Video není dostupné.
Omlouváme se.

SURPRISE YA MCHUNGAJI KIMARO YAIBUA SHANGWE KANISANI ALIVYOINGIA KUFANYA IBADA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 03. 2023

Komentáře • 350

  • @neemanaftal996
    @neemanaftal996 Před rokem +4

    Nimeurahi sana, Mungu awe nawe daimu awe nawe daima. maiti imeshindwa kwa jina la daima. Kabla ya likizo yakealiyyopewa ! Niliota hi uyo mchangaji be amefariki na matangazo yake ya look awa yanatolewa kwenye vyombo vya habari nikawa nashangaa. , Najiuuliza mchungaji amefariki!!!¡ Jamani kumbe ilikuwa ni hili tukio. Mauti ya huduma imeshindwa ktk jina la yesu

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před rokem +62

    I'm Islamic but I love this man of God for sure,napenda sana mafundisho yake,hongereni wana Kijitonyama endeleeni kumuombea Dr.Kimaro

    • @gracekalihose8504
      @gracekalihose8504 Před rokem

      God bless you

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem +3

      Kama kweli wewe ni muislamu uliyefundishwa dini ya khaki usingeweza kusema hayo maneno kamwe nisingependa kusema maneno mengi hapa ila rejea mafundisho ya mtume juu ya unaswara na itikadi ya mungu mmoja tujiepushe na ushabiki wa itikadi iliyokinyume na mafundisho sahihi ya Allah

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Před rokem +1

      Rejea mafundisho ya imani yako ya Islam maana huwezi kusema unapenda mafundisho yake wakati ni kinyume na itikadi yako ya dini ya haki mfano unafundishwa usiseme utatu na mafundisho ya upande wa pili kuna mafundisho ya namna hiyo je ni sawa ww kusema ni muislamu

    • @paulalove1223
      @paulalove1223 Před rokem +1

      ​@@stevenmwenda3005umeumia sana

    • @fortunatankya3242
      @fortunatankya3242 Před rokem +9

      ​@@stevenmwenda3005 we mwenyewe unayapenda sana..maana usingekuja huku...Pona kwa jina la Yesu

  • @theodorymwalongo7509
    @theodorymwalongo7509 Před rokem +82

    Mimi ni RC naishi Kibaha, nimekuwa nasikiliza sana mahubiri ya Mchungaji Kimaro. Nimefuatilia sana matukio yote yaliyompata. Leo amerudi tena Kijitonyama; nimefurahi sana pamoja na waumini wote wa KKKT. Nami nampenda, Mungu aendelee kumsimamia.

    • @nelsabugo3613
      @nelsabugo3613 Před rokem +4

      Hatamimi nampenda sana huyu Mch Kimaro

    • @mage1799
      @mage1799 Před rokem +5

      Tendeni haki hakima BWANA atawainua

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 Před rokem +1

      Yaani Mimi ni Crip zake nyingi. Hasta shuhuda mbalimbali. Ananibariki sana.

    • @dinagerald5419
      @dinagerald5419 Před rokem +1

      Nikweli kabisa

    • @reginashipela2939
      @reginashipela2939 Před rokem +1

      Nami nampenda Sana baba huyu jamani niliumia kusimamishwa kwake maana anachohubiri Ni sahihi kaabisa

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Před rokem +18

    Mungu ni mwema Dr kimaro, nimefurahi sana , naungana na washirika kutoka 🇺🇸, nikisema yesu, yesu, yesu, yesu 🙌🏾🙌🏾👏🏽👏🏽👍🏽👍🏽

  • @aunesskinissa7548
    @aunesskinissa7548 Před rokem +2

    Nabarikiwa sana kwajili yako bba Mchungaji Mungu azidi kukuweka kwajili ya watu wake

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Před rokem +7

    Nikiona mchungaji Kimaro anaogea, na washirika wa kijitonyama napata furaha na kujua kumbe wokovu wa kweli ninao ujua bado upo, 💕💕💯💯

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Před rokem +5

    Mie nilishasema kuwa sitakanyaga teta Kijitonyama,kusali, sasa narudi tena, Asante Mungu kwa kumurudisha Dr Kimaro 🙏🙏🙏❤

  • @josephinembuguni198
    @josephinembuguni198 Před rokem +25

    Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Karibu tena Mchungaji Kimaro ❤

  • @leonardmakwela3407
    @leonardmakwela3407 Před rokem +14

    It may be unpleasant to many of you,
    But I have to say this that ,
    We shouldn't glorify Pastor Kimaro !
    All the glory be to GOD !

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Před rokem +11

    Baba Askofu wa nashukuru sana kumrudisha Dr kimaro kijitonyama 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💕💕, Mungu ni mwema sana kwa maisha yangu ya kiroho, nilikuwa nangojea sana Mchungaji kimaro arudi tuendelee kupata na kukusikiliza kila jumapili. Mungu amawalinde Baba Askofu and Dr kimaro.

  • @isayatippe6409
    @isayatippe6409 Před rokem +31

    I'm from the Pentecostal Assemblies of God (Tanzania). I give God glory and honor to see Pastor Kimaro returning to the same church, Kijitonyama, as their pastor.
    God bless Kimaro, God bless the Leadership of Diocese of DMP and the Usharika of Kijitonyama for working together as one team!

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před rokem +4

    Jamani kila mtu na neema yake hatu fanini.huyu mchungaji ana neema yake Mungu akuinuwe zaidi

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 Před rokem +3

    Hongera sana kwa kupewa nafasi tena, ila ni wakati wa kujiangalia sana asianguke maana ukikubalika sana adui hutumia mlango huo kwa ajili ya kukuporomosha kwa kiburi.
    Nakutahadharisha sana mchungaji Kimaro uweze kushinda roho ya kiburi baada ya kusifiwa

  • @mtumejosephgoliama6159
    @mtumejosephgoliama6159 Před rokem +2

    Mungu atukuzwe mno kwa kanisa kutambua umuhimu wa kusamehe. Mchungaji Kimaro bila shaka kuna jambo amejifunza. Unyenyekevu huleta neema. Namuomba Mungu atakase Kinywa cha mchungaji Kimaro ili aeneze uzima nakua makini na kauli zake . Ukristo juuuuuuu juu zaidi. Sifa zote kwa Yesu Kristo Bwana wetu

  • @hildermarwamarwa5935
    @hildermarwamarwa5935 Před rokem +16

    Ninaungana na wana kijitonyama kufurahi pamoja nanyi kwa ajili Mchungaji wetu 🙏🙏

    • @clarawillfred1749
      @clarawillfred1749 Před rokem +1

      Ashukuriwe Mungu kwa mema yote!hakika wewe ni mtumishi pendwa na Mungu azidi kukutumia.

  • @judithkyenze1321
    @judithkyenze1321 Před rokem +5

    Glory be to God, how happy I am to see the man of God back, karibu sana sana. Judy from Kenya

    • @captain001kenya3
      @captain001kenya3 Před rokem

      Tell them agekam huku tupotee na yeye he comforter me a lot

  • @jackittah
    @jackittah Před rokem +7

    This is beautiful
    Glory to God
    My heart is full ❤

  • @jennifaonesmo602
    @jennifaonesmo602 Před rokem +1

    Nakupenda SANA Kimaro achana na Ananja hata yeye alikosea akatolewa Moja Kwa Moja. We endelea kumshukuru Mungu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před rokem +2

    Wanawake ni watu wa hisia sana bila tafakari ya matokeo ya matendo hayo. Binadamu tunapita, bali jina la Kristo ataishi Milele.. Viongozi wa dini tuache kuchochea hisia za watu..wafundishe kweli ya Mungu

  • @scolasticadamian327
    @scolasticadamian327 Před rokem +12

    We love you Pastor Kimaro

  • @faithlucas5866
    @faithlucas5866 Před rokem +10

    Machozi ya furaha yananitoka jamani kumuona Mch Kimaro tena.Mungu alitunze kanisa lidumu katika umoja na upendo 🙏

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před rokem +5

    Asante MUNGU kwa kutuludishia mchungaji wetu KIMARO alleluyaaaaah ❤

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 Před rokem +3

    Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu mtumishi wako uzidi kumlinda na umpandishe viwango vya juu kabisa mafundisho yake yamebadilisha maisha ya wengi 🙏🙏

  • @hortensiamallya700
    @hortensiamallya700 Před rokem +1

    Mimi ni Mkatoliki..........Tunakupenda Baba saaaaaaana .........Karibu saaaaaaaaana Baba Mchungaji.

  • @janemwambungu4558
    @janemwambungu4558 Před rokem +10

    Ila marasusa Mungu anakuona , kimario ww ni mnyenyekevu Sana Mungu akufikishe mbali Zaidi mtu wenye matunda ndio unapigwa mawe siku zote

    • @amilongjackson2066
      @amilongjackson2066 Před rokem

      Marasusa amekosa nini

    • @mzarendo.com9624
      @mzarendo.com9624 Před rokem

      Acha ujinga Ask. Malasusa, ana kosa gani nyau wewe.....
      🥺🥺🥺😟😟😟😳😳😳

    • @rehemajuma2202
      @rehemajuma2202 Před rokem +1

      Yaani mchungaji hunaga ubaguzi na dini ya MTU,halafu mungu akuinue sn,yaani riziki ya MTU huwezi ifunga,hakuna mkamilifu duniani eti unamfungia MTU asifanye neno la mungu kiss kasema ukweli ndo SBB mungu kayatenda haya ukweli utabaki kuwa ukweli congratulations mchungaji Fanya kazi ya mungu tupo nyuma yako

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před rokem +1

      Usilaani mpendwa.
      Tuombene.

    • @janemwambungu4558
      @janemwambungu4558 Před rokem

      @@judicalosika7642 Amina mpendwa

  • @rehemamadelele5124
    @rehemamadelele5124 Před rokem +3

    Kimaro kimaro Nakuombea uishi baba uishi uishiiiii Tena uishiiiii wewe hakika Na jemedari WA kanisa

  • @margretben6920
    @margretben6920 Před rokem +2

    Jamani Dsm Kijitonyama mmebarikiwa na huyi Baba sawa na sisi tulivyobarikiwa na Mwl Mwakasege.

  • @janethpeter3844
    @janethpeter3844 Před rokem +5

    God is good all the time.
    Anza tena na Bwana.... Tunakupendaaaa

  • @rosemacha8137
    @rosemacha8137 Před rokem

    2020 alikuja na unabii wa start your Impossible aisee alinipa nguvu ya kufungua shule,,, akaja na I'm in to win it bado kwangu ikafanya kazi,,, akaja na i connect to collect Mungu akanikonect na watu sana,,,,leo tupo na tutavuka na mbao...... ooohhh this man amebeba mafunuo makubwa sana ya KIMUNGU kwa mwenye imani na Mungu. Glory to Jesus aisee

  • @oscarnderongo-fv8wx
    @oscarnderongo-fv8wx Před rokem +10

    Mungu atukuzwe mnooo katika Jina la Yesu

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před rokem +1

    We love you pastor kimaro Mungu Ndio anajua

  • @sarahwalker5093
    @sarahwalker5093 Před rokem +4

    Mungu wetu ni final say karibu tena mtumishi wa Mungu nadikia furaha na amani sana

  • @nerryabel7512
    @nerryabel7512 Před rokem +3

    Mungu ni mwema,asante Mungu kwa kumrudisha tena Mch Kimaro🙏🙏

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 Před rokem +1

    Hongera kwa kurejea Kijitonyama mtumishi wa Mungu.
    Mungu, akuongoze tena!

  • @happynessmbise3027
    @happynessmbise3027 Před rokem +2

    Tunakupenda sana baba yetu,umekuwa mnyenyekevu sana ktk yote,tunaamini Mungu amekupandisha kiwango kingine,ubarikiwe baba

  • @zawadishekilango9132
    @zawadishekilango9132 Před rokem +1

    Sifa heshima na utukufu ninakurudishia Mungu kwa ajili ya mtumishi wako huyu. Ambaye Mungu anaenda kutumika tena madhabahuni Pako. Damu yako ikaendelee kunena mema katika utumishi wake Amina

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 Před rokem +3

    Tuliimis sauti hiyo ya mamlaka ya kumfyatua shetani kazi iendelee Mchungaji

  • @ronahemmajay1477
    @ronahemmajay1477 Před rokem +1

    Kuna mtu anakata vitunguu hapa🙏🙏🙏 to God be the Glory

  • @suechipeta4223
    @suechipeta4223 Před rokem +2

    Huyu ndiye Mungu atendaye matendo makuu ya kuogofya... Tunamshangilia Bwana...

  • @judymasunzu7517
    @judymasunzu7517 Před rokem +1

    Anajibu Maombi X2 Bwana twakuabudu. Asante Mungu WA Utatu Kwa Kujibu Maombi yetu. Asante Uongozi DMP Kwa Uamuzi huu .

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před rokem +2

    Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU, ametenda makuu SAAAANA sifa na utukufu ni kwake yeye apitaye falme zote. KARIBU BABA YETU MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA KUENDELEA KUTUONGOZA TENA NA TENA, MAFUNDISHO YAKO YAMEWAJENGA WENGI KIROHO, KIUCHUMI NA KIMWILI. BARIKIWA SAAAAANA MCHJ NA MAMA NA FAMILIA YAKO. AMEN

  • @joycemollel7698
    @joycemollel7698 Před rokem +1

    Wamtumainio bwana ni kama mlima Wa sayuni hautatikisika milele,
    Hallelujah

  • @anithambise90
    @anithambise90 Před rokem +6

    Mungu asante kwa kujibu maombi yetu jina lako libarikiwe sana 🙏 Karibu Mchungaji kuna kitu Mungu kaweka ndani yako🔥🔥🔥

  • @mariethalema1365
    @mariethalema1365 Před rokem +1

    Atukuzwe Mungu atendaye makuu kuliko tuyaombayo & tuyawazayo. Welcome back baba Mchungaji wetu mpendwa Rev. Dr. E. Kimaro. We love you & we missed you very much. Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya utukufu Wake ktk jina la Yesu.🙏🙏🙏

  • @johnsonkagande428
    @johnsonkagande428 Před rokem +2

    Nimefilahi sana mutu wa Mungu umerudi ktk hema takatifu Mungu akuongoze milele

  • @zachariahtomemba9070
    @zachariahtomemba9070 Před 10 měsíci

    May God bless you so much beloved Rev . pastor Eliona Kimaro Kwa utumishi mwema,Amen

  • @FaridaMleko-re2jd
    @FaridaMleko-re2jd Před rokem +6

    Hatimaye Dorcasiiiiiiiiiiiiiii kuongezewa miaka mingine. Oh! Mungu ni mwema sana, nimefurahi mnoooooo kurudi kwa mchungaji.

  • @devotafrances1876
    @devotafrances1876 Před rokem +3

    Mungu huwa jua WALIO wake wewe ni mtumishi wa Mungu ulietukuka hongera kwa kuwa mnyenyekevu

  • @jesckamolel5693
    @jesckamolel5693 Před rokem +3

    Kwel wanampenda mchungaji wao kutoka moyon wamefurahi sana yule adui aliyetaka kumthalilisha bila sababu ya msingi akiona hili shangwe ni kama mkiki unamchoma kwenye moyo

  • @magdalenajoel4409
    @magdalenajoel4409 Před rokem +3

    Wow mungu akutunze mtumishi umechaguliwa hakika hakuna ulimi utakaoinuka juu yako tena 🙏❤️

  • @amanikiteve5195
    @amanikiteve5195 Před rokem +1

    Mwenyezi Mungu ambariki mtumishi wake na aendelee kuikuza karama yake

  • @hildamushi1084
    @hildamushi1084 Před rokem +2

    ASANTE SANA YESU KWA UPENDO WAKO KWA MTUMISHI WAKO ELIONA KIMARO.

  • @rhodamwafongo6660
    @rhodamwafongo6660 Před rokem +2

    Karibu tena mpendwa wetu Dr Kimaro , tunakupenda saana

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před rokem +4

    Ooooh Saa 10 alfajiri watu wamemsubiri MCH Kimaro kanisani ooooh

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před rokem +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯🙌🙌🙌🙌 Amina aminaaaaa Hata Sasa Bwana anatenda. Sasa macho yangu yameamini

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Před rokem +2

    Waooooo baba yangu wa kiroho Mungu akutunze, ❤❤❤❤ nikikusikiliza Mara zote mahubiri yako unaniponya nafsi, nilishakata tamaa Sana kupitia youtube unaniponya nafsi Mungu akulinde nakupenda sana mafundisho yako, Mungu wa mbinguni nilinde siku moja nije kukuona live nitafurahi sana sana

  • @captain001kenya3
    @captain001kenya3 Před rokem +1

    Huyu mgefaya one mistake uiii Kenya ingemchukua Kaa ugari moto we love this man of God

  • @felistermhango3177
    @felistermhango3177 Před rokem +10

    Glory be to God Jesus🙌🙌

  • @annakisanga
    @annakisanga Před rokem +1

    Mungu ni mwema. Sana

  • @nicembise902
    @nicembise902 Před rokem +4

    Mungu uliye hai utukufu na heshima ni vyako milele na milele karibu tena baba yetu na hongera Sana kwa uvumilivu wako kwa kipindi chote hekima Yako na unyenyekevu wako umewashangaza wengi Mungu akuinue zaidi unastahili kuwa mkuu wa kanisa na KKKT Sasa sio mchungaji tena na hakika nakuombea Mungu akufikishe huko🎉🎉🎉❤

    • @frenziangella6676
      @frenziangella6676 Před rokem

      Dr na mchungaji kimalo kiukweli hekima unyenyekevu busara ulio nawo Mungu akubariki sana na akulinde naungana na wanna kijito nyama kwa furaha hii
      Kipekee nawashukuru maaskofu wote pia marasusa

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před rokem +2

    Hallelujah hallelujah hallelujah!!! Sifa na utukufu ni kwa Mungu

  • @fidelisfrank4420
    @fidelisfrank4420 Před rokem +1

    Mimi ni mwana ufufuo na uzima lkn pastor kimaro namkubali na kumfatilia Sana tena karibu Sana Baba kijitonyama

  • @magrethpatrick8449
    @magrethpatrick8449 Před rokem +3

    Shetani amegalagazwa chaliiiiiiiiiii Yuko hoi kwa paaaaale.:O😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před rokem +8

    Mimi Ni FPCT Lakin mchungaji Kimaro Ni mchungaji wangu nimpendaye sana

  • @karlyneden3908
    @karlyneden3908 Před rokem +4

    Sifa na Shukrani nakurudishia Eee Mungu Baba ulie Hai

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem +1

    Wanawake kila sehemu mnaongoza kha nami nimefurahi sana kwa baba mchungaji kurejea ni muislam lkn nampendaga

  • @user-ik5kz6gh7n
    @user-ik5kz6gh7n Před 7 měsíci

    Hakika huu niukuu wamungu tunauona mbele yetu mungu hawezi kukiacha peke yako asante bab umesimama naye ukuu wa mung❤❤🙏🙏

  • @joliea2956
    @joliea2956 Před rokem +4

    From Saud, God is good 👍 🙏 🙌 ❤

  • @getrudejohnson
    @getrudejohnson Před rokem +8

    Glory to the highest Thank u God for what u have done. For us Ua warm welcome Pastor we miss u a lot.

  • @ceciliaonyango5367
    @ceciliaonyango5367 Před rokem +5

    Hadi raha Mungu ni mwema 🙏🙏🙏

  • @delvinalyimo8403
    @delvinalyimo8403 Před rokem

    Glory to our Almighty God!!My heart is full of joy!!! I love you with the love of God Man of God.Endelea kuifanya kazi ya bwana kwa uaminifu mkubwa!!🙏🙏

  • @kelvinmwacha129
    @kelvinmwacha129 Před rokem +1

    Glory to God
    Wana Kijitonyama
    Hongereni Sana kwa Matendo makuu ya Mungu aliyowatendea kwa kurejea Tena kwenye Utume na Kazi ya Mungu.....

  • @MaaneML
    @MaaneML Před rokem

    Yaani.machozi yananitoka kabisa. Mungu ni jibu. Washarika wa Kijitonyama hongereni Sana. Askofu Malasusa tuliza kichwa na mawazo kwa Wachungaji wenye Karama. Waheshimu. Usharika huu ungekufa kabisa kwa maamuzi yasiyo na Busara. Iwe funzo kwa wengine. Uelewe tu kuwa sharika siku hizi zinakua au kufa kwa sababu ya Mchungaji aliyepo. Msirudie makosa

  • @rhoidanassibu8536
    @rhoidanassibu8536 Před rokem +1

    Mungu azidi kukuinuaaaa sana Mch Kimaro.. Mafundisho yako yanatujenga sana sana

  • @mercymariki2148
    @mercymariki2148 Před rokem +1

    Mungu akutunze sana Baba.....keep on going ....we love you!!!

  • @MaaneML
    @MaaneML Před rokem +2

    Ebenezer amewezesha. Amen

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Před rokem +3

    Wapiiii mchungaji Hananjaaaaaa

  • @naghemsuya5218
    @naghemsuya5218 Před rokem +1

    Mungu atukuzwe Sana jmn nimefurah Sana, Baba tunakupenda tunakupenda Tena. Unatubariki mnooo

  • @cecygeorge4443
    @cecygeorge4443 Před rokem

    Nimefurahi sana mpaka nimelia machozi ashukuriwe MUNGU alie juu🙏🙏 ooh Asante YESU

  • @rosemarymwengele3778
    @rosemarymwengele3778 Před rokem +2

    Mungu wetu ni mwema 🙏 Hakika ni furaha kubwaaaaa mnooooo🙏

  • @pendorichard2986
    @pendorichard2986 Před rokem +3

    Utukufu ni kwako ee mwenyezi mungu

  • @delverosedastan5730
    @delverosedastan5730 Před rokem +2

    Sifa na utukufu ni kwako Mungu wetu,ulinzi wako ukawe juu ya mtumishi wako Eliona Kimaro

  • @susanarabiel9717
    @susanarabiel9717 Před rokem +1

    Waoo God is Good

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 Před rokem

    Maji hayazuiliwi Kwa ukuta🥰yatatoboa na kupenya tu😂😂😂Anacho kibali!! kama Mungu alimchagua hakuna binadamu atakaezuia, wamuache atumike🥰Mungu Atukuzwe sana🙏🙏🙏

  • @susanndesanjo7106
    @susanndesanjo7106 Před rokem

    Sifa na utukufu ni kwa Bwana Mungu aliyeziumba mingi na nchi.Mbarikkwe watumishi na waumini wa Mungu. Yesu ndiyo kiongozi wangu.Kumfuata Yeye ni furaha.

  • @lindamoshi3013
    @lindamoshi3013 Před rokem +1

    Mungu wewe ni wa ajabu sana...Mungu aendelee kukutumia tubarikiwe

  • @SelinaNiinah-gn2qd
    @SelinaNiinah-gn2qd Před rokem +1

    Asante sana mchg huwa na barikwa mahubiri yako

  • @josephinekokushubila1050

    Tunamshukuru Mungu Kwa ajili ya huyu mtumishi

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Před rokem +3

    Mama mchungaji oyeeee 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @barakaleader1550
    @barakaleader1550 Před rokem +1

    Nguvu ya umma haijawahi feli..congole Wana kijitonyama

  • @brysonmeena1086
    @brysonmeena1086 Před rokem +1

    Jumapili hakika hapatatosha kanisani, Mungu atamuonesha baba askofu Malasusa ukuu wa Mch Kimaro

  • @emmanuelrutaihwa6545
    @emmanuelrutaihwa6545 Před rokem

    Mch Kimaro tunakupenda kwa kuwa unajua kutuombea kwa Mwenyezi Mungu. Tunamwomba Mwenyezi Mungu asikie maombi yako uliyomuomba kwa ajili yetu. Amen.

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Před rokem +1

    Upendo una nguvu sana kuliko imani. Naangalia leo 20.3.2023 nikiwa kibaha mkoa wa pwani.natamani kimaro siku moja aje kuwa mkuu wa kkkt tuone atabadili nini

  • @bernadetakomba366
    @bernadetakomba366 Před rokem

    Asante kwaajili ya Baba Mchungaji Kimaro Bwana akupe maisha mm Catherine Gabone umefanyika Baraka katika maisha yangu Bwana akulinde na famili yako Amen

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 Před rokem +5

    Kiriririririiiii am happy because my Daddy is back.
    Glory to God.

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 Před rokem +1

    Ubinadamu wetu usitufanye tukatae vile vitu Mungu alivyoweka kwa maana maalum kwa watu wengine

  • @navysanga4245
    @navysanga4245 Před rokem +1

    Nampenda Sana Sana mtumishi nipo Makambako napenda Sana vipindi vyake nimebarikiwa Sana Sana

  • @victoriasanga4910
    @victoriasanga4910 Před rokem +4

    Mpendwa dada mwenye gauni penseli nyeupe, kwa kweli hilo gauni halina utukufu kwa Mungu, hata kwa wanadamu

    • @rebekamwinuka6058
      @rebekamwinuka6058 Před rokem

      Nikweli kabisa huo sio utukufu kuvaa nguo ya aibu kanisani.

    • @judicateshuma3688
      @judicateshuma3688 Před rokem +1

      Tafadhali sana wakinamama muwe na adabu kanisani mnavaa nguo ambao sio za uchaji mbele za watu namungu acheni wendawazim

    • @ndennkya9554
      @ndennkya9554 Před rokem

      😁😁

    • @hopesengo6972
      @hopesengo6972 Před rokem

      Ahsnte sana kwakuliona hilo🙏🙏🙏

    • @rebekamwinuka6058
      @rebekamwinuka6058 Před rokem

      Halafu bila aibu anakimbia mbele kabisa ya madhabahu

  • @rosettasuleiman5774
    @rosettasuleiman5774 Před rokem +2

    I really moved and happy to see you again

  • @rosemshana1712
    @rosemshana1712 Před rokem

    Mungu Akubariki sana mchg Kimaro. Nimefurahi sana kwa jinsi ulivyojishusha na kuomba msamaha. Na Mungu akakujibu. Nakuombea maisha marefu katika kazi ya BWANA