PART ONE: VILIO KIFO CHA SIMBA BOB JUNIOR/SERENGETI WAMLILIA/ALIKUA RAFIKI WA WATU
Vložit
- čas přidán 1. 08. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Wasafi. Mko juu😊
BOB JUNIOR STILL TO BE LEGEND LION
Diamond aende msibani kwa ndugu yake
David hizi mambo hizi Waaaay back,wakupe session hapo kuhusu mambo ya Wanyamapori
Amsalimie faru john
Respect to Bob Junior, fight to the last blood for his teritory
Dah bonge la movie , big up wasafi
Hahaha, ati bonge la movie...
ALLOT :: 💝VETERINARY DOCTORS ;; FOR NEEDY LIONS ; LIONESS OR CUBS ; IN SUCH TYPE OF SAFARI OR PARK.
Sasa gari ya porini mnaipush Wakitokea waliomuua Bob Junior itakuaje?!!😂😂😂
Daaaah kweli ni msala
😁😁😁😁😁😁
@@franknzowa22 Mimi nimekaa porini ndani ya hifadhi muda mrefu sana Simba wanatabia ya kuwaheshimu na kuwaogopa watu pia japo siyo jambo zuri na ni hatalishi sana kwenda na gari mbovu ndani ya hifadhi
😹😹😹
Dahh😮😮 inatisha .
😢😢 Inna lillah wa Inna ilayh rajiun mmh bob junior tena😂😂😢
Mimi wa kwanza
Unaweza sana Rwenyagira ni bora upate kipindi
wazembe sana... hivi waachaje mwili wa simba mwenye history km huyu uliwe na fisi... bac wange chukua hata rasta zake bac
Hahaha, wacha mzaha
movie 🎦 directors can come up with a movie idea from this scenario
Leteni part 2 chapu
Mwanangu seleeeee
😂😂😂😂😂 he kumbe unyama unuamani adi kwao daah poleni sana jamani😢
Fundisho:- Amekufa akitetea himaya yake ndio sifa kuu ya shujaa katika maisha yetu wanadamu pia ni hivyo hivyo,Jee wewe na mimi kama wanaume tunasifaa zinazofanana katika maisha yetu kama Bob Junior?- "A coward dies a dozen times but a soldier dies Once"(2 Pac)-R.I.P Legends..
Bado alitoa mngurumo wake wa mamlaka katika dakika zake za mwisho kwamba bado ni mfalme..wauaji watapatwa na hasira. Hakujisalimisha
kwa hiyo kafa kimagufuli ama vipi?
@@ibrahimngulungu mwanaume halisi.. alikataa kujisalimisha hata kutoa maisha yake kwa ajili ya uzao wake
@SelemaniMangwangu tumesoma wote!! Kijana umekoa kwenye utali 😂😂😂
Bob junior ni jina la Simba sio binadamu jamanii
Mimi watatu😢
pia wao watakufa ju haibu kusukuma gari sehemu ya wanyama ni hatari Kwa maisha yao
Badilisha tour Guider, uyo hanogeshi anatia uvivu kumsikiliza. Mtafute yule aliehojiwa na @skytanzania
❎ AVOID :: LOINS FIGHTS ❎ STOP :: LIONS FIGHTS ❎❎❎
🔥 5
Wauaji wasakwe wanyogwe Sheria zipo, hakuna aliejuu ya Sheria
Make full story ya bob junior mu the story book itakuwa ya maana sana
Usema ukweli sja wah kufik kumuona Ila nimeumia
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bob Junior singa yang unik.. biasanya singa hidup berkelompok dan berburu makan berkelompok.. tetapi Bob Junior dan Marley terlihat hidup seperti harimau.. Pantas berbeda orang
David Rweikiza Rwenyagira nakufaham tokea ukiwa radio five njiro Arusha, kitambo san
Sema hao Saba walikua na Mkakati mkubwa sana
Ap xolonela mulipo dah kitamb😂😂
Makbw jmn du 🤣🤣🤣siwez kufa kwa strees maana 🤣🤣🤣
Ongea kiswahili we bwege
Huyu jamaa wa mwisho anasimulia vizur
Inasikitisha mno
Like zenu wana🤣✌️
👍
😂Mimi wamwisho
😂😂😂CHUMA NAYO IMEZINGUA STATER NI KWERE
Bob junio kashinda mipambano ya miaka Saba kauwawa..
SSC wamelipa kisasi kwa kumpiga Holoya Goli SABA...
Mfalme wa mbuga ameagwa kishujaa...
Rest in peace bob junior
Kila siku tuna hudhunika
Every day eeee, eee.......
Inaendelea wiki ijayo😂
😂😂
Rest ln peace Bob junior The King LION for Africa 🌍 Serengeti national park 🏞️🇹🇿🇹🇿❣️❣️
Hio caption sasa 😆😆😆😆
Walitakiwa wamchukue mda ule alivyofariki alf wakamkausha then wakaweka nakala yake kma makumbusho wangeweka na video yake ambayo walikua akipigania uhai wake bado ingevutia sna watalii sema ndo hvyo watu wanakosa ubunifu
Inawezekana maley nae walimuua
sjui kwanni wahifaz wa wanyama pori hamna marfa kama mlijua huyo simba nikivutio kwa watalii kwanni msingemuweka sehem yake mmemuacha kauwawa af sahz ndo mnatuambia mnaonekana hata shuleni mlikua vilaza
Haifai kuzuia nature we have to let nature take it's own course,hayo ndo maisha ya Simba wote,hata Bob junior kauwa Simba wengi that is their cycle of life
Naona kuna movie inakuja ya bob
ingependeza sanaaaa
Tuna mlilia mamba sasa
Msiba lini wa bob junior
😂😂😂😂
Tabia za wanyama za ajabu sana
Mimi wa pili
Mimi wa nne
Hivi alikuwa mkimwita hilo bob junior anaitika au ni kujipendekeza kwetu tu?🤔
Kibaoni ap mulipo na pajua
Ilitakiwa akaushwe na kuwekwa makumbusho kuliko kukiwa na fisi
kweli kabisa
Uhakika
Wazungu bana wanasema eti Bob junior ndugu yao
Nyinyi watu wanakufa na jaa namunaongea maneno ya munyama,
Kwani bob j alikufa na nini kauliwa au nikifo kimemkuta na kama kauliwa kauliwa na nani?
***Hakuna habari mpya?Simba kufa mnatangaza kama kitu cha ajabu?Kweli ukitaka kutawala mtu tawala fikra***
Nina Mpango wa Kufungua kesi ya Mauaji mahakama kuu dhidi ya Simba hao watatu ambao wamemuua Bob kwa makusudi kabisa.
Nashangaa sana
hiyo ndio habari mpya sasa
Kifukimeniuma hakisijapatakuona
Huu ujinga wa kujifanyaga tunasikitishwa sana na mambo yakishatokea ili tulikiwa na kila sababu na uwezo wa kuzuia jambo lisitokee ni tabia ya kingese sana tena sio tu huyu simba bob junior ni katika mambo mengi tu yakitokea. Hapo ndo utaanza kusikia watanzania wanafiki hoo imeniuma sana hooo pengo lake halizibiki hooo tunachukua hatua madhubuti kuhakikisha waliohusika wanatiwa mbaroni n.k yaaan ukanjanja mtupu hamna lolote uhuni tu konyo zenu wote wenye tabia za namna hii.. Hata kama ni ECOLOGIA kwa umuhimu wa huyu mnyama walikuwa na kila sababu ya kumlinda na kama kweli walikuwa kazini hadi anauliwa na kuliwa na hao fisi na mabaki yake lisiwepo hata moja inamaana hakuna game hata mmoja aliyeona japo kwa camera tu..?? Alafu wanaanza kuleta pigo za kihuni eti tulitaka kuchukua mwili wake kwa kumbukumbu hatujakuta kitu rafa kabisa bora mngenyamaza tu mnatoa hasira kinyama hamna kazi mnayofanya mishahara ya bure tu non sanse kabisa...sasa si bora ungeliwa ww BJ akabaki utafiti utafiti utafiti gani mnaofanya kazi kupiga picha wanyama na kuuza simba wapo wangapi idadi hamjui wengine wamepotelea wapi hamjui had leo eti na nyie wasomi bure kabisa...haya kaka BJ kapotelea wapi miaka yote mnatafiti au na nyie ni vilaza tu hamna sifa za kuwa hapo?? Usikute hata CAMERA hazifanyi kazi....je ange uwawa na majangili napo msingeona tukio???
Ni ujinga kupitiliza kwanini huku Simba hakuundiwa timu maalum ya kuhakikisha usalama wake sababu ya pesa aliyokuwa akiingizia mbuva na nchi. Dubai kuna king croc kutoka Australia. Si tungewakodishia BJ tukawa tunapiga pesa mpaka akifa kwa uzee. Kwenye miti hakuna wajenzi
@@mwaaang fact joff😎
Hiyo video yangu ya Bob junior akiwa nyuma ya gari ya specialist mlioitumia mngetoa basi credit.
😂😂😂
Nao kwanini waliachana, marley na Bob Jr? Ona sasa wameuwawa
hahahaha nimecheka kama chizi eti kwanini waliachana
@@noreenenock5279 hahaha mi pia nimecheka
Hawa ma gamer ni wazembe wanajua historia tu kuwalinda wanyama hawajui kitu bure kabisaaa sasa kamera za nn kule mbugani kama watu wanauawawa bila msaada # RIP BJ
wasingeweza kuzuia kitu kile kilichotpkea ni kawaida kwa wanyama nao hao walio muua nao wakizeeka watauliwa na vijana so ile kawaida sana
@@mwasa_tv kwahiyo nn maana ya kusikitika sasa na kuutangazia umma jambo ambalo ni kawaida for what sasa yaani it doesn't make sanse at all...wame recall attention ya watanzania kwakuwa yule mnyama haku deserve kufa kama walikiwa na uwezo wa kuokoa maisha yake ili aendelee kuvutia watalii zaidi sasa kama maisha yake hayakuwa na maana wewe mwwnyewe ulipost hii habar ya nn sasa..
Asili inaachwa ilivyo..ni species ya aina moja
@@robertabel6984 kusikitika ni kutengeneza stry tu kaka jalibu kuulza mtu yyte anaefahamu maswala ya wanyama kile kilichotokea hakuna mtu wa kumlaumu mzee nae bob kufka hapo itakua kauwa wengi so ni mfumo wa maisha ya wanyana nao hao walio muua bob watakuja kupnduliwa na hilo eneo watatawala wengne
@@robertabel6984 na hiyo ni kawaida wanyama kupigana na mwenye nguvu kutawala sema na wengi wana kipgana kila sku sema hii imekuwa stry kutokana na utofauti wa bob jr ila ata ukiwaulza wataalamu wa wanyama watakuambia tu kuwa ni swala la kawaida
Ukisikia uwehu ndiyo huu Kama kweli unampenda utamlinda
Gar😅😅😅
Khee gar mkweche makubwa afu mbugan
Unapoita gari ya mtu mkweche unakosea ndugu gari kuzima na kusukumwa ni kitu cha kawaida hata gari mpya kuna wakati inaharibika kitu na wageni wanatafitiwa gari nyingine tena inaweza kuwa gari ya zamani kabisa na ikamiza safari hata wanadamu tunafika wakati tunaumwa sembuse gari ndugu nadhani uliyeandika hiyo comment sio driver guide na hujui barabara zikoje au hata baiskeli huna ila unakosea gari ya mtu aliyewekeza zaidi ya milion 50
@@stevenmwenda3005 hivi kwann hampend ukweli?!? Mana umaendka gaazeti au wewe ndo mwenye gari?! Makubwa
Msamehe Tu nafikir hajui Kila hakuna kinachodum Pili hajui hizo roads vzr tatu hiltlfu katika gar ni kwaida
Kejeli sio nzuri nimekuambia swala la gari kupata shida kuharibika ni mambo ya kawaida sana kwenye magari mabus mapya malorry mapya hata ndege zinaharibika chajabu kwako ni kipi hapo ww hujawahi kumwa halafu lugha unayotumia sio nzuri unaposema gari ya mtu mkweche inaonesha huna hekma wala busara inaonyesha swala la madili huna
@@clementrogart3216 nashukuru kaka nimekuelewa magari huwa yanakufa mbugani gari wageni wanachukuliwa na gari nyingine gari inabaki porini mpaka asubuhi wakati mwingine na dereva anabaki na gari yake mpaka asubuhi mabus mapya ya milion 300 zinapita lami tu na yanaharibika hashangai hayo
Kwanini hamkuweza kunusuru maisha yake inamaana hakuna camera kule porini
Sio kamera tu. Alikuwepo shuhuda akirekodi tu. Imeniuma Sana kwa yule mpoga picha kutazama tu.
@@gibsonjosephat6352 hovyo kabisa ujinga mtupu sasa anajitokeza hadharani ili tumusifu kwa lipi wakat ni fara mmoja tu anatafuta kiki hadi kwa BJ hawa wasomi wetu kuna muda ni mzigo sana yaan jitu linashabikia kusimulia kifo cha mnyama wa muhimu kama huyu na lilikuwa na uwezo wa kuokoa maisha yake...upumbavu sana yaan mimi nimekeleka sana bora hata wasinge tangaza tu
Hiyo ni asili nature huwez kuingilia asili.
@@robertabel6984 we ndo mjinga unayejifanya unajua wakati haujui, hairuhusiwi kuingilia maisha ya asili ya wanyama porini.
Kwaio nyie jamaa mlitaka washkaji waende pigana na simba watatu😂😂