Video není dostupné.
Omlouváme se.

HATUNA VYUO VIKUU.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 12. 2023
  • #wachokonozi #elimu #education #university #vyuovikuu

Komentáře • 31

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 Před 3 měsíci +6

    Chukia Elimu Dunia Ila Sio Elimu Ya Ki Mungu Ndugu Na kuonya utakatwa mwendo wa maisha yako

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  Před 3 měsíci +3

      We mwenyewe umeshakatwa mwendo wa akili yako.

    • @DahHodges777
      @DahHodges777 Před měsícem

      akili yako ni punje

    • @Islam-n6g
      @Islam-n6g Před 9 dny

      Hata ukiamini mungu bado utakufa wacha kutishia wapi

  • @asentertainmenttz3128
    @asentertainmenttz3128 Před 7 měsíci +5

    nimeelewa sana nimeiangalia hii video mara kadhaa aisee hongereni kwa kutufungua akili

  • @BarakaSalube
    @BarakaSalube Před 7 dny

    Mm napenda sana watu kama ninyii

  • @Dolkasidanieli
    @Dolkasidanieli Před 23 dny +2

    Wapo waliokua nakibuli kamawewe ilamungu ariwashugulikia

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  Před 22 dny +2

      @@Dolkasidanieli ulimuona anawashughulikia au ulisimuliwa.

  • @isackmachiyanshoka6754

    Ni kweli kabsa, wakufunzi wengi wa vyuo hupenda zaidi hata unapojibu maswali yao ujibu kile walichokufundisha kama definition usiongeze maneno yako wala kupunguza , walikuwa wakinifelisha sana, nakuina kama sjajibu sahihi, wakati nilichozungumza ni kilekile

  • @danctheyoung9904
    @danctheyoung9904 Před měsícem

    Safi saana mwalimu

  • @noelymwakyoma9620
    @noelymwakyoma9620 Před 4 měsíci +1

    ✊✊✊africa😊😊

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Před měsícem

    Change environment,go out side like UK, Australia,Canada and USA

  • @sureboyofficial6473
    @sureboyofficial6473 Před 3 měsíci +1

    NDIO MAANA NAONA BORA SIKWENDA HUKO NINGEPOTEZA MUDA

  • @Start_smart103
    @Start_smart103 Před měsícem +1

    Hauwezi kutumia material ya mwanaume mwenzio.. "Hiyo CZcams mnayoitumia ni material ya nani??? kuna muda mnaeleweka kwa story zenu za kufikirika na kuna muda mnafanya comedy
    < nyie Hamna shule mnakaza fuvu Tu>

  • @SamAbdalah
    @SamAbdalah Před 28 dny

    Je, unakubali uwepo wa manabii?

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Před měsícem

    Mh!

  • @MohdMohd-hf7rm
    @MohdMohd-hf7rm Před 7 měsíci +1

    Nyie nyote ni wajinga na kwa contents hizi hamtoboi muhudi

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  Před 7 měsíci +5

      Ahsante kwa maoni yako na endelea kutufatilia.

    • @MohdMohd-hf7rm
      @MohdMohd-hf7rm Před 7 měsíci +4

      Mtuambie mnasema chuo ni sehemu watu wanapresent ideas hakuna mitihani na notes ni za mtu mwengine kwaio sio chuo kikuu !!
      Hivi mtu anaesoma Udaktari kuufahamu mfupa wa binaadamu na aende akavumbue mfupa ukoje serious!!
      Nyie mshamaliza Vyuo Hamna shughuli ya Kufanya mmeamua kuidiss elimu kwasababu haijawasaidia kitu

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 7 měsíci +1

      ​@@MohdMohd-hf7rmelimu zenye uhalisia ni chache mnoo mfano ndo huo sasa wa udaktari ambao kimsingi ni wachache mnoo ila majority ya elimu ni ukanjanja na wako sahihi sana

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 7 měsíci

      ​@@MohdMohd-hf7rmna ndio maana 80% ya wasomi leo wanahangaika na elimu inaanza onekana inakosa maana msomi aheshimiki tena leo wasomi wanatamani wangekua hata chawa wapate hela Dira haipo tena

    • @alinanisimbeye9512
      @alinanisimbeye9512 Před 7 měsíci

      Wewe akili zako ndogo huwezi kuelewa kasiklize umbeye mbengo tv