NILITAKA KUWAFANYIA SIMBA USAJILI ILA HAWAKUNIAMINI | KUIZAMINI SIMBA PIA WALINIKATALIA |NAONA MBAL
Vložit
- čas přidán 16. 05. 2024
- CATCH US BONGO FM 📻
90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: bongo_fmtz
TWITTER: https: BONGO FM
FACEBOOK: BONGO FM
#rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
#kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
Transcript - Zábava
Yes,hii kichwa ni full package mungu akuweke mkuu huna baya
Mheshimiwa na mm natamani siku moja nikuone. Naomba appointment. Samahami sana kama ikikupendeza naomba unipe nafasi yakuongea na wewe! Natumaini utaupata ujumbe wangu🙏🙏
Wachieni MO dewji na Mh Gulamali na matajiri wengine tuwape uhuru wawekeze kwenye Virabu! Lakini waheshimiwa sana ninyi akina mwigulu endeleni na Siasa! Taifa hili lina changamoto ninyi! Na mwenyezi Mungu awape Rehema na toba!
Sawa kabisa nilikuona kule tulya kata ya kisilili 2012 ulikuja kuwaona vijana na kuwasaport mipira tukasalimiana.nikweli kabisa usemacho kule doromoni kuna vipaji sana mpira wa miguu
Mheshimiwa Mchemba nimesadiki kumbe wewe ni mashabiki mshiriki wa Mpira, bila kuingiza upenzi, hongera sana!
Inchi hii SaSa imefika mahali tunadimba! Waheshimiwa Jaribuni kumheshimu mama ametulia na majukumu yake! Lini Waziri wa fedha akaingilia maswala ya wachezaji? Na ndo maana Ligi na mechi hazieleweki Tanzania! Tumwaamini mwigulu nchemba ILI iweje kwenye SsC! Pole Sana MO dewje kumbe tunakuonea sana!
Shida watanzania tunapenda timu kuliko mpira,wengi Wana comment Kwa Sabab za kishabiki.Mwigulu ni mtu wa mpira for sure
Kumbe mh apart from Siasa, ungeamua kuforcus n mpira ungelikua bonge La wakala
RAHA KWELI❤❤❤ ASANTE MHESHIMIWA😮
Ndio maana mungu anakuona kwa kukupa kila hitaji lako kiongozi ukweli naitaji sana kukuona kiongozi wetu
Muheshimiwa kama unayo ongea ni kweli mimi sikuchukii tena kimichezo.
Mbona kila ukiondolewa kwenye uwazir huwa timu zako zinakufa??
Mimi ni simba nimekuelewa mzee wa trab na trat
Mheshimiwa upo sahihi kabisa kabisa we una roho nzuri kaka
Hii ya kagoma kumbe simba ndio walikataa…naamin sasa kahoma anaenda yanga msim huu
Jembe la wananchi
Kwa maelezo haya Simba ina moles wengi sana. Background ya wachezaji ni muhimu sana; wasaliti wanaweza kuwa wa kutosha
Hii ndio Tz
kama pesa za Tanzania zinatumika tanzania mimi nipo sawa na mwigulu. piga kazi.
you might say what you want to say. but i support local sports
Binafsi unachokiongea nakiona kinatoka moyon na si mdomon tu ,mpira wa miguu Tz utapiga hatua kukiwa na wadau weng wa aina yko,,
Na mtoto wangu mheshmiwa anaitwa Enjo Timoth Mlewa amekaa azam miaka mitatu toka Ander seventyn mpaka Ander twent sasa hiv yupo kagera suger naomba msaidie
Kuwa shabiki ni jambo la kila mwananchi lakini ukiwa kiongozi wa Taifa huhitaji kujifunua kuonyesha timu unayoishabikia. Kudhamini timu nyingi kwenye logi moja nimeiona hapa Tanzania. Haiwezekani eti mtu mmoja awe anashindanisha timu zaidi ya moja ili kutafuta mshindi hapo ni kutoa rushwa kwa timu ukiangalia timu nyingi zilizokuwa chini ya udhamini wa GSM zilikuwa zinafungwa kipindi cha pili ili timu iliyodhaminiwa ionekane imechoka kumbe ni janja yao hata baaadhi ya makocha wa timu pinzani walidiriki kukubali kuwa ni kwa ajili ya maokoto timu zao zilikubali kufungwa.
Kwahiyo ww kwa umli wako kipindi mo anaizamini Simba ,cost ,namungo ,na kadhalika inamana ww ulikuwa ujazariwa nini
Wengine humu niwatoto siyo ❤wakuhangaika nao sisi tuliozaliwa kabla hata tv hazijafika wala kujulikana zipo duniani tunaelewa kuhusu wanasiasa ambao walishakuwa wanasoka kabla ya siasa badala wachukue nakujifunza mazuri ya mwigulu wao wanaacha mema wanatafuta mabaya wanaleta ushabiki 🤔🤔🤔sijui wanaelekea wapi
Huyu ni Waziri wa fedha wa Nchi.
Asante mheshimiwa unasaidia vijana kuna dogo anitwa Abisoni mwenda anakipaji cha mpira hana baba wala mama yuko itona mufindi anasoma kidatu cha pili naomba umsaidiee atomize ndoto zake yaani kwenye kiwanda chai mufindi
Mwigulu upo vzr wewe waache wanaosajili kwa majina cy vitendo. Km unapenda michezo basi wasaidie SIMBA wanafeli wapi kweli usajili au wanapiga hela tuu
Kwanza fanya utajiri mzuri kwenye wizara yako yafenza tozo zisizo namsingi mfumuko wabei kwenye mahitaji muhimu hilo ndio jukum lako lakwanza😢
Kunawakati inabidi tutafutane kwa maendeleo ya watu wetu. Nivigumu lkn ikibidi tutafutane naona utafaa.
Vipi Tchakei ataruhusiwa
huyu jamaa akawe msajili wa yanga , atuachie uwaziri
Kwa hiyo muheshimiwa unatumia ela ya nchi kununua wachezaji wa Yanga
Bw. Mwigilu achakutudanganya sisi wapenzi wa simba,ongelea timu yako ya yanga.
Msaidie mwnangu yupo kagera suger amepita akadem ya Azam Anaitwa Enjo Timoth Mlewa
Mtu wetu wa nguvu wanchi
Unauliza pesa anatoa wapi mmh waziri wa fedha huyo
Kwenda huko utopolo mmoja
Uishi miaka mingi na afya tele
Mkuu kweli tunajua unapenda mpira lakini pia Kuna unfair kwa football yetu means , mbona husajili wachezaji kwa vilabu vingine vidogo
Tutafika tu siku moja.
Nchi ngumu hii sijawahi kuona
mkuu ninakijna anaenda 5 Anamika 18 anakipaji mkuu anajua nisaidie kaka hata atoke nae
Huyu Jamaa anazungumza uharo, is he related to Manara. Kazi I? What do you actually do! Hawa ndiyo viongozi, nchi inaenda wapi?
Yaani huyu bwana kukabidhiwa bank akajikuta yeye ni mfanya biashara anataka apambane na wafanyabiashara na kusahau kama ile pesa pale bank kuu ni ya watanzania. Unataka kuwekeza kwenye mpira unaleta tamaa aisee. Huyu ni mwizi guys mchunguzeni hana kitu,oneni Singida saivi iko wapi na yeye yuko wapi!???
Uwe na adabu unaacha kutoa maoni ya maana unatukana usenge unaujua?
Nilicho kinasa kikubwa huyu jamaa ni yanga dam hata u ingwa wao kawasaidia yanga waupate
Kumbe mh.wewe ni wakala lakini ume base kwa yanga na kumiliki zaidi ya timu mbili kwenye ligi moja hi si sawa mh.
Hii pesa unaitoa wapi mh mbona nyingi Sana ?
Wapi anapata nguvu hizo
Matusi humu hayana nafasi kukibwa uelewa ty
czcams.com/video/AirjxNk9O0A/video.html&feature=shared
Fesal na Simba imeishaiyo Tazama ujionee
Singida unawasaidia nn acha kujiona unajua mpira
Huyu jamaa anajimbo kubwa na ana mwaga moto vbaya mno
Tuna ku Amini. Lakini wewe ni yanga.
.
CCM na Yanga kunani?
Kwani unamjua George weah? Alikuwa mchezaji bora duniani, je hakuwa rais wa Libria? Unashangaa mpira na siasa? Nchi hii ilijihusisha sana kwenye michezo katika upatikanaji uhuru, unashangaa siasa na michezo? Wewe bure kabisa.
Petty theft
Anabalance story mwigulu na huyu ndo anaeisumbua simba toka Amekua mbunge na ndio Anaetoa hela za usajiri za yanga na ndio wanaoikwamisha simba upande transformation pamoja na huyu jamani nieleweni ila hawataki kusema ukweli watanzania
Anaisumbua vipi wkt kila timu inawazamini wakee?
Nanyinyi mandunduka tafuteni wazamini, msimtegemee Mo peke yake.
Makolokwinyo mnajisumbua wenyewe acheni visingizio
Huyu si mwizi tu anakula hela za serikali
Huyu msenge ndo anaharibu mpira wa tanzania
@@anastahiliutawala3879 Alipokuwa Mo anaidhamini Simba kikamilifu na wakabeba ubingwa mara tatu mfululizo alikuwa haharibu mpiraaa?
Anaongea kitapeli tapeli tu
Kwa hiyo singida ipo kwa akili ya yanga hatuitaki
Jamani mpira na siasa wapi na wapi ndiyo maana soka letu haliendi mbali
Mpira ni Starehe! Siasa ni maisha.
Kwani mkuu ww ni msaji wa timu, sijakusoma mkuu,
Na mmeamini kua yanga ni ccm?
Umeamin ww 2....mwenye akil mgando
Kwa hiyo viongozi wa CCM wapenzi wa Simba mfano Spika na waziri mkuu nao ni Yanga?
Kwani simba ni chadema au ACT.?mbona hutwambii?
Misallocation of governmental funds YANGA bila ya CCM hamna kitu Sawa na (kuku + yai)
Pesa ya Serikali hiyo
Acha upumbavu unamtukana Mwigulu kwa sababu yy ni yanga? Hata kabla hajawa waziri wa fedha alikua anaimiliki singida. Acha wivu wa kijinga msenge ww.
Yanga ilianza kabra ya wewe mpumbavu mkubwa we yaani unavyo jitanua kama iyo yanga ni mali Yako kwenda
Huyu msenge anatumia hela ya nchi kuharivu mpira wa tanzania
Kwanini unamtukana mtu ambaye ajakukosea..
Tuache matusi kwenye viongozi wetu WA nchi,kama huridhiki nae nyamaza Tu.
Heshima muhimu
Uwe na heshima na Adabu kwa watu, sio kutukana watu. Angekua babako ungemtukana?
Kaharibu nini hapo?? Acha wivu
Kuwa makini kijana,acha kutukana tukana Baba zako hovyo.
Simba haikuhitaji wewe ni kati ya wanaoharibu soka la bongo badala ya kushindana kwa haki wewe unanunua mechi ( marefa na wachezaji)!
Jamani muwage na aibu sometimes