 10 měsíci +2

    nakubali sana wajomba

  • @zegeclassic7957
    @zegeclassic7957 Před 10 měsíci +2

    Nawakubali wote

  • @FadhiliKingwama-lk2cq
    @FadhiliKingwama-lk2cq Před 10 měsíci +1

    Sema we jamaa una madini mengi sana kichwan

  • @adolfsungurumaa
    @adolfsungurumaa Před 10 měsíci +3

    Mambo pambeee
    Waiting for the next episode...mnanipa burudan keep it up

  • @user-bi7ie1db8r
    @user-bi7ie1db8r Před 10 měsíci +3

    MTU Napenda kazi yenuuu

  • @shaiburamadhan5068
    @shaiburamadhan5068 Před 10 měsíci +1

    oya mwangu kikosi we ni nomaaa 👊

  • @BraytonElias
    @BraytonElias Před 9 měsíci +1

    nakubali sana nasubili 10 nikoradhi nikope bando

  • @Jean.muhindo
    @Jean.muhindo Před 10 měsíci +4

    Benroyal muko vizuri sasa 100%😊😊😊❤❤❤ 16:19 16:19 16:19 😅😅😅😢😢😢

  • @elishatanganyika154
    @elishatanganyika154 Před 10 měsíci +5

    Nimekuwa wa kwanza nipeni like

  • @PpyshayooNyaturo
    @PpyshayooNyaturo Před 10 měsíci +1

    Mmmmh nawaza Sana jamn..Barak ni Nani jamn

  • @sonalamhangwa8735
    @sonalamhangwa8735 Před 9 měsíci +1

    nakubali sana uigizaji wenu hongereni, lakin binafs nahitaji mwendelezo wa hii tamthilia

  • @mastermaster1627
    @mastermaster1627 Před 10 měsíci +2

    Congratulations we love u

  • @ramadhanhamis6451
    @ramadhanhamis6451 Před 10 měsíci +2

    Kazi nzuri

  • @ErnestBainga
    @ErnestBainga Před 7 měsíci +1

    Mnajua sana siwapingi tukisema movie kali nyie mnajua kuzitengeneza director unajua sana.ila ningepata jina la iyo nyimbo abel aliyomuimbia eliza ni kali sana 🔥🔥🔥🔥

  • @BraytonElias
    @BraytonElias Před 9 měsíci +1

    sawaaa ukitaka ningependaaa
    niangalie sehem 10

  • @missdee25463
    @missdee25463 Před 10 měsíci +12

    Amanda hakuna kuachika 😅😅😅 I just love the vibe in this fam ❤ 🎉 kazi safiii Director

    • @nalamzalendoo
      @nalamzalendoo Před 10 měsíci +2

      Amanda anakaza sana muhuni alafu Ana mahaba 😃😃😃😃

    • @missdee25463
      @missdee25463 Před 10 měsíci

      @nalamzalendo1929 when I grow up I want to be like Amanda 😅😅😅 the courage is giving ❤️❤️💪💪💪

  • @user-qm6fh8ds8b
    @user-qm6fh8ds8b Před 9 měsíci +2

    Oya mnajelewa sana jitahiti upande wa time am from Kenya man but shukrani you're doing good job

  • @lizchepkorir2000
    @lizchepkorir2000 Před 10 měsíci +3

    ila mnakaisha wanangu banaaa😥kazi nzuri sana🔥🔥

  • @derrickpoul9504
    @derrickpoul9504 Před 10 měsíci +3

    Tom walivua nguo et 😂😂

  • @rehemakazungu6945
    @rehemakazungu6945 Před 10 měsíci +4

    Nawapenda Bure ❤❤❤

    • @nalamzalendoo
      @nalamzalendoo Před 10 měsíci +1

      Tunakupenda pia Familia🙏🙏🙏

  • @WakujaTech
    @WakujaTech Před 10 měsíci +2

    Anaombewa sasa😂

  • @danieltunga7025
    @danieltunga7025 Před 10 měsíci +3

    🎉🎉

  • @user-mv6vd4us3z
    @user-mv6vd4us3z Před 10 měsíci +3

    Leo nimekuwa wa kwanza hakika inapendeza naombeni like nyingi kwa niaba ya ben royal family ❤❤❤❤❤

  • @oscarmwanawaboi4253
    @oscarmwanawaboi4253 Před 10 měsíci +3

    Ila kana kitu kanaweza kufika mbinguni 🤣🤣.Tom pimbi kweli!!!😅

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 Před 10 měsíci +3

    Baraka na mwenzie oohoo vituko amemtishia Abel hana amani.Nawapenda sana Team Benroyal

  • @user-cj8dt8tv1w
    @user-cj8dt8tv1w Před 10 měsíci +5

    Pamoja sana

  • @masebetv5008
    @masebetv5008 Před 10 měsíci +2

    Lakn mnachelewesha san

  • @rachealkitsao259
    @rachealkitsao259 Před 10 měsíci +2

    Kazi safi sana🎉🎉🎉🎉

  • @Actionplusmov
    @Actionplusmov Před 10 měsíci +5

    🔥🔥🔥

  • @Madogodigital
    @Madogodigital Před 10 měsíci +4

    🔥🔥🔥🔥

  • @JacksonHonde
    @JacksonHonde Před 10 měsíci +2

    Jaman munachelewa kutoa movie

  • @Djugaripro
    @Djugaripro Před 10 měsíci +5

    atimaye mumerud

  • @user-bu2in7cu1h
    @user-bu2in7cu1h Před 10 měsíci +5

    Nakubali sana kazi zako director Ben 🔥🔥🔥🔥

  • @AwamoPro-rt3sl
    @AwamoPro-rt3sl Před 10 měsíci +5

    Nic

  • @maureenkalama4029
    @maureenkalama4029 Před 10 měsíci +5

    🔥

  • @methodkanjanja
    @methodkanjanja Před 10 měsíci +2

    Nakubali sanaaaaa kazi nzuri sanaa. From Karnataka

  • @Maady_is
    @Maady_is Před 10 měsíci +2

    Imetec time sana kwanini

  • @user-nb4zk7fg9f
    @user-nb4zk7fg9f Před 5 měsíci +1

    Kali sana iyo

  • @JoeMziwanda
    @JoeMziwanda Před 10 měsíci +3

    ✊🙌🙌🙌🙌

  • @user-bi7ie1db8r
    @user-bi7ie1db8r Před 10 měsíci +2

    Benroyal unatisha San

  • @Famoboy-nq9sy
    @Famoboy-nq9sy Před 6 měsíci +1

    Thom boya kwel🎉🎉🎉