🔴
Vložit
- čas přidán 29. 03. 2023
- 🔴#Live: RAIS SAMIA AIPONGEZA MAREKANI MBELE ya KAMALA HARRIS - "SERIKALI YENU INA MAANA SANA KWETU"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amempokea Mhe. Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani Ikulu jijini Dar es Salaam Machi 30, 2023
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Hatutaki mashoga, hatutaki ushoga, mwenyezi mungu tuokoe watanzania.
Wamerikani kueneza ushoga na kutumia fedha nyingi ku-promote kupitia ma- NGO nchini kwetu na nchi zinginezo duniani ni ushetani uliokubuhu, laana na machukizo makubwa mbele za Mungu. Nchi yoyote inayokumbatia sera hizo lazima ipokee mapigo ya Mungu. Tz mutegemee Mungu zaidi kuliko mwanadamu awaye yoyote ili kuepukana na ghadhabu ya Mungu.
Kuweni makini na hawa mashetani msije mka kubali kurubuniwa ku saini mikataba ya ushoga tukaiweka nchi kwenye usodoma na ugomola hawa watu hawajawahi kuwa na jambo jema kwa waafrica tunawapenda viongozi wetu Mungu awasimamie sana
Simu unayotumia,internet unayotumia imetoka kwa hao hao mashetani,mashoga wapo mjini na hata huko USA hawajawahi kufika
@@MultiMbongo itakuwa ba wewe mmoja wao maana sio kwa makasiriko.hayo
@@MultiMbongo acha ujinga wewe kwani kutumia kitu akiekitengeza yeye ndio ukubali kumuaswi Mungu wametengeza vitu wameuza so sio kama tunawategemea wao wanatutegemea bila yasisi kununua masimu yao wasingepata pesa za kukidhi maisa yao ondoa ujinga wakusema unatumia vitu vyao wakat umenunua kihalali kimekua ni mali yako
Hatutaki chochote kutoka kwao kwani hatuendani sifa na tabia
ila huyu mama huyu 😂😂😂asije kukubali ushoga huyu maana mh haaminiki kwa kweli
Mara ngap
Waambie kabisa kuhusu ushoga hio tabia warud nayo kwao.
Mtuambie lengo la ziara hii ya makamu huyu wa rais wa Marekani tujue
ewe Mola wetu mlezi ingilia kati kutu nusuru na harakati za mashetani na ushoga na wewe ndio unajua kunusuru amin
Kikao Cha ndani huko Mungu muumbaji shika fahamu za viongozi Ili busara za viongozi wetu ziongozwe na upendo WAKO Mungu na rehema zako Ili mawazo yenye hekima itokayo kwako Mungu ndiyo pekee yaweze kushinda uasi wowote wa Amri zako Mungu. Na baada ya kikao agenda zote mbaya zikatupiliwe mbali kwa jina la Bwana Mungu wetu aliye hai, yeye mwenye kutawala milele Amina.
Unapovua samaki lazima utanguliza chambo kwanza ndiyo samaki anase. Nadhani tulisharamba chambo kwa muda mrefu sasa.
Unaposifiwa na Marekani ask yourself where have you made mistakes? You might have made some for sure.
Allah akbar .wemama mkalibishe lakini huo msaa wakuboresha watu wao wapi sisi watu wamungu nahio mipango yenu muogopeni Allah msidandanyike namaisha ya kupita haya where is magufuli right now so fanya yote mama lakini usikubali mkataba wa mashoga na utambie pia Mimi kama Mimi namuunga mkono Putin couse america and there fans European is babilon thief
Sisi tunataka tutembelewe na putini ata akitaka vijana wa mapambano tupo Ila uyo wa marekani anasubiriwa na serekali na siyo wananchi
Aje Putin vijana tupo tayari
@@jumahamis5137 ndo Ivo sasa Putin ndo mpango mzima
Sasa akija puttin c vijana tutadeki barabara zote Kwa jinsi anavyokubalika
@@krizofrancisco5310 na hawez kuja sasa😂😂
@@danielfrancis7753 one day yes
Hongera Sana mama samia ipo siku watanzania tutakuelewa tu piga kazi mama yetu nakupongeza Sana na nina kuombea maisha mema ila jitaidi Sana kukamata mafisadi saiz naona Kama wanapumua vile na kutamba.
😍😍😍❤️
Tanzania nchi yangu nakupenda Sanaa. Mimi siamini katika maisha tuliyonayo kwamba Mzungu anatupenda Waafrica. Wakaribisheni watupeni hoyo misaada yao siyo ya bure kuna kitu wanatafuta. Wanatumia wanawake kuturubuni. Hata kstika Biblia Shetani alimrubuni Hawa. Je Adam alikuwa amelala fofofo shetani akaamua kumteka Hawa?
Misaada ya Wazungu ni sawa nakuwaingiza vyumbani mwetu tunamolala
Why Press conference without Questions? Be careful with Mzungus
Press conference without questions ??!!!
😢😢😢😢 noway
Mkalimani duuu!
Mama bonga kiswahili uyo ili nae ajifunze angalau Mambo VIP
Karibu sana Tanzania 🙏😍💯
Mkaremani amezingua atare
Hapo kwenye Russia hapoooooo,🧐
Musiwakaribishe wasagaji ndani ya ardhi yetu
Media done a raw deal to deny the opportunity to ask questions
kujipendekeza ugaiwe vijimsaada
Shetani akija hakutokei akiwa na mapembe, meno makubwa labda na harufu ya kifo... Anakuja kama mtu mzuri kulingana na matamanio yako binafsi... Lakini endgame yake inajulikana
putini mna mualika lini? watanzani mimi binafsi namkubali sana
Ninachokiamini hawa wazungu hawana msaada wa bure , msaada usio na malengo,
huyu atakubali ushonga tu samia haminiki yeye anaweza pesa na vipaka wanamtia roba kila siku
Du! Point
Chezea pesa wewe,watu wamelainika kama mwali.Hao ni wageni wetu hao huenda wamekuja kuposa
Tumebaki na mshangao mashoga hao
Mbona watu nnakalia mashoga hakuna ushoga tz , mimi sijasikia hayo.
Wameongea mambo mengine.
Hiyo ya ushoga ni mabo ya ndani ya nchi, tusipo kubali marekani hawezi tuletea kwa nguvu.
@@hassangasaba4565 pumbavuu wewe kwani ukijamba mpaka umwambie kila mtu kuwa umejamba?
Agender za ushoga ameacha wapi huyu mmarekani
Hebu tulia wewe mkalimali bhana ah
Mkalimani😂😂😂
Kwani Tanzanians don't understand English...!?
Mkarimani unanikeraaaaa..
Anakera sio kidogo ovyo kabisa.
Mmarekani akikusifia sana kuna kitu anakitaka mh rais yaani zanziba oshoga nje nje mashehe wanalalana na wanaume,mapolisi,yaani laana kubwa sana uko kimya kama.huoni
Acha kutukana watu ww kuna mashehe gani waliolalana? Wacha kutukana watu wenye heshima zao.
Mimi nawashangaa watanzania wenzangu, hebu tafakari jambo kama hili vipi kama marekani akisema nawapatieni dawa ya ukimwi lakini ruhusu mapenzi ya jinsia Moja utasemaje?
Dawa ya ukimwi warudi nayo na ushoga wao wakauendeleze kwao….kwanz ukimwi waliutengeneza wao na kuusambaza duniani
Kuna Cha ajabu kwani kipi? Mtu anakusababishia tatizo, alafu anakupa solution kwa masharti eti uruhusu ushoga hata akili ndogo tu inaweza kuhoji uhusiano wa dawa na kuridhia ushoga uko wapi?
Kila mtu anao kwani? Au kuna mwenye mpango wa kuendelea kupata ukimwi
Hapa kweli tunaanzaje kumkataa mmarekani kisa ushoga mbona kama tunachezeana tu,Mwakyembe anatafuta nn na Raisi anampango upi?
ushoga
nimemuona samia akisomeshwa kama mwanafunzi darasani . akiguna mmh ! mmh ! Mmh muda wote US VP akiwa anaongea
Mwenyezi MUNGU lirehemu taifa langu Tanzania kwani biblia inasema tuikimbie dhambi ya ushoga na tusikae pamoja na mashoga Wala kushikana mikono nao
Welcome Home land Honourable Kamala Haris The Vice President Of US.we love you and appreciate your visitation into our Country. Again appreciation to our Dear Mama beloved President Honourable Samia Saluhu Hasan. Stay blessed abundantly.Together we can let's join up our hands for the betterment of both Nations. It biggins we us 😘🤝🙏
ukiona mtu haukemei ushoga azarani hatamki kwa uwazi ila anakemea kwa mafumbo ujue ana muogopa sheni mkuu wa dunia
Mama anapiga mwingi mashaallah allah atakulinda atakupa afya njema uzina umri neema amani inshaallah 🇹🇿
Mwingi upi.
Mwingi wa kuuza nchi??!
Hapa Allah anahusiana na kipi kwenye kusaport democracy over other forms of government.😢
Tanzania inapendeza karibu Rais wa Marekani
Hawanaga msaada ya ukweli ayo ni watu wamasilahi kwao hajui kusaidia bilayakuku njoonya lazima watoa mashaliti kwetu
MUNGU TUNUSULU
Sasa Marekani inasimamiaje uchumi wa blue wa Tanzania? Au levels of slavery
Hivi waafrika tutaamka lini hivi kweli Amerka ni nchi ya kukaribisha kweli jamani tumuogopeni Mungu nililifikiri labda tuanze kufikiria kujinasua kwenye makucha ya wamagharibi kumbe tumelala bado
Ukoloni mambo leo
Yani rasilimali zetu zileeee
Hadi tutakapo weza kuishinda dhambi ya tamaa ndiyo haya yote yanaweza kuisha
Sang.ida
Hivi Huyu kamala mnamjua vizuri kweli ? Mmmmmh hahahaha eeee