HALI HALISI YA JANGWANI DAR ES SALAAM /NYOKA KWENYE MAJI NA WATU WANAPITA HUMO HUMO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 81

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 Před 3 lety +1

    Jamani msibishane na mungu vifo vingi vya ajabu maradhi mengi tutubu Kwan mola wetu achen ushoga na kuliwa liwato dhurma nyingi .riba inaongezeka kila siku kweli mungu kw hali hii lazime atupe mifano kama mafuriko namengine mengi tuta yaona wallah

  • @fidemgina9979
    @fidemgina9979 Před 4 lety +1

    Hatali sana kwanyoka uyo kwabinadamu

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 Před 3 lety

    Serekali na yenyewe inatakiwa ielewe kuwa watu wengi waliojenga nyumba kwenye maeneo haya hawana tena uwezo wa kujenga kwenye maeneo mengine. Hali ya uchumi kwa Watanzania walio wengi ni mbaya sana. Ushauri wangu kwa Serekali ijenge magorofa maeneo salama na kuhamisha watu wakute nyumba ziko tayari ili Watanzania hawa wawe wanalipia kwa mwezi. Nguvu iliyotumika kujenga hizi barabara ambazo na zenyewe sio salama sana kipindi cha mvua zitumike kujenga makazi mapya kwa hawa walipa kodi na nguvu kazi ya Serekali.

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 Před 4 lety +1

    Hapo suluhisho ni kuvusha tu’ weka barabara ya juu’ KUSHNEHI...!

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 Před 3 lety

    Kishindooo cha ----

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 Před 3 lety

    Hiyo mvuwa siyo yakawaida hiyoo kuna siri ndaniyake mungu tunusuru tanzaniya

  • @k.o.tloyal6266
    @k.o.tloyal6266 Před 4 lety +1

    Du!!!😩😩😩 New York balaa...

  • @sangawe-kr2dp
    @sangawe-kr2dp Před 3 lety

    Tatizo la jagwani mimi kwa ushauri wangu kutatuwa tatizo la hapo ni serilikali yetu ya tanzani kujenga daraja la juu vinginevyo hamna cha kufanya kingine ni kupoteza hela

  • @heribasinger3889
    @heribasinger3889 Před 4 lety +1

    Doh!!

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    MIMI SIEZI SEMA TANZANIA ILA AFRICA YETU BURE KABISA ULAYA HUNYESHA MVUA ILA MAMBO HAYO HAKUNA KABISA MANA WAMETE NGENEZA KUKUWA NA MVUA NA KUSIPOKUWA NA MVUA AFRICA WANAJUA SIASA ZA MIDOMO MATENDO HAWAJUI

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Před 10 měsíci

    Hio nilaana mliiloga simba.

  • @mwantimazdombo6049
    @mwantimazdombo6049 Před 3 lety

    Sio nyoka uyo mkunga

  • @banazoone2744
    @banazoone2744 Před 4 lety +1

    Lini leo au siku za nyuma

  • @mohamedrashid7323
    @mohamedrashid7323 Před 4 lety +11

    Bsi utaskia hyu mzee kashkwa na police amepelekwa kwa makonda

  • @rosekajuki1787
    @rosekajuki1787 Před rokem

    Sababu nchi inaongozwa na wapinzani vumilieni

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 Před 4 lety +4

    Watu wakiongea Wanasema wachochezi

  • @mariammsua7037
    @mariammsua7037 Před 3 lety +1

    Hamieni Arusha huku raha tupuuu

  • @officialifruit_x7549
    @officialifruit_x7549 Před 4 lety

    Sirikali Jengeni taifa bwana

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 Před 4 lety +3

    😀😀😀wewe mzee hasira zote za zuio lakutokwenda marekani linaamia kwako😕😕jiandae kisaikolojia.

  • @hassanmatata9335
    @hassanmatata9335 Před 3 lety

    Jiji la kambale

  • @sharifambaruku3488
    @sharifambaruku3488 Před 3 lety +1

    Sasa mkuu wa mkoa yupo wapi, yeye ndy anayeleta mvua???

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 Před 4 lety

    hahahaha dar bana

  • @neemahussein1825
    @neemahussein1825 Před 4 lety

    Duh

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 Před 3 lety

    Hapo sijui uchimbwe mtaro Wa upana gani ili maji yasisambae.

    • @omaryjuma8002
      @omaryjuma8002 Před 3 lety

      Dar mnasema makgufi kwafanya kweri Sasa umekuwa shida kila mwaka

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu Před 4 lety +1

    Watendaji vitambi vikubwa tu hamna kitu..kila kitu afanye rais kweli hii si haki kabisa

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 Před 3 lety

    Ckuj dar

  • @hadija846
    @hadija846 Před 3 lety

    Sio mkuu wa mkoa pekee ni serikali mzima

  • @husnasalim6232
    @husnasalim6232 Před 3 lety

    Apo wawekee balabala za juu ndio tatizo litaisha maana apo ni njia ya maji karikoo jangwani

  • @iddishabani7225
    @iddishabani7225 Před 4 lety +1

    Du jamaa anaitwa Mbwana Ali Semauya kidogo aitwe Samata

  • @zailethomary1246
    @zailethomary1246 Před 3 lety

    E

  • @kilimohub580
    @kilimohub580 Před 4 lety +1

    Wapi Bombadier !!

  • @fadhilhelebula664
    @fadhilhelebula664 Před 3 lety

    Inamaana ni mvua ya mwaka jana maana nasikia makonda

  • @theroots2743
    @theroots2743 Před 4 lety +2

    Kaka yangu unaulizia mkuu wa mkoa yuko wapi? Kwani hujafaham kama kazi yake kukusanya pesa kwa wahindi ndicho chenye faida na yeye. Kilicho kwake yeye ni kukuoneni nyie mabwege tuu

  • @inocentmugisha3647
    @inocentmugisha3647 Před 4 lety

    Uda ??

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 3 lety

    Hivi mkuu wa mkoa wa DSM mbona kama hayupo? Afadhari tu arudi kaka YETU hata kwa hati ya dharula maana angeongea chochote hangekaa kimya

  • @ramahanijuma599
    @ramahanijuma599 Před 3 lety

    Makonda umuhimuwako unaonekana sasa

  • @ahmedelalawi6143
    @ahmedelalawi6143 Před 4 lety

    Hiyo ndio ccm mtaisoma namba

    • @maryamsaid6010
      @maryamsaid6010 Před 4 lety

      Tena tutaisoma kimya kimya

    • @maryamsaid6010
      @maryamsaid6010 Před 4 lety

      Tena tutaisoma kimya kimya

    • @rehemaathuman8143
      @rehemaathuman8143 Před 3 lety

      Jha ,,mbona haviusiani Sasa ,ccm na mafriko ,,,,acha kuingizia vyama Apo ,,ungekuwa wewe ungefanyaje? Hardhi mbovu tuu iyo ,

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 Před 3 lety

    Sasahapo mku wamkoa atafanyanini?

    • @rehemaathuman8143
      @rehemaathuman8143 Před 3 lety

      Duuu binadamu tunalawama ,angekuwa yeye sijui ingekuwaje,

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 3 lety

    Taarifa ya miezi 8 iliyopita😡😡😡

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 Před 3 lety

    Ndiyo tunasema miundombinu mibovu kubalini kataeni ukwel ndiy huo

    • @esternfubhusa2411
      @esternfubhusa2411 Před 3 lety

      Bro tunapoongelea miundombinu mibovu tunamaansha ubovu wa Barabara sio mlima au bonde🤣🤣🤣🤣 hapo ni bondeni in nature hata wajenge flyover bado maji yatafulika... stay brave acha ushabiki juu ya nature

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 Před 3 lety +1

      @@esternfubhusa2411 miaka buku amna kinachoshindikana kwani wachina hawapo

    • @esternfubhusa2411
      @esternfubhusa2411 Před 3 lety

      Kwamba watajenga mlima au

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety

    Makonda afanyeje

    • @minormine4417
      @minormine4417 Před 4 lety

      Afufue mifereji, we ulitaka aangalie tu! Ndio maana Marekani wamemzuia kuingia afanye Kazi

    • @rehemaathuman8143
      @rehemaathuman8143 Před 3 lety

      Aje kuwabeba labda ,,walikuwa hawalalamiki ila yametokea ndo wanamjua makonda ,

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 Před 3 lety +1

    Minaosema makonda arudi kwa ajili yeye ndio mtendaji mzuri,nauliza wakati yeye makonda akiwa kwenye madaraka ni mara ngapi kulifurika jangwani na mpaka kaondoka kwenye madaraka alifanya lipi mpaka ndio ni bora ?

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 Před 4 lety +1

    Sasa mkuu wa mkoa aje kuyanywa hayo maji? Mshaambiwa madaraja yatatengezwa ndio wako kwenye mchakato hiyo sio kazi ndogo. Dar imebadirika zamani haikua namna hii hata mvua inyeshe vipi.

    • @rehemaathuman8143
      @rehemaathuman8143 Před 3 lety

      Wanachukulia pouwa wazee wanaju kuna maajabu kama mungu alisema iwe na ikawa

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před 3 lety

    Wamefkia mbali huwezi kuingilia mambo ya allah walisema hakuna ishllah kawaonyesha kidogo tu jamani tusijisahau hiyi ni bakora kutoka kwake

  • @zeddysamo1276
    @zeddysamo1276 Před 4 lety +1

    Jmn acheni lawama mvua kubwa zimetangazwa hayo mafuriko hapo jangwani hayawezi kuisha labda watengeneze fly over ikiwa huku tulipo zikitangazwa mvua baadhi ya hospital za serikali wagonjwa wanaamisha au ndugu wanachukua wagonjwa wao maana hali inakuwaga tete c kitoto.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 4 lety

      Hayawezi kwisha kwa hiyo paachwe hivyo hivyo?

    • @zeddysamo1276
      @zeddysamo1276 Před 4 lety +1

      @@leokamil6284 soma vzr na utizame vzr nn nimeandika

    • @feyzalyusuph14
      @feyzalyusuph14 Před 4 lety +1

      We acha ufala Serikali ya mkoa inafanya uzembe hapo jangwani tangu nipo shule ya msingi kila mwaka mvua ikinyesha ni hivyo hivyo na hawachukui hatua

    • @zeddysamo1276
      @zeddysamo1276 Před 4 lety

      @@feyzalyusuph14 ww ndio uache ufala hata ww pia serikali nenda katengeneze cjakuita Kuja kucoment

    • @zeddysamo1276
      @zeddysamo1276 Před 4 lety

      @@feyzalyusuph14 umezoea kutukana basi hapo Co maana pake naww pia unayo account nenda katukane kwa mliozoea kutukana baba ako na mama ako tunaheshimiana ww wa juzi tu.