UTACHEKA UFE HAJI MANARA ALIVYOMZINGUA ZAIYLISSA AIRPORT WAKATI WAKIELEKEA GERMANY KULA BATA
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- TAZAMA MWANZO MWISHO UTANI WA HAJI MANARA KWA MKE WAKE ZAIYLISSA WAKIWA AIRPORT WANAONDOKA UJERUMANI KWENDA KULA BATA
#manaratv #hajimanara #zaiylissa #diamomdplatnumz - Zábava
Allah akuongoze kwenye njia iliyoonyooka kaka Manara, wewe ndiye Kiongozi kwa huyo mke wako, jitahidi urudi kwenye basic/ misingi yetu ya Kiimani, this Dunia is just temporary, it attracts everyone to do mistakes, but we can just try hard to win our heart not to do wrong to to displease our Almighty Allah.
Mwenyezi mungu aniepushie mbali wanawake wanao kaa uchi mana ntakuwa hakuna tofauti ya kuowa kahaba mwanamke hana hofu ya Allah wanini si bora nifuge mbwa kuliko kuishi na mwanamke duzaini hiii subuhana Malik lkudusi
Muogopeni mungu wenu kaa ukijua usipojistiri wewe mwenyewe kwa mikono basi utasitiriwa siku yakifo chako kwamikono ya watu wengine 😢😢😢😊
Manara huyo nimke wako wandoa mstiri mavazi ya stara ndugu yangu katika Imani hivyo nisawa nakuwavutia watu vema Ili wamtongoze IPO siku utamkosa huyo mke wako haya nipo hapa natizama movie Yako hiyo
Tafuta Hela, vitu vingine unaongea tuu kwa sababu ya umaskini
@@johnzege209😂😂😂
Mbona mimi ni hela ila mke wangu anajistiri. Wewe umejuaje kama huo unae mjibu nimasikini? Bro acha kua munakariri watu@@johnzege209
@@johnzege209kama wewe ni masikini usidhani kama watu wote niwamasikini
Sasa utajir ni kuvaa uchi si ujinga huo na mwanaume kweli hasa hamuachi mkewe akawa kma kinyago.
Sawa unavyosema ku-save mapeni kusafiri, katika changizo zako Allah akulekeze na kwenda kuhiji makka
Ila kaka kw Dini wa Feli kwenye Mavazi ya Mke wako tena nyote Dini Moja
Zai badilisha mavaziie duuuu sio pow nakupenda vaa suruwali ila Kito people chakukuenea
Yani manara unafeli kama uyu mke umemuowa kihalala ktk dini ya mazehebi yako unatoka katika taratibu za kisheriya juu ya mavazi alo vaaa fadhakiri
Nakukubali bughati unatoa ushali mzuri sana
Wanaume km manara wapo wachache Zay mkamate huyu baba mtunze!
I really enjoying watching you, your true joy to see because your telling the truth, ❤
Sifa Zitakuuwa haji
I really think your so entrusting I love you 🎉🎉🎉❤
Hajji Manara muogope Allah hii ni Dunia tuu kila mchunga ataulizwa kwa kile ulchokuwa unakichunga vp mkeo wamuacha atembea uchi hvyo waona fahar muogope Allah ni Bora ungesafir kwenda hijjah ingekuwa Bora kulko huko marekan ,dubai yakusaidia nn
Duu 😂 ni kweli aisee huyo mdada Kwa mavazi hapana Kwa kweli.
Namuangalia kwa mbali manara mke anamuuza
Tena anamuuza bila malipo(free of charge) .
Nawapendasana🎉🎉🎉
Kitovu nje 😢😢
Brother huyo mkeo mbona unamfanya km matangazo ya Kingono kwa hicho kivazi?ww ni mtoto wa kiislamu Brother muogope aliyekuumba
Binti mshamba sana
Zaylisa anaonekana anapata pesa nyingi lakini hana furaha ya mapenzi
Zai ndo kamuweza manara sasa😅😅 mana manara dini yupo ! Dunia yupo😅😅halafu mambo hayo ya zai ndio anayapenda 😅😅😅 wale wastaarabu alikuwa anajidai tu
Najuwa mzee manara ww nimtu wa dini sana, na unatekeleza nguzo za dini, na ndio mana ulipompata zay, ukuitaji kufanyanae Zina mpaka ndowa,asaiv nimke wako, ila mavazi anayovaa hayaendani na ishima uliyonayo na ww ndio kiongozi wake, jarbu kumuilimisha na fikiri nimuelewa atatekeleza🙏🙏
Hyu manara hana Mashauri huko kwao au ndo hataki ashauriwe
Kushauriwa kwenye maisha inahuuu😅
@@RahelSimon-bm8tmmalaya 😂😂😂😂
Ukiwa hai omba mungu uhai
Nawapenda
Kule pita huku alikuwa anateseka tu...😂😂😂
Huyu ndo alieandaa mashindano ya quran tukufu,daaah
😢niyy na Umrah alienda😭😭😭😭
Proud to be malizia hiyo😂😂😂😂
🎉acheni tu
Mbona demu wako yuko uchi
Zai mwanangu nakupenda sana sana na mme wako...mungu akujarie ktk ndoa Yako..achana na michambo ya wenye wivu...uwe kama chura...usisikie la mpuuzi ziba masikio....mume umempata mweshim na kumuombea...kura raha mwanangu...chukua hiyo utanikumbuka...
Wewe na zai wako nyote wapumbavu sana na msubiri hukumu yenu kwa kusapoti uvaaji uchi, kuna mke hapo au matangazo ya umalaya tu, kuna dini gan hapo?? 😢
Mkumbushe na kujistiri bs sio kula raha2
Jamani kuna ushamba na ulimbuke i! Huyu Khaji ni msomi kidogo wa dini! Anaelewa kwamba anafeli! Lakini yeye kaamuwa kufuata njia hiyo,labda ana Mungu wake!!!!
Awaniwasani hawanahofu na mungu wako kidunia mola awaongoze
Ndiyo sababu wanawake wanakukimbia kuwatembeza uchi
Kwani wao ni watoto wadogo kwamba anawavalisha hivyo? Ifike mahali wanawake tujitambue thamani ya miili yetu
Nikweli kabisa anayo Sema tujitambue sana
Ckuwahi kufikiria kuwa Manara unaweza kumuacha mkeo akavaa km hivo
😢
Mtu aliandaa mashindano ya qur an alikuwa mwalimu wa madrsa leo hii mke atembea uch maadili hana mirasta yn janaba juu ya janaba halafu uipate pepo ? 😳labda pepo ya coco beach mungu atupe mwisho mwema inshallah 🤲🤲
Apo ndio wazinifu na wa nandoa wt sawa2 kutembea na janaba
zai tulikupenda kwa ajili ya Bugati ila tupe heshima ya vazi jistiri wewe ni mke wa mtu sasa
Sasa mbona mkeo yuko uchi????? Dini inaruhusu kweli???
Haji unampenda kweli mkeo? Mbona unamuanika uchi
Wewe zidi kumuvika uchi kesho akichepuka usimulaumu .kuliko kumufunza dini unamufunza kujivika uchi
Mkipata ya kuyapata mnaanza kuomba watanzania wawachangie
Wewe Manara ni muislamu uliesoma dini na ninadhani na huyo mke wako ni muislamu.Ivo kweli huyo mke wako kavaa katika maadili ya kiislamu,hata ubinadamu wa kistaarabu hauko sahihi katika mavazi,tuzitumie vizuri neema za Allah.Huo ni ushauri kwako wewe ni mchunga na utakwenda kuulizwa kwa ulichokichunga,dunia isituhadae,nakuombea kheri.
Mimalaya imekutana kimwanamke kipo uchi kinaona kimependeza zai Kwa rushaina humfikii hata utembee uchi
Huyu manara limbikeni tu
Mavazi ya mkeo kidogo ume ghafilika
Uyo dauthi...
Laana mnazopata nyie Ajuwae ni Mungu
Utaachwa mno kwa kuwatembeza uchi
Wacheni siwanataka dunia wao ktk dini wanaigiza mtu kama hyo manara anajiona mtto bado anajua kama anachokifanya kwa mkewe ni kosa lkn anamini hiyo ndio anafanya kazi ale na mkewe kukaa uchii
Karibuni hapa huyu nasikia eti aliandaa mashindano ya Quran halafu la kushangaza na kusikitisha maisha yake na hiyo Quran ni tofauti kabisa, Allahu a'alamu pengine mfano wa mashariki na magharibi , sijui ni nini anachokusudia kuionesha jamii !!!
Na alikuwa mwalimu wa madrasa 😢😢msiba huu 😢
Huuni msiba mkubwa Sana huyu hata wivu na huyu mke Hana inaalinlahi wainna ilaihi lejeun
Nendeni mkale Bata naona kila mtu anawashambulia Kwa maneno makali Lakini hajui hata yeye ni mtenda dhambi...mkubwa...mm sjaona kama Kuna mtu yupo uchi nyote mmevaa ..wakuache ule Bata mzee wangu!!!
@@fredymwengela6763 huwez jua km yuko uch maana ww ni kafiri
😂😂huko kishati
Gari imefungwa hiyo😂😂😂😂😂😂😂 au ndio script.
Zai uwe unatulia jamani acha kujishikashika Yani mbona huelimiki ushamba uko damuni wewe linakera😡
😂😂😂😂
Kumshaur mtu asiejujuwa mipaka yake kujisumbuwa tu
Kula Bata dada
Ndoa isiishie huko kama yuleeee
Huna hata nyumba yako mwenyewe umri wako huo bado unaoanga apatiment
Si muda atakimbiwa tena ,huyo
Hii nimenigusa kabisa
Tafuta pesa
Boss haji boss haji is not proffesional call him by his name
Shida
Mstiri mkeo basi.Hiyo haimbendezi kwa Allah na malaika wake,achilia mbali wakwe zake na wana zengwe.Toka kichwani hadi miguuni.usmfanye aonekane kituko. Mbona akijistri atapendeza tuu.
Manara fahamu kuwa kuna anaekupa riziki subscribers sio wanakupa riziki wewe muislam usimuweke uchi mkeo haipendezi chapuo za duniani sio chapuo za akhera
Hapa comments nyingi ni za watakatifu.. wanamchagulia manara maisha yake na 'my wife'
Jamani msipende kujifanya nyinyi ni watakatifu sana inawezekana nyie mna madudu mpaka basi yeye anapenda mkewake awe hivyo nyie kina wawasha nini mnatoa hukumu nyie kinanani waacheni hayo ni maisha yao hayawahusu hongera manara