Kwamba Yahya zaidi ni bora kuliko Aucho, ambaye ni Captain wa timu ya Taifa ya Uganda, wakati Yahya Zaid hayuko hata timu ya Taifa!!! Labda ka tunatanguliza uzalendo.
Watu wanapotembelea yatima na wasiojiweza pia huenda kujifunza wanaishije katika hali ile hivyo Mazembe kutembelea Yanga ni kawaida kwani binaadamu wote ni sawa sio kwa sababu eti wanajua. Tuache ulimbukeni.
Aucho kuwa captain Uganda siyo sababu ya kumfanya kuwa bora kuliko yahaya Zayd. Kuna mwanafunzi anashika nafasi ya 1 shuleni kwake, alafu anazidiwa na mwanafunzi anaeshika nafasi ya 10 kutoka shule nyingine, so kuwa captain Uganda sio deal
Ndio hao ligi haijaisha wanasema Feisal awe mfungaji bora ata kama atazidiwa goli 1 au 2. Hapa ndipo nilipoamini Tanzania hapana wachambuzi, isipokuwa wapo wachafuzi.
Haina shida kubebwa mbebwe nyie kwa misimu yote 4 sio shida akibebwa njano na kijani una hahaa au bado huridhiki na inavyobebwa timu yako kushika nafasi ya 2.?
Aucho ni top 10best holding midfielder in Africa, alf unasema yahya zeyd..Heshima kidogo ndugu yngu
Aucho is the best for me
Kikosi bila AUCHO KHALID ni kukamilisha ratiba tuuuu mzeee wangu
1. Djugue diarra
2.Yao Kwasi
3.Pascal Msindo
4. Fentosy Mandoza
5 . Ibrahim Bacca
6. Khaleed Aucho
7. Kipre Junior
8. Mudathir yahaya
9.Aziz ki
10.Feisal Saloum
11.Paccome Zouzoua
Fentonsy ni bora kwa Job? Hata mara 2 haingia.
@@pastorgodwinchengula7848 performance yake mpk sasa kiupande wangu amefanya vzr sio kwamba job ni mbaya hapana ila nimeona kama fentonsy amefanya vzr
Ki Stephan Aziz mwamba wa wagadugu de magician
Mr MVP🎉
Kikos bila Aucho hilo ni kundi la wapiga ngoma
Ushafeli bro, kikosi ulichotoa ni hafifu sana...chukua tu Yanya ilivvyo...acha unafiki wa kupindisha maneno...unamuachaje Dickson Job, Aucho, zengeli,...unaumwa wewe...kapime
Yahya Zaidi hap umefeli
Aucho alistahili
TOA bin zayd weka Aucho
Kwa Yahaya mmetaka kubalance tu ila hawezi muweka Aucho benchi
YANGA KAMA VIP , PIGACHINI GIFT FRED WEKA LAMECK LAWI.
Bila kumuweka mudathir ni bora ata pakome angekosekana kuliko kukosekana kwa mudathir
Kwamba Yahya zaidi ni bora kuliko Aucho, ambaye ni Captain wa timu ya Taifa ya Uganda, wakati Yahya Zaid hayuko hata timu ya Taifa!!! Labda ka tunatanguliza uzalendo.
Wamekuwa Wana mdis Sana Khalid Aucho Kila mwaka ktk kikosi Bora Cha msimu. Nafikiri the man is underated so much.
Na nyinyi wekeni kikosi chenu hamjakatazwa
Amecheza mechi ngap
Where is Dr Aucho
Where is aucho wew nyambafu
Kikosi cha msimu huu hakihitaji kuwana no 9 coz striker wote hawakufanya vzr pale aweke false 9
We jamaa una ushabiki sanaa😂
Hapa hamna wachambuzi aucho is the best asee unamkosea heshima
Huyu nae chizi Yani Yahaya Zaid unamuweka uku unamuacha Khalid Aucho kweli? Mwehu huyu
Where is Dr Khalid aucho?
You can't compare aucho with yahya😅😅😅
Mchambuzi wa mchongo kabisa hahaha
kuna hii nichambuzi mingine sio ndo ubinafsi wao kama clouse unamkosaje aucho kwenye top ten mweu ww
Muweke na mamaako
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Me nacheka2
Wengne wajifunze kupitia YANGA kama TP MANZEMBE walivyofany
Watu wanapotembelea yatima na wasiojiweza pia huenda kujifunza wanaishije katika hali ile hivyo Mazembe kutembelea Yanga ni kawaida kwani binaadamu wote ni sawa sio kwa sababu eti wanajua. Tuache ulimbukeni.
Yani hyo time viungo bora kumbe hata mudathiri hayupo huyu pandikizi
Tunasubilia Wasafi wapange nao
Unatania wewe..
Shida wewe hauko kwenye familia ya michezo alafu ni mchambuzi wa mpira
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yanga bingwa kuna watu wanaumia ujue😂😂😂😂😂😂😂😛😛😛😛😛😛😛 ata mkinuna yanga bingwa😁😁
Millard ayo nawaheshimu ila kw mpira nyie bado sana
😛😛😛😛😛😛😛 yanga bingwa😂
Afu wanakuwa wabishi kujifunza 😅😅
Aucho kiboko wewe acheni manchncha
Kumbe maon yako unamwacha aucho we hujui bol
Yaani uyu jamaa ajuwi mpira kabisaaaaa aucho akae bench
Hujui mpira ww pimbi aucho, max wakowapi?
Aucho kuwa captain Uganda siyo sababu ya kumfanya kuwa bora kuliko yahaya Zayd. Kuna mwanafunzi anashika nafasi ya 1 shuleni kwake, alafu anazidiwa na mwanafunzi anaeshika nafasi ya 10 kutoka shule nyingine, so kuwa captain Uganda sio deal
Me nilijua hyo takwimu ya Tff kumbe ya clouse
Or ndio munapigia promo na mapema 😅😅
Ndio hao ligi haijaisha wanasema Feisal awe mfungaji bora ata kama atazidiwa goli 1 au 2.
Hapa ndipo nilipoamini Tanzania hapana wachambuzi, isipokuwa wapo wachafuzi.
chambuzi lenyewe halina meno 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅😅
Meno yamo sema domo pande
Nakukubaliana nawe ispokuwa Bacca namweka na Inonga ,pia yahya Zaid anatoka anasimama Auch.
Tutajifunzaje kwenye timu inayobebwa mara penati ya katkati ya uwanja mara kadi nyekundu za uongo yanga inashinda kwà kubebwa tuu na sio uwezo😢😢😢
Hata Simba slipigwa kwakuonewa ba sio kuzidiwa nwaka tutachezesha mechi zote bila marefa ili kila mtu afe mwenyewe
Unamaanisha hata penalty 2 za Yanga dhidi ya Simba ni za uongo! Na yale magoli 7 kuna ambalo ni la kununua?
Uyu mwehu?? Au malaria imepanda kichwani
😂😂😂 kiazi mviringo peleka huko mataputapu yako kwa akina ngungu mjadilia kumleta manzoki 😂😂
Haina shida kubebwa mbebwe nyie kwa misimu yote 4 sio shida akibebwa njano na kijani una hahaa au bado huridhiki na inavyobebwa timu yako kushika nafasi ya 2.?
Ushafeli bro, kikosi ulichotoa ni hafifu sana...chukua tu Yanya ilivvyo...acha unafiki wa kupindisha maneno...unamuachaje Dickson Job, Aucho, zengeli,...unaumwa wewe...kapime
Ushafeli bro, kikosi ulichotoa ni hafifu sana...chukua tu Yanya ilivvyo...acha unafiki wa kupindisha maneno...unamuachaje Dickson Job, Aucho, zengeli,...unaumwa wewe...kapime