🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2023
  • 🔴#Live: RAIS SAMIA AIPONGEZA MAREKANI MBELE ya KAMALA HARRIS - "SERIKALI YENU INA MAANA SANA KWETU"
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amempokea Mhe. Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani Ikulu jijini Dar es Salaam Machi 30, 2023
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 81

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před rokem +6

    Hatutaki mashoga, hatutaki ushoga, mwenyezi mungu tuokoe watanzania.

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 Před rokem +11

    Wamerikani kueneza ushoga na kutumia fedha nyingi ku-promote kupitia ma- NGO nchini kwetu na nchi zinginezo duniani ni ushetani uliokubuhu, laana na machukizo makubwa mbele za Mungu. Nchi yoyote inayokumbatia sera hizo lazima ipokee mapigo ya Mungu. Tz mutegemee Mungu zaidi kuliko mwanadamu awaye yoyote ili kuepukana na ghadhabu ya Mungu.

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 Před rokem +10

    Kuweni makini na hawa mashetani msije mka kubali kurubuniwa ku saini mikataba ya ushoga tukaiweka nchi kwenye usodoma na ugomola hawa watu hawajawahi kuwa na jambo jema kwa waafrica tunawapenda viongozi wetu Mungu awasimamie sana

    • @MultiMbongo
      @MultiMbongo Před rokem

      Simu unayotumia,internet unayotumia imetoka kwa hao hao mashetani,mashoga wapo mjini na hata huko USA hawajawahi kufika

    • @fetychina3969
      @fetychina3969 Před rokem +1

      @@MultiMbongo itakuwa ba wewe mmoja wao maana sio kwa makasiriko.hayo

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před rokem

      @@MultiMbongo acha ujinga wewe kwani kutumia kitu akiekitengeza yeye ndio ukubali kumuaswi Mungu wametengeza vitu wameuza so sio kama tunawategemea wao wanatutegemea bila yasisi kununua masimu yao wasingepata pesa za kukidhi maisa yao ondoa ujinga wakusema unatumia vitu vyao wakat umenunua kihalali kimekua ni mali yako

  • @reginapius1746
    @reginapius1746 Před rokem +7

    Hatutaki chochote kutoka kwao kwani hatuendani sifa na tabia

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před rokem +8

    ila huyu mama huyu 😂😂😂asije kukubali ushoga huyu maana mh haaminiki kwa kweli

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Před rokem +5

    Waambie kabisa kuhusu ushoga hio tabia warud nayo kwao.

  • @ibrahimmadulo6089
    @ibrahimmadulo6089 Před rokem +3

    Mtuambie lengo la ziara hii ya makamu huyu wa rais wa Marekani tujue

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před rokem +2

    ewe Mola wetu mlezi ingilia kati kutu nusuru na harakati za mashetani na ushoga na wewe ndio unajua kunusuru amin

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Před rokem +1

    Kikao Cha ndani huko Mungu muumbaji shika fahamu za viongozi Ili busara za viongozi wetu ziongozwe na upendo WAKO Mungu na rehema zako Ili mawazo yenye hekima itokayo kwako Mungu ndiyo pekee yaweze kushinda uasi wowote wa Amri zako Mungu. Na baada ya kikao agenda zote mbaya zikatupiliwe mbali kwa jina la Bwana Mungu wetu aliye hai, yeye mwenye kutawala milele Amina.

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Před rokem +4

    Unapovua samaki lazima utanguliza chambo kwanza ndiyo samaki anase. Nadhani tulisharamba chambo kwa muda mrefu sasa.

  • @duncankipendaroho8833
    @duncankipendaroho8833 Před rokem +3

    Unaposifiwa na Marekani ask yourself where have you made mistakes? You might have made some for sure.

  • @mussamdoe4619
    @mussamdoe4619 Před rokem +7

    Allah akbar .wemama mkalibishe lakini huo msaa wakuboresha watu wao wapi sisi watu wamungu nahio mipango yenu muogopeni Allah msidandanyike namaisha ya kupita haya where is magufuli right now so fanya yote mama lakini usikubali mkataba wa mashoga na utambie pia Mimi kama Mimi namuunga mkono Putin couse america and there fans European is babilon thief

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Před rokem +8

    Sisi tunataka tutembelewe na putini ata akitaka vijana wa mapambano tupo Ila uyo wa marekani anasubiriwa na serekali na siyo wananchi

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před rokem

    Hongera Sana mama samia ipo siku watanzania tutakuelewa tu piga kazi mama yetu nakupongeza Sana na nina kuombea maisha mema ila jitaidi Sana kukamata mafisadi saiz naona Kama wanapumua vile na kutamba.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    😍😍😍❤️

  • @annamariajackson4842
    @annamariajackson4842 Před rokem +1

    Tanzania nchi yangu nakupenda Sanaa. Mimi siamini katika maisha tuliyonayo kwamba Mzungu anatupenda Waafrica. Wakaribisheni watupeni hoyo misaada yao siyo ya bure kuna kitu wanatafuta. Wanatumia wanawake kuturubuni. Hata kstika Biblia Shetani alimrubuni Hawa. Je Adam alikuwa amelala fofofo shetani akaamua kumteka Hawa?
    Misaada ya Wazungu ni sawa nakuwaingiza vyumbani mwetu tunamolala

  • @annamariajackson4842
    @annamariajackson4842 Před rokem +1

    Why Press conference without Questions? Be careful with Mzungus

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před rokem +3

    Press conference without questions ??!!!

  • @mirajintandu9787
    @mirajintandu9787 Před rokem +2

    Mkalimani duuu!

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Před rokem +2

    Mama bonga kiswahili uyo ili nae ajifunze angalau Mambo VIP

  • @hadija846
    @hadija846 Před rokem

    Karibu sana Tanzania 🙏😍💯

  • @kibwetere1418
    @kibwetere1418 Před rokem +1

    Mkaremani amezingua atare

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Před rokem +2

    Hapo kwenye Russia hapoooooo,🧐

  • @alimau7939
    @alimau7939 Před rokem +1

    Musiwakaribishe wasagaji ndani ya ardhi yetu

  • @eacoratz2331
    @eacoratz2331 Před rokem

    Media done a raw deal to deny the opportunity to ask questions

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před rokem +1

    kujipendekeza ugaiwe vijimsaada

  • @c-4839
    @c-4839 Před rokem +1

    Shetani akija hakutokei akiwa na mapembe, meno makubwa labda na harufu ya kifo... Anakuja kama mtu mzuri kulingana na matamanio yako binafsi... Lakini endgame yake inajulikana

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před rokem +2

    putini mna mualika lini? watanzani mimi binafsi namkubali sana

  • @makameomar5075
    @makameomar5075 Před rokem +1

    Ninachokiamini hawa wazungu hawana msaada wa bure , msaada usio na malengo,

  • @fadhilamsagati1337
    @fadhilamsagati1337 Před rokem +2

    huyu atakubali ushonga tu samia haminiki yeye anaweza pesa na vipaka wanamtia roba kila siku

  • @abdallahkikungulu9141
    @abdallahkikungulu9141 Před rokem +2

    Tumebaki na mshangao mashoga hao

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 Před rokem

      Mbona watu nnakalia mashoga hakuna ushoga tz , mimi sijasikia hayo.
      Wameongea mambo mengine.
      Hiyo ya ushoga ni mabo ya ndani ya nchi, tusipo kubali marekani hawezi tuletea kwa nguvu.

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Před rokem +1

      ​@@hassangasaba4565 pumbavuu wewe kwani ukijamba mpaka umwambie kila mtu kuwa umejamba?

  • @duncankipendaroho8833

    Agender za ushoga ameacha wapi huyu mmarekani

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před rokem +1

    Hebu tulia wewe mkalimali bhana ah

  • @ndegwawarukira2912
    @ndegwawarukira2912 Před rokem

    Kwani Tanzanians don't understand English...!?

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Před rokem +2

    Mkarimani unanikeraaaaa..

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před rokem

    Mmarekani akikusifia sana kuna kitu anakitaka mh rais yaani zanziba oshoga nje nje mashehe wanalalana na wanaume,mapolisi,yaani laana kubwa sana uko kimya kama.huoni

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před rokem

      Acha kutukana watu ww kuna mashehe gani waliolalana? Wacha kutukana watu wenye heshima zao.

  • @amosibilingi4299
    @amosibilingi4299 Před rokem

    Mimi nawashangaa watanzania wenzangu, hebu tafakari jambo kama hili vipi kama marekani akisema nawapatieni dawa ya ukimwi lakini ruhusu mapenzi ya jinsia Moja utasemaje?

    • @doubless79
      @doubless79 Před rokem +1

      Dawa ya ukimwi warudi nayo na ushoga wao wakauendeleze kwao….kwanz ukimwi waliutengeneza wao na kuusambaza duniani

    • @duncankipendaroho8833
      @duncankipendaroho8833 Před rokem

      Kuna Cha ajabu kwani kipi? Mtu anakusababishia tatizo, alafu anakupa solution kwa masharti eti uruhusu ushoga hata akili ndogo tu inaweza kuhoji uhusiano wa dawa na kuridhia ushoga uko wapi?

    • @duncankipendaroho8833
      @duncankipendaroho8833 Před rokem

      Kila mtu anao kwani? Au kuna mwenye mpango wa kuendelea kupata ukimwi

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před rokem

    Hapa kweli tunaanzaje kumkataa mmarekani kisa ushoga mbona kama tunachezeana tu,Mwakyembe anatafuta nn na Raisi anampango upi?

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před rokem

    nimemuona samia akisomeshwa kama mwanafunzi darasani . akiguna mmh ! mmh ! Mmh muda wote US VP akiwa anaongea

  • @mashirimathias6006
    @mashirimathias6006 Před rokem

    Mwenyezi MUNGU lirehemu taifa langu Tanzania kwani biblia inasema tuikimbie dhambi ya ushoga na tusikae pamoja na mashoga Wala kushikana mikono nao

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 Před rokem +1

    Welcome Home land Honourable Kamala Haris The Vice President Of US.we love you and appreciate your visitation into our Country. Again appreciation to our Dear Mama beloved President Honourable Samia Saluhu Hasan. Stay blessed abundantly.Together we can let's join up our hands for the betterment of both Nations. It biggins we us 😘🤝🙏

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před rokem

    ukiona mtu haukemei ushoga azarani hatamki kwa uwazi ila anakemea kwa mafumbo ujue ana muogopa sheni mkuu wa dunia

  • @bongo39
    @bongo39 Před rokem

    Mama anapiga mwingi mashaallah allah atakulinda atakupa afya njema uzina umri neema amani inshaallah 🇹🇿

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před rokem

    Tanzania inapendeza karibu Rais wa Marekani

    • @mohhamedhango7802
      @mohhamedhango7802 Před rokem

      Hawanaga msaada ya ukweli ayo ni watu wamasilahi kwao hajui kusaidia bilayakuku njoonya lazima watoa mashaliti kwetu
      MUNGU TUNUSULU

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před rokem

    Sasa Marekani inasimamiaje uchumi wa blue wa Tanzania? Au levels of slavery

    • @shafiijuma840
      @shafiijuma840 Před rokem

      Hivi waafrika tutaamka lini hivi kweli Amerka ni nchi ya kukaribisha kweli jamani tumuogopeni Mungu nililifikiri labda tuanze kufikiria kujinasua kwenye makucha ya wamagharibi kumbe tumelala bado

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Před rokem

      Ukoloni mambo leo

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Před rokem

      Yani rasilimali zetu zileeee

    • @duncankipendaroho8833
      @duncankipendaroho8833 Před rokem

      Hadi tutakapo weza kuishinda dhambi ya tamaa ndiyo haya yote yanaweza kuisha

  • @GEORGEARIANDA-eu5lv
    @GEORGEARIANDA-eu5lv Před rokem

    Sang.ida

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Hivi Huyu kamala mnamjua vizuri kweli ? Mmmmmh hahahaha eeee