UTACHEKA UFE HAJI MANARA ALIVYOMZINGUA ZAIYLISSA AIRPORT WAKATI WAKIELEKEA GERMANY KULA BATA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • TAZAMA MWANZO MWISHO UTANI WA HAJI MANARA KWA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKIWA AIRPORT WANAONDOKA UJERUMANI KWENDA KULA BATA
    #manaratv #hajimanara #zaiylissa #diamomdplatnumz
  • Zábava

Komentáře • 90

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike556 Před měsícem +19

    Allah akuongoze kwenye njia iliyoonyooka kaka Manara, wewe ndiye Kiongozi kwa huyo mke wako, jitahidi urudi kwenye basic/ misingi yetu ya Kiimani, this Dunia is just temporary, it attracts everyone to do mistakes, but we can just try hard to win our heart not to do wrong to to displease our Almighty Allah.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před měsícem +5

    Mwenyezi mungu aniepushie mbali wanawake wanao kaa uchi mana ntakuwa hakuna tofauti ya kuowa kahaba mwanamke hana hofu ya Allah wanini si bora nifuge mbwa kuliko kuishi na mwanamke duzaini hiii subuhana Malik lkudusi

  • @MariamBakari-im5ef
    @MariamBakari-im5ef Před měsícem +2

    Muogopeni mungu wenu kaa ukijua usipojistiri wewe mwenyewe kwa mikono basi utasitiriwa siku yakifo chako kwamikono ya watu wengine 😢😢😢😊

  • @KadumaIssa
    @KadumaIssa Před měsícem +20

    Manara huyo nimke wako wandoa mstiri mavazi ya stara ndugu yangu katika Imani hivyo nisawa nakuwavutia watu vema Ili wamtongoze IPO siku utamkosa huyo mke wako haya nipo hapa natizama movie Yako hiyo

    • @johnzege209
      @johnzege209 Před měsícem +1

      Tafuta Hela, vitu vingine unaongea tuu kwa sababu ya umaskini

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 Před měsícem

      ​@@johnzege209😂😂😂

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b Před měsícem

      ​Mbona mimi ni hela ila mke wangu anajistiri. Wewe umejuaje kama huo unae mjibu nimasikini? Bro acha kua munakariri watu​@@johnzege209

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b Před měsícem

      ​@@johnzege209kama wewe ni masikini usidhani kama watu wote niwamasikini

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před měsícem +1

      Sasa utajir ni kuvaa uchi si ujinga huo na mwanaume kweli hasa hamuachi mkewe akawa kma kinyago.

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 Před měsícem +2

    Sawa unavyosema ku-save mapeni kusafiri, katika changizo zako Allah akulekeze na kwenda kuhiji makka

  • @rajah9328
    @rajah9328 Před měsícem +5

    Ila kaka kw Dini wa Feli kwenye Mavazi ya Mke wako tena nyote Dini Moja

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před měsícem +4

    Zai badilisha mavaziie duuuu sio pow nakupenda vaa suruwali ila Kito people chakukuenea

  • @user-yn6yu9zl1p
    @user-yn6yu9zl1p Před měsícem +7

    Yani manara unafeli kama uyu mke umemuowa kihalala ktk dini ya mazehebi yako unatoka katika taratibu za kisheriya juu ya mavazi alo vaaa fadhakiri

  • @malakiezekiel9197
    @malakiezekiel9197 Před měsícem +1

    Nakukubali bughati unatoa ushali mzuri sana

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před měsícem +4

    Wanaume km manara wapo wachache Zay mkamate huyu baba mtunze!

  • @elizabethmwanje9684
    @elizabethmwanje9684 Před měsícem

    I really enjoying watching you, your true joy to see because your telling the truth, ❤

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +2

    Sifa Zitakuuwa haji

  • @elizabethmwanje9684
    @elizabethmwanje9684 Před měsícem

    I really think your so entrusting I love you 🎉🎉🎉❤

  • @yohanaantony5774
    @yohanaantony5774 Před měsícem +1

    Hajji Manara muogope Allah hii ni Dunia tuu kila mchunga ataulizwa kwa kile ulchokuwa unakichunga vp mkeo wamuacha atembea uchi hvyo waona fahar muogope Allah ni Bora ungesafir kwenda hijjah ingekuwa Bora kulko huko marekan ,dubai yakusaidia nn

  • @bonfacewanjare1231
    @bonfacewanjare1231 Před měsícem +1

    Duu 😂 ni kweli aisee huyo mdada Kwa mavazi hapana Kwa kweli.

  • @user-hk9st6sw8x
    @user-hk9st6sw8x Před měsícem +6

    Namuangalia kwa mbali manara mke anamuuza

    • @KhayratMansour
      @KhayratMansour Před měsícem +1

      Tena anamuuza bila malipo(free of charge) .

  • @user-zv2ng6ov2k
    @user-zv2ng6ov2k Před měsícem +1

    Nawapendasana🎉🎉🎉

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem +1

    Kitovu nje 😢😢

  • @allisalim8395
    @allisalim8395 Před měsícem +2

    Brother huyo mkeo mbona unamfanya km matangazo ya Kingono kwa hicho kivazi?ww ni mtoto wa kiislamu Brother muogope aliyekuumba

  • @user-ds6li1ss4t
    @user-ds6li1ss4t Před měsícem +1

    Binti mshamba sana

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem +1

    Zaylisa anaonekana anapata pesa nyingi lakini hana furaha ya mapenzi

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda Před 10 dny

    Zai ndo kamuweza manara sasa😅😅 mana manara dini yupo ! Dunia yupo😅😅halafu mambo hayo ya zai ndio anayapenda 😅😅😅 wale wastaarabu alikuwa anajidai tu

  • @khamismtanga4848
    @khamismtanga4848 Před měsícem

    Najuwa mzee manara ww nimtu wa dini sana, na unatekeleza nguzo za dini, na ndio mana ulipompata zay, ukuitaji kufanyanae Zina mpaka ndowa,asaiv nimke wako, ila mavazi anayovaa hayaendani na ishima uliyonayo na ww ndio kiongozi wake, jarbu kumuilimisha na fikiri nimuelewa atatekeleza🙏🙏

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Před měsícem +3

    Hyu manara hana Mashauri huko kwao au ndo hataki ashauriwe

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před měsícem

    Ukiwa hai omba mungu uhai

  • @chantalmapendo1778
    @chantalmapendo1778 Před měsícem

    Nawapenda

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před měsícem +2

    Kule pita huku alikuwa anateseka tu...😂😂😂

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 Před měsícem +6

    Huyu ndo alieandaa mashindano ya quran tukufu,daaah

    • @aishahasan7722
      @aishahasan7722 Před měsícem

      😢niyy na Umrah alienda😭😭😭😭

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před měsícem

      Proud to be malizia hiyo😂😂😂😂

  • @user-ds6li1ss4t
    @user-ds6li1ss4t Před měsícem

    🎉acheni tu

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 Před měsícem +2

    Mbona demu wako yuko uchi

  • @user-kr2qr8vx1x
    @user-kr2qr8vx1x Před měsícem

    Zai mwanangu nakupenda sana sana na mme wako...mungu akujarie ktk ndoa Yako..achana na michambo ya wenye wivu...uwe kama chura...usisikie la mpuuzi ziba masikio....mume umempata mweshim na kumuombea...kura raha mwanangu...chukua hiyo utanikumbuka...

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya Před měsícem

      Wewe na zai wako nyote wapumbavu sana na msubiri hukumu yenu kwa kusapoti uvaaji uchi, kuna mke hapo au matangazo ya umalaya tu, kuna dini gan hapo?? 😢

    • @gulfomanbb2119
      @gulfomanbb2119 Před měsícem

      Mkumbushe na kujistiri bs sio kula raha2

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před měsícem

    Jamani kuna ushamba na ulimbuke i! Huyu Khaji ni msomi kidogo wa dini! Anaelewa kwamba anafeli! Lakini yeye kaamuwa kufuata njia hiyo,labda ana Mungu wake!!!!

  • @SmilingBoardGames-jm4sj
    @SmilingBoardGames-jm4sj Před měsícem

    Awaniwasani hawanahofu na mungu wako kidunia mola awaongoze

  • @subiralema
    @subiralema Před měsícem +3

    Ndiyo sababu wanawake wanakukimbia kuwatembeza uchi

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před měsícem

      Kwani wao ni watoto wadogo kwamba anawavalisha hivyo? Ifike mahali wanawake tujitambue thamani ya miili yetu

    • @aishaabdullah837
      @aishaabdullah837 Před měsícem

      Nikweli kabisa anayo Sema tujitambue sana

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 Před měsícem

    Ckuwahi kufikiria kuwa Manara unaweza kumuacha mkeo akavaa km hivo

  • @davidbatista7882
    @davidbatista7882 Před měsícem

    😢

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před měsícem +1

    Mtu aliandaa mashindano ya qur an alikuwa mwalimu wa madrsa leo hii mke atembea uch maadili hana mirasta yn janaba juu ya janaba halafu uipate pepo ? 😳labda pepo ya coco beach mungu atupe mwisho mwema inshallah 🤲🤲

    • @gulfomanbb2119
      @gulfomanbb2119 Před měsícem

      Apo ndio wazinifu na wa nandoa wt sawa2 kutembea na janaba

  • @harithkamgasha1750
    @harithkamgasha1750 Před měsícem

    zai tulikupenda kwa ajili ya Bugati ila tupe heshima ya vazi jistiri wewe ni mke wa mtu sasa

  • @vero57
    @vero57 Před měsícem

    Sasa mbona mkeo yuko uchi????? Dini inaruhusu kweli???

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Před měsícem

    Haji unampenda kweli mkeo? Mbona unamuanika uchi

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6p Před měsícem

    Wewe zidi kumuvika uchi kesho akichepuka usimulaumu .kuliko kumufunza dini unamufunza kujivika uchi

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u Před měsícem

    Mkipata ya kuyapata mnaanza kuomba watanzania wawachangie

  • @kassimomar4920
    @kassimomar4920 Před měsícem

    Wewe Manara ni muislamu uliesoma dini na ninadhani na huyo mke wako ni muislamu.Ivo kweli huyo mke wako kavaa katika maadili ya kiislamu,hata ubinadamu wa kistaarabu hauko sahihi katika mavazi,tuzitumie vizuri neema za Allah.Huo ni ushauri kwako wewe ni mchunga na utakwenda kuulizwa kwa ulichokichunga,dunia isituhadae,nakuombea kheri.

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt Před měsícem

    Mimalaya imekutana kimwanamke kipo uchi kinaona kimependeza zai Kwa rushaina humfikii hata utembee uchi

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před měsícem

    Huyu manara limbikeni tu

  • @AbdalahChire
    @AbdalahChire Před měsícem

    Mavazi ya mkeo kidogo ume ghafilika

  • @modyworldmody4297
    @modyworldmody4297 Před měsícem

    Uyo dauthi...

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Před měsícem

    Laana mnazopata nyie Ajuwae ni Mungu

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před měsícem

    Utaachwa mno kwa kuwatembeza uchi

  • @makamezahoro8194
    @makamezahoro8194 Před měsícem

    Wacheni siwanataka dunia wao ktk dini wanaigiza mtu kama hyo manara anajiona mtto bado anajua kama anachokifanya kwa mkewe ni kosa lkn anamini hiyo ndio anafanya kazi ale na mkewe kukaa uchii

  • @KhayratMansour
    @KhayratMansour Před měsícem +1

    Karibuni hapa huyu nasikia eti aliandaa mashindano ya Quran halafu la kushangaza na kusikitisha maisha yake na hiyo Quran ni tofauti kabisa, Allahu a'alamu pengine mfano wa mashariki na magharibi , sijui ni nini anachokusudia kuionesha jamii !!!

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před měsícem

      Na alikuwa mwalimu wa madrasa 😢😢msiba huu 😢

    • @HamiduAwadhi-lg5kc
      @HamiduAwadhi-lg5kc Před měsícem

      Huuni msiba mkubwa Sana huyu hata wivu na huyu mke Hana inaalinlahi wainna ilaihi lejeun

    • @fredymwengela6763
      @fredymwengela6763 Před měsícem

      Nendeni mkale Bata naona kila mtu anawashambulia Kwa maneno makali Lakini hajui hata yeye ni mtenda dhambi...mkubwa...mm sjaona kama Kuna mtu yupo uchi nyote mmevaa ..wakuache ule Bata mzee wangu!!!

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před měsícem

      @@fredymwengela6763 huwez jua km yuko uch maana ww ni kafiri

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před měsícem

    😂😂huko kishati

  • @stn4873
    @stn4873 Před měsícem

    Gari imefungwa hiyo😂😂😂😂😂😂😂 au ndio script.

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před měsícem +1

    Zai uwe unatulia jamani acha kujishikashika Yani mbona huelimiki ushamba uko damuni wewe linakera😡

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Před měsícem

    Kumshaur mtu asiejujuwa mipaka yake kujisumbuwa tu

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Před měsícem

    Kula Bata dada

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho2199 Před měsícem

    Ndoa isiishie huko kama yuleeee

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem

    Huna hata nyumba yako mwenyewe umri wako huo bado unaoanga apatiment

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před měsícem

    Si muda atakimbiwa tena ,huyo

  • @user-yi1wj4ls2h
    @user-yi1wj4ls2h Před měsícem

    Hii nimenigusa kabisa

  • @user-jx8qj8gm5g
    @user-jx8qj8gm5g Před měsícem

    Tafuta pesa

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 Před měsícem

    Boss haji boss haji is not proffesional call him by his name

  • @mulhatramadhan1147
    @mulhatramadhan1147 Před měsícem

    Shida

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před měsícem

    Mstiri mkeo basi.Hiyo haimbendezi kwa Allah na malaika wake,achilia mbali wakwe zake na wana zengwe.Toka kichwani hadi miguuni.usmfanye aonekane kituko. Mbona akijistri atapendeza tuu.

  • @DrOmaryJuma-zj6se
    @DrOmaryJuma-zj6se Před měsícem

    Manara fahamu kuwa kuna anaekupa riziki subscribers sio wanakupa riziki wewe muislam usimuweke uchi mkeo haipendezi chapuo za duniani sio chapuo za akhera

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem

    Hapa comments nyingi ni za watakatifu.. wanamchagulia manara maisha yake na 'my wife'

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před měsícem +2

    Jamani msipende kujifanya nyinyi ni watakatifu sana inawezekana nyie mna madudu mpaka basi yeye anapenda mkewake awe hivyo nyie kina wawasha nini mnatoa hukumu nyie kinanani waacheni hayo ni maisha yao hayawahusu hongera manara