Video není dostupné.
Omlouváme se.

AY alianza kuwa nominated(KORA) nje kabla ya Bongo | Asisitiza Time management

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 05. 2024
  • Sehemu ya tatu na ya mwisho ya mahojiano kati ya Bongo Project na AY.
    #ay #bongoproject #bongofleva #tanzania #Kora Awards #kora
    Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
    --------------------
    WEBSITE
    --------------------
    bongoproject.org/
    --------------------
    SOCIAL MEDIA
    --------------------
    Instagram: / bongo_project
    Facebook: / bongo-project-10256641...
    TikTok: / bongoproject
    --------------------
    CONTACT
    --------------------
    Email: info@bongoproject.org

Komentáře • 12

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 Před 2 měsíci +3

    Huyu ndiye msanii ambaye namkubali sana, hana majivuno, hana mashauzi ya Kiingereza kingi kwenye mahojiano, vizuri sana.

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 Před 2 měsíci +1

      Kwani majivuno yake yanakuhusu nini au yana ubaya gani?

  • @ursulinenyandindi3051
    @ursulinenyandindi3051 Před 2 měsíci +1

    Time management bongo sahau...

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před 2 měsíci +2

    Kipindi safi kuna vingi vya kuchukua

  • @user-ib3sl7wg5u
    @user-ib3sl7wg5u Před 2 měsíci +2

    Sauti vipi ?

  • @jaypmunyamaofficial3488
    @jaypmunyamaofficial3488 Před 2 měsíci +1

    Watu wasichojua ni kwamba Jay-Z mke wake ni msanii hivyo public wataonekana kama wafanya biashara

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 Před 2 měsíci +2

    Hata huyo Jay Z anayemtolea mfano mbona anamwonesha mkewe na mtoto wao public? Ajibu swali kama yeye na mkewe bado wako sawa?

    • @samirmswahili
      @samirmswahili Před 2 měsíci +2

      Maisha binafsi yanahusu nini katka humu

    • @denismwangalaba3802
      @denismwangalaba3802 Před měsícem +1

      Mke wa huyo jayz nae ni msanii...so automatically lazima umjue