Amina, Mungu ameamua ujihubiri na kujifunua kwako yeye mwenyewe kwa NENO lake ubarikiwe. Namtukuza Mungu kwa kuwa wewe ni mwanafunzi bora utafutae UKWELI.
Yaani huyu ndie mchungaji mwenye utoto zaidi sijawai ona eti mungu alipumzika mungu alijiabudu...kwa hio mungu alisema msitamani mke wa jirani kwa huvyo nae mungu alijizuia kutamani mke wa jirani?...acha upuzi mungu akitoa amri ifwatwe alivyosema sikuuliza kama yeye kafanya alivyosema...mungu si mwanadamu!
Sabato ipo kwa mujibu wa biblia na ni siku ambayo Mungu kaitenga kwa ajili yake Sabato ni amri kama zile 9 zingine Ibada ni kila siku ila ipo siku moja Mungu kaitenga
Maana ya njina wakristo ni wale wanaomfuata yesu kristo, nao wamejengwa chini ya msingi wa mitime na manabii naye kristo yesu ndiye njiwe kuu, alafu sabbato ni siku ya kufanya ibada, tofauti na siku zingine ambaso Kila mtu ufanyia maombi kwake ama mahali popote, ila Sabbato ni siku ya kufanya ibada pekeake, so wwe mtumishi soma maandiko vyema
Toa andiko kama unalo kwenye biblia linaloonyeesha mitume na Yesu walikwenda kusaliau kumwabudu Mungu siku ya juma pili. Mungu alisema watu wafanye kazi siku sita
Jumamosi ni siku ya saba katika juma (wiki) ya siku saba yenye asili ya kiyahudi-kikristo. Iko kati ya siku za Ijumaa na Jumapili. Katika kawaida ya utamaduni wa magharibi Jumamosi imekuwa siku ya kuanza wikendi ikiwa ni siku ambako wafanyakazi wengi hupunzika au hufanya kazi nusu siku tu. 😢Katika Israeli Jumamosi huheshimiwa kama Sabato ya kibiblia. Wikendi ya Israel inaanza siku ya Ijumaa na kuendelea Jumamosi.Jumamosi kuwa siku ya kwanza baada ya Ijumaa, Jumapili kama siku ya pili, Jumatatu kama siku ya tatu n.k.. Tabia hii katika Kiswahili ni ya pekee hasa kwa sababu Kiarabu ambacho ni lugha ya Korani takatifu na lugha ya kimataifa ya Waislamu kinatumia jina la Kiyahudi na kuiita siku ya سبت (sabat) yaani Sabato. Lugha nyingi za nchi za Kiislamu zafuata kawaida ya Kiarabu na kuiita vilevile "Sabato" kwa mfano Kiindonesia (Sabtu) au Kiajemi (Farsi) (شنبه - shanbe, kutoka "shabat"). Katika lugha kadhaa za Ulaya jina la siku hutunza kumbukumbu ya mungu aliyeabudiwa zamani za dini ya Kiroma kama vile Kiholanzi "Zaterdag" au Kiingereza "Saturday" (yote: siku ya Saturnus). Lakini lugha zaidi za Ulaya hutumia pia jina la Sabato kwa namna mbalimbali kwa mfano Kifaransa "samedi" (kutoka Kilatini sambati dies - siku ya Sabato), Kihispania "Sábado", Kirusi Суббота (subbota - Sabato)😢
Ndugu msalaba ulikuwepo hata kabla ya Yesu unapaswa kutambua hilo , msalaba ni nembo ya kirumi ambayo leo imeendelezwa kwenye kanisa la kirumi yaan RC , japo huweza kutumika pia kihalali kwa kuwakilisha kafara ya kristo
Ndacha humwezi, siyo saizi yako, MHUBIRI YESU Marko 2:27-28 YESU NDIYE BWANA WA SABATO. NENO DINI NO NJIA NA YESU NDIYE NJIA NA UZIMA. HUSOMI MAFUNGU. HAYO NI MAWAZO YAKO. SOMA NENO ISHI KWA MENO. IMESALIA RAHA YA SABATO KWA WATU WA MUNGU. waebrania 4:9-11 .
Pole sana Ezekiel 20:12 marko 2 :27-28 luka 4:16-17 acha kudanganya watu jifunze maandiko vizuri ukizingatia hakika utapata maarifa na unatumia sana nguvu bila kuhusu kushika sabato yesu anasema nini juu ya mathayo 5:17
Wanaitwa adventist maana yake wafuasi wa yesu yaani wakristo. Lakini kutana na msabato ufanye mjadala ndio uthibitishe unachosema juu uko kado sana na maandiko
Afie kwenye imani gani,acheni kupotosha maandiko, Yesu ndiyo njia ya kweli,bila Yesu hakuna wokovu,dini yako haitakusaidia chochote zaidi ya kuwa mbishi na roho mbaya
Wasabato nidini ya Mayahudi isiyomkubali kiristo baali wale waliojiengua ilekarne ya 18iliyoanzishwa na akinawiliam mira S.D.A ndiyowakiristo wanaokubali Yesu kurudi mara yapili lskinipasipo kujuanao hujiitawasabato wakati dini hiyo yaMayahudi hawasomi hata enjili hao husomatoratitu na bibiriayao ina torati tu haina aganojipya huweziluwa mkiristo bila enjiliwala humutajiYesu
Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. 2 Timotheo 4:3-4😮😮😊
Eti musalaba ulikuwepo hatakablaya yesu sawa huomsalaba wa tolati ulikuwa wakunyongea.wahalifu kwamilanadesturi zatolati lakini ule wakusulubishwa Yesu kamamhalifu alinyongwa na alifariki? je alikuwa muhalifu? hushangai hatamitume kwanini walinyongwa nakuuwawa nasasa ni ni marehemunao wanasbiri ufufuo waMungu.😊
Unapita jujuu sana mtumishi, muombe sana Mungu akuongoze uujue ukweli. Nikweli kabisa siku yoyote unaweza fanya ibada ndo maana huwaga ndani ya wiki kuna siku ya maombi mnakutana hata saa 10 jioni ila asubuhi mlikuwa katika mihangaiko ya mambo mengine. Lakini siku ya saba ni siku maalumu tu ya kuabudu ndo maana huwaga tunaacha shughuri za mihangaiko na utafutaji. Hii ni kwa sababu ndivyo ilivyo agizwa kwamba watu wasifanye kazi siku hiyo.
Mungu ana abudiwa siku yoyote ili mladi umwabudu katika roho na kweli, kushika sabato sio tiketi ya kumuona Mungu Bali ni kuishi maisha matakatifu katika maisha Yako kumpa maisha Yako Yesu yaani kuokoka.
Uelewa wako mdogo hata ukitembea kote utashuhudiwa kuwa wasabato ndiyo waijuayo kweli. Wayahudi hawana siku, maelezo yako ya awali umesema siku zote ni sawa na sasa unasema sabato ni siku ya wayahudi? You contradict yourself. Jumapili ni siku ya jua. Sunday, soma vitabu. Ndacha ni MHUBIRI wa kimataifa aliyevuviwa na ROHO mtakatifu. Hako baridi kama wewe. Wewe njoo ufanye mdahalo na Mimi, si ndacha. Hana muda wa kichezea.b
Wasabato pia wanashindwa kutofautisha kati ya Mungu na Yesu, maandiko yanasema kuwa ufalme wa Mungu ni huu kumua Baba na aliye mtuma. Kama unaamini Yesu ndio Yehova na sio mwana Bado sana ,omba mungu akufunulie maandiko uelewe.
HUYO muhubiri anapotosha maandiko. Hata katekisimo ya wakatoloki inakiri kuwa sabato ni jumamosi ndiyo siku ya kuabudu Mungu, pia korana . Bike vile wayahudi wapo Hadi Leo. Je, wote walimkataa YESU? Jibu ni hapana . Mitume wake wote na wauumini wa Karne ya kwanza walikuwa wakiabidu MUNGU katika siku ya SABATO. Matendo 16:13-17
Acha comedy lakni pia uendelee kusema, Ukatoliki sio ukristo, Uluteri sio ukristo, Uanglicana sio ukristo, Ulokole sio ukristo, au tuseme Upentecoste sio ukristo, halafu umalizie kwa kusema Usabato sio ukristo. Maana yangu ni kwamba kwanini ubague usabato ilihali kila dhehebu lina jina la kwanza, yani katoliki, protestant, anglican, othodox, Pentecostal, na sabato yote ni makanisa ya kikristo,Amen
Wewe ndoo huelewi!! Siku sio sababu,, siku yoyote mtu anaweza kuabudu, na sio j.mos kuwa siku maarumu kwa ibaada, sabato ilikuwa ni siku ya kupumzika,, na sio maarumu kwa ibada
Mimi naona wewe unajifunza kwa walioanguka bada ujifunze kwa walioshinda Marko 2:27-28 kama ww sio binadamu haikuhusu wala bwana wake ambaye ndie Yesu kristo hakuhusu pia@@daudimichael7338
@@daudimichael7338Bwana akusaidie sana umfahamu uachane na Mpinga Kristo(UPAPA) na Sabato yake ya bandia Jumapili. @@Imeandikwa mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imefika msujudieni yeye aliyefanya mbingu na nchi bahari na chemchemi za maji.,,Hebrew 4:9.
Asanteni nyote ninalo swali .nigeomba nielezewe kinagaubaga kwamba manzo wa siku ni upon na mwisho wa suku ni upi tuwache mambo ya wasungu .nielezeni .
@@sergiusnjiru2361 kiukwel SIKU nikitu Cha muhimu sANA , SIKU ya Saba JUMAMOSI, aliiandika kwakidole CHAKE mwenyewe,na akaibariki, LKN Daniel 7:25 ATAAZIMU KUBADILI SHELIA, akaweka JUMAPILI costantino , ko MUNGU aliiweka JUMAMOSI na costantino akaiweka JUMAPILI, ndomaana wakijitetea wanajichanganya, BWANA WA sabato ni YESU, LKN bwana WA JUMAPILI ni NIMLODI
Swali kwako? Ni hamri ya Mungu au yako au ya Ndacha.Nenda kafunzwe kuwa askofu si kitu ,jambo muhimu helewe maandiko bwana. Kwa mjibu wa maandiko wewe ni kibofu kiroho
Ka wasabato hawajaandikwa kwenye maandiko eti ndiyo kupinga kuwa siyo WAKRISTO. JE, KKKT ni wakriato? WA MORAVIAN, WAANGLIVAN, WA ETG ATG JEHOVAH WITNESS hawa wote siyo wakristo? Na kama ni wakristo wameandikwa katika neno.? Uhalali wa kuitwa wakristo kimaandiko ni upi?
Uko sawa mtumishi Mungu akubariki. Askofu Mwasibila
Wasabato ni wakristo wazuri tu acha uongo mtumishi
Sabato ni jumamosi
Mungu haabudu tunao abudu ni sisi wanadamu na tunamuabudu yeye Mungu wetu wa mbinguni
Kabamia neno ila kakosa roho mtakatifu
Amina, Mungu ameamua ujihubiri na kujifunua kwako yeye mwenyewe kwa NENO lake ubarikiwe. Namtukuza Mungu kwa kuwa wewe ni mwanafunzi bora utafutae UKWELI.
yan omba Mungu akufunulie siri ya sabato utafurahi sana
Nimelia sana bundles zangu nilizotumia kuskiza mjinga kama huyu,ulaniwe
Heri mwanadamu afanyaye haya lsaya 56:1--4
Kama wasabato siyo wakristo inakuweje Yesu awe Bwana wasabato? Marko:2:27,28.
Anatafuta KIKI, Hana NENO. Ndacha siyo saizi yake.
Amina Bishop
nakusikitikia sana wewe uko mtupu huyajui maandiko kitu kama haukijui kaa kimya kwanza inaonekana MAANDIKO umeyadandia pole sana
Asante kwa uelewa wako lakini wasabato ni watu kama wengine kama unavyojua wakristo isipokua wao wanakutana juma mosi kwa maelekezo ya Mungu.
We mbona unapinga maandiko Mungu aliaandika
Yaani huyu ndie mchungaji mwenye utoto zaidi sijawai ona eti mungu alipumzika mungu alijiabudu...kwa hio mungu alisema msitamani mke wa jirani kwa huvyo nae mungu alijizuia kutamani mke wa jirani?...acha upuzi mungu akitoa amri ifwatwe alivyosema sikuuliza kama yeye kafanya alivyosema...mungu si mwanadamu!
Waraka kwa Waebrania 4:8_9 ni agano jipya,inaitaja sabato
Isaya 66:23
Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.
Mkristo ni nani wewe mchungaji wa kuchanganya watu. Utapotea na wengi soma ufunuo kumi na nne msitari wakumi nambili
Sabato ipo kwa mujibu wa biblia na ni siku ambayo Mungu kaitenga kwa ajili yake
Sabato ni amri kama zile 9 zingine
Ibada ni kila siku ila ipo siku moja Mungu kaitenga
Unajitahidi kutuonyesha usivyojielewa ila unajihubiri utaelewa tu
Dah! Shetani ana mawakala wengi sana, mlio na akili ya kupambanua mambo,amkeni, kumekucha.
Hili somo linahitaji utulivu mnoo..... lakini kwa kiasi kikubwa umetumia uelewa binafsi.......
Karibu Kanisa la Wasabato ujifunze zaidi.
Msema kweli ni biblia siyo wachungaji wako
Maana ya njina wakristo ni wale wanaomfuata yesu kristo, nao wamejengwa chini ya msingi wa mitime na manabii naye kristo yesu ndiye njiwe kuu, alafu sabbato ni siku ya kufanya ibada, tofauti na siku zingine ambaso Kila mtu ufanyia maombi kwake ama mahali popote, ila Sabbato ni siku ya kufanya ibada pekeake, so wwe mtumishi soma maandiko vyema
Wapi imeandikwa sabato ni siku ya kufanya ibada?
Aminaaaaaa
Ndugu umeamua kumtumia ndacha Ili upate kiki kwenye mitandao. Tafuta kiki kwa njia zako usitumie nyota au lifti ya ndacha Ili upate wafuasi wengi
Utuambie na Yesu mwenyewe alikuwa anaenda kusali na kuabudu siku gani?
Hueleweki wala hujui biblia
Wewe hujui kile unasemaje,unasomea vizuri,unaeza mambo yako
Mzee wehujaelewatu njoo nikujuze zaidi soma ebrania 4--9 soma 1saya 66 --23 acha ushamba wa maandiko bos
Toa andiko kama unalo kwenye biblia linaloonyeesha mitume na Yesu walikwenda kusaliau kumwabudu Mungu siku ya juma pili. Mungu alisema watu wafanye kazi siku sita
Sama vitabu mzee danieli 7 25
Sabato ni amri na kama ukikataa amri hii ujue ya kuwa wewe ni mpagani haswa
Dah kiongozi kipofu mno
Sabato ni amri miogoni mwa amri kumi za Mungu
Jumamosi kwa mujibu ya kiswahili ni siku ya kwanza ya wiki ko jumapili ni siku ya pili.
Jumamosi ni siku ya saba katika juma (wiki) ya siku saba yenye asili ya kiyahudi-kikristo. Iko kati ya siku za Ijumaa na Jumapili.
Katika kawaida ya utamaduni wa magharibi Jumamosi imekuwa siku ya kuanza wikendi ikiwa ni siku ambako wafanyakazi wengi hupunzika au hufanya kazi nusu siku tu.
😢Katika Israeli Jumamosi huheshimiwa kama Sabato ya kibiblia. Wikendi ya Israel inaanza siku ya Ijumaa na kuendelea Jumamosi.Jumamosi kuwa siku ya kwanza baada ya Ijumaa, Jumapili kama siku ya pili, Jumatatu kama siku ya tatu n.k.. Tabia hii katika Kiswahili ni ya pekee hasa kwa sababu Kiarabu ambacho ni lugha ya Korani takatifu na lugha ya kimataifa ya Waislamu kinatumia jina la Kiyahudi na kuiita siku ya سبت (sabat) yaani Sabato.
Lugha nyingi za nchi za Kiislamu zafuata kawaida ya Kiarabu na kuiita vilevile "Sabato" kwa mfano Kiindonesia (Sabtu) au Kiajemi (Farsi) (شنبه - shanbe, kutoka "shabat").
Katika lugha kadhaa za Ulaya jina la siku hutunza kumbukumbu ya mungu aliyeabudiwa zamani za dini ya Kiroma kama vile Kiholanzi "Zaterdag" au Kiingereza "Saturday" (yote: siku ya Saturnus). Lakini lugha zaidi za Ulaya hutumia pia jina la Sabato kwa namna mbalimbali kwa mfano Kifaransa "samedi" (kutoka Kilatini sambati dies - siku ya Sabato), Kihispania "Sábado", Kirusi Суббота (subbota - Sabato)😢
Hebu tutajie amri za Mungu
Mm sijakuelewa , SIKU ya Saba ni amri za MUNGU siyoo ndacha , ko kama utaki usabato ni wew
Huwezi kuelewa kama hutaki kuelewa
Hamna usabato bwana
Sahihi kabisa ndo maana hakuna msalaba popote si kaburini wala kanisani kwao. Kristo si sehemu yao.
Ndugu msalaba ulikuwepo hata kabla ya Yesu unapaswa kutambua hilo , msalaba ni nembo ya kirumi ambayo leo imeendelezwa kwenye kanisa la kirumi yaan RC , japo huweza kutumika pia kihalali kwa kuwakilisha kafara ya kristo
Soma vizuri biblia kumbuka kuna juma pili nane tu toka mwanzo hadi ufunuo nitafute nikuelekeze kila juma pili na kilichocho fanyika
MUNGU halazimishi mtu kutii amri zake. Anasema mkinipenda mtazishika amri zangu
Huyu jamaa kilaza kweli kabisa MUNGU aabudu? Na MUNGU anaabudu kwa nani akili matope. Yaani jichanganye tu maana maaandiko hujui
Asante Baba watakuelewa tu
Ndacha humwezi, siyo saizi yako, MHUBIRI YESU Marko 2:27-28 YESU NDIYE BWANA WA SABATO. NENO DINI NO NJIA NA YESU NDIYE NJIA NA UZIMA. HUSOMI MAFUNGU. HAYO NI MAWAZO YAKO. SOMA NENO ISHI KWA MENO.
IMESALIA RAHA YA SABATO KWA WATU WA MUNGU. waebrania 4:9-11 .
Kumbe Wayahudi ndio watakuwa mbinguni sababu ya kushika sabato? Maana sabato hata mbinguni ipo na itakuwepo..Isaiah 66:22-23
Inamaana hataaujui hatailojina la ukristo niwananiwalilo litoakwetu,polesana wewe na vipofu wasioelewa maandiko
wanangu wapendwa mbona mnasikia hasira kwenye hilii? mKristo wa kweli huwa hakasiriki bure.
Pole sana Ezekiel 20:12 marko 2 :27-28 luka 4:16-17 acha kudanganya watu jifunze maandiko vizuri ukizingatia hakika utapata maarifa na unatumia sana nguvu bila kuhusu kushika sabato yesu anasema nini juu ya mathayo 5:17
Wanaitwa adventist maana yake wafuasi wa yesu yaani wakristo. Lakini kutana na msabato ufanye mjadala ndio uthibitishe unachosema juu uko kado sana na maandiko
Kuipinga sabato huwezi kwa kutumia biblia labda kwa kutumia hadithi na maneno ya kuongeza
Omba Mungu usifie katika hio Imani
Afie kwenye imani gani,acheni kupotosha maandiko, Yesu ndiyo njia ya kweli,bila Yesu hakuna wokovu,dini yako haitakusaidia chochote zaidi ya kuwa mbishi na roho mbaya
Imani ya kumfuata kristo ndio njia pekee ya haki kama bado hujaifuta ifuate kizitii amir kumi za Mungu na sabato yake
Wasabato nidini ya Mayahudi isiyomkubali kiristo baali wale waliojiengua ilekarne ya 18iliyoanzishwa na akinawiliam mira S.D.A ndiyowakiristo wanaokubali Yesu kurudi mara yapili lskinipasipo kujuanao hujiitawasabato wakati dini hiyo yaMayahudi hawasomi hata enjili hao husomatoratitu na bibiriayao ina torati tu haina aganojipya huweziluwa mkiristo bila enjiliwala humutajiYesu
Pole sana maana ulilishwa matango poli
Wewe kila andiko lafaa kwa mafundisho ww una ushetani mwingi wanao kisikiriza utawaloga hata fundisho lako halieleweki
Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
2 Timotheo 4:3-4😮😮😊
Kalale ukue Mzee! Umechemka sana huju maandiko kabisa!
Usijifiche kwa chaka jitokeze na hayo maandiko😂😂😂
Soma matendo ya mitume 16.13 Paulo alifanya nini huko kwa wamataifa si kwa wayahudi.
Bishop mzima na mambo ya sabato huyajui🤔🤔..
Unatumia biblia ipi..wakati mwingine uweke linki ushirikishwe maswali..maana 1st Peter 3:15 inaruhusu
😂😂😂 wewe unachekesha kweli Yesu mwenyew ni Bwana wa Sabato.
Jaribu kumtongoza mkewe uone. Hawa ni mbwa wakali aliosema paulo
Hata asiyejua Kusoma hawezi Kuitafsiri Biblia Kama hivi. Ni Afadhali Ungekaa Kimya uwafundishe Waumini Kanisani Kwako, KULIKO KUJIAIBISHA MTANDAONI.
Kweli vilaza ni wengi katika haya maisha ya kikristo
Na vilaza wengi wanaamini majini ni mazuri
Wewe kibaraka wa shetani mbona umeshindwa kuwambia watu siku ambayo Mungu alisema wamwabudu.
Na sabato niya wanadamu wote sio kwa wa Israel
Eti musalaba ulikuwepo hatakablaya yesu sawa huomsalaba wa tolati ulikuwa wakunyongea.wahalifu kwamilanadesturi zatolati lakini ule wakusulubishwa Yesu kamamhalifu alinyongwa na alifariki? je alikuwa muhalifu? hushangai hatamitume kwanini walinyongwa nakuuwawa nasasa ni ni marehemunao wanasbiri ufufuo waMungu.😊
Usitumie nguvu zako kufasiri maandiko kama utakavyo wewe hebu angalia Isaya 66:23
Nakuombea kwa MUNGU afungue macho yako ya kiroho usiwe kiongozi kipofu
Angalia marko7:7
Yakobo2:10-11
Samahani kaka, Dacha hawaipigia debe wasabato, ila anapigia, na atazidi kupigia debe amri ya mungu ya nne, sabato.
Unapita jujuu sana mtumishi, muombe sana Mungu akuongoze uujue ukweli. Nikweli kabisa siku yoyote unaweza fanya ibada ndo maana huwaga ndani ya wiki kuna siku ya maombi mnakutana hata saa 10 jioni ila asubuhi mlikuwa katika mihangaiko ya mambo mengine. Lakini siku ya saba ni siku maalumu tu ya kuabudu ndo maana huwaga tunaacha shughuri za mihangaiko na utafutaji. Hii ni kwa sababu ndivyo ilivyo agizwa kwamba watu wasifanye kazi siku hiyo.
Mungu ana abudiwa siku yoyote ili mladi umwabudu katika roho na kweli, kushika sabato sio tiketi ya kumuona Mungu Bali ni kuishi maisha matakatifu katika maisha Yako kumpa maisha Yako Yesu yaani kuokoka.
Ata mbingu mpya na inchi mpya Sabato itakuwepo kwa maana ni amri ya Mungu ya milele.
Nb
Askofu soma isaha 66_23
Umejikaz kuudanganya watu ambao hawasomi maandiko
Wasabato hawajui maana ya agano ila wanang'ang'ania siku (sabato) Hata hawamwelewi yesu
Kuna MWISHO wa ubishi, uzuri mimi na wewe tunapita ata Yesu kirsto alikuwa msabato. MWISHO WA UBISHI upo
Uelewa wako mdogo hata ukitembea kote utashuhudiwa kuwa wasabato ndiyo waijuayo kweli.
Wayahudi hawana siku, maelezo yako
ya awali umesema siku zote ni sawa na sasa unasema sabato ni siku ya wayahudi? You contradict yourself.
Jumapili ni siku ya jua. Sunday, soma vitabu. Ndacha ni MHUBIRI wa kimataifa aliyevuviwa na ROHO mtakatifu. Hako baridi kama wewe.
Wewe njoo ufanye mdahalo na Mimi, si ndacha. Hana muda wa kichezea.b
Umetumwa nini
Naomba mungu atusame kwa sababu tunakataa sabato yake ata wale ambao tunaita wachungaji
Pole sana kwa kumkufuru Roho Mtakatifu.
Inaonyesha waalimu wako wamekudanganya ktk mengi ila hujui
Wapi ilipo amri ya ibada ya juma pili MBN haujaizungumzia?
Mtumish sabato sio din bali sabato ni siku ya kuabud
@@RenatusMakan-x2z sabato sio siku ya kuabudu
Maana ya Sabato sio Siku ya kuabudu, ni siku ya kupumzika
@@emmanuelpeter6742 wanaojiita wasabato huwa nashindwa kuwatofautisha na waislamu wao wameshika mapokeo ya kimwili ya musa na sio mapokeo ya kiroho
Bila shaka wewe ni askofu wa shetani pole sana mwazilishi wa sabato ni mungu pumbafu wewe
Kwa matusi haya ndiyo umedhihilisha usabato wako
Mcha mungu hatukani,omba mungu akusamee
Wasabato pia wanashindwa kutofautisha kati ya Mungu na Yesu, maandiko yanasema kuwa ufalme wa Mungu ni huu kumua Baba na aliye mtuma. Kama unaamini Yesu ndio Yehova na sio mwana Bado sana ,omba mungu akufunulie maandiko uelewe.
Unajiona ulivo wa ajabu 😂 unatukana nini?
Kiongizi kipofu hawezu kufafanua maanduko
KWA HIYO MUMEAMUA KULIMANA WENYEWE KWA WENYEWE NA KOMENT ZA MATUSI YA KISHETANI ,AMA KWELI SIKU ZA MWISHO DALILI ZAKE ZINAHIHIRIKA
HUYO muhubiri anapotosha maandiko. Hata katekisimo ya wakatoloki inakiri kuwa sabato ni jumamosi ndiyo siku ya kuabudu Mungu, pia korana . Bike vile wayahudi wapo Hadi Leo. Je, wote walimkataa YESU? Jibu ni hapana . Mitume wake wote na wauumini wa Karne ya kwanza walikuwa wakiabidu MUNGU katika siku ya SABATO. Matendo 16:13-17
ukitaka kujua ukweli zaidi wa huyu jamaa angalia, mahubiri tv, orion tv, na hope channel tanzania
Wewe usipotoshe watu kama papa ,Sasa wewe unaabudu Kwa Mungu yup 😅😢😊😊😊
Wewe ni mchungaji wa kweli????
Waebrania 10:25
Acha comedy lakni pia uendelee kusema, Ukatoliki sio ukristo, Uluteri sio ukristo, Uanglicana sio ukristo, Ulokole sio ukristo, au tuseme Upentecoste sio ukristo, halafu umalizie kwa kusema Usabato sio ukristo. Maana yangu ni kwamba kwanini ubague usabato ilihali kila dhehebu lina jina la kwanza, yani katoliki, protestant, anglican, othodox, Pentecostal, na sabato yote ni makanisa ya kikristo,Amen
Hawatakuelewa hao walizoea kupokea makontena ya mafuta ya upako
Haelewi hata anachosema
Hueleweki mtumish fundisha vizuri watu wakuelewe kwaiyo ni siku ipi hasa Kati ya jumamos au jumapili
Wewe ndoo huelewi!!
Siku sio sababu,, siku yoyote mtu anaweza kuabudu, na sio j.mos kuwa siku maarumu kwa ibaada, sabato ilikuwa ni siku ya kupumzika,, na sio maarumu kwa ibada
Bwana na akukemee
Mbona hakuwakemea ninyi kwa kumtuhumu Yesu kuvunja Sabato mkamuua? Si maana yake mlimkataa Yesu, mtakuwaje wakristo Kristo mwenyewe mlimkataa mkamuua?
Mimi naona wewe unajifunza kwa walioanguka bada ujifunze kwa walioshinda Marko 2:27-28 kama ww sio binadamu haikuhusu wala bwana wake ambaye ndie Yesu kristo hakuhusu pia@@daudimichael7338
@@daudimichael7338Bwana akusaidie sana umfahamu uachane na Mpinga Kristo(UPAPA) na Sabato yake ya bandia Jumapili.
@@Imeandikwa mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imefika msujudieni yeye aliyefanya mbingu na nchi bahari na chemchemi za maji.,,Hebrew 4:9.
Asanteni nyote ninalo swali .nigeomba nielezewe kinagaubaga kwamba manzo wa siku ni upon na mwisho wa suku ni upi tuwache mambo ya wasungu .nielezeni .
@@sergiusnjiru2361 kiukwel SIKU nikitu Cha muhimu sANA , SIKU ya Saba JUMAMOSI, aliiandika kwakidole CHAKE mwenyewe,na akaibariki, LKN Daniel 7:25 ATAAZIMU KUBADILI SHELIA, akaweka JUMAPILI costantino , ko MUNGU aliiweka JUMAMOSI na costantino akaiweka JUMAPILI, ndomaana wakijitetea wanajichanganya, BWANA WA sabato ni YESU, LKN bwana WA JUMAPILI ni NIMLODI
Wasabato Ni Wasabato Tu. Na Wakristo Ni Wakristo Tu.
Je Sunday worshipas niwa kristo
We worship Day and Night. Not days.
Mchungaji yupo sahihi msabato sio mkiristo dini yao ni yakiyahudi wayahudi wanapumzika jumamosi agano jipya wanalikataa hawa wakwetu wametoka wapi?
Kumbuka wokovu unapatikana kwa wayahudi hata yesu ambaye ndiye chanzo cha ukristo alikuwa myahudi
😂😂😂😂😂 siyo mchungaji HUYO.
Anatafuta kiki. Ndacha siyo DARAJA lake 🔥🔥🔥
Swali kwako? Ni hamri ya Mungu au yako au ya Ndacha.Nenda kafunzwe kuwa askofu si kitu ,jambo muhimu helewe maandiko bwana.
Kwa mjibu wa maandiko wewe ni kibofu kiroho
Acha kupotosha watu mungu hajasema ikumbuke jumapili
Aliposema wakumbuke sabato alikuwa anawaambia waisrael sio watanzania Soma Kutoka 31:16
Ata nashangaa huyu mchungaji...lengo lake ni kupigana na neno la Mungu.
Art 13:44
@biblia Nuru ya ulimwengu
Ka wasabato hawajaandikwa kwenye maandiko eti ndiyo kupinga kuwa siyo WAKRISTO. JE, KKKT ni wakriato? WA MORAVIAN, WAANGLIVAN, WA ETG ATG JEHOVAH WITNESS hawa wote siyo wakristo? Na kama ni wakristo wameandikwa katika neno.? Uhalali wa kuitwa wakristo kimaandiko ni upi?
Endelea kuabudu constan mrumi nyoko ww
Mbona.mnapingana.wenyewe
Waafrika sisi ni matapishi ya wazungu tafteni ela acha kupotosha vizazi hakuna din
mzee umechemka uyo mwalimu wako wa Biblia akufundishe upya
Bado hujaeleweka
Wewe mbona sikwelewi wewe unasali siku ipi unaponda sabato siku ipi yakuabudu?