Video není dostupné.
Omlouváme se.

MVUA ZAKATA BARABARA, MAJI YAINGIA NYUMBA ZA WATU, RC CHALAMILA ASEMA DAR IKO SALAMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2024
  • -Awatoa hofu wananchi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha
    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo April 23, 2024 ametembelea na kukagua maeneo yaliyoathirika na mvua katika Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.
    Akiwa katika ziara hiyo RC Chalamila amekagua miundombinu mbalimbali ikiwemo daraja la kibada ambapo TANROAD wanaendelea na matengenezo ya daraja hilo ili kurejesha mawasiliano.

Komentáře • 11

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 3 měsíci +1

    ❤❤❤ mung akubalik

  • @evelinambewe2835
    @evelinambewe2835 Před 3 měsíci +1

    Si alisema watu waondoke kwenye sehemu za maji kwamba watu wamefata maji atayaona mapigo ya mungu maana unatakiwa sio kuwaponda watu

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 3 měsíci

    Mkuu wa Mkoa naomba kutoa ushauri kwamba kuanzia sasa asionekane mtu kujenga bondeni. Tuna Watendaji wa kata na Madiwani ni lazima wawe wa kwanza kuzuia kwenye maeneo yao na wanaposhindwa kuwajibika wawajibishwe wao. Naamini mvua ya msimu huu ni kipimo tosha kuwajulisha Wananchi hatari iliyopo kujenga bondeni.

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 3 měsíci

    Mbona mvua kama za Dubai..ili mpate kura?

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 Před 3 měsíci

    miundimbinu mibovu inawafaidisha watu wachache ikiwa itatengenezwa ya kudumu watu watakula wapi

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 3 měsíci

    Sio mjenge tu muweke mitaro

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Před 3 měsíci

    Mbonambezimumihamuangalii msumimlitutupa

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 3 měsíci

    Lkn dunia yt ni mvua tusilaumu viongozi

    • @corrolesscps
      @corrolesscps Před 3 měsíci

      Backwards country, just corrupt leardes is difficult to progress and too much tolkative

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 3 měsíci

      Unajua hatulaumu viongozi Kwa sababu ya mvua, Bali tunalaumu viongozi Kwa kutokujenga miundo mbinu Ili kuepusha athari zaidi....kama miundombinu ingekua angalau mizuri basi ni Maeneo machache yangeathirika, lkn Leo karibu miji yote ya Tanzania ipo mashakani , vijiji ndio usiseme ,yaani VINAZAMA kabisaaa,

    • @user-xd4lu1xl6c
      @user-xd4lu1xl6c Před 3 měsíci

      @@ismailmasoud6001 huku tuliko nje miundo mbinu kibao bara za juu chini yn hakuna shida yyt lkn mungu hashindwi na chchte kile alichokitengeneza binadamu yy ndo mwny dunia na vilivyomo. Kwa hiyo ngoja Mungu afanye kz yake mn huenda tumemkosea, dunia yt mvua mafuriko hasa nchi za kiarabu yn bc wiki mbili sasa hakuna kz wl shule