WAJIKAANGA UJENZI WA SHULE YA SAMIA RC MAKONDA ACHUKIA AWABANA MASWALI MAGUMU..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2024
  • #OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu #makonda #arusha
    KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
    PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
    / offtracktv
    Email | info@offtrack.co.tz
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
    🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
    🔴 Email: info@offtrack.co.tz
    Www.offtrack.co.tz
    𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
    ...............................................................................................
    Subscribe: / offtracktv

Komentáře • 44

  • @emmanuelwarra1025
    @emmanuelwarra1025 Před 28 dny +7

    Competent engineer... Stop harassing her...

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 28 dny +2

    Duh..!? Hii Kazi ni Shida mno..Makonda wape Nafasi tena wajitafakari...huyu Dada Engineer anajielewa mno Big up sana kwake...maana Kuyajibu Maswali ya Makonda si Mchezo ujipange.

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm Před 27 dny +2

    Makonda umepamia kwa huyo Dada leo anajua kujieleza. Sema uko biz kumtafutia sababu

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Před 28 dny +2

    Makonda fatilia vzur weka tume hapo kunashida kubwa hapako sawa hapo Kuna shida mkuu wa mkoa force ya akaunti ni cheap sana

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 Před 26 dny +1

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw Před 28 dny +1

    Injinia anajibu vizuri sana.

  • @mhujoaloyce8766
    @mhujoaloyce8766 Před 27 dny +1

    Huyu Dada nimempenda bure anajiamini Na Majibu sahihi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 28 dny +2

    Daa huyu dada kaaminiwa nae kazingua duu ila naamini watu wazuri wenye akili kubwa na msoto wa hali ya juu wenye uchungu waliopitia magumu ambao wanaouwezo wa kuwa wazalendo wapo vijiweni ni kwasababu tu hawakupata phd oooh my god natamani kutoa wazo lakn hakuna wa kunisikiliza mimi ni kama samaki ndani ya maji tu ninayo mengi ya kusema lakini..😢

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 Před 28 dny +4

    Una haki ya kumhoji bila kumfokea wala kumtamkia mtu mzima maneno yasiyo na staha.

    • @SaidiMiraji-lk3vm
      @SaidiMiraji-lk3vm Před 27 dny

      Ni kweli kabisa, kuna muda anafeli ukali unazidi

    • @DSFAMILYGRAPHIC
      @DSFAMILYGRAPHIC Před 16 dny +1

      Kwahiyo unataka kusema je?

    • @crispoleo8771
      @crispoleo8771 Před 11 dny

      Ukiona hivyo ujue naww nimwizi

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 Před 7 dny

      Kaka Hawa watu hata wakitukanwa sawa tubwanatumiza sana usiwaonee huruma kabisaaaa sio Hawa anatunyonya sana kaka

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Před 27 dny +1

    Kwa kweli makonda wakati mingine unafeli

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Před 28 dny +1

    Good makonda

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 Před 28 dny +1

    Mnawatesa walimu wa watu. Siyo kazi zao kabisaaa.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Před 28 dny +1

    Walimu wamekosea kuomba pesa zipitie kwenye akaunti zao badala ya kupitia akaunti ya mkurugenzi na kosa kubwa kutumia force akaunti ni Bora kutafutwa mkandarasi angebananishwa mkurugenzi na mkandarasi wake

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 28 dny +1

    Kweli mwalimu kusimamia viongozi wa juu niwasumbufu sana mtu anakwambia mandalie mamilion

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Před 27 dny +1

    Makonda muache mtu aeleze"mbona unafos sana unataka ajibu nini

  • @sheikhabdillahmassawe5302

    Makonda Mimi binafsi huwa nakuelewa Sanaa

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Před 28 dny +1

    Hii shule makonda Kuna shida Mzee milioni 25 vyoo nne tu

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw Před 28 dny

    Injini mzuri dada oyee.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Před 28 dny

    Safi sana uchunguzi ifanyike mashimo ya choi manne million hamsini

  • @imeldamatemu-gg9rl
    @imeldamatemu-gg9rl Před 26 dny

    Hii Mweshimiwa imepigwa

  • @seifumussa9493
    @seifumussa9493 Před 28 dny

    Tanzania my country

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 26 dny

    Mheshimiwa nakukubali ila hapa huyu dada unamtafutia kosa kusema kweli

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 27 dny +1

    Wakuu wa mikoa mingine waige mfano wako,

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw Před 28 dny

    Dada anaelewa kazi. Msimcnanganye.

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj Před 27 dny

    Injinia soma hio 😄😄🙏

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 Před 25 dny

    Makonda piga kazi, mil 460 yote ya nn tena engineer hayuko serious na kazi zake, mwal wa watu mwacheni so kazi zake

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 Před 26 dny

    Hayo maswali ni ya Engineer cio ya Mwalimu jamn yeye anadilii na wanafunzi

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa Před 28 dny

    Fundi analipwa baada ya kamati ya ufundi kujirithisha na kazi ambayo imefanyika n asilimia ngap kwa mujibu wa mkataba wake unavyoelekezaaa

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa Před 28 dny

    Huyu muhandisi hewa hajui taaluma yake ya uhandisi akasome ufundii

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa Před 28 dny

    Fundi ataomba nyongeza ya mkataba endapo amefanya kazi asilimia 80 na hela ikaisha kwa sababu maalimu , ndio ataomba nyengeza ya hela na kamati wataa pitia mradi na watakaa kikao kwa pamoja wakiridhia fundi ataomgezewa mkataba wa nyongeza.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Před 28 dny

    Walimu kwenye mirad hawan meno mh makonda ata kdg hoji mkurugenz,engenear na afisa manu nuzi

  • @elardurasa67
    @elardurasa67 Před 28 dny

    Hii kazi ni ngumu walahi

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa Před 28 dny

    Wazee msichukulie poa
    Nguvu kaz ya mafundi wameumia hapo na huenda wamepigana kwa kudaiana na wanacheleweshewa hela na hiyo kamati ya ufundi , na sisi mafundi tunailaumu serikali wanarusha hela ,hawalipi ,kumbe ni ambayo hawana aidia ya ufundi

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 Před 28 dny

    Anahema huyooo😂😂😂

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 Před 8 dny

    😂😂😂😂😂😂 mwalim komwe limechoka kbs jmn😅😅😅😅

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Před 27 dny

    Huyo dada anafatiliwa na laana ya kutotetea haki za vibarua ndio maana mkuu anakula nae sahani moja 😂

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 Před 4 dny

    Mwalimu mkojo umekja ghafla 😅😅😅😅

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 Před 27 dny

    Mpumbavu sana wewe. Hela ni kodi za wananchi.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz Před 28 dny

    mim ningekuwa mkuu wangenyooka

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 Před 26 dny

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer