DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI - RICH MONSTER

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Komentáře • 278

  • @BandoMC
    @BandoMC Před rokem +118

    RAPA WANGU BORA WAKIzaz kijacho 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌mtanielewa baadae😂

  • @hatuatv
    @hatuatv Před rokem +24

    Onhooooo; Bongo Hip Hop inahifadhiwa katika eneo sahihi mnooo na si lingine zaidi ya East Africa Radio ✊🏽
    #dakika10zamaangamizi #hiphop 🔥🔥

  • @EarningsEdge101
    @EarningsEdge101 Před rokem +40

    Flows A
    Punchlines A
    Creativity A
    Kunata na beat A
    Vibes A
    Inspired by Bando MC
    Monster 💀💀 🔥🔥

    • @gmgimba
      @gmgimba Před rokem

      czcams.com/video/5i0BV2OkJI8/video.html

    • @umbrellanews9410
      @umbrellanews9410 Před rokem

      Leo Ujamuekea GPA kaka

    • @alexsesi6676
      @alexsesi6676 Před 4 měsíci

      much respect Home BOY,endelea kupambana una kitu ndugu.

  • @cosbytz2370
    @cosbytz2370 Před rokem +13

    Rapper wa kwanza kwenye dakika 10 za maangamizi aliyevaa tai na kuchomekea hakika ametisha sana aisee

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před rokem +19

    Uyu ni mtu na nusu🙌🏿, Atimaye tumempata mbadala wa Mbeya Boy Chuma 🔥

  • @galacha9757
    @galacha9757 Před rokem +3

    Uyu dogo ni mkali Rich Monster umekua Mzee love from Kenya 254

  • @hatuatv
    @hatuatv Před rokem +5

    Rich Monster umetisha mnoo mzee afu utai umenyooka 😅😅

  • @yudomasii9070
    @yudomasii9070 Před rokem +9

    Tunataka wakali kama hawa.Big up Sana East Radio

  • @Priver_Jabir
    @Priver_Jabir Před rokem +9

    Huyu jamaaa nilianza kumkubali pale shule ya jongo,,, time ya jioni Huwa walikuwa wanakutana kufanya pindi ya sir side presenter wa pambazuko fm kipindi Kule.
    Respect kwako #rich_monster..
    Sikup maua Mzee nakupa Kombat, Buti na bunduki ukapambanie nafasi yako maana naiona kwenye bongo hip hop

    • @gmgimba
      @gmgimba Před rokem

      czcams.com/video/5i0BV2OkJI8/video.html

  • @masudymnonge4983
    @masudymnonge4983 Před rokem +4

    Mwamba hatumii nguvu✍️✍️✍️mdogo mdogo mistar inashuka Hadi kichwaa unastuka kinacheza chenyewe🤣🤣🤣🤣
    Brooo more blessings to you 🔥🔥🔥🔥🔥✍️✍️✍️✍️

  • @HanceNgowi-bh4um
    @HanceNgowi-bh4um Před rokem +3

    🤣🤣mkiona najua herii mkatafute kivulii.......jamaaa anajuaa🔥

  • @dreambig8170
    @dreambig8170 Před rokem +3

    Katuwakilisha vizuri ifakala

  • @SAMWELBIDUGA-hs3fd
    @SAMWELBIDUGA-hs3fd Před rokem +8

    Oya utakuwa mtu mkubwa sana kwenye hiphop, big up east africa kwa sapport

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 Před rokem +4

    Bando n....🔥🔥🔥 Shauling monka n.....🔥🔥🔥 Nauyu jamaaa nae n......🔥🔥🔥 Nawakibali wazee wakaz🔥💪🏾✌️💚👍💚✨💚🌟💚💫🇹🇿

    • @gmgimba
      @gmgimba Před rokem

      czcams.com/video/5i0BV2OkJI8/video.html

  • @jumamhandochoka5169
    @jumamhandochoka5169 Před rokem +5

    Nakubali unyama sana
    Unatenzi karii🔥🔥🔥

  • @guccij6236
    @guccij6236 Před rokem +10

    Kabla sijasikiliza hua nasoma comment kwanza

    • @kasabubu8587
      @kasabubu8587 Před rokem

      We ndo kma mem mwana akipuyanga bas ata siharibu mb zangu

    • @guccij6236
      @guccij6236 Před rokem

      @@kasabubu8587 😆

  • @MwinyiLulu-fg6nw
    @MwinyiLulu-fg6nw Před rokem +3

    Nilkuwa na ndoto za kjiar ubodaboda lakn hapan axee ety hali mpaka akaliwe nyuma😹😹😹

  • @abdallahidrisa910
    @abdallahidrisa910 Před rokem +3

    Daaaaah hii inawezkan ikawa ya mwaka aiseeee

  • @jaystrongmagaboy1633
    @jaystrongmagaboy1633 Před rokem +3

    Uyu dogo anaweza

  • @kibinda
    @kibinda Před rokem +2

    Rich Monster uko vizuri sana ase 🔥

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Před rokem +5

    Huyu ndo rappa wa kwanza kuja amevalia tai na kuchomekea 😁😁😅
    #karromia

  • @krishnangz3335
    @krishnangz3335 Před rokem +1

    Kali sana,
    East Africa radio,
    Jaribu pia huku kenya,

  • @issamtolwa
    @issamtolwa Před rokem +2

    Mwanangu sana bingwa ,,rapper ajae xjawah kukupnga mwanngu nakuona Mbali sana kaka keep it up broooooooo

  • @vancemoprince4146
    @vancemoprince4146 Před rokem +6

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥 From The City Without Ocean

    • @gmgimba
      @gmgimba Před rokem

      czcams.com/video/5i0BV2OkJI8/video.html

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 Před rokem +3

    Pull up pull up pull nigaaaa 🔥🔥🔥🔥 it's so dope...I add to ma favorite rappers🔥🔥🎶🎶🎶gud music never disappoint me

    • @gmgimba
      @gmgimba Před rokem

      czcams.com/video/5i0BV2OkJI8/video.html

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi4362 Před rokem +4

    Rich Monsterrrrrrr

  • @sirkalimbakaleb
    @sirkalimbakaleb Před rokem +3

    Bonge la akili hapa,,,pokea support kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @samiphene
    @samiphene Před rokem +2

    Unyama sana jamaa najuwa aisey

  • @jacklinejesse2454
    @jacklinejesse2454 Před rokem +1

    we nomaaaa

  • @muliecoco6224
    @muliecoco6224 Před rokem +2

    Oyaaa #richmonster umeuaa saaaana.

  • @user-hd1ff2kc4s
    @user-hd1ff2kc4s Před 11 měsíci

    Noma sana 🔥

  • @djmsambamose2665
    @djmsambamose2665 Před rokem +4

    +254 Niko ndani Nakuru

  • @priscaamos-tk6yn
    @priscaamos-tk6yn Před rokem +1

    Rich noma sanaaaa bata wapi kwenye banda lao kikikikikikik

  • @TandaleMgina
    @TandaleMgina Před 6 měsíci

    Nacha ajae 👏🏽👏🏽

  • @emmanuelgasto1849
    @emmanuelgasto1849 Před rokem +3

    Richmonster ifakara finest
    Umetisha Sanaa broh

  • @strangemgaya3678
    @strangemgaya3678 Před rokem +3

    Unyama sana

  • @hamadynjama9954
    @hamadynjama9954 Před rokem +8

    Pure talent

  • @elegantdox8074
    @elegantdox8074 Před rokem +1

    mwamba anajua sana mkari mnoooo🎉🎉🎉

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 Před rokem +1

    Kwa kurelax san hongera

  • @ramramadhani3828
    @ramramadhani3828 Před 9 měsíci

    Freestly tamu sana wana HIP HOP,big up RICH MONSTER

  • @ShabaniSampali-iq3kz
    @ShabaniSampali-iq3kz Před 4 měsíci

    Umetisha mkudeee

  • @raphaelrajugita6696
    @raphaelrajugita6696 Před rokem +1

    Hakikaaa hata malegend wa hip hop wakiamua kuretere bac hip hop itabaki katka mikono salamaaa🤗🤗🤗

  • @franknjela-bt4ps
    @franknjela-bt4ps Před rokem +1

    Hatareee 💥💥

  • @RidhioneJunior-yp2wz
    @RidhioneJunior-yp2wz Před 3 měsíci

    Jamaa ana mkali sana

  • @samwellazaro9480
    @samwellazaro9480 Před rokem +3

    Kaanza slowly but daah kauaa saana🙌🙌🙌

  • @AhmedMagero-eu7vv
    @AhmedMagero-eu7vv Před rokem +1

    Huyo ndo monster wanachuo wote wanamjua

  • @abdallahidrisa910
    @abdallahidrisa910 Před rokem +2

    Hahahahaha 😂😂😂😂 askal kanzu kavaliwa na masheikh

  • @brianbonephace7961
    @brianbonephace7961 Před rokem +2

    Flow Kali sana,Akili nyingi

  • @Paplick9
    @Paplick9 Před rokem +2

    Panch line killer

  • @punchlinedr14
    @punchlinedr14 Před rokem +2

    Safi damu yangu

  • @Deadskytz
    @Deadskytz Před rokem +1

    Sks 🙌🔥🔥🔥

  • @MudathirKapilima
    @MudathirKapilima Před 2 měsíci

    Nkubali familia

  • @jebajr
    @jebajr Před rokem +2

    Mpogolo mwenzangu kaua sana

  • @martinmsigwa9066
    @martinmsigwa9066 Před rokem +2

    Rich Monster 👹

  • @karathajunior6675
    @karathajunior6675 Před rokem

    Anasound like Bando MC...!

  • @diiram_bee.
    @diiram_bee. Před rokem +2

    Huyu jamaa anajua hatariii 🎶🔥🔥

    • @gmgimba
      @gmgimba Před rokem

      czcams.com/video/5i0BV2OkJI8/video.html

  • @unjuboy
    @unjuboy Před 3 měsíci

    Ameupiga mwingi rich monster

  • @jecoog6086
    @jecoog6086 Před rokem +1

    Oyaaa monster unajua kinoma mkaliii 🔥🔥🔥🔥

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před rokem +1

    U kill that🔥🔥🔥🎤🔥🔥🎤🎤🎤

  • @StubbornKheed001-qv8nl

    All the way from Kenya mm n msanii naomba interview iseee mwamba kapatia sana

  • @officialChamboy
    @officialChamboy Před rokem

    Mnyamaaaaaaa monster hunter uaduiiii

  • @BraytoniDotto-ph2rf
    @BraytoniDotto-ph2rf Před rokem

    Unyaaamaaa sanaaa

  • @benjaminkambona7783
    @benjaminkambona7783 Před rokem +2

    Noma na nusu

  • @gerriemagic
    @gerriemagic Před rokem +3

    I see Bando in this guy. Good content, punchline 💯

  • @carlitoshilariosale4965

    Uyuu dogo Anaweza,Nimemkubali MM No Mzaliwa Wa Hapapa Toka MOZAMBIQUE...

  • @user-qk4gv6ij1e
    @user-qk4gv6ij1e Před rokem

    Kaua sana uyu jamaaa

  • @bushboi6601
    @bushboi6601 Před rokem +2

    Leo bata wapi 😂😂 🙌

  • @siamensoul6214
    @siamensoul6214 Před rokem +2

    😹😹😹elimu ni bahari...sas sijui watu wa morogoro waliwachukuliaje

  • @nyanswimagoti
    @nyanswimagoti Před rokem +1

    Good sana

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 Před rokem +1

    Never disappoint...🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🇰🇪🤙🤜🤛

  • @hurumajaphet4379
    @hurumajaphet4379 Před rokem +5

    Anajuaaaaaaaaaaa gonga like twend

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 Před rokem +1

    Safi sana mzee for movement

  • @CharlesMayunga-jw2ow
    @CharlesMayunga-jw2ow Před rokem +2

    Unyamaaaa

  • @dankirunda3368
    @dankirunda3368 Před rokem +1

    Oiìiii Umetisha mwana

  • @revocatusmtahaba9955
    @revocatusmtahaba9955 Před rokem

    🙌🙌🙌 wanangu tangu chuma sasa mwamba mwingne huyu hapa we jamaa ni hatari umetisha sana mzee big up nakuona mbali #monster

  • @innocentrichard9316
    @innocentrichard9316 Před rokem

    oya we umetisha saana mkal ..

  • @panniecndoh1509
    @panniecndoh1509 Před rokem +5

    Pure talent...
    Real Monster...

  • @momamishevevo8460
    @momamishevevo8460 Před rokem +2

    Heshima sana

  • @joshuanyakasi5151
    @joshuanyakasi5151 Před rokem

    🏌️‍♂️🎱🙌 mwanangu rich monster uwa una jambo dg

  • @josephandre8608
    @josephandre8608 Před rokem +1

    Ahhh uyu ni mtu na nusu 🔥🔥🔥

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Před rokem +2

    Leo nimewai hapa #karromia

  • @joshemman520
    @joshemman520 Před rokem +1

    oooooh yeah dakika 2 pili 2 nmekubal kaka ,.... pure talent

  • @goodlucknjau77
    @goodlucknjau77 Před rokem

    Oiii noma noma aja tumia nguvu kabisa

  • @JohnboscoChristophar
    @JohnboscoChristophar Před 5 měsíci

    Ametisha kinomaãaaaaaaa

  • @laughnetwork9410
    @laughnetwork9410 Před rokem +2

    King of the rap from west moro

  • @FIKE_FORTE
    @FIKE_FORTE Před rokem +1

    Very Normal ,and kaandika,Struggling too,Ila he tried,10 mins sio powa🎉

  • @Legrandpdg
    @Legrandpdg Před rokem +1

    Hii kali dogo nakuvisha taji 🔥🔥🔥

  • @felixmorara6241
    @felixmorara6241 Před rokem

    "Mwanaume wa bodaboda ndiye Hali mpaka akaliwe nyuma"😂😂 huyu mchizi kavaa pamba mistari alipamba kitambo kweli 👏

  • @iddysaidi6766
    @iddysaidi6766 Před rokem +1

    Jamaa apewe maua yake kabla hajafa brooo big up unajua sana" mwanaume bil nyumba ndogo ni kama nchi bila ipinzani""👐👐

  • @obadiasimbeye5814
    @obadiasimbeye5814 Před rokem

    Boda boda ndie mwanaume pekee ambaye hali mpaka akaliwe nyuma #Richmonster u kill it bro 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @danielsikawa2140
    @danielsikawa2140 Před 6 měsíci

    Respect Rich

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 Před rokem

    Namuona Prof. J ndani yake aisee 🤝🤝🤝👏👏👏👏

  • @dudumankidume3046
    @dudumankidume3046 Před rokem +2

    Kali

  • @Body_Basic_Boost
    @Body_Basic_Boost Před rokem +1

    Mkudeee

  • @nasilmatichomes1949
    @nasilmatichomes1949 Před rokem +1

    Incredible how does it so effortlessly, just need to work on his delivery.

  • @hellesy_Doncmith
    @hellesy_Doncmith Před rokem +1

    king tones

  • @zackchriss10
    @zackchriss10 Před rokem +2

    mwana ni mnoma sanaaaaa

  • @anordalexander123
    @anordalexander123 Před rokem

    Unyama mwingi since tupo NIT, mwamba apewe support anajua sana!

  • @msongamwinyi2877
    @msongamwinyi2877 Před rokem

    Rich monster the Mike cannibal🎉🎉

  • @derickkasim570
    @derickkasim570 Před rokem

    😂😂😂 yan bas tu