Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Uyu Bunaya atengwe! 🙌 flows kali + pumzi = 🔥🔥 The real meaning of HIPHOP 👊
Maisha Ni Safari Na Dereva Sina Millage Huyu Jamaa Wa Moto Sana Kama Umemkubali Gonga Likes Kwa Mwamba
Jamaa fundi
Namkubali
Binafsi nimempa 100 jamaa anajua dakika 10 ajakosea ata neno moja
oya mwamba apewe dakika nyingine hii show iludiwe kama unakubar gonga like kama zote
Ni yamoto mpka fire wa naomba msaada wa zimamoto🔥🔥🙏🏿💪🏿🇹🇿✌🏿
👊👊
Braza bunaya umeuwa 😅😅😅💥💥💥 your delivery is top notch 🙌🙌🙌👑 mapunchline kama yote
👊👊👊👊
I like it from south Africa
Game haina ramani, yaani Dogo janja , Lunya, Moni, youngdee, Izzo bizness na whack rappers wengine wanajulikana zaidi ya hiki kichwa siyo fair
Kaka Dullah eeeeeeeh.... mwana arudishwe tena huyu aiseee, Mwambie Bro Grayson Gideon #gee amwandalie Dk 10 nyingine. Haya ni mauajiiiiii 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽
nampa kata akinipa papa mwambie gigi 🤣
Huyu huyu daaah leo amefanya niweke bando la 3000 nidaunlod ile ya juu kabisa dadek
Mwamba wamoto san huyuu Hayr san daik 10 mzee fanyen hata 15 hv dah unyama san 🔥🔥🔥🙌🙌
All the way from malindi,,,, na salute
P1 kaka
From Kenya hii himeweza. Beat yenye himeanza yaitwa aje. Ni noma. Nommmmmmaàaaaa
Dakika kumi za maangamizi
Jamaa anajua , naomba awekwe kwenye top 10 kati ya waliopita hapo
Level Kali sana hii kanikumbusha Akina CHUMA BOY AKA MBEYA BOY🥷
Kam unataman atoe album au IP... Kam me gonga like...en Pray for him to giv us... amazing flows...cul Ryms... New knowledge 🎶💯🔥🔥🔥
Unyama unyama ...kakangu kamaliza 10 kumi za maangamizi kama vile dakika 2 ...kutiririka mistari na kwa mdundo ...salute salute
My best rapper in this month
This boy is a great deal Man you spit Rhymes as you mean businesssss Love from Kenya🦁🦁🦁
Mmmmmh hatariiiiiii lakini salama jamaa mzima sana 💥💥💥🔥
Real emcee respect ✊🏾 BUNAYA 🔥
👊
Mpumbavu akinipa shavu nachapa kofi tu 😄🔥🔥
Leo nipo live sheikh nataka niwape aya🔥🔥🔥🔥🔥
💚💥oya co pw hhahahaahh walivyosema can nyota
Jamaa...ni rymess killer....i wish next time selection ya beat iwe ya msanii mwenyew....
Broh safii..haujaboa mkuu
Umetishà sana mzazi🤝ila hapo Kwa shishi hujasema poa cz huyo ni mke wangu from+254
Bunaya your craziest in this current hiphop generation. #Baddest🤩🤩👌
Flow sick bars tick 🔥🔥🔥
homaaaa. unaja sana brooh Umeuwa umechafu noma. Pamoja sana
Dakika chache sana hizi 👏🔥🔥🔥🎶
East Africa Radio doing what you do best. Ruling the waves of east Africa hiphop. big up wanamgambo.
East Africa naomba jina la nyimbo ya ilo beat alilioanza nalo Bunaya ilo beat n🔥🔥
Hatareeeee..Hamna yoyoyooo wala nini..Mwanzo mwisho
Shiiit 👿👹🔥💯💯Dulla ume furahi asa idiwe uyo InshaAllah
Bro big up to you man
Dah mwmb noma kama Tanga kuna Roma bc wambie dar kuna........🔥🔥🔥
🔥🔥🔥puch zinaelewaka🙌🙌🙌
Asante
@@bunaya8583mpaka leo nasikiliza dakika 10 za maangamizi mwamba anajua sana hachoshi kumsikiliza
hapana hapana uyu jamaa ni wa moto🔥🔥🙌🙌
Nilimiss watu wa aina hiii noma Sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 umeua Sana Buna 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umeona ee.... Maan walikuwa wamefuruliza kuja vuchaa2.
Pamoja sana kaka
Mzee kauwa hajavuta ata pumzi 😂😂😂🔥🔥🔥
Jamaa anajua 🙌🏿
Daah huyu mwamba ni 🔥🔥🔥
Tuletee refix na mbeya boy chuma📌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
#Mkulu wa Ndima Trust me… haujaniangusha mzee wangu_ @bunaMc
Nitakuangushaje kwa mfano
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥noma xana
Pure talent!
Fact bro
Conscious ✊
Huyu jamaa ni noma 🎤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
nomA Sana!."Mwana malenga nikilega sikosiii 🏹
Hii kpengelee bado iko dar on top ndo vle tu dar madili mengi ila sio kesi🎉
Walivyosema cna nyota nikacheka nkaminya reli dee akasema usiogope co marafiki wa kweli😇👂💥💥💥
Yeah very DooooooP 🇸🇳🇸🇳
Kichwaaaaa.I got respect bro...*****Bunaya
P1
Mtu Makini sana
Yuy jamaaa pumzi kibaooooo+vibe mzeee baba weeeee Ni nomaaa aise
Mwamba umetisha sana
Oya msela unajuaa mwanang 🔥🔥🔥🙌🙌
Unyama
This guy moto man...
Ameweza bana🔥💯✍️duuuu
Messi anashinda magoli uku me nashinda njaa punch kalii sana
Talented, flexible! Sio Dar tu..ni mpaka mkoa
Wewe ni noma
Dulla keep contact tuwasiaide hawa jamaa!! Tuwape moyo wasije give up!
Mwamba aisee 🔥💪 Bro huna hata mia na unaitwa beib na haustuki
Anajuaaa 🔥
Nilijaji kabla hajaanza kumbe Jamaa anajua sana
Uyu mwamba ni firee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Jamaa noma sanaa
Umetisha broo
Nice flo
Leo nipo live nataka twende sawa ni haya,uyu jamaa ametisha,nipen like
wallae jamaa kaua huyu dah toka Kenya 🇰🇪 mwana anatesa Aisee
Huyu mwamba duuuuh💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dah huyu mwamba nomaaaaa..... Mrudisheni tenaaa
Ooii chibunaaa mapeeeeee kitambo sanaaaaa
Nipo mwangu
Mwamba kauwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hassan Figo kutoka Dubai mwamba ameua sana at least ameregesha michano kwenye ramani
Kama ni mm ninge omba aongezewe dakika kumi zengine congratulations my brother
Mtu mbad Sana full pumzi bunaya 🤝🏾💪🏾
Mwanaaa anajua sanaa
Mshua yupo fresh kwa michano.
Nakubali baba
Bro uko fire
Big up sana tisha
Huyu Ana PHD ya mistareeeeeeeeeee
Zaidi ya mwaka ila nikikumbuka 10 za maangamizi lazima nimsikize BUNAYA..❤🔥
Uyu jamaa anajua sana 🔥 🔥
Oya hi ni 🔥🔥🔥
Huyu mwamba ana hasira vibaya mnooo 🔥🔥🔥🔥
Uyu mnyama ni danger kabsa iz ni dakika Zina unguza 🔥🔥🔥🔥
Jamaa anafoka knoma.....😂😂
Daah noma xana
Anajua sana mwamba ila dk chache sana
Noma noma noma xaaana
Uwezo mkubwa sana
Apewe mauwa yake 🔥🔥🔥🔥🔥
Huuu ni motoo zeee 🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka sio poa. Dem bila chura dera kanzu tu🦾🦻
Eyoooo mganga mganga mganga mganga ....huyu bunaya ni kwere sana anajua kichizi ni 🔥 📛 👩🚒 🚒
Talented
Uyu Bunaya atengwe! 🙌 flows kali + pumzi = 🔥🔥 The real meaning of HIPHOP 👊
Maisha Ni Safari Na Dereva Sina Millage Huyu Jamaa Wa Moto Sana Kama Umemkubali Gonga Likes Kwa Mwamba
Jamaa fundi
Namkubali
Binafsi nimempa 100 jamaa anajua dakika 10 ajakosea ata neno moja
oya mwamba apewe dakika nyingine hii show iludiwe kama unakubar gonga like kama zote
Ni yamoto mpka fire wa naomba msaada wa zimamoto🔥🔥🙏🏿💪🏿🇹🇿✌🏿
👊👊
Braza bunaya umeuwa 😅😅😅💥💥💥 your delivery is top notch 🙌🙌🙌👑 mapunchline kama yote
👊👊👊👊
I like it from south Africa
Game haina ramani, yaani Dogo janja , Lunya, Moni, youngdee, Izzo bizness na whack rappers wengine wanajulikana zaidi ya hiki kichwa siyo fair
Kaka Dullah eeeeeeeh.... mwana arudishwe tena huyu aiseee, Mwambie Bro Grayson Gideon #gee amwandalie Dk 10 nyingine. Haya ni mauajiiiiii 😂😂😂😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽
nampa kata akinipa papa mwambie gigi 🤣
Huyu huyu daaah leo amefanya niweke bando la 3000 nidaunlod ile ya juu kabisa dadek
Mwamba wamoto san huyuu Hayr san daik 10 mzee fanyen hata 15 hv dah unyama san 🔥🔥🔥🙌🙌
All the way from malindi,,,, na salute
P1 kaka
From Kenya hii himeweza. Beat yenye himeanza yaitwa aje. Ni noma. Nommmmmmaàaaaa
Dakika kumi za maangamizi
Jamaa anajua , naomba awekwe kwenye top 10 kati ya waliopita hapo
Level Kali sana hii kanikumbusha Akina CHUMA BOY AKA MBEYA BOY🥷
Kam unataman atoe album au IP... Kam me gonga like...en Pray for him to giv us... amazing flows...cul Ryms... New knowledge 🎶💯🔥🔥🔥
Unyama unyama ...kakangu kamaliza 10 kumi za maangamizi kama vile dakika 2 ...kutiririka mistari na kwa mdundo ...salute salute
My best rapper in this month
This boy is a great deal Man you spit Rhymes as you mean businesssss Love from Kenya🦁🦁🦁
Mmmmmh hatariiiiiii lakini salama jamaa mzima sana 💥💥💥🔥
Real emcee respect ✊🏾 BUNAYA 🔥
👊
Mpumbavu akinipa shavu nachapa kofi tu 😄🔥🔥
Leo nipo live sheikh nataka niwape aya🔥🔥🔥🔥🔥
💚💥oya co pw hhahahaahh walivyosema can nyota
Jamaa...ni rymess killer....i wish next time selection ya beat iwe ya msanii mwenyew....
Broh safii..haujaboa mkuu
Umetishà sana mzazi🤝ila hapo Kwa shishi hujasema poa cz huyo ni mke wangu from+254
Bunaya your craziest in this current hiphop generation. #Baddest🤩🤩👌
Flow sick bars tick 🔥🔥🔥
homaaaa. unaja sana brooh
Umeuwa umechafu noma. Pamoja sana
Dakika chache sana hizi 👏🔥🔥🔥🎶
East Africa Radio doing what you do best. Ruling the waves of east Africa hiphop. big up wanamgambo.
East Africa naomba jina la nyimbo ya ilo beat alilioanza nalo Bunaya ilo beat n🔥🔥
Hatareeeee..Hamna yoyoyooo wala nini..Mwanzo mwisho
Shiiit 👿👹🔥💯💯Dulla ume furahi asa idiwe uyo InshaAllah
Bro big up to you man
Dah mwmb noma kama Tanga kuna Roma bc wambie dar kuna........🔥🔥🔥
🔥🔥🔥puch zinaelewaka🙌🙌🙌
Asante
@@bunaya8583mpaka leo nasikiliza dakika 10 za maangamizi mwamba anajua sana hachoshi kumsikiliza
hapana hapana uyu jamaa ni wa moto🔥🔥🙌🙌
Nilimiss watu wa aina hiii noma Sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 umeua Sana Buna 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umeona ee.... Maan walikuwa wamefuruliza kuja vuchaa2.
Pamoja sana kaka
Mzee kauwa hajavuta ata pumzi 😂😂😂🔥🔥🔥
Jamaa anajua 🙌🏿
Daah huyu mwamba ni 🔥🔥🔥
Tuletee refix na mbeya boy chuma📌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
#Mkulu wa Ndima Trust me… haujaniangusha mzee wangu_ @bunaMc
Nitakuangushaje kwa mfano
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥noma xana
Pure talent!
Fact bro
Conscious ✊
Huyu jamaa ni noma 🎤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
nomA Sana!.
"Mwana malenga nikilega sikosiii 🏹
Hii kpengelee bado iko dar on top ndo vle tu dar madili mengi ila sio kesi🎉
Walivyosema cna nyota nikacheka nkaminya reli dee akasema usiogope co marafiki wa kweli😇👂💥💥💥
Yeah very DooooooP 🇸🇳🇸🇳
Kichwaaaaa.
I got respect bro...*****Bunaya
P1
Mtu Makini sana
Yuy jamaaa pumzi kibaooooo+vibe mzeee baba weeeee Ni nomaaa aise
Mwamba umetisha sana
Oya msela unajuaa mwanang 🔥🔥🔥🙌🙌
Unyama
This guy moto man...
Ameweza bana🔥💯✍️duuuu
Messi anashinda magoli uku me nashinda njaa punch kalii sana
Talented, flexible! Sio Dar tu..ni mpaka mkoa
Wewe ni noma
Dulla keep contact tuwasiaide hawa jamaa!! Tuwape moyo wasije give up!
Mwamba aisee 🔥💪 Bro huna hata mia na unaitwa beib na haustuki
Anajuaaa 🔥
Nilijaji kabla hajaanza kumbe Jamaa anajua sana
Uyu mwamba ni firee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Jamaa noma sanaa
Umetisha broo
Nice flo
Leo nipo live nataka twende sawa ni haya,uyu jamaa ametisha,nipen like
wallae jamaa kaua huyu dah toka Kenya 🇰🇪 mwana anatesa Aisee
Huyu mwamba duuuuh💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dah huyu mwamba nomaaaaa..... Mrudisheni tenaaa
Ooii chibunaaa mapeeeeee kitambo sanaaaaa
Nipo mwangu
Mwamba kauwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hassan Figo kutoka Dubai mwamba ameua sana at least ameregesha michano kwenye ramani
Kama ni mm ninge omba aongezewe dakika kumi zengine congratulations my brother
Mtu mbad Sana full pumzi bunaya 🤝🏾💪🏾
Mwanaaa anajua sanaa
Mshua yupo fresh kwa michano.
Nakubali baba
Bro uko fire
Big up sana tisha
Huyu Ana PHD ya mistareeeeeeeeeee
Zaidi ya mwaka ila nikikumbuka 10 za maangamizi lazima nimsikize BUNAYA..❤🔥
Uyu jamaa anajua sana 🔥 🔥
Oya hi ni 🔥🔥🔥
Huyu mwamba ana hasira vibaya mnooo 🔥🔥🔥🔥
Uyu mnyama ni danger kabsa iz ni dakika Zina unguza 🔥🔥🔥🔥
Jamaa anafoka knoma.....😂😂
Daah noma xana
Anajua sana mwamba ila dk chache sana
Noma noma noma xaaana
Uwezo mkubwa sana
Apewe mauwa yake 🔥🔥🔥🔥🔥
Huuu ni motoo zeee 🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka sio poa. Dem bila chura dera kanzu tu🦾🦻
Eyoooo mganga mganga mganga mganga ....huyu bunaya ni kwere sana anajua kichizi ni 🔥 📛 👩🚒 🚒
Talented