Haifanyi mtu dini kuwa ngumu isipokuwa itamshinda dini hiyo - Na kwa kutambua na moja ya hekma/kuhifadhika dini ya ALLAH basi ni kuyafanya yale yalothibiti kwa Rasuulillah swalla llaahu aleihi wasallaam
A alykm sheikh Walid Kuna njoz nimeipata lkn nimekuota ww nakuomba niombee dua nikutane na ww nikueleze njoz yngu kwko huwenda ukanipa muongoz lkn inanihusu mm mwenyewe,Allah akupe afya na umri wny braka
mashaallah Allah akujaze kheri inshallah akupe darja la juu wallahy akupe pepo pamoj na familiya yako inshaallah
Shukran sana Sheikh Walid ALLAH akuzidishie Elimu uzidi kutuelimisha na akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera
Mashaaalllh allh afanyekila lakher kwawat wa twariq
Allah akuhifadhi
Mashaallah Allah akujalie umli mrefu shekhe wangu
Wazid kushikamana kwajambo lakher allh akulipe kila lakher
Shekh Allah akulipe Wala usijali wanafiki wapo watakuongelea kwenye maneno mabaya Allah akulind inshaalah
Aslm alkm ww... Shukran
Haifanyi mtu dini kuwa ngumu isipokuwa itamshinda dini hiyo - Na kwa kutambua na moja ya hekma/kuhifadhika dini ya ALLAH basi ni kuyafanya yale yalothibiti kwa Rasuulillah swalla llaahu aleihi wasallaam
@UwesuAhmad Haujaelewa kwani?
Mbona huweki makusudio ya hayo maneno
A alykm sheikh Walid Kuna njoz nimeipata lkn nimekuota ww nakuomba niombee dua nikutane na ww nikueleze njoz yngu kwko huwenda ukanipa muongoz lkn inanihusu mm mwenyewe,Allah akupe afya na umri wny braka
Swalalwahu aleeeeeeee
Masha Allah
mashallah mashallah
Usufi ni adhabu kwakweli mtihani huu Allah atuongoze
Kuwachukia Waislamu wenzako inaweza ikawa mzigo mkubwa zaidi.
Kasome acha kubishana wewe sheikh Kaelewa kwa dalili wewe vp
Swadakta
Mtume alifanya hawla ngapi?
Hilo kaburi limejengewa kwa dalili gani?
Mumeweka stage makaburini hebu nielemisheni please
Watu wenye elim hao achen kubwabwa ndug musilo lijua ulizeni wanaojua paka maswahaba wamezur makabur vip nyie mwa sema bida
Hakuna jassima mwenye elmu akhi ninuyahudi mtupu
Adi muqaddimah unashida😂
shida ni wewe😂
Shirki
kivipi au hujui shirki ....kuifupi sharti tusomeswe tafadhali