JINA EPISODE 9 | MTU | Benroyal Movies | Comedy
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2024
- Kwani kikosi ni mtu wa aina gani, ungana nasisi kufuatilia yatakayojili katika mwendelezo wa series ya jina sehemu ya 10
#new #swahilimovie #tamthiliazetuleo #juakaliseries
#jinaseries #mtu #bongomovies #diamondplatnumz
#benroyalmovies #mbeyaimpact #bestafricanmovie
Oyiiii wangapi wanaotaka kujua km mimi kikosi ni mtu wa aina ganiii
Mbn kanichanganya na yale macho mekundu
Naomba series yetu pendwa ikuje Kwa wakati tujue kuhusu kikosi ni nani kwani💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🍾🍾🍾✅✅✅✅
Allah awajalie kufingia malengo sababu mnajituma sana kiukwel mnatufurahisha
Amen
Kiufupi hiii kitu nzuri sana sana tatzo moja t mnachelewesha sana jamaa zang
Yaan hii epsode tam saana vichaaa viwili vimekutana kikosi na master g haish taam
😂😂 namkubali kikosi afu Kikosi neno la Mungu limemuingia 😂
😂😂
Jamaa nawakubali sana ila mulikuwa mumekawiza jamaa❤❤ bonnie,nala mzalendo congratulations
Mnachelewa sana kutoa muendelezo mbaka tunasahau ila mko vizuri nawakubali sana.
Duh hongereni kazi nzuri na imewahi Leo ❤❤❤
😂😂😂😂😂😂 mbna ni noma sana nimeipenda San kikos noma san
kazi nzuri 👊maana nimeisubili kwa hamu kubwa sana
Benroyal muko vizuri sasa💯
Mnafanya Vzur nawakubali
Mnatucheleweshea sana mnatutowa mudi tunaowafatilia na kuwapenda kazi zenu
Utokwe na mudi baki nae huyo Tusonge👊🏾
Wow .
Series yangu pendwa👊🙏..
Naisubiri jungwa🖐🤗
Mzitoe chapuu wanaa 😢😢 maana ni kalii
Bro napenda Sana kazi zenu nipeni support na mm
10 naingoja kwa mpigo ....all the way from migori Kenya...nawakubali sana ... na naipenda sana "MTU"
Wakubwa wa kazi nasema hvii Hizi Move zinapaswa tuzo ya mwaka kabisa
Nawafwatilia mnoo mimi shabiki number one
niliisubiri sana hatimaye ipo hewan safi sana team nzima kwakazi 👏👏
Ongera baraka, vizuri sana kaka, kazi nzuri . Twaingoja episode 10 kwa
Hamu.
Duh yaaan hii ni zaid mnajuw sana plz naomb muwe mnatoa vpnd hata vitatu kwa pmoja❤❤❤❤
😅😅😅Kana kitu katafika mbinguni
Nimekuwa 24 lakini najuaxikoxi like
Hakika niliisubilia sana
Aaaaaa kikosii kweli hii move inafundisha sana kazi nzuri wakuu❤❤❤❤
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Moto Wa Kuotea Mbali 🙌🙌🙌
#JINA nakubali sana imeweza mtuuuuuuuu!!! MOJA KALI YAANI🔥🔥🔥🔥✅✅✅
Waisheni vyumaaaa Ben Royal...kasi iwe kubwaaaa
Hee Mashine mbona inasuasua Benry Clew, ✅fanyen kwel bongo hajawah tokea🔥🔥🔥💪
Master Ji Leo kafurahi sana 😂😂😅
bila shaka wala wasiwasi,kumovie haka kananipendeza sana❤ keep it up
Nakubali kazi ZENU
Mi wakwanza Leo tena😢😢 kutoka mwisho😂
Nawaelewa sana
Jaman jamani tunaomba muwe mtatuwahishia movies yetu bc dar
Ni nzur sanaatatzo unachelewa kupost qd tuna sahau tulips ishiaq😊😊
Tatizo hujui changamoto yetu ndo maana unasahau
Tupp pamoja adi mwisho
Machine kaka ben
Master G anaua sana
Kazi safi
Na mimi leo nimejitaid
Asante sana tunaombatu musiwe munachelea sana ❤❤❤
Tunafurahia uwepo wenu uwezo wenu sanaa mlonayo hongeren mno
Asante sana
Kazi nzuri ❤❤❤❤❤❤
Nakubal kk wanangu wa isanga
😂😂😂😂😂hAtimAe namimi nimekua wAkwanzA
Inapendeza xana
Hongereni sana Kwa kazi nzuri
tatzo mnalala sana, ni nzur lakn 2naichoka kwa kuichelewesha
Benroyal picture nimeipenda sana lakinibdada yake na tomu sijamuona nampenda sana
Utamwona tu
Kaka be loyal unachelewesha sana kaka move kali sana naipend ila tunasahau kipnd kilichoisha kilikuwaj man inakaa muda mrefu
Nasema hapa kazi tu. Oya weeeeeeee sio poa sana ya bongo inazidi kupepea anga za juu here from Mozambique 🇲🇿 pamoja sana
Pamoja sana
Hiiii mov inachelewa kutok
Atimae today tumekutana Again🎉🔥🙌 from mozambique🇲🇿🇲🇿
aaah kijamaa kichoyo kwao.hii n movie nyie ad inakera kw uzuri daaa💥
Achieni full bas hii ni Bora sana
Kazi nzuriii
Nakubal
nakubali sana wajomba
Nawakubali wote
Sema we jamaa una madini mengi sana kichwan
Mambo pambeee
Waiting for the next episode...mnanipa burudan keep it up
MTU Napenda kazi yenuuu
oya mwangu kikosi we ni nomaaa 👊
nakubali sana nasubili 10 nikoradhi nikope bando
Benroyal muko vizuri sasa 100%😊😊😊❤❤❤ 16:19 16:19 16:19 😅😅😅😢😢😢
Karibu sana
Nimekuwa wa kwanza nipeni like
Mmmmh nawaza Sana jamn..Barak ni Nani jamn
nakubali sana uigizaji wenu hongereni, lakin binafs nahitaji mwendelezo wa hii tamthilia
Congratulations we love u
Kazi nzuri
Mnajua sana siwapingi tukisema movie kali nyie mnajua kuzitengeneza director unajua sana.ila ningepata jina la iyo nyimbo abel aliyomuimbia eliza ni kali sana 🔥🔥🔥🔥
sawaaa ukitaka ningependaaa
niangalie sehem 10
Amanda hakuna kuachika 😅😅😅 I just love the vibe in this fam ❤ 🎉 kazi safiii Director
Amanda anakaza sana muhuni alafu Ana mahaba 😃😃😃😃
@nalamzalendo1929 when I grow up I want to be like Amanda 😅😅😅 the courage is giving ❤️❤️💪💪💪
Oya mnajelewa sana jitahiti upande wa time am from Kenya man but shukrani you're doing good job
ila mnakaisha wanangu banaaa😥kazi nzuri sana🔥🔥
Tom walivua nguo et 😂😂
Nawapenda Bure ❤❤❤
Tunakupenda pia Familia🙏🙏🙏
Anaombewa sasa😂
🎉🎉
Leo nimekuwa wa kwanza hakika inapendeza naombeni like nyingi kwa niaba ya ben royal family ❤❤❤❤❤
Karibu sana
Ila kana kitu kanaweza kufika mbinguni 🤣🤣.Tom pimbi kweli!!!😅
Baraka na mwenzie oohoo vituko amemtishia Abel hana amani.Nawapenda sana Team Benroyal
Tunakupenda piaaa
Asante sana
@@Actionplusmov mtusogezee episode inayofata
Pamoja sana
Lakn mnachelewesha san
Kazi safi sana🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥
Jaman munachelewa kutoa movie
atimaye mumerud
Nakubali sana kazi zako director Ben 🔥🔥🔥🔥
Nic
🔥
Nakubali sanaaaaa kazi nzuri sanaa. From Karnataka
Imetec time sana kwanini
Kali sana iyo
✊🙌🙌🙌🙌
Benroyal unatisha San
Thom boya kwel🎉🎉🎉