Ivi unavyo endaga uko njee amjifunzi maendelewa ata ya ukoo asee juu ya wezetu wanapo jali raiya waoo yani kazi kusifia tu kila kituu iyo ufaras wanyonyaji tu bado mnajipendekeza kuomba ombaa wakat mchi yetu ina utajiri mwingi tuu
Hebu wa Bongo wacheni chuki na ubaguzi Nchi yenu haiendelei kwa ujinga wenu. Rais anatakiwa hivyo asafiki afanye urafiki na Nchi za njee aijuwilishe Nchi yake 🇹🇿 Magufuli alikuwa anapata mialiko mingi tuu lakini alikuwa hendi akiogopa na Elimu yake ilikuwa ni ndogo kwa Lugha za Kingereza.Ahhh very sad .
Hujierewi so kaleta nchi ktk faida IP kwanza uchumi wetu umekufa kbsa na hakuna anacho jar Yani yamkini WWE nae ndio mnao piga hii nchi@@awatifalghanim1106
@@awatifalghanim1106 Kumbuka pamoja alikuwa ajui kuongea iko unachokimaanisha Lakini alikuwa Raisi aya wewe mjuaji una nini bando tu unaangaika kuipata 😏😏😏
Magufuli alikuwa hana Elimu ya safari wala hajuwi lugha ya kimataifa ndio sababu kubwa alikuwa hafanyi mahusiano na Nchi za njee. Mahusiano yake makubwa hapo Kenya. Sasa unataka Rais akae Ikulu tuu. Unataka Rais Awe kama wewe kutwa yuko mitaani .
Hamjui kila nchi na taratibu zake mbna mmekua washamba hivyo mara ngapi Marais wanakuja Tzd na yy Rais haendi wapokea. Acheni kujiropokea tu. Halafu yy haendi ziara kikazi ktk nchi hiyo. Makenge hamjui kitu mnajisemea tu aisee aibu tupu comments zenu kwakweli
Hapa ndio ninapo amini kua sisi wa tz wajinga sasa kama mtu anafukuzwa ndio usishee nae jambo la maendeleo au, yy uko alipo fukuzwa unajua amefukuzwa kwa ajili gani
@@MohamedAhmada-ie7ke hata cjui unatetea nn?? Angalia bokina faso hali waliyo kua nayo na walukua chini yake mfaransa hufatilii wew?? mpaka watoto wadogo walikua wanachimbishwa dhahabu mfaransa anachukua!! Tazama kongo namna wanavo pata tabu mfaransa pia anahusuka au huoni wanayo fanyiwa wakongo?? Maendeleo yapi mfaransa atakayo yaleta tanzani?? kama wengine wameshindwa Tanzania ndio wataweza,,fatilia habali na uache ushabiki kabla hujasema watanzania wajinga jichunguze wew kwanza
Mpumbavu wewe kama huelewi kaa kimyaa. Unaelewa maana ya huo mkutano? Ni sehemu tu iliyoteuliwa kufanyika kwa hicho kikao na sio ziara eti ya France. Mna uwelewa finyu sana watz tatizo elimu ya kibongo ni sawa na ngozi ya matako. Viongozi wakuu wa nchi ngapi hapo wamehudhuria? Mbona hawajapokewa na Macron? Pia hata kama kuna mataifa ya kiafrica yanayomkataa mfaransa sio sababu eti mataifa mengine kutokuwa na urafiki Mataifa yenyewe viongozi wake wamechukua nchi kwa mtutu wa bunduki, hazina mpango wowote. CHAGA DEMA mmetokota mpaka huyo kiongozi wa milele makengeza afe tu.
Tunajifunza nn huko ufaransa??? Tunafuata nn huko ufaransa?? Kitu gani tunakitaka kutoka ufaransa.mbona tuna vingi vya kufanya hapa kwetu wenyewe? Mbona wao hawaji huku??? Kulitokea nn Cha dharula Sana mpaka rais wa nchi aende huko??? Kwani barozi wa nchi hayupo.alafu ww January unefuata nn kazn kwako ni hapa tz.? Mm madhani t Wajipange vzr wamjibu maria sarungi..
Too many travels, nchi zingine wanachoka, watampomea mara ngapi? Ameisha ends Songea, no, but ufaransa mara ya 2 au tatu. Too much! Waste of our money. All countries in the World are struggling economically
Mama hana likizo ya safari, kusafiri kwingi hio inaonyesha nimoja kati ya ndoto zake hivyo yukobize kusafiri k8timiza ndoto zake, safari zingine siolazima aendeyeyey angetuma makamu au waziri, lakini shuhuli za nje niyeyetuu. Sijui maraya mwisho washirika wake walisafiri lini. Nisemetuu kusafir safari kwingi nako nimoja ya anasa.
Wa Tanzania mmekosa nini kwa Mungu nyiye???? Usitukane wa njee ikiwa nyinyi wenyewe hamjijuwi. Wewe kama nani unampagia Rais asende kwa wahuni??? Hebu wacha comments za wajinga.Eti wahuni Mhhnnnn Nchi za kijinga…….. always haziendelei.
@@awatifalghanim1106 ufaranca ni wahuni kubali kataa ni wezi wanatunyonya,pambania ugari wako ila ukwel ndo huo ata sisi tumesoma kama ww na tunajitambua vzr na tunafatilia bola ukae kmy tyu
Acheni kutetea ujinga sometimes inchi yetu ipo nyuma kutokana na hawa tunaojipendekeza nao .... Wabongo mmejengewa madaraja mawili na tren mbili kelele nyingi eti mama anaupiga mwingi kenge nyie ... Tunakila sababu ya kuishi vizuri na miundombinu mizuri coz inchi yetu ina lasilimali nyingi sana ila hao mnao washabikia wanaiba na kupeleka kwa hao wanaokwenda kuwasalimia huko alafu wapumbavu na watu wasiotembea wakaona wenzetu wanaishije ndio kutwa kupiga kelele mtanadaon eti anaupiga mwingi 😏😏
Makamba acha kutetea. Wazungu sio watu wazuri hawatutaki sema tunajipendekeza sana mpaka tunavuka mipaka mshauri Raisi wetu aache kuenda huko atadhalilishwa.
Sawa bhana lakini Yunus yuko wapi? Nimefurahi pia kwa kutomwita rais Dr. kwa sababu wenye degree za heshima udoctor wao ni chuo kilichowapa hiyo degree na mpewaji sijui kama watu wanalijua hilo. Hata katika machapisho ni lazima kuonyesha kuwa huo udocta ni wa heshima and not earned.
Ziara za urus na china mama anatuma uwakilishi lakn Kwa Hawa manyang'au wanaoinyonya Africa mama anatimba mwenyew xo cjui wananchi tumueleweje au n furaha yake kuona rasilimal zetu wananufaika America na ulaya sisi nkulipa Kodi na tozo
Hao mheshimiwa wasikupe taabu ukapoteza muda wako kutaka kuwaelimisha, hao waalimu wao ni vipofu, na "Elimu ya mjinga ni majungu" wacha tu tuende nao hivyohivyo pengine baadaye watakuja kujitambua!
Mhe January Makamba tunakushukuru kwa maelezo mazuri mno, changamoto sio kila mwenye Mb atakuwa na uwelewa wa hizo protocol ila Viongozi wetu mtuvumilie tu mana Viongozi wote duniani wanapitia wakati mgumu saana na hizi social media hata viongozi wa Nchi zilizoendelea wanayopitia ni mazito ndo maana USA iko kwenye mchakato wa kupiga marufuku Tiktok, Mungu awabarik ktk ziara yenu hadi mtakapo rudi
Ivi unavyo endaga uko njee amjifunzi maendelewa ata ya ukoo asee juu ya wezetu wanapo jali raiya waoo yani kazi kusifia tu kila kituu iyo ufaras wanyonyaji tu bado mnajipendekeza kuomba ombaa wakat mchi yetu ina utajiri mwingi tuu
Utajiri gani mwingi tunao
@@shivobs4485Hujielewi
Kweli kabisa!!!😂😂Hizii ng'ombe za nchii😢😢bahna daah! Yanajikombakomba kwa wazungu sana wacha wazarauliwe tu
Safali nyingi kuliko maendelea
Kwanza anatia kichefu
Jiongeze 😂😂😂 usitegemee pesa itakuja mlangoni
Ukikua utajua
Kama maendeleo yangeanza zamani siyo Leo. Wote walopita wangeleta maendeleo mngekuwa mbali Tanzania.
Unatakaje
Mbona wenzetu wanamkataa ufaransa sis tunamkimbilia duu
Kwahiyo tugeze chuki? Mama hataki drama anaishi kitz kupenda watu na kubaki neutral, hafungamani na upande wowote
Sisi waoga na washamba wa watu weupe@@atutweve4160
Rest in peace JPM, hapa ziro
Wazo lako
My country
Tatizo safar zimezidi sanaaa aseee yanii ata sielewiii
mpaka wamewachoka duuuuh
Ndio akome kazidi makamo wa raisi kazi yake nn kila siku safari chefu 😂
Hebu wa Bongo wacheni chuki na ubaguzi Nchi yenu haiendelei kwa ujinga wenu. Rais anatakiwa hivyo asafiki afanye urafiki na Nchi za njee aijuwilishe Nchi yake 🇹🇿 Magufuli alikuwa anapata mialiko mingi tuu lakini alikuwa hendi akiogopa na Elimu yake ilikuwa ni ndogo kwa Lugha za Kingereza.Ahhh very sad .
Hujierewi so kaleta nchi ktk faida IP kwanza uchumi wetu umekufa kbsa na hakuna anacho jar Yani yamkini WWE nae ndio mnao piga hii nchi@@awatifalghanim1106
@@awatifalghanim1106 ongelea yaliyopo kwa kipindi hichi sio kumkandamiza /kuponda awamu iliyopita just be honest
Magufuli 😭
Ainsi va la vie
Makufuli kapumzika na Balaa la Tanzania.
RIP Baba yetu Magufuli 😭😭😭😭
Mfate alipo
Wacheni ujinga Watanzania viongozi wetu awajielewi kabisa akuna viongozi Tanzania kuna uchwala tu kufanya Watanzania wajinga
Ongoza wewe
Apunguze safari this is too much
Kujipendekeza Kwa nchi za watu wakati hukubaliki
Magufuri asingeenda kabisa😢😢😢
Asinge kwenda kweli 😂😂😂😂angekwenda angekisema nini??? Labda kuskiliza.
@@awatifalghanim1106 vyuo vikuu alivosoma ulimwandikia wewe??!!
@@awatifalghanim1106Aliwahi kuwauliza wakati anaish Canada miaka 2 alkuwa anaongea kizaramo!? 😁😅
@@awatifalghanim1106 Kumbuka pamoja alikuwa ajui kuongea iko unachokimaanisha Lakini alikuwa Raisi aya wewe mjuaji una nini bando tu unaangaika kuipata 😏😏😏
@@SuleAmber-lw2tx Sasa kuna ubaya gani imekuuma kumbe basi andamana
Mpaka tusemeee😂😂😂😂😂
Even red carpet??
DO THINK OF ME GOD 🙏🙏
Ana fukuzwa Burkina mali nigea ana kalibishwa tz
Kila siku safar tu 🤣🤣🤣🤣 magu mbona alikuwa anatulia na kazi zinaenda 🤣🤣🤣🤣🤣
Ndo tujifunze 2025 tusifanye makosa 😂😂
Magufuli alikuwa hana Elimu ya safari wala hajuwi lugha ya kimataifa ndio sababu kubwa alikuwa hafanyi mahusiano na Nchi za njee. Mahusiano yake makubwa hapo Kenya. Sasa unataka Rais akae Ikulu tuu. Unataka Rais Awe kama wewe kutwa yuko mitaani .
Wanakimbizwa west wanapokelewa east hii ni fursa au ?
Wamemchoka sasa mama kazidi safari za njee
Akina Traore wanawatimua wanyonyaji,,nyie ndo kwanza mnafurahia na kujibebisha kwao...Mr.But never the less
Viva ROMA na Mgufuri wazalendo wa kweli
Wamemzalau sana tukubali
Kweli.
Hamjui kila nchi na taratibu zake mbna mmekua washamba hivyo mara ngapi Marais wanakuja Tzd na yy Rais haendi wapokea. Acheni kujiropokea tu. Halafu yy haendi ziara kikazi ktk nchi hiyo. Makenge hamjui kitu mnajisemea tu aisee aibu tupu comments zenu kwakweli
Kwan asipopokelewa shida I wap
@@abuuramadhan8093 kwani kenda officials ziara ya nchi hiyo???? Mbna mnafikra mbovu hata hamjijui. Soma comments zingine ujifunze na wee
@@abuuramadhan8093 wewe ukenda ugenini harafu humkuti mwenye nyumba
Kiranga komaaa😂 ndio likomee kuzurula hovyo badala udeal na taifa lako unakuwa mshamba wa safari zisizokuwa na tija kwa taifa letu.
raisi wa Congo oyeeee
Mtaendelea kujikombakomba kwa watu wasio wataka mpaka lini??? Ndio maana mnazaraulia huko ulaya mpaka milele.
My country 😢
Hapo bado kidogo tuongezewe tozo😂
unajua sisi ambao hatujasoma tunaonaga mbali sana 😮😮
Wenzetu wanawafukuza WFaranza yeye anaenda kuwapigia magoti wamfundishe upishi😂😂😂
Wallah mwenyewe najiuliza hii ni hatali kwa nchi mfaransa kila sehemu anafukuzwa yeye kafata nin?
Watz cc niwaoga uyo rais anawashaur
Hapa ndio ninapo amini kua sisi wa tz wajinga sasa kama mtu anafukuzwa ndio usishee nae jambo la maendeleo au, yy uko alipo fukuzwa unajua amefukuzwa kwa ajili gani
@@MohamedAhmada-ie7ke hata cjui unatetea nn?? Angalia bokina faso hali waliyo kua nayo na walukua chini yake mfaransa hufatilii wew?? mpaka watoto wadogo walikua wanachimbishwa dhahabu mfaransa anachukua!! Tazama kongo namna wanavo pata tabu mfaransa pia anahusuka au huoni wanayo fanyiwa wakongo?? Maendeleo yapi mfaransa atakayo yaleta tanzani?? kama wengine wameshindwa Tanzania ndio wataweza,,fatilia habali na uache ushabiki kabla hujasema watanzania wajinga jichunguze wew kwanza
Mpumbavu wewe kama huelewi kaa kimyaa.
Unaelewa maana ya huo mkutano?
Ni sehemu tu iliyoteuliwa kufanyika kwa hicho kikao na sio ziara eti ya France. Mna uwelewa finyu sana watz tatizo elimu ya kibongo ni sawa na ngozi ya matako.
Viongozi wakuu wa nchi ngapi hapo wamehudhuria? Mbona hawajapokewa na Macron? Pia hata kama kuna mataifa ya kiafrica yanayomkataa mfaransa sio sababu eti mataifa mengine kutokuwa na urafiki
Mataifa yenyewe viongozi wake wamechukua nchi kwa mtutu wa bunduki, hazina mpango wowote.
CHAGA DEMA mmetokota mpaka huyo kiongozi wa milele makengeza afe tu.
Yupo sahihi samia kizurura tu..
Aina gani ya mapokezi aliokewa?
Tunajifunza nn huko ufaransa??? Tunafuata nn huko ufaransa?? Kitu gani tunakitaka kutoka ufaransa.mbona tuna vingi vya kufanya hapa kwetu wenyewe? Mbona wao hawaji huku??? Kulitokea nn Cha dharula Sana mpaka rais wa nchi aende huko??? Kwani barozi wa nchi hayupo.alafu ww January unefuata nn kazn kwako ni hapa tz.? Mm madhani t
Wajipange vzr wamjibu maria sarungi..
Too many travels, nchi zingine wanachoka, watampomea mara ngapi? Ameisha ends Songea, no, but ufaransa mara ya 2 au tatu. Too much! Waste of our money. All countries in the World are struggling economically
Ni kweli mama wanapokeana wenyewe tu
UpishiSafi Africa Mkutano Ulaya Ukisikia Ukoloni mambaoleo ndio huu
Maelezo kibao lakn end of the day hela ya mlala hoi hairudi,tunalijua hilo.
Mmmmmh makamba bhana,unawafanya watu mazuzu.
Bra bra bra bra
😂😂😂 hii ni sawa nimetoka njombe naenda dar badala nipokelewe na mwenyeji wangu napokelewa na mwenzangu nilie toka nae njombe
Tatizo shobo zimekuwa nyingi
Makamba anakudanganya ahahaha bwana kweli rais wa marekani aje bongo halafu asipokelewe na mkuu wa nchi😂😂😂
😅😅😅😅😅
We miss JPM
Huyu Makamba kapiga porojo la mwanasiasa ili hasijitu swali😆
Samia kapokewa na mjumbe wa nyumba kumi😂😂😂😂
Akome tumemchoka anashindwa kukaa vitu vinapanda bei kila kukicha
hahahaha dadekiii
Wamemkata Mama 🫠🫠🫠
Hawata rudia tena kujipiga picha wenyewe uwanja wa ndege wakiwa nje ya nchi !
Maria sarung she's right ✅️..
Yan raisi huyu anatetewa kwa kil kitu
Hata Mungu pia atamtetea
@@awatifalghanim1106 ndio ila ukifany kaz mzur hautetewi kaz zako zinakutetea ila km huja fany kitu ndio shid inaanzia hap kutetewa na waomba ugali
Mama hana likizo ya safari, kusafiri kwingi hio inaonyesha nimoja kati ya ndoto zake hivyo yukobize kusafiri k8timiza ndoto zake, safari zingine siolazima aendeyeyey angetuma makamu au waziri, lakini shuhuli za nje niyeyetuu. Sijui maraya mwisho washirika wake walisafiri lini. Nisemetuu kusafir safari kwingi nako nimoja ya anasa.
Mimi sikuona sababu ya kwenda huko, Gas tunayo wataalam tunao shida nini nyie watu weusi mbna hamjitambui.
Shida kubwa ndio hiyo hatujitambui
Mnasemaaa mama msikivuuu ndo anatuuza kwa mfaransa
Duh hii too much
Siasa nyingi mno
Huyu ni rais wa katiba na si chaguo la wananchi, Rip JPM
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 ngoja nikae kimya
Kila sekta makambo dili tu
😂😂😂😂Wezi wana teteana 😂😂😂😂 halafu kunalijitu linatetea 😂😂😂😂 africa sisi sema mm naona niwatanzania tu ndio tumelala😂😂😂😂
hahahaha
Makamba hatusemei mapokezi izo gharama za safari analipiwa nauli au ndi vile
Huyu mama kazid wala hasimamii maendeleoo
Maelezo meng,,,makamba wana2ona watot,,,wamedhalilik hah dairy safr
Bora raisi wetu Angeacha kwenda kwa wahuni
Laisi wame mkataaa
Wa Tanzania mmekosa nini kwa Mungu nyiye???? Usitukane wa njee ikiwa nyinyi wenyewe hamjijuwi. Wewe kama nani unampagia Rais asende kwa wahuni??? Hebu wacha comments za wajinga.Eti wahuni Mhhnnnn Nchi za kijinga…….. always haziendelei.
@@RomanMwinyiKwanza jifundishe Lugha ya Kiswahili. Kuandika hujuwi Laisi 😂😂😂 Kama wamemkataa Rais nenda wewe wanakukubali 🤣🤣🤣🤣
@@awatifalghanim1106 kwani apo nime enda mm ndo wamenikaataa au kama nime enda mm nitaenda
@@awatifalghanim1106 ufaranca ni wahuni kubali kataa ni wezi wanatunyonya,pambania ugari wako ila ukwel ndo huo ata sisi tumesoma kama ww na tunajitambua vzr na tunafatilia bola ukae kmy tyu
wamezidi
Kama ni clean cooking in Africa why AU wasingeitosha pale Ethiopia,,,,cooking in Africa afu mkutano PARIS
Watanzania tujifunze malli na bukinaa
Ulaya waliwapandisha viongozi wa Afrika kwenye bodaboda bila helmet ili wakauage mwili wa malkia Elizabeth. Wanadharau sana watu weusi!
Ttz Wana penda kushangaa maendereo ya wazungu kuliko kukaana wananchi wao
Upishi safi ni agenda yetu kweli kwa sasa? Tunacho cha kupika
We ukienda kuzulula mpaka mapokezi kwani
Upumbavu na fuu lisilo kitu
Acheni kutetea ujinga sometimes inchi yetu ipo nyuma kutokana na hawa tunaojipendekeza nao .... Wabongo mmejengewa madaraja mawili na tren mbili kelele nyingi eti mama anaupiga mwingi kenge nyie ... Tunakila sababu ya kuishi vizuri na miundombinu mizuri coz inchi yetu ina lasilimali nyingi sana ila hao mnao washabikia wanaiba na kupeleka kwa hao wanaokwenda kuwasalimia huko alafu wapumbavu na watu wasiotembea wakaona wenzetu wanaishije ndio kutwa kupiga kelele mtanadaon eti anaupiga mwingi 😏😏
Makamba acha kutetea. Wazungu sio watu wazuri hawatutaki sema tunajipendekeza sana mpaka tunavuka mipaka mshauri Raisi wetu aache kuenda huko atadhalilishwa.
Kuzurula tu tutawanyoosha kweny uchaguziiiii
alaf namuonaga huyu rais uwaga hajiongezi mwanamke Ni mwanamke 2 tukubali hili
Safari kibao
Ivi wanalipiwaga nauli au
Wafaransa wana madharau sana.
Lakini hawajamdharau Sikiliza mtangazaji nini anasema.
Sio dharau mmezidi kujipendekeza
Wa misele
Huyu bint anawashwa hajapata mume arukwe ukuta
Mh inauma kwakwel
Kumbe anatete alafu hajui mashariti jibu konki sna😂😂😂😂❤❤
Kusema kweli nam nilipo ona video zake na mapicha hilo nililiwaza 😊 nikajuiliza wame mzarau ama! Kumbe ndio hivyo!
Clean cook Africa inazungumzwa Ufaransa kwa nn sio Africa nonsense Waafrica amkeni kidogo kila kitu lazima msimamiwe?
😂😂😂😂😂😂
Sawa bhana lakini Yunus yuko wapi? Nimefurahi pia kwa kutomwita rais Dr. kwa sababu wenye degree za heshima udoctor wao ni chuo kilichowapa hiyo degree na mpewaji sijui kama watu wanalijua hilo. Hata katika machapisho ni lazima kuonyesha kuwa huo udocta ni wa heshima
and not earned.
yan kuna nchi zinalalamika kuhusu nchi ya ufarasa lakini Tanzania ninamtama badae tukianza kunyanyasika tutamkumbuka nchi zililomkata
😂
Bado hamjasema🤣🤣
Mama piga kazi achana na chuki za maria , Mama upon juu kimataifa ni mwenyekiti mwenza achana na Malaya wasio na dira kazi kuzarau viongozi.
Mbona hawamuiti mu7 huko
Kachokwa
Uupuuzi mtupu
Makamu wa Rais w marekan alivyokuja Tanzania mwaka jana pia hakupokelewa na samia uwanja wa ngege
Huyo ni makamu wa rais
Hakupokelewa na Mpango?
Ziara za urus na china mama anatuma uwakilishi lakn Kwa Hawa manyang'au wanaoinyonya Africa mama anatimba mwenyew xo cjui wananchi tumueleweje au n furaha yake kuona rasilimal zetu wananufaika America na ulaya sisi nkulipa Kodi na tozo
Mangi kimambi ndio atatuambia wengine bado hawajatupa majibu
Watu hawana akili hasa watanzania wengi wao yote n siwasomi maskini
Hao mheshimiwa wasikupe taabu ukapoteza muda wako kutaka kuwaelimisha, hao waalimu wao ni vipofu, na "Elimu ya mjinga ni majungu" wacha tu tuende nao hivyohivyo pengine baadaye watakuja kujitambua!
LISSU NA NDUGAI WAUNGANA WACHAFUA HALI YA HEWA!!!!
czcams.com/video/gqsYK_z0Ppg/video.html
Hajajibu lolote hapo. Ujinga mtupu.
Wajinga hua wanasafiri sana ila wajanja hawana huo muda
😂😂😂😂😂 wewe unaye toa ufafanuzi acha tu kujiabisha kufafanua hili, Hivi ingekuwa na Waziri kutoka ufaransa amekuja huku tungesema haya what a shame
Napita pembeni
Mhe January Makamba tunakushukuru kwa maelezo mazuri mno, changamoto sio kila mwenye Mb atakuwa na uwelewa wa hizo protocol ila Viongozi wetu mtuvumilie tu mana Viongozi wote duniani wanapitia wakati mgumu saana na hizi social media hata viongozi wa Nchi zilizoendelea wanayopitia ni mazito ndo maana USA iko kwenye mchakato wa kupiga marufuku Tiktok, Mungu awabarik ktk ziara yenu hadi mtakapo rudi