wasabato sio wakristo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • ‪@BIBLIANURUYADUNIA‬
    ‪@adventsoundtv‬

Komentáře • 223

  • @jacksonmwasibila9310
    @jacksonmwasibila9310 Před 9 dny

    Uko sawa mtumishi Mungu akubariki. Askofu Mwasibila

  • @AlbertShayo-i6v
    @AlbertShayo-i6v Před dnem

    Wasabato ni wakristo wazuri tu acha uongo mtumishi

  • @JaredOndieki-dy5cr
    @JaredOndieki-dy5cr Před 22 dny

    Sabato ni jumamosi

  • @Selemlaki132
    @Selemlaki132 Před 2 měsíci +3

    Mungu haabudu tunao abudu ni sisi wanadamu na tunamuabudu yeye Mungu wetu wa mbinguni

  • @ernestbensonmwamengo1642
    @ernestbensonmwamengo1642 Před měsícem +2

    Kabamia neno ila kakosa roho mtakatifu

  • @deohank5995
    @deohank5995 Před měsícem +1

    Amina, Mungu ameamua ujihubiri na kujifunua kwako yeye mwenyewe kwa NENO lake ubarikiwe. Namtukuza Mungu kwa kuwa wewe ni mwanafunzi bora utafutae UKWELI.

  • @stephanobenard7439
    @stephanobenard7439 Před 2 měsíci +3

    yan omba Mungu akufunulie siri ya sabato utafurahi sana

  • @metaoyugi6530
    @metaoyugi6530 Před 8 dny

    Nimelia sana bundles zangu nilizotumia kuskiza mjinga kama huyu,ulaniwe

  • @ZabronJonathan-b5s
    @ZabronJonathan-b5s Před 23 dny

    Heri mwanadamu afanyaye haya lsaya 56:1--4

  • @JosephMpangala-wd5mp
    @JosephMpangala-wd5mp Před 2 měsíci +4

    Kama wasabato siyo wakristo inakuweje Yesu awe Bwana wasabato? Marko:2:27,28.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 2 měsíci +1

    Amina Bishop

  • @JamesOdadaNdati-d7o
    @JamesOdadaNdati-d7o Před 5 dny

    nakusikitikia sana wewe uko mtupu huyajui maandiko kitu kama haukijui kaa kimya kwanza inaonekana MAANDIKO umeyadandia pole sana

  • @user-dz2si2we9x
    @user-dz2si2we9x Před 16 dny

    Asante kwa uelewa wako lakini wasabato ni watu kama wengine kama unavyojua wakristo isipokua wao wanakutana juma mosi kwa maelekezo ya Mungu.

  • @robertokeyo2877
    @robertokeyo2877 Před 7 dny

    We mbona unapinga maandiko Mungu aliaandika

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Před měsícem +1

    Yaani huyu ndie mchungaji mwenye utoto zaidi sijawai ona eti mungu alipumzika mungu alijiabudu...kwa hio mungu alisema msitamani mke wa jirani kwa huvyo nae mungu alijizuia kutamani mke wa jirani?...acha upuzi mungu akitoa amri ifwatwe alivyosema sikuuliza kama yeye kafanya alivyosema...mungu si mwanadamu!

  • @deckmayunga6555
    @deckmayunga6555 Před 27 dny

    Waraka kwa Waebrania 4:8_9 ni agano jipya,inaitaja sabato

  • @user-lz7ms2ij7q
    @user-lz7ms2ij7q Před měsícem

    Isaya 66:23
    Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.

  • @solomonmugao4733
    @solomonmugao4733 Před 2 dny

    Mkristo ni nani wewe mchungaji wa kuchanganya watu. Utapotea na wengi soma ufunuo kumi na nne msitari wakumi nambili

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Před 2 měsíci +2

    Sabato ipo kwa mujibu wa biblia na ni siku ambayo Mungu kaitenga kwa ajili yake
    Sabato ni amri kama zile 9 zingine
    Ibada ni kila siku ila ipo siku moja Mungu kaitenga

  • @user-fk9dy6ng4f
    @user-fk9dy6ng4f Před měsícem

    Unajitahidi kutuonyesha usivyojielewa ila unajihubiri utaelewa tu

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f Před měsícem +1

    Dah! Shetani ana mawakala wengi sana, mlio na akili ya kupambanua mambo,amkeni, kumekucha.

  • @alexkilyenyi5763
    @alexkilyenyi5763 Před 2 měsíci +2

    Hili somo linahitaji utulivu mnoo..... lakini kwa kiasi kikubwa umetumia uelewa binafsi.......

  • @user-dx7pp9ie2i
    @user-dx7pp9ie2i Před 2 měsíci +2

    Karibu Kanisa la Wasabato ujifunze zaidi.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Msema kweli ni biblia siyo wachungaji wako

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Před 2 měsíci +2

    Maana ya njina wakristo ni wale wanaomfuata yesu kristo, nao wamejengwa chini ya msingi wa mitime na manabii naye kristo yesu ndiye njiwe kuu, alafu sabbato ni siku ya kufanya ibada, tofauti na siku zingine ambaso Kila mtu ufanyia maombi kwake ama mahali popote, ila Sabbato ni siku ya kufanya ibada pekeake, so wwe mtumishi soma maandiko vyema

    • @JohnNchimbi-i8t
      @JohnNchimbi-i8t Před měsícem

      Wapi imeandikwa sabato ni siku ya kufanya ibada?

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA Před měsícem

    Aminaaaaaa

  • @anandumishoo6840
    @anandumishoo6840 Před 5 dny

    Ndugu umeamua kumtumia ndacha Ili upate kiki kwenye mitandao. Tafuta kiki kwa njia zako usitumie nyota au lifti ya ndacha Ili upate wafuasi wengi

  • @ZabronJonathan-b5s
    @ZabronJonathan-b5s Před 23 dny

    Utuambie na Yesu mwenyewe alikuwa anaenda kusali na kuabudu siku gani?

  • @sullyjoseph1041
    @sullyjoseph1041 Před měsícem

    Hueleweki wala hujui biblia

  • @douglasnyakundi1208
    @douglasnyakundi1208 Před měsícem

    Wewe hujui kile unasemaje,unasomea vizuri,unaeza mambo yako

  • @MwalindeJackson
    @MwalindeJackson Před 2 měsíci +1

    Mzee wehujaelewatu njoo nikujuze zaidi soma ebrania 4--9 soma 1saya 66 --23 acha ushamba wa maandiko bos

  • @ZabronJonathan-b5s
    @ZabronJonathan-b5s Před 23 dny

    Toa andiko kama unalo kwenye biblia linaloonyeesha mitume na Yesu walikwenda kusaliau kumwabudu Mungu siku ya juma pili. Mungu alisema watu wafanye kazi siku sita

  • @DeusRamadhan
    @DeusRamadhan Před měsícem

    Sabato ni amri na kama ukikataa amri hii ujue ya kuwa wewe ni mpagani haswa

  • @user-ez2og4gi9o
    @user-ez2og4gi9o Před 24 dny

    Dah kiongozi kipofu mno

  • @richardselaka1621
    @richardselaka1621 Před měsícem

    Sabato ni amri miogoni mwa amri kumi za Mungu

  • @clewis520
    @clewis520 Před měsícem

    Jumamosi kwa mujibu ya kiswahili ni siku ya kwanza ya wiki ko jumapili ni siku ya pili.

    • @ckmanga48
      @ckmanga48 Před 29 dny

      Jumamosi ni siku ya saba katika juma (wiki) ya siku saba yenye asili ya kiyahudi-kikristo. Iko kati ya siku za Ijumaa na Jumapili.
      Katika kawaida ya utamaduni wa magharibi Jumamosi imekuwa siku ya kuanza wikendi ikiwa ni siku ambako wafanyakazi wengi hupunzika au hufanya kazi nusu siku tu.
      😢Katika Israeli Jumamosi huheshimiwa kama Sabato ya kibiblia. Wikendi ya Israel inaanza siku ya Ijumaa na kuendelea Jumamosi.Jumamosi kuwa siku ya kwanza baada ya Ijumaa, Jumapili kama siku ya pili, Jumatatu kama siku ya tatu n.k.. Tabia hii katika Kiswahili ni ya pekee hasa kwa sababu Kiarabu ambacho ni lugha ya Korani takatifu na lugha ya kimataifa ya Waislamu kinatumia jina la Kiyahudi na kuiita siku ya سبت (sabat) yaani Sabato.
      Lugha nyingi za nchi za Kiislamu zafuata kawaida ya Kiarabu na kuiita vilevile "Sabato" kwa mfano Kiindonesia (Sabtu) au Kiajemi (Farsi) (شنبه - shanbe, kutoka "shabat").
      Katika lugha kadhaa za Ulaya jina la siku hutunza kumbukumbu ya mungu aliyeabudiwa zamani za dini ya Kiroma kama vile Kiholanzi "Zaterdag" au Kiingereza "Saturday" (yote: siku ya Saturnus). Lakini lugha zaidi za Ulaya hutumia pia jina la Sabato kwa namna mbalimbali kwa mfano Kifaransa "samedi" (kutoka Kilatini sambati dies - siku ya Sabato), Kihispania "Sábado", Kirusi Суббота (subbota - Sabato)😢

  • @sullyjoseph1041
    @sullyjoseph1041 Před měsícem

    Hebu tutajie amri za Mungu

  • @barakamwasumbi1646
    @barakamwasumbi1646 Před 2 měsíci +7

    Mm sijakuelewa , SIKU ya Saba ni amri za MUNGU siyoo ndacha , ko kama utaki usabato ni wew

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 Před 2 měsíci

      Huwezi kuelewa kama hutaki kuelewa

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 Před 2 měsíci

      Hamna usabato bwana

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 Před 2 měsíci

      Sahihi kabisa ndo maana hakuna msalaba popote si kaburini wala kanisani kwao. Kristo si sehemu yao.

    • @bravesilubonde4350
      @bravesilubonde4350 Před 2 měsíci

      Ndugu msalaba ulikuwepo hata kabla ya Yesu unapaswa kutambua hilo , msalaba ni nembo ya kirumi ambayo leo imeendelezwa kwenye kanisa la kirumi yaan RC , japo huweza kutumika pia kihalali kwa kuwakilisha kafara ya kristo

  • @FabiJohn-vx9jl
    @FabiJohn-vx9jl Před měsícem

    Soma vizuri biblia kumbuka kuna juma pili nane tu toka mwanzo hadi ufunuo nitafute nikuelekeze kila juma pili na kilichocho fanyika

  • @michaellumumba1779
    @michaellumumba1779 Před 25 dny

    MUNGU halazimishi mtu kutii amri zake. Anasema mkinipenda mtazishika amri zangu

  • @user-wm9hr7fx9l
    @user-wm9hr7fx9l Před 27 dny

    Huyu jamaa kilaza kweli kabisa MUNGU aabudu? Na MUNGU anaabudu kwa nani akili matope. Yaani jichanganye tu maana maaandiko hujui

  • @WilliamHiza
    @WilliamHiza Před 2 měsíci

    Asante Baba watakuelewa tu

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 Před měsícem

      Ndacha humwezi, siyo saizi yako, MHUBIRI YESU Marko 2:27-28 YESU NDIYE BWANA WA SABATO. NENO DINI NO NJIA NA YESU NDIYE NJIA NA UZIMA. HUSOMI MAFUNGU. HAYO NI MAWAZO YAKO. SOMA NENO ISHI KWA MENO.
      IMESALIA RAHA YA SABATO KWA WATU WA MUNGU. waebrania 4:9-11 .

  • @Globaladventministries

    Kumbe Wayahudi ndio watakuwa mbinguni sababu ya kushika sabato? Maana sabato hata mbinguni ipo na itakuwepo..Isaiah 66:22-23

  • @ChanceBariziraVital-cv5jx
    @ChanceBariziraVital-cv5jx Před 2 měsíci +1

    Inamaana hataaujui hatailojina la ukristo niwananiwalilo litoakwetu,polesana wewe na vipofu wasioelewa maandiko

  • @magrethmosha4272
    @magrethmosha4272 Před měsícem

    wanangu wapendwa mbona mnasikia hasira kwenye hilii? mKristo wa kweli huwa hakasiriki bure.

  • @FabiJohn-vx9jl
    @FabiJohn-vx9jl Před měsícem

    Pole sana Ezekiel 20:12 marko 2 :27-28 luka 4:16-17 acha kudanganya watu jifunze maandiko vizuri ukizingatia hakika utapata maarifa na unatumia sana nguvu bila kuhusu kushika sabato yesu anasema nini juu ya mathayo 5:17

  • @NicodemusMutua-pf8kp
    @NicodemusMutua-pf8kp Před měsícem

    Wanaitwa adventist maana yake wafuasi wa yesu yaani wakristo. Lakini kutana na msabato ufanye mjadala ndio uthibitishe unachosema juu uko kado sana na maandiko

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Před 2 měsíci +1

    Kuipinga sabato huwezi kwa kutumia biblia labda kwa kutumia hadithi na maneno ya kuongeza

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 Před 2 měsíci

    Omba Mungu usifie katika hio Imani

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Afie kwenye imani gani,acheni kupotosha maandiko, Yesu ndiyo njia ya kweli,bila Yesu hakuna wokovu,dini yako haitakusaidia chochote zaidi ya kuwa mbishi na roho mbaya

    • @sindabahabwoyaanacret660
      @sindabahabwoyaanacret660 Před měsícem

      Imani ya kumfuata kristo ndio njia pekee ya haki kama bado hujaifuta ifuate kizitii amir kumi za Mungu na sabato yake

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před měsícem

    Wasabato nidini ya Mayahudi isiyomkubali kiristo baali wale waliojiengua ilekarne ya 18iliyoanzishwa na akinawiliam mira S.D.A ndiyowakiristo wanaokubali Yesu kurudi mara yapili lskinipasipo kujuanao hujiitawasabato wakati dini hiyo yaMayahudi hawasomi hata enjili hao husomatoratitu na bibiriayao ina torati tu haina aganojipya huweziluwa mkiristo bila enjiliwala humutajiYesu

  • @DavidChacha-yz4qh
    @DavidChacha-yz4qh Před 28 dny

    Wewe kila andiko lafaa kwa mafundisho ww una ushetani mwingi wanao kisikiriza utawaloga hata fundisho lako halieleweki

  • @ckmanga48
    @ckmanga48 Před měsícem

    Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
    2 Timotheo 4:3-4😮😮😊

  • @dennispeter2010
    @dennispeter2010 Před 2 měsíci +1

    Kalale ukue Mzee! Umechemka sana huju maandiko kabisa!

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m Před 2 měsíci

      Usijifiche kwa chaka jitokeze na hayo maandiko😂😂😂

  • @danielmarwa5122
    @danielmarwa5122 Před měsícem

    Soma matendo ya mitume 16.13 Paulo alifanya nini huko kwa wamataifa si kwa wayahudi.

  • @Globaladventministries

    Bishop mzima na mambo ya sabato huyajui🤔🤔..
    Unatumia biblia ipi..wakati mwingine uweke linki ushirikishwe maswali..maana 1st Peter 3:15 inaruhusu

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 Před 21 dnem

    😂😂😂 wewe unachekesha kweli Yesu mwenyew ni Bwana wa Sabato.

  • @martinkamwaro1561
    @martinkamwaro1561 Před měsícem +1

    Jaribu kumtongoza mkewe uone. Hawa ni mbwa wakali aliosema paulo

  • @MrMwangosi
    @MrMwangosi Před měsícem

    Hata asiyejua Kusoma hawezi Kuitafsiri Biblia Kama hivi. Ni Afadhali Ungekaa Kimya uwafundishe Waumini Kanisani Kwako, KULIKO KUJIAIBISHA MTANDAONI.

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 Před 2 měsíci +1

    Kweli vilaza ni wengi katika haya maisha ya kikristo

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Na vilaza wengi wanaamini majini ni mazuri

  • @ZabronJonathan-b5s
    @ZabronJonathan-b5s Před 23 dny

    Wewe kibaraka wa shetani mbona umeshindwa kuwambia watu siku ambayo Mungu alisema wamwabudu.

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Před 2 měsíci +1

    Na sabato niya wanadamu wote sio kwa wa Israel

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u Před 27 dny

    Eti musalaba ulikuwepo hatakablaya yesu sawa huomsalaba wa tolati ulikuwa wakunyongea.wahalifu kwamilanadesturi zatolati lakini ule wakusulubishwa Yesu kamamhalifu alinyongwa na alifariki? je alikuwa muhalifu? hushangai hatamitume kwanini walinyongwa nakuuwawa nasasa ni ni marehemunao wanasbiri ufufuo waMungu.😊

  • @DANIELSHAURI-lo8wb
    @DANIELSHAURI-lo8wb Před měsícem +1

    Usitumie nguvu zako kufasiri maandiko kama utakavyo wewe hebu angalia Isaya 66:23
    Nakuombea kwa MUNGU afungue macho yako ya kiroho usiwe kiongozi kipofu
    Angalia marko7:7
    Yakobo2:10-11

  • @OtienoKoyi
    @OtienoKoyi Před měsícem

    Samahani kaka, Dacha hawaipigia debe wasabato, ila anapigia, na atazidi kupigia debe amri ya mungu ya nne, sabato.

  • @PaulDeus-jh7jn
    @PaulDeus-jh7jn Před měsícem +1

    Unapita jujuu sana mtumishi, muombe sana Mungu akuongoze uujue ukweli. Nikweli kabisa siku yoyote unaweza fanya ibada ndo maana huwaga ndani ya wiki kuna siku ya maombi mnakutana hata saa 10 jioni ila asubuhi mlikuwa katika mihangaiko ya mambo mengine. Lakini siku ya saba ni siku maalumu tu ya kuabudu ndo maana huwaga tunaacha shughuri za mihangaiko na utafutaji. Hii ni kwa sababu ndivyo ilivyo agizwa kwamba watu wasifanye kazi siku hiyo.

    • @user-xf3lv5xp1i
      @user-xf3lv5xp1i Před měsícem

      Mungu ana abudiwa siku yoyote ili mladi umwabudu katika roho na kweli, kushika sabato sio tiketi ya kumuona Mungu Bali ni kuishi maisha matakatifu katika maisha Yako kumpa maisha Yako Yesu yaani kuokoka.

  • @jeanefelix70
    @jeanefelix70 Před měsícem +1

    Ata mbingu mpya na inchi mpya Sabato itakuwepo kwa maana ni amri ya Mungu ya milele.

  • @user-ep1pi5pw3k
    @user-ep1pi5pw3k Před 2 měsíci

    Nb

  • @jamesonyango2653
    @jamesonyango2653 Před 2 měsíci

    Askofu soma isaha 66_23

  • @penuelelhazina7860
    @penuelelhazina7860 Před měsícem +1

    Umejikaz kuudanganya watu ambao hawasomi maandiko

  • @user-fj5dy9hh5v
    @user-fj5dy9hh5v Před 2 měsíci +1

    Wasabato hawajui maana ya agano ila wanang'ang'ania siku (sabato) Hata hawamwelewi yesu

    • @innocentfortunatus725
      @innocentfortunatus725 Před 2 měsíci +1

      Kuna MWISHO wa ubishi, uzuri mimi na wewe tunapita ata Yesu kirsto alikuwa msabato. MWISHO WA UBISHI upo

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 Před měsícem

      Uelewa wako mdogo hata ukitembea kote utashuhudiwa kuwa wasabato ndiyo waijuayo kweli.
      Wayahudi hawana siku, maelezo yako
      ya awali umesema siku zote ni sawa na sasa unasema sabato ni siku ya wayahudi? You contradict yourself.
      Jumapili ni siku ya jua. Sunday, soma vitabu. Ndacha ni MHUBIRI wa kimataifa aliyevuviwa na ROHO mtakatifu. Hako baridi kama wewe.
      Wewe njoo ufanye mdahalo na Mimi, si ndacha. Hana muda wa kichezea.b

  • @user-df1wz5xu2i
    @user-df1wz5xu2i Před 2 měsíci +1

    Umetumwa nini

  • @CollinsOnyango-ep8kk
    @CollinsOnyango-ep8kk Před měsícem

    Naomba mungu atusame kwa sababu tunakataa sabato yake ata wale ambao tunaita wachungaji

  • @gwakisamwakatage4656
    @gwakisamwakatage4656 Před měsícem

    Pole sana kwa kumkufuru Roho Mtakatifu.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      Inaonyesha waalimu wako wamekudanganya ktk mengi ila hujui

  • @DANIELSHAURI-lo8wb
    @DANIELSHAURI-lo8wb Před měsícem

    Wapi ilipo amri ya ibada ya juma pili MBN haujaizungumzia?

  • @RenatusMakan-x2z
    @RenatusMakan-x2z Před 2 měsíci +1

    Mtumish sabato sio din bali sabato ni siku ya kuabud

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m Před 2 měsíci

      @@RenatusMakan-x2z sabato sio siku ya kuabudu

    • @emmanuelpeter6742
      @emmanuelpeter6742 Před 2 měsíci

      Maana ya Sabato sio Siku ya kuabudu, ni siku ya kupumzika

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m Před 2 měsíci

      @@emmanuelpeter6742 wanaojiita wasabato huwa nashindwa kuwatofautisha na waislamu wao wameshika mapokeo ya kimwili ya musa na sio mapokeo ya kiroho

  • @mussamashauri
    @mussamashauri Před 2 měsíci +1

    Bila shaka wewe ni askofu wa shetani pole sana mwazilishi wa sabato ni mungu pumbafu wewe

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 2 měsíci

      Kwa matusi haya ndiyo umedhihilisha usabato wako

    • @emmanuelpeter6742
      @emmanuelpeter6742 Před 2 měsíci

      Mcha mungu hatukani,omba mungu akusamee

    • @emmanuelpeter6742
      @emmanuelpeter6742 Před 2 měsíci

      Wasabato pia wanashindwa kutofautisha kati ya Mungu na Yesu, maandiko yanasema kuwa ufalme wa Mungu ni huu kumua Baba na aliye mtuma. Kama unaamini Yesu ndio Yehova na sio mwana Bado sana ,omba mungu akufunulie maandiko uelewe.

    • @barbiechemmy2137
      @barbiechemmy2137 Před 2 měsíci

      Unajiona ulivo wa ajabu 😂 unatukana nini?

  • @malimahila9450
    @malimahila9450 Před měsícem

    Kiongizi kipofu hawezu kufafanua maanduko

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela Před 2 měsíci

    KWA HIYO MUMEAMUA KULIMANA WENYEWE KWA WENYEWE NA KOMENT ZA MATUSI YA KISHETANI ,AMA KWELI SIKU ZA MWISHO DALILI ZAKE ZINAHIHIRIKA

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 Před měsícem

      HUYO muhubiri anapotosha maandiko. Hata katekisimo ya wakatoloki inakiri kuwa sabato ni jumamosi ndiyo siku ya kuabudu Mungu, pia korana . Bike vile wayahudi wapo Hadi Leo. Je, wote walimkataa YESU? Jibu ni hapana . Mitume wake wote na wauumini wa Karne ya kwanza walikuwa wakiabidu MUNGU katika siku ya SABATO. Matendo 16:13-17

  • @stevenwilliam2704
    @stevenwilliam2704 Před měsícem

    ukitaka kujua ukweli zaidi wa huyu jamaa angalia, mahubiri tv, orion tv, na hope channel tanzania

  • @feadamagessa889
    @feadamagessa889 Před 2 měsíci

    Wewe usipotoshe watu kama papa ,Sasa wewe unaabudu Kwa Mungu yup 😅😢😊😊😊

  • @nyanchokarebecca9001
    @nyanchokarebecca9001 Před měsícem

    Wewe ni mchungaji wa kweli????

  • @sturmiusbs
    @sturmiusbs Před 2 měsíci

    Waebrania 10:25

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 Před 2 měsíci +2

    Acha comedy lakni pia uendelee kusema, Ukatoliki sio ukristo, Uluteri sio ukristo, Uanglicana sio ukristo, Ulokole sio ukristo, au tuseme Upentecoste sio ukristo, halafu umalizie kwa kusema Usabato sio ukristo. Maana yangu ni kwamba kwanini ubague usabato ilihali kila dhehebu lina jina la kwanza, yani katoliki, protestant, anglican, othodox, Pentecostal, na sabato yote ni makanisa ya kikristo,Amen

  • @RamadhanMgoloz
    @RamadhanMgoloz Před měsícem +1

    Hueleweki mtumish fundisha vizuri watu wakuelewe kwaiyo ni siku ipi hasa Kati ya jumamos au jumapili

    • @samwelpaul2439
      @samwelpaul2439 Před měsícem

      Wewe ndoo huelewi!!
      Siku sio sababu,, siku yoyote mtu anaweza kuabudu, na sio j.mos kuwa siku maarumu kwa ibaada, sabato ilikuwa ni siku ya kupumzika,, na sio maarumu kwa ibada

  • @tumainjulius2311
    @tumainjulius2311 Před 2 měsíci

    Bwana na akukemee

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 Před 2 měsíci

      Mbona hakuwakemea ninyi kwa kumtuhumu Yesu kuvunja Sabato mkamuua? Si maana yake mlimkataa Yesu, mtakuwaje wakristo Kristo mwenyewe mlimkataa mkamuua?

    • @raymondngajagu66
      @raymondngajagu66 Před 2 měsíci

      Mimi naona wewe unajifunza kwa walioanguka bada ujifunze kwa walioshinda Marko 2:27-28 kama ww sio binadamu haikuhusu wala bwana wake ambaye ndie Yesu kristo hakuhusu pia​@@daudimichael7338

    • @tumainjulius2311
      @tumainjulius2311 Před 2 měsíci

      @@daudimichael7338Bwana akusaidie sana umfahamu uachane na Mpinga Kristo(UPAPA) na Sabato yake ya bandia Jumapili.
      @@Imeandikwa mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imefika msujudieni yeye aliyefanya mbingu na nchi bahari na chemchemi za maji.,,Hebrew 4:9.

  • @sergiusnjiru2361
    @sergiusnjiru2361 Před 2 měsíci

    Asanteni nyote ninalo swali .nigeomba nielezewe kinagaubaga kwamba manzo wa siku ni upon na mwisho wa suku ni upi tuwache mambo ya wasungu .nielezeni .

    • @barakamwasumbi1646
      @barakamwasumbi1646 Před 2 měsíci

      @@sergiusnjiru2361 kiukwel SIKU nikitu Cha muhimu sANA , SIKU ya Saba JUMAMOSI, aliiandika kwakidole CHAKE mwenyewe,na akaibariki, LKN Daniel 7:25 ATAAZIMU KUBADILI SHELIA, akaweka JUMAPILI costantino , ko MUNGU aliiweka JUMAMOSI na costantino akaiweka JUMAPILI, ndomaana wakijitetea wanajichanganya, BWANA WA sabato ni YESU, LKN bwana WA JUMAPILI ni NIMLODI

  • @geoffreykibogora1819
    @geoffreykibogora1819 Před 2 měsíci

    Wasabato Ni Wasabato Tu. Na Wakristo Ni Wakristo Tu.

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Před 2 měsíci

    Je Sunday worshipas niwa kristo

  • @DitramMsemwa
    @DitramMsemwa Před 2 měsíci +1

    Mchungaji yupo sahihi msabato sio mkiristo dini yao ni yakiyahudi wayahudi wanapumzika jumamosi agano jipya wanalikataa hawa wakwetu wametoka wapi?

  • @nyarondiajames4999
    @nyarondiajames4999 Před měsícem

    Swali kwako? Ni hamri ya Mungu au yako au ya Ndacha.Nenda kafunzwe kuwa askofu si kitu ,jambo muhimu helewe maandiko bwana.
    Kwa mjibu wa maandiko wewe ni kibofu kiroho

  • @MaximilianMatambari
    @MaximilianMatambari Před 2 měsíci

    Acha kupotosha watu mungu hajasema ikumbuke jumapili

    • @emmanuelpeter6742
      @emmanuelpeter6742 Před 2 měsíci +1

      Aliposema wakumbuke sabato alikuwa anawaambia waisrael sio watanzania Soma Kutoka 31:16

  • @jaredjeffney9496
    @jaredjeffney9496 Před měsícem

    Ata nashangaa huyu mchungaji...lengo lake ni kupigana na neno la Mungu.

  • @JeanClaudeHABONIMANA-zm8mh
    @JeanClaudeHABONIMANA-zm8mh Před měsícem

    Art 13:44

  • @thepowerofchristministry1918
    @thepowerofchristministry1918  Před 2 měsíci +1

    @biblia Nuru ya ulimwengu

  • @ernestbensonmwamengo1642
    @ernestbensonmwamengo1642 Před měsícem

    Ka wasabato hawajaandikwa kwenye maandiko eti ndiyo kupinga kuwa siyo WAKRISTO. JE, KKKT ni wakriato? WA MORAVIAN, WAANGLIVAN, WA ETG ATG JEHOVAH WITNESS hawa wote siyo wakristo? Na kama ni wakristo wameandikwa katika neno.? Uhalali wa kuitwa wakristo kimaandiko ni upi?

  • @mussamashauri
    @mussamashauri Před 2 měsíci

    Endelea kuabudu constan mrumi nyoko ww

  • @SALUMKINONGA
    @SALUMKINONGA Před měsícem

    Mbona.mnapingana.wenyewe

  • @ShedrackRukomba
    @ShedrackRukomba Před 2 měsíci

    Waafrika sisi ni matapishi ya wazungu tafteni ela acha kupotosha vizazi hakuna din

  • @stephanobenard7439
    @stephanobenard7439 Před 2 měsíci

    mzee umechemka uyo mwalimu wako wa Biblia akufundishe upya

  • @iddyhassan7666
    @iddyhassan7666 Před 2 měsíci

    Bado hujaeleweka

  • @VedastJohn
    @VedastJohn Před měsícem

    Wewe mbona sikwelewi wewe unasali siku ipi unaponda sabato siku ipi yakuabudu?