Boshoo raper kutoka Tanga awapagawisha watangazai wa Planet Bongo kwenye dakika 10 za maangamizi. Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
Talent kama hizi halafu wanakufa maskini aiseee yani kipaji hiki ukioni wasafi festival wala fiesta..hukisikii planet bongo wala xxl.. Kuna haja ya media kujitasmini kuwasaidia watu kama hawa
Boshoo ni mwamba ni noma is my best since muanze hii kitu amezitendea haki ten minutes yuko next level East Africa Radio wasaidieni hawa waje wafanye Hip-hop ya kweli nimemkubali sana huyu msambaa wa korogwe big up BOSHOO ni hatari sana
Ukiongelea Maangamizi huyu mwana ndo kaitendea haki yani ameua mbayaaa na mwana still alikua hajamaliza kutema madini, ningependa toa ushauri huyu jamaa aitwe tena coz since mmeanzisha hii Dakika 10 za Maangamizi hii mchano nimerudia more than 10 times coz haiboi na kama inawezekana hiki kipindi kiwe kwa ajili ya Talented underground kama hawa sio ma star wanaotupotezea muda tu
boshoo see u ninja ... nakujua before hapa nimeinjoy kukuona Kwenye platform kama hii ujaniangusha mm wala we ujajiangusha ...karibu hale tanga....its all about music
hiii nara ya 20 naiangalia hii yan xichoki sio kama zile zingine ma mc wanatia huruma yan we mtazamaji unamuonea huruma msanii asitie aibu dakika zikimbie fasta
I always watch bt dis dude #boshoo seems 2 b da raw on da mic ... need moo like .. wanao jita ma star ata sijui mnangara vp chini ya hili jua...✌🤛👍 1:ngwea 2:chidibenz (wazamani sai anazingua) 3:boshoo ninja Tatu bora...
1.maarifa big thinker2.wakiafrica3.boshoo ninja4.miracle5.climax bibo Mabovu waliomezwa1.Hidary scoda 2.elisha 3.mex carter 4.youngdee 5.baghdad hamna kitu
Apa ni Majestino Mapozzy toka Congo Drc, napenda sana Est Africa Radio, Napenda sana Planet Bongo, Napenda saaaana Dakika kumi za maangamizi....ipo siku nami ndapita apo....
Duhuu kaka DULLAH tutafutie vichwa kama iv10 tuu then tutafute watano5 kati ya aho kumii aisee hip hop itasimama Sallout brother__#__dullah ________________#__JR
boshoo kawafunika wote waliowahi kuja apo kwenye dakika kimi kama unakibali gonga like twende sawa sema bosho ninjaaaa
Dastan Herman sana ila kwa young killer na selementaly bado
kweli kaa
Tru
Kawafunika wote
Boshoo Ninja
Hahaha😂😂😂 walio angalia hii video zaid ya mara 3 like hapa tujuane 💥💥💥🙌🙌
Huyo dogo nomaaaa🔥🔥🔥🔥
Pro trick: you can watch movies at Flixzone. I've been using it for watching a lot of movies these days.
@Corey Luka yea, have been using Flixzone for since november myself :)
Mara kumi
Nimerudi tena😂
Boshoo ninja kaangamiza mpaka kapitiliza......itapendeza zadi nikimtunuku cheo cha Amiri jeshi mkuu wa East Africa Radio dakika 10 za maangamizi..
Bishooo Ninja Balaa La Dar Mpaka Tanga
hizo dakika kumi nipeni na mimi!! kwann lkn tunabaniana dulaaa!! boshooo ninja,, kwa punch hizo!! me siachi kutunga kila siku!! fireeeeee
Talent kama hizi halafu wanakufa maskini aiseee yani kipaji hiki ukioni wasafi festival wala fiesta..hukisikii planet bongo wala xxl.. Kuna haja ya media kujitasmini kuwasaidia watu kama hawa
Jamaa kanifanya naitikia anavyowaimbisha hapo studio usiku wote huu daaaah... Salute kwako Boshoo
Real hiphop haipo kwenye Radio, hawa ndo watu tunataka achaneni na wenye majina makubwa, hiphop ipo mtaan nenden Dullah mkailete.
Hydrazine Azine point mkali salute mtaani ndo wapo hao wenye majina wanachana kwa kujickia sana
Hydrazine Azine , and I will be
Hydrazine Azine
Na + Nchama the best wako vizuri
Nime-enjoy sana sana..nimeiskiliza saa 11 asbh nikatabasamu bila kupenda..Boshoo you are the NINJA for real
Show inanoga kila j3 sababu ya watu mnaowaleta. Big up EA radio kiboko yao kwa dak. 10 za maangamizi
Nlijua utazingua, umefanya poa sana, Congltion GOODJOB
home boy jaribu kuachia ngoma, dah tanga na nyie mko good kwa hip hop, much respect kwa punch line kama zote
Wachache sna sasa ivi vichwa kama hi hivi dah big up sna kwake Boshoo ninja kweli we ni ninja
Ebwana huwa si coment kila wakati bali kwa mtu talented kama boshoo maana hip hop na feel kupitia tanga boy boshoo! Cjapoteza mb zangu kwako bro
Boshoo ni mwamba ni noma is my best since muanze hii kitu amezitendea haki ten minutes yuko next level East Africa Radio wasaidieni hawa waje wafanye Hip-hop ya kweli nimemkubali sana huyu msambaa wa korogwe big up BOSHOO ni hatari sana
Ukiongelea Maangamizi huyu mwana ndo kaitendea haki yani ameua mbayaaa na mwana still alikua hajamaliza kutema madini, ningependa toa ushauri huyu jamaa aitwe tena coz since mmeanzisha hii Dakika 10 za Maangamizi hii mchano nimerudia more than 10 times coz haiboi na kama inawezekana hiki kipindi kiwe kwa ajili ya Talented underground kama hawa sio ma star wanaotupotezea muda tu
Free style of year 2017 no one like this. Kenya we locked all time
ww kweri ninja maana kiboko
Maze hawa wasee wako juu
Ase boshoo nimezima fegi nimewasha bangi,umeua maduanzi wote hapo planet dingi!! Naanza kukufatilia ase oi sana
yusuph Charles(yantabo) dogo ww ni xhidaaa
Htr
mmempa kumi kwel uyo jamaa mbona kama zimekuwa ndogo ivi?!! Boshoo NINJA
Bosho balaaaa,mgongeeni like millioni hapa
boshoo see u ninja ...
nakujua before hapa nimeinjoy kukuona Kwenye platform kama hii ujaniangusha mm wala we ujajiangusha ...karibu hale tanga....its all about music
Moja ya show kubwa haija tokea tna hadi Leo heshima kwako boshoo ninja
hiii nara ya 20 naiangalia hii yan xichoki sio kama zile zingine ma mc wanatia huruma yan we mtazamaji unamuonea huruma msanii asitie aibu dakika zikimbie fasta
Mudy Ramadhani ha ha mm kila siku jamaa anajua
Respect sana mkuu.sijawahi kuipinga hiphop kwa namna yoyote ile.
RESPECT KWAKO BOSHOO
Balaa jingine hili mzeee........ Tanga boiiiii
Tanga boy! Home boy..... Tanga stand up!
Qmmqe boshoo kauwa salute kwake hawa ndo wakuletwa waangamize 🙌🙌🙌
boshoo boy katisha sijawahi kuona dakika 10 kama hii#BOSHOO NINJA ni hatari sana from Bonge La mTanzania-BLT-Mtabe TZ
kuna jamaa anaitwa chuma nae aliua kinoma jaribu kumchek utafurahi mwenyewe
Dogo umenikosha sana, saaafi sana, hipo pop imeanza kuvuka mipaka saafi Freestyle ndiyo asili yetu
hapo umeona wap freestlye kilaza wew
Nomaaaa sana
Nimekuelewa kk, toka pangani
No freestyle hapo
Acheni unafki nyie kuku dogo anawezaaaa
Www.Boshoo ni ninja kisoo dogo ana panch line kuliko mcee yoyote aliyewahi kufika hum studio .co.tz
dulla unanifurahisha kaka unamizuka sana hip hop
Korogwe vipaji vipo sana tu ila njia oya pamoja sana umeua hii ni yakwanza japo nyingi zimepita
Ukimsikiliza kwa makini Boshoo ana uandishi flani wa akili sana uliotulia, punchline zake pia nyingi sana katika kila verse🔥🔥🔥🔥
kumalamaako we chalii Ni noma😂😂🔥🔥🔥gonga like Kama unamkubali boshoo
Maangamiz kama haya ndo tunatak wahun salute boshoo ninja
Ukooo poa zaidi ya kuangamizaaa ... 2018 still viewing its 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
boshoo ww ni nouma sana umeuaaaa wote waliowai kuja
Undergrounds wanadhihilisha uwezo wao kuliko masuperstar waliridhika. Big gwasi kwako Korogwe Finest
Noma sana hip hop juuu
kati ya show za dk 10 za maangamizi huyu boshoro ninja sichoki kumsikiliza ....... yupo vizuri sana ktk mistari anayochana...
Duuuuh jamaa mkali Sana.... Anajua Sana... Anachezea midundo kiufundi
GVAN CHORUS kweli anaenda vizuri sana na bits mnyama mkali
Uyo jamaa ni xhida
Bosho Mkali ana pumzi kweli kweli, yeye na Mbeya Boy nimesha wakubali kweli kweli, awa wasani mbona aha toki Congo japo wako tayari kwa michano
I always watch bt dis dude #boshoo seems 2 b da raw on da mic ... need moo like .. wanao jita ma star ata sijui mnangara vp chini ya hili jua...✌🤛👍
1:ngwea
2:chidibenz (wazamani sai anazingua)
3:boshoo ninja
Tatu bora...
Huyu ndo master wa dakika 10 za maangamizi,
Boshoo ninja umeibeba tanga kinoma noma Hakuna kama ww kwenye kumi za maangamizi
Oyooooooooh so talented
Nmekupa salute
BOSHOO ni Fire/Moto wa kuotea mbali, Mkuda hakaii. Much respect bravoo. Keep it up!
Tanga wapi likes kwa boshoo
Ana Punchlines ana Flow kali ana Styles ana Swagg pia Hip Hop inamuhitaji
Sema Boshoo Ninja
Boshooo Ninjaaa Nasema hivi . A H S A N T E !!!
Atakae sema ujui namchukulia arabii jamaa nyko na nusu 🔥
1.maarifa big thinker2.wakiafrica3.boshoo ninja4.miracle5.climax bibo Mabovu waliomezwa1.Hidary scoda 2.elisha 3.mex carter 4.youngdee 5.baghdad hamna kitu
Top 3
1:bosho ninja
2:hidary scoda
3:miracle
Brother una balaa hatari🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💪
da kwao
great michano
Kaa mbaliiiii na Boshoo Ninja, charie ya korogwe finest, big up ninja langu
Aisee boshoo umechama kinoma hongera sana endelea kupambana
Hip imesimama sana natamani jamaa aongezewe muda
tixha kinoma noma mkar duuu atar Sanaaaaaaa we kwenye tatu mbomba za kumi za maangamiz nakuweka
Uwiiiiiiiiiiiii!!!huyu jamaa anauwaaa aisee vitu kaa izi ndo tulikua tunavitaka mazee i lov hip hop
Boshoooo sichoki kuangalia na kusikiliza maangamizi yako
This th real free style omg bosho ninja nakubali 👊👊👊👊💪✌
Nakukubali xana bosho tokaenzi zakilinge msasani japo nilikua nakukazia mlangoni..
Eminemi toy... Boshoo nimekugawa bure😁😁😁😁😁
Sema Boshoo ninjaaaaaaa.....ebana ww ndio no moja toka dk 10 za maangamiz zilipoanzia..Big up sana home boy
Apa ni Majestino Mapozzy toka Congo Drc, napenda sana Est Africa Radio, Napenda sana Planet Bongo, Napenda saaaana Dakika kumi za maangamizi....ipo siku nami ndapita apo....
Boshoo kaua saaana. ....one of the best
Yap 10 za maangamiz iv ndivyo inafaakufanywa ayea ametisha boshoo ninja
Genius👊👏Bosho Ninja
Dah yaani jamaa noma sanaaa na pia nakubali sana kazi one love❤ 1:33
No 2 rank yangu nakupa hiyo kati ya wote waliokuja apo 🔥🔥 #Boshoo
Hip hop ni kitaani bhna,boshooo yupo vzr,tunayemkubal ucache kugonga like aise
Umeuuua Mathias...boshooo ninja
Sichok kuitazamaaaaaa boshoooooooo👍🌋💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah sijawahi ichoka hii free style....❤❤❤
Kama umesikilza mpaka mwisho alafu hukucoment ww n mchawi dogo anajua huyu mweeeee ☺️☺️☺️
hatuna kiki tuna stater umezoea koko beach huku pasific kuna papa shikamoo boshoo ninja
J mo, uyu dogooo ni wew swarga zako zote eee anazoo
Talk of 16bar Boshoo is on fire flaw Safi Kama pamaba😮
Jamaaa niatar sana? daaaaaah
Ashakhum si matusi kumamaeeee huyu msela kaangamiza kisengeeeeeee Big up
Duhuu kaka DULLAH tutafutie vichwa kama iv10 tuu then tutafute watano5 kati ya aho kumii aisee hip hop itasimama
Sallout brother__#__dullah
________________#__JR
umewakalisha wasanii wote
Boshoo ninjaa..Umeuwaa bro
Na nnaskia, tetesi zinavuma../
Boshoo mvivu sipendi kaz eti mapenda...😅😅
jamaaa namjua toka kula kwenye kiswahil na sanaa
wote naweza wapotezea ila bdo nakucheki Boshoo na hnishi ham kaka much respect kwko!!
Daaa huyo jamaaa mpeni lisaaa limoja
Aiseee jamaaa hatare anajua mpaka anaboa...TISHAA KUPITILIZA BOSHOO NINJA,,SALUUUTE!!!1
Tetesi zinavuma boshoo sipendi kazi ni mvivu napenda ( k )
Big up my young brother keep it up
boshoo..umeua..naona..safari yako ya mziki utafika mbali sana
Jamaa kaangamiza mpka basi ila mleteni stereo
This is the best ever...
Huu ndo ufundi tunao penda kuusikia kwenye hip hop
Ibra Cadabr
huyu jamaa HATAR SANAA
Naomba mmmlete tna mbeya boy chuma
Hatariiiii 🔥🔥
Uyu msenge Noma 🔥🔥🔥🔥
boshoo ni moto hajawah tokea sama ka vp arudie kwa garama yeyote
MC umetisha man umefunika majina makubwa very nice
Dah jamaa mkali sana tuleteni kama hawa kibao cyo walio toka tayari nichukue hata mm ani jamaa kauaaaaaa #Bosho_mc Fifi kakuelewa kamfunue tu ani
Bashooo mutu muchfu sana kazi yake niku angamiza
Respect Boshoo ninja, Bongo tarent ipoo
huwezi pita kwa duke kama mzinguaji.the real definition of kilinge#tamadunimusic#kinasa#duke tachez#boshoo#
boshoo kawaua wooooteeee waliopita kudadeki Tanga boy
Dah aisee Huyu Jamaa Boshoo ni Nomaaaa sanaaaaaaaa aisee