PART ONE: VILIO KIFO CHA SIMBA BOB JUNIOR/SERENGETI WAMLILIA/ALIKUA RAFIKI WA WATU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 08. 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 120

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 Před rokem +3

    Wasafi. Mko juu😊

  • @mc_lookx_wa_ole_sauroo
    @mc_lookx_wa_ole_sauroo Před rokem +1

    BOB JUNIOR STILL TO BE LEGEND LION

  • @dianamuhumba
    @dianamuhumba Před rokem +4

    Diamond aende msibani kwa ndugu yake

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Před rokem +1

    David hizi mambo hizi Waaaay back,wakupe session hapo kuhusu mambo ya Wanyamapori

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před rokem +1

    Amsalimie faru john

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 Před rokem +7

    Respect to Bob Junior, fight to the last blood for his teritory

  • @hassanlukope133
    @hassanlukope133 Před rokem

    Dah bonge la movie , big up wasafi

  • @deepalimodi7691
    @deepalimodi7691 Před rokem +1

    ALLOT :: 💝VETERINARY DOCTORS ;; FOR NEEDY LIONS ; LIONESS OR CUBS ; IN SUCH TYPE OF SAFARI OR PARK.

  • @babap-dn7wq
    @babap-dn7wq Před rokem +25

    Sasa gari ya porini mnaipush Wakitokea waliomuua Bob Junior itakuaje?!!😂😂😂

    • @franknzowa22
      @franknzowa22 Před rokem +2

      Daaaah kweli ni msala

    • @florafaustine4637
      @florafaustine4637 Před rokem

      😁😁😁😁😁😁

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Před rokem

      ​@@franknzowa22 Mimi nimekaa porini ndani ya hifadhi muda mrefu sana Simba wanatabia ya kuwaheshimu na kuwaogopa watu pia japo siyo jambo zuri na ni hatalishi sana kwenda na gari mbovu ndani ya hifadhi

    • @estafanuelifundi
      @estafanuelifundi Před rokem

      😹😹😹

    • @MohamedAli-ho5fq
      @MohamedAli-ho5fq Před rokem

      Dahh😮😮 inatisha .

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Před rokem +2

    😢😢 Inna lillah wa Inna ilayh rajiun mmh bob junior tena😂😂😢

  • @yusufumasenga3354
    @yusufumasenga3354 Před rokem +4

    Mimi wa kwanza

  • @avitusdamian5846
    @avitusdamian5846 Před rokem

    Unaweza sana Rwenyagira ni bora upate kipindi

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Před rokem +2

    wazembe sana... hivi waachaje mwili wa simba mwenye history km huyu uliwe na fisi... bac wange chukua hata rasta zake bac

  • @levinwilbard
    @levinwilbard Před rokem +1

    movie 🎦 directors can come up with a movie idea from this scenario

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 Před rokem

    Leteni part 2 chapu

  • @paulprotas7198
    @paulprotas7198 Před rokem +1

    Mwanangu seleeeee

  • @sarokipma3782
    @sarokipma3782 Před rokem

    😂😂😂😂😂 he kumbe unyama unuamani adi kwao daah poleni sana jamani😢

  • @Sameer-cd1yn
    @Sameer-cd1yn Před rokem +7

    Fundisho:- Amekufa akitetea himaya yake ndio sifa kuu ya shujaa katika maisha yetu wanadamu pia ni hivyo hivyo,Jee wewe na mimi kama wanaume tunasifaa zinazofanana katika maisha yetu kama Bob Junior?- "A coward dies a dozen times but a soldier dies Once"(2 Pac)-R.I.P Legends..

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +1

      Bado alitoa mngurumo wake wa mamlaka katika dakika zake za mwisho kwamba bado ni mfalme..wauaji watapatwa na hasira. Hakujisalimisha

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu Před rokem

      kwa hiyo kafa kimagufuli ama vipi?

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem

      @@ibrahimngulungu mwanaume halisi.. alikataa kujisalimisha hata kutoa maisha yake kwa ajili ya uzao wake

  • @omaryleonard4264
    @omaryleonard4264 Před rokem

    @SelemaniMangwangu tumesoma wote!! Kijana umekoa kwenye utali 😂😂😂

  • @christermlewa8471
    @christermlewa8471 Před rokem

    Bob junior ni jina la Simba sio binadamu jamanii

  • @hamzasalum613
    @hamzasalum613 Před rokem +3

    Mimi watatu😢

  • @ZacharyZachary-js8fv
    @ZacharyZachary-js8fv Před rokem

    pia wao watakufa ju haibu kusukuma gari sehemu ya wanyama ni hatari Kwa maisha yao

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 Před rokem

    Badilisha tour Guider, uyo hanogeshi anatia uvivu kumsikiliza. Mtafute yule aliehojiwa na @skytanzania

  • @deepalimodi7691
    @deepalimodi7691 Před rokem +1

    ❎ AVOID :: LOINS FIGHTS ❎ STOP :: LIONS FIGHTS ❎❎❎

  • @bennywalase1434
    @bennywalase1434 Před rokem +1

    🔥 5

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před rokem

    Wauaji wasakwe wanyogwe Sheria zipo, hakuna aliejuu ya Sheria

  • @djkbyofficial
    @djkbyofficial Před rokem +4

    Make full story ya bob junior mu the story book itakuwa ya maana sana

  • @juleswilondh5967
    @juleswilondh5967 Před rokem

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @spchannel6338
    @spchannel6338 Před rokem

    Bob Junior singa yang unik.. biasanya singa hidup berkelompok dan berburu makan berkelompok.. tetapi Bob Junior dan Marley terlihat hidup seperti harimau.. Pantas berbeda orang

  • @laghtnesphilipo489
    @laghtnesphilipo489 Před rokem

    David Rweikiza Rwenyagira nakufaham tokea ukiwa radio five njiro Arusha, kitambo san

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před rokem +2

    Sema hao Saba walikua na Mkakati mkubwa sana

  • @majjidynajim3365
    @majjidynajim3365 Před rokem

    Ap xolonela mulipo dah kitamb😂😂

  • @pendocoster4170
    @pendocoster4170 Před rokem +1

    Makbw jmn du 🤣🤣🤣siwez kufa kwa strees maana 🤣🤣🤣

  • @megilolimuhamad9081
    @megilolimuhamad9081 Před rokem

    Ongea kiswahili we bwege

  • @exprodigitaltechtv5571

    Huyu jamaa wa mwisho anasimulia vizur

  • @nicknoel-pm1hh
    @nicknoel-pm1hh Před rokem

    Inasikitisha mno

  • @chuseboy
    @chuseboy Před rokem +3

    Like zenu wana🤣✌️

  • @travelwithme14
    @travelwithme14 Před rokem

    👍

  • @mwanaashahamisi554
    @mwanaashahamisi554 Před rokem +1

    😂Mimi wamwisho

  • @mc_lookx_wa_ole_sauroo

    😂😂😂CHUMA NAYO IMEZINGUA STATER NI KWERE

  • @wailosvijevania1049
    @wailosvijevania1049 Před rokem +1

    Bob junio kashinda mipambano ya miaka Saba kauwawa..
    SSC wamelipa kisasi kwa kumpiga Holoya Goli SABA...
    Mfalme wa mbuga ameagwa kishujaa...

  • @JoshuaBukuru-bl6lc
    @JoshuaBukuru-bl6lc Před rokem

    Rest in peace bob junior

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před rokem +2

    Kila siku tuna hudhunika
    Every day eeee, eee.......
    Inaendelea wiki ijayo😂

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před rokem +1

    Rest ln peace Bob junior The King LION for Africa 🌍 Serengeti national park 🏞️🇹🇿🇹🇿❣️❣️

  • @farhadimranmoodyimran5119

    Hio caption sasa 😆😆😆😆

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally6455 Před rokem +2

    Walitakiwa wamchukue mda ule alivyofariki alf wakamkausha then wakaweka nakala yake kma makumbusho wangeweka na video yake ambayo walikua akipigania uhai wake bado ingevutia sna watalii sema ndo hvyo watu wanakosa ubunifu

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 Před rokem +1

    Inawezekana maley nae walimuua

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 Před rokem +1

    sjui kwanni wahifaz wa wanyama pori hamna marfa kama mlijua huyo simba nikivutio kwa watalii kwanni msingemuweka sehem yake mmemuacha kauwawa af sahz ndo mnatuambia mnaonekana hata shuleni mlikua vilaza

    • @wildernesstanzania1746
      @wildernesstanzania1746 Před rokem

      Haifai kuzuia nature we have to let nature take it's own course,hayo ndo maisha ya Simba wote,hata Bob junior kauwa Simba wengi that is their cycle of life

  • @moudys
    @moudys Před rokem +2

    Naona kuna movie inakuja ya bob

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 7 měsíci

    Tuna mlilia mamba sasa

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 Před rokem +1

    Msiba lini wa bob junior

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před rokem

    Tabia za wanyama za ajabu sana

  • @joycemgona-tm5sm
    @joycemgona-tm5sm Před rokem +2

    Mimi wa pili

  • @kamkelvin7539
    @kamkelvin7539 Před rokem

    Mimi wa nne

  • @samchannel5953
    @samchannel5953 Před rokem

    Hivi alikuwa mkimwita hilo bob junior anaitika au ni kujipendekeza kwetu tu?🤔

  • @majjidynajim3365
    @majjidynajim3365 Před rokem

    Kibaoni ap mulipo na pajua

  • @apostleemmanuelmabuga8148

    Ilitakiwa akaushwe na kuwekwa makumbusho kuliko kukiwa na fisi

  • @felisimuhanga3566
    @felisimuhanga3566 Před rokem

    Uhakika

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před rokem

    Wazungu bana wanasema eti Bob junior ndugu yao

  • @robbymukonjero4854
    @robbymukonjero4854 Před rokem

    Nyinyi watu wanakufa na jaa namunaongea maneno ya munyama,

  • @barakangobuku6031
    @barakangobuku6031 Před rokem

    Kwani bob j alikufa na nini kauliwa au nikifo kimemkuta na kama kauliwa kauliwa na nani?

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 Před rokem +2

    ***Hakuna habari mpya?Simba kufa mnatangaza kama kitu cha ajabu?Kweli ukitaka kutawala mtu tawala fikra***

    • @nelsonbyabato7686
      @nelsonbyabato7686 Před rokem

      Nina Mpango wa Kufungua kesi ya Mauaji mahakama kuu dhidi ya Simba hao watatu ambao wamemuua Bob kwa makusudi kabisa.

    • @danielrangimoto550
      @danielrangimoto550 Před rokem

      Nashangaa sana

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před rokem

      hiyo ndio habari mpya sasa

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před rokem +1

    Kifukimeniuma hakisijapatakuona

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Před rokem +1

    Huu ujinga wa kujifanyaga tunasikitishwa sana na mambo yakishatokea ili tulikiwa na kila sababu na uwezo wa kuzuia jambo lisitokee ni tabia ya kingese sana tena sio tu huyu simba bob junior ni katika mambo mengi tu yakitokea. Hapo ndo utaanza kusikia watanzania wanafiki hoo imeniuma sana hooo pengo lake halizibiki hooo tunachukua hatua madhubuti kuhakikisha waliohusika wanatiwa mbaroni n.k yaaan ukanjanja mtupu hamna lolote uhuni tu konyo zenu wote wenye tabia za namna hii.. Hata kama ni ECOLOGIA kwa umuhimu wa huyu mnyama walikuwa na kila sababu ya kumlinda na kama kweli walikuwa kazini hadi anauliwa na kuliwa na hao fisi na mabaki yake lisiwepo hata moja inamaana hakuna game hata mmoja aliyeona japo kwa camera tu..?? Alafu wanaanza kuleta pigo za kihuni eti tulitaka kuchukua mwili wake kwa kumbukumbu hatujakuta kitu rafa kabisa bora mngenyamaza tu mnatoa hasira kinyama hamna kazi mnayofanya mishahara ya bure tu non sanse kabisa...sasa si bora ungeliwa ww BJ akabaki utafiti utafiti utafiti gani mnaofanya kazi kupiga picha wanyama na kuuza simba wapo wangapi idadi hamjui wengine wamepotelea wapi hamjui had leo eti na nyie wasomi bure kabisa...haya kaka BJ kapotelea wapi miaka yote mnatafiti au na nyie ni vilaza tu hamna sifa za kuwa hapo?? Usikute hata CAMERA hazifanyi kazi....je ange uwawa na majangili napo msingeona tukio???

    • @mwaaang
      @mwaaang Před rokem

      Ni ujinga kupitiliza kwanini huku Simba hakuundiwa timu maalum ya kuhakikisha usalama wake sababu ya pesa aliyokuwa akiingizia mbuva na nchi. Dubai kuna king croc kutoka Australia. Si tungewakodishia BJ tukawa tunapiga pesa mpaka akifa kwa uzee. Kwenye miti hakuna wajenzi

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Před rokem

      @@mwaaang fact joff😎

  • @servaladventure
    @servaladventure Před rokem

    Hiyo video yangu ya Bob junior akiwa nyuma ya gari ya specialist mlioitumia mngetoa basi credit.

  • @happykipeya8516
    @happykipeya8516 Před rokem

    😂😂😂

  • @eliachalamila2259
    @eliachalamila2259 Před rokem

    Nao kwanini waliachana, marley na Bob Jr? Ona sasa wameuwawa

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Před rokem +2

    Hawa ma gamer ni wazembe wanajua historia tu kuwalinda wanyama hawajui kitu bure kabisaaa sasa kamera za nn kule mbugani kama watu wanauawawa bila msaada # RIP BJ

    • @mwasa_tv
      @mwasa_tv Před rokem +1

      wasingeweza kuzuia kitu kile kilichotpkea ni kawaida kwa wanyama nao hao walio muua nao wakizeeka watauliwa na vijana so ile kawaida sana

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Před rokem

      @@mwasa_tv kwahiyo nn maana ya kusikitika sasa na kuutangazia umma jambo ambalo ni kawaida for what sasa yaani it doesn't make sanse at all...wame recall attention ya watanzania kwakuwa yule mnyama haku deserve kufa kama walikiwa na uwezo wa kuokoa maisha yake ili aendelee kuvutia watalii zaidi sasa kama maisha yake hayakuwa na maana wewe mwwnyewe ulipost hii habar ya nn sasa..

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem

      Asili inaachwa ilivyo..ni species ya aina moja

    • @mwasa_tv
      @mwasa_tv Před rokem

      @@robertabel6984 kusikitika ni kutengeneza stry tu kaka jalibu kuulza mtu yyte anaefahamu maswala ya wanyama kile kilichotokea hakuna mtu wa kumlaumu mzee nae bob kufka hapo itakua kauwa wengi so ni mfumo wa maisha ya wanyana nao hao walio muua bob watakuja kupnduliwa na hilo eneo watatawala wengne

    • @mwasa_tv
      @mwasa_tv Před rokem

      @@robertabel6984 na hiyo ni kawaida wanyama kupigana na mwenye nguvu kutawala sema na wengi wana kipgana kila sku sema hii imekuwa stry kutokana na utofauti wa bob jr ila ata ukiwaulza wataalamu wa wanyama watakuambia tu kuwa ni swala la kawaida

  • @roggerrajab9782
    @roggerrajab9782 Před rokem +1

    Ukisikia uwehu ndiyo huu Kama kweli unampenda utamlinda

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem

    Gar😅😅😅

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před rokem +1

    Khee gar mkweche makubwa afu mbugan

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem +1

      Unapoita gari ya mtu mkweche unakosea ndugu gari kuzima na kusukumwa ni kitu cha kawaida hata gari mpya kuna wakati inaharibika kitu na wageni wanatafitiwa gari nyingine tena inaweza kuwa gari ya zamani kabisa na ikamiza safari hata wanadamu tunafika wakati tunaumwa sembuse gari ndugu nadhani uliyeandika hiyo comment sio driver guide na hujui barabara zikoje au hata baiskeli huna ila unakosea gari ya mtu aliyewekeza zaidi ya milion 50

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před rokem

      @@stevenmwenda3005 hivi kwann hampend ukweli?!? Mana umaendka gaazeti au wewe ndo mwenye gari?! Makubwa

    • @clementrogart3216
      @clementrogart3216 Před rokem +1

      Msamehe Tu nafikir hajui Kila hakuna kinachodum Pili hajui hizo roads vzr tatu hiltlfu katika gar ni kwaida

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem

      Kejeli sio nzuri nimekuambia swala la gari kupata shida kuharibika ni mambo ya kawaida sana kwenye magari mabus mapya malorry mapya hata ndege zinaharibika chajabu kwako ni kipi hapo ww hujawahi kumwa halafu lugha unayotumia sio nzuri unaposema gari ya mtu mkweche inaonesha huna hekma wala busara inaonyesha swala la madili huna

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem

      @@clementrogart3216 nashukuru kaka nimekuelewa magari huwa yanakufa mbugani gari wageni wanachukuliwa na gari nyingine gari inabaki porini mpaka asubuhi wakati mwingine na dereva anabaki na gari yake mpaka asubuhi mabus mapya ya milion 300 zinapita lami tu na yanaharibika hashangai hayo

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Před rokem

    Kwanini hamkuweza kunusuru maisha yake inamaana hakuna camera kule porini

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Před rokem

      Sio kamera tu. Alikuwepo shuhuda akirekodi tu. Imeniuma Sana kwa yule mpoga picha kutazama tu.

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Před rokem

      @@gibsonjosephat6352 hovyo kabisa ujinga mtupu sasa anajitokeza hadharani ili tumusifu kwa lipi wakat ni fara mmoja tu anatafuta kiki hadi kwa BJ hawa wasomi wetu kuna muda ni mzigo sana yaan jitu linashabikia kusimulia kifo cha mnyama wa muhimu kama huyu na lilikuwa na uwezo wa kuokoa maisha yake...upumbavu sana yaan mimi nimekeleka sana bora hata wasinge tangaza tu

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 Před rokem +1

      Hiyo ni asili nature huwez kuingilia asili.

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 Před rokem

      @@robertabel6984 we ndo mjinga unayejifanya unajua wakati haujui, hairuhusiwi kuingilia maisha ya asili ya wanyama porini.

    • @cit6080
      @cit6080 Před rokem

      Kwaio nyie jamaa mlitaka washkaji waende pigana na simba watatu😂😂