PLANET BONGO - DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI NA YOUNG KILLER
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Ni Planet Bongo pekee ya East Afrika Radio kwenye Dakika 10 za Maangamizi ndipo wanapodhihirika nani Rapper kwei na Fake, Young Killer Mssodoki naye Kavuruga Amani alipoflow Punch line kali nyingi zikiwa tofauti na zilizo sikika...
Comment wewe umeonaje Punch zake then unadhan nani Tumwite Next week?
Huyu ndio yule msodoki fulani mwenye swaga zake YOUNG GENIUS
uyuuuuuu kweliiiiiii ni Muuajiiii mamaeeeeeee hahahah....... shikamooo young nimekubaliii
Nimeifwatilia sana KUMI ZA MAANGAMIZI kutokea Nairoberry.
Mnikubali niseme kuwa hii ndiyo bora zaidi...... msodoki anaweza
Miltone Musumbah 254 haa
"kwa hali ya magufuli nikionga demu kihepe ni lazima nimtembezee Rungu comrade kipepe"
huyu Young Killer amepiga mistari kwenzi ya hatari sana
Wangapi tunaitazama hii saaiii 2022 🔥🔥🔥
kuishi na watu Shida ukishida ukipendwa linga ukichukiwa basi jipe shavu daaaamnnn😃😃😃😍😍
ukipata basi usisahau utokako
na ukikosa kajifiche uone nani atakupa tako😂😂👐
KAMA UNAMKUBALI YOUNG KILLER MSODOKI GONGA LIKE 👍
Emaa Severe uyoni fundi
Nom 😋
Cn
Nakupa likazi zako
noma
ukimwi ndo gonjwa la heshima / toka nimebalehe cjabahatika kupima / noma sana mleteeni na joh makin naamini joh anabebwa haiwezi kitu yule
Mh
Wow you guys are the best to bring my favourite rapper of all time 🔥🔥🔥
Young killer msodoki 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🤝🤝👏🏻👏🏻👏🏻 YOU are doing pretty good bro. I like the way it flow. After Fid q is you bro. There is no competition. You can see far then your age😜😜🤝🤝💯💯 keep up, I enjoy your rap
Kweli we yoang genius msodoki flan mwenye vyeo vyake
Usingizi mbolea ndo mana ukilala tu unaota. we c young but ni ADULT KILLER. i appreciate what u do guy. the second FID Q
Magnuc James konki
umetisha sana bana mdogo yaani umewaua wenzako wote kama jina lako lilivyo kwny hz dk10
Mnamkosea sana kumfananisha na kina young d na janjaro , Msodoki kiboko yao ana punch lines zilizoshiba next time mletene one the incredible a.k.a moko wa miujiza
Young killer ni sumu kwenye hip hop
home boy hakuna young anaekufikia tisha sana ila mkumbuke na coyo mc tunyanyuane kwani hata yupo vizur big up bro acha wala sembe na wanywa acid waeendelee kubonga
Safi sana nimekuelew sana Msodoki mwenye vyeo vyake,yan mwake
weng walikwepo ila wamepoteza mwelekeo duuuh killer you killed this song
2024 plz like zangu from +254🇰🇪
Jaman kwakwel huyo dogo huwez mfananisha na hao watoto salute xana msodoki
Punchlines master
Young killer 2021 likes zikam
kwa hali ya magufuli nikimuhonga demu kiepe ...namtembeza rungu komredi kipepe. ...Killer u kill it young bro
Mwenyeazi mungu akujaalie kila lenye kheri young killer nakukubal sana kaka angu
Congrats our congratulations
huyu jamaa anaspeed kwa mdundo🔥🔥kwa hili mtakiri Youngkiller mwotooo
Mkali wa rhymes huyo... Big uuup
Young genius,
Msodoki fulani mwenye vyeo vyake,
A.K.A ndimu yaani uchachu wangu ndo ubora wake, mwake.
Respect ✊✌🏽🎶 #mistar A+
#rockcirry #rockcity #youngkiller #mkubwa_wa_kazi
big up killer your real young rapper
kaka tuleteeni one the incledible uyo mtt umo kamuua mbka baba maclom
kw3r## nimuuaji kamooooooooooo daa noma saana . unajua mpaka unabo444.
the best young raper
TAMADUNI MUSIC FOUNDATION... kambi ya masoldiers kila aliyefankiwa kukatza kambi ile hawez kuwa mwepesi..MSODOOOKIII
All ze way from atown lkn mwanzaaaaa inatotoa vipajiii balaaaaaaaaa
This is raw talent at its best!
Nakubali unauwa chali yngu
My best
Msodoki the sun
Hahaa hahaa..na wamechukia haswaa zaidi alivyochukia mwenyewe..na mkininukuu vibaya ni we na mungu wako
Next time mumualike nchama the best
Za maangamizi zote zilizo tumia beat hii,, hazijatetea haki zaid ya Mnyama Msodoki! Jaribun kusikiliza 10 za maangamizi zilizotumia beat hii wadau,, alf wenyew mseme nan kaendana na beat mwanzo mpaka mwisho,,, Msodoki
Nakubali kinya maaaaa
Owaaaaa eeh we noma
Asikuambie mtu kitu babu, kuishi nawatu tabu ... Ukipendwa Linga ukichukiwa wewe jipe shavu, sikuhizi hakuna love maisha niyakipumbavu .... Dada zetu wanapewa mimba kisa chips kavuuuu....hatareeeee young pigaa uyoooooooooooooh
killer we nomaaaah
Oyyyyyy p 1 Young Miller msodokiiiiiiiiiiiiiiih
KING WA RAP.....Nimekubali.
NAIROBERRY (KENYA) twa mkubali Young killer kwa sana
Ur so good sana young killer
Arusha makuma 2 hipopu ya mwanza 2mkoa mngne mnaiga2
umetisha san msodoki
nakubal 100000000000%
nimependa sana hii show
nakukubali sana
ni noma atareeee
plz sir dullah young killer arudiee tenaa afu asiimbe nyimbo zake apige tu mistari maana ana hatariiiiii.....
umeinaaa heee
BADOOOO SIJAONA KITU
+TOMPLEX Robert
hebu imba yako tuisikie
tamadunimuzik where hiphoptz lives... thanks kwa duke tachez
Umetisha killer
YOUNG KILLER NOMA 2024
watatupa kwa dahrau okota kwa thaman. kwa usawa huu wa magufuli nikimhonga demu kiepe....hahahha fire young killer msodoki.yani toka ufanye hizi puch nadhan ni zaid ya mala 10.big up EAradio kwa segment hii.
Young killer msodoki baba wa all youngs in thiz world unajua nn unachofanya waacha wale sembe
duuuuhhh kaumizaa saanaaa
young killer wee noma sana mchizi wangu
guuuuuuuuuuuuuuuuuuud
yupo vizuri sana Mi namkubali sana anakwambia ;; ukiona mwenzako anachanga moto basi nawe unachanga unga mnatoa dongo ;; hahaha mwisho wa siku wote mnashiba.!!
Huyu jamaa namkubali Sana🇧🇮🇧🇮
Simjui vp NitadAlod vp naitaka hii
young killer aka ndimu yan uchachu wako ndo utamu wako big up sna killer.
Huyo ni rapa wa kichawi. Yaan namaanisha magic.
Hii ndo dakika kumi ss zngine miyeyusho tu big up ma niggha young killer
kali sana
Young killer nomaa
we ndo rais wa madogo,, unajua Mdogo Wang,, wala haubatixhii
noma noma noma noma
quality
Fire
noma sana
Kuku kala mchele ila jioni ana liwa na wali
msodooooooooooooooooki achana na hao woote killer kashamaliza maninaaa...
dogo anaweza
Unajua sinaga swaga kabisa!!
Si hatar au sio bhana
Nizaidd ya Janjaro
Huyo mtoto mkali sana basi tuuu
umekatisha wanapewa mimba kisa ........malizia c kavu
iki kichwa sina pingamizi nacho... UMETISHA JANANGU
isiwe muoga kama kuku alie kula mchele na yeye jioni kaliwa na wali ume niuwa👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
🔥 sana
Vitaaa# mwakeeee....
Mkali sana
Duuuuuuuh killer ni noma aiseerr
me nawambiaga mwenye macho hambiw ona watasubr xana kwa killer ye amesha kill wengne naona wanaj kanyaga kanyaga2 kama wanatongozwa
hip hop mashairi sio kuchana wenzako bila sababu za msingi ikiwa hujachanwa.
Ibrahim haruta wacha wivu huyu dogo ni mkali haja chana mtu
Ibrahim haruta we mshamba tuu uelew maana ya hip hop
+Mtoto wa raila killer no maa
Acha ufala
duuuuuuuh ni nomaaa aiseeee
anatisha young
KILLER YOU KILL IT MWAAAAAAAH
young mwenye kila zake unatisha
Young killer daaah!!!!! uwezo binafsi boy safi sana
Mmekasilika nilivyomdiss #joh_makini kuliko alivyochukia yeye.Saruti #youngkller_msodoki
Is right
Nakukubari sama msodoki wambie wadanakudis wambie wapambane na hari yao
Daa nangoja hamorapa kama akimbiu
Noma mjomba kaza