Serekali ya awamu ya 6 ni ya udini UNAMAANA GANI ? - Sheikh Muharam Mziwanda

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 116

  • @mahadimatsawily5809
    @mahadimatsawily5809 Před rokem +1

    Jazaakallahu khairah. Allah Akulipe kila Kheri na Akuongoze

  • @fajidahliyanga6545
    @fajidahliyanga6545 Před rokem +1

    Nakuaminia kijana wangu Allah Akuhifadhi

  • @francomkandawile8572
    @francomkandawile8572 Před rokem +2

    Pia namjua babu Warioba anahekima sana na anabusara kubwa sana, ninauhakika hatakujibu chochote. Kwasababu kuanza kujibizana na wewe ni sawa na kujizalilisha, Halafu Shekhe tambua warioba sio level yako hata kidogo. Amekuzidi vitu vingi kuanzia umri, elimu, hekima, busara na maarifa, ufahamu na kazalika hivyo kuwa na heshima pia unapomzunguzia Mzee warioba. Ila kwa sababu mdomo ni mali yako basi naishia hapa kukushauri. Mpe heshima yake, pia umepata bahati ya kusimama mbele ya halaiki na kuzungumza basi tumia hiyo nafasi kutangaza amani, umoja, upendo na mshikamano kwenye nchi yetu bila kujali dini zetu. Wafundishe watu jinsi ya kuishi maisha matakatifu ili wakamwone Mungu ukiwa kama shekhe hayo mambo ya siasa za udini walau basi ingeenda kuongelea kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa kupitia chama unachokipenda lkn sio msikitini, msikitini ni sehemu ya ibada sio sehemu ya kuwasema watu na kuzungumzia udini.

  • @SultanSaid-kj4mn
    @SultanSaid-kj4mn Před rokem +1

    Allah akujaze hekima tunashukuru sana kama namuona sheikh ilunga

  • @hassannyoka1304
    @hassannyoka1304 Před rokem +1

    Mungu akuongoze sheikh uzidi kutufungua macho pia Mungu atupe subira sisi wa Tanzania sote ili tuishi kwa amani tuachane na uchochezi ambao unaweza ukaharibu amani yetu

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      Mashekhe kama hawa wazidi kujitokeza kuelimisha na kufichuwa yanayofichwa. Na Mashekhe wa Uamsho tuamsheni.

  • @sadikingonyani315
    @sadikingonyani315 Před rokem +4

    WAISILAMU WANAJIAMINI NA IMANI YAO, SIO WATU WA KULALAMIKA HOVYO

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Před rokem

      Wanalalamika sana oh mfumo Kristo,kwenye safu ya viongozi waislamu wanalalamika eti wakristo wanapendelewa,eti akitawala mkristo ni shida,akitawala muislamu ni raha,haya yote ni yaashiria kuwa waislamu ji walalamikaji na wabinafsi

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Před rokem +3

    Walizoea enzi zile za baada ya uhuru kwa mtoto wa kasisi kupewa uwaziri wa elimu ili makusudi kuwazuia Waislamu wasiende sekondari waishie la saba.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Před rokem +1

    Mashaallah jazakumllah kheir

  • @StephenTossi-tj2uv
    @StephenTossi-tj2uv Před rokem +1

    Tuombe amani katika nchi yetu.

  • @CesiliaMrema
    @CesiliaMrema Před rokem +1

    Shekh ukweili usemwe hadharani watoto wajifunze

  • @CesiliaMrema
    @CesiliaMrema Před rokem +1

    Haya unayo tufundisha mbona wayasema kwenye hadhara,unapo sema kwenye umaunajifunza

  • @binbaya923
    @binbaya923 Před rokem

    Maa shaa llah

  • @RichardJailo-pp7kj
    @RichardJailo-pp7kj Před rokem

    Hii nchi haya kama serikali hamna ngoja tuone mwisho wa hili ila tunataka katiba mpya na mkataba wa bandari ufutwe😢😭

  • @munyarubugaismailally111

    Mashallah ukweli mtupu

  • @danielalmas6595
    @danielalmas6595 Před rokem +1

    Serikali ya awamu ya 6 sio wa udini bali ni ya upuuzi

  • @isaackmwakapala8663
    @isaackmwakapala8663 Před rokem +2

    Mnapigania dini au kuabudu? Kuabudu ipasvyo ndio lengo la dini tutakua na amani.

  • @bilaalmuhammad9499
    @bilaalmuhammad9499 Před rokem

    Mashallah

  • @user-oj8bk5xn8n
    @user-oj8bk5xn8n Před rokem

    Ndio ukakubali kua mwanamke awekingozi wako kwasababu tunakwenda na wakati

  • @RichardJailo-pp7kj
    @RichardJailo-pp7kj Před rokem +1

    Dini zimeletwa hapa afrika shehe naomba nikuulize swali mtume wetu nani

    • @mahadimatsawily5809
      @mahadimatsawily5809 Před rokem

      Nikujibu kwa niaba. Mtume wetu ni Muhamad, huenda hautaliewa lakini hiyo ni sawa na wale wanaotamani rais wa awamu ya sita awe mkiristo wakati ukweli ni muislam..Yaani maisha yako hivi kila kitu na wakati wake, wakati wa Magufuli ulipita leo ni wakati wa samia hatujui ajae ni nani. Kama watanzania tunakiwa kuwa flexible. Wanakosea wale wanaosema bora ya utawala wa magufuli, au kikwete au mkapa au mwinyi au nyerere wakati zama zao zimepita..Hivyo hata sasa Muhamad amekuja baada ya Yesu naye kaja na uislam nasi tunafuata hivyo. Mtu anayesema mtume wetu awe muafrika ni sawa mtu anaesema anatamani mama yake awe rais badala ya samia. Mambo yanaandaliwa muda mrefu. Hawa mitume waliandaliwa na Muumba toka wanazaliwa ndio maana hatujawahi kuskia makosa makosa yao tofauti na tulivyo sisi wengine. Tujifunze, tusome, na tuulize wanaojua

  • @gabrielmahala9848
    @gabrielmahala9848 Před rokem

    Nyie mashehe ndio mnaleta udini, sijawahi kuona viongozi wa dini nyingine wakiongea haya

  • @user-xv8er3uc1p
    @user-xv8er3uc1p Před rokem

    Nchi yetu haina dini lkn Dini zilizopo Tanzania nyingi zinaingilia majukumu ya serikali.hizi dini zitatwingiza kwenye vita vikali sana.nchi nyingi Afrca chokochoko hunzia Dini .ukabila nk.mungu tusaidie ktk hili.

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před rokem +1

    Mambogani hayo Sasa hii nchi ishaharibika tayari

  • @bilaalmuhammad9499
    @bilaalmuhammad9499 Před rokem

    ☝♥️

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před rokem +1

    Kauli hizi ni za mfarakano, bahati mbaya sana zinajitokeza kkt vipindi fulani,
    Lakini ninaamini Hakuna anaeshangaa, Dunia nzima haya yapo kwa upande wa pili.

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 Před rokem

      Ndio kila anapokuwa kiongozi muislamu Lazima wengine waseme Ana udini, aliambiwa Mwinyi, Kikwete na Sasa Raisi Samia. wanasema Ana udini kwa sababu anavaa hijabu; ni ujinga mtupu.

    • @mohammadabdallah8711
      @mohammadabdallah8711 Před rokem

      Hatushangai na maneno yenu.Sisi Mtume wetu ashatutahdharisha na madui zetu.Amewataja kwa majina. Hatubabaiki na mavumbo.

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Před rokem

      Hawatakubali mpaka tufate dini yao NA usimwamini yeyote yule hata aki fanya wema kwako itabaki moyo wake sio nzuri tahathari NA watu hao NA sio kitu ukafanya uwma nao NA kumtembelea jirani wako mkristu kwa sababu mtume wetu alikua anaingia kwao NA kutembelea wagonjwa wayahudi NA kula kwao huo mtume anawaomba kusilimu ili awaokowe moto akhera maana asio taamka shahada mambo yake mabaya habib mohamed

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před rokem +1

    Kuzunguzia dini na kuiunganisha na serikali ni upumbavu. Kila mtu asali anakotaka.

  • @josephudoba5563
    @josephudoba5563 Před rokem +1

    Sisi tulikuwa tunajua samia ni kiongozi wa wtanzania sikujua ila waislamu wamemgeuza kuwa wakwao

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před rokem

    💯🤲🙏

  • @benson20301
    @benson20301 Před rokem +1

    Bweka tu nyingi hamtusimbui

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 Před rokem +2

    kumbe mmesha jijua kuwa dini ya kupigana na kupalulana siyo din sindio nyinyi hao ugaidi

  • @jaliabahat1520
    @jaliabahat1520 Před rokem

    wazeewetu wakiislaam walipigana na ukoloni halisi sisi wajukuu hatuwezi shindwa pigana na makombo ya ukoloni

  • @angelomalimi2444
    @angelomalimi2444 Před rokem

    Gaidi mmoja hilo

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Před rokem +1

    Una ugomvi gani na warioba? Sheikh mziwanda umesoma mpaka darasa la ngapi?

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 Před rokem +1

    unachojaribu kuongea nikuamsha udini Zaid utamalaki katk nchi
    huo udini unakusaidia Nini Sasa
    ninyi mnabishana. wenzenu wananyonya rasilimali. ajabu sana africa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem +1

    Tuvumiliane tutafika, Msameheni tu yaishe

  • @mohammadabdallah8711
    @mohammadabdallah8711 Před rokem

    Waislamu mukishika Quran kwa mikono miwili hakuna adui atawaweza

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      Waislam wapo na Viongozi wa Wanafiki akina Abdullah bin Ubay, Kiongozi wa Wanafiki zama za Mtume Muhammad (SAW) pia wapo.

    • @mohammadabdallah8711
      @mohammadabdallah8711 Před rokem

      @@khatibal-zinjibari6956 Inna ba'ada dhana ithmuun.Uwe na hakika unalosema. Kila unalosema na kuandika utaulizwa

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem +1

      @mohammadabdallah8711 Allah ameteremsha Surah kukhusu Wanafiki ingawa jina la Abdullah bin Ubayy halikutajwa. Na Mtume Muhammad (SAW) ameeleza sifa tatu za Wanafiki.
      Baadhi ya viongozi wetu wanakubaliana na Wazanzibari lakini wakifika Dodoma. wanaufata mkia.

  • @yassinnabwera4273
    @yassinnabwera4273 Před 11 měsíci

    Mambo haya yanafanyika kupalilia huu udini,kwa faida ya nani?mbona Rais ana vyombo vyake vya kumtetea?

  • @mishimatangalu7398
    @mishimatangalu7398 Před rokem +3

    Hizi mada zilikuwa hazipo kipindi cha magu kikwete zilikuwepo samia zipo tatzo nini🤣🤣🤣🤣

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Před rokem +2

    Mmeanza mambo yenu! Kwa mwinyi, Kwa kikwe, naona mmeanza na Kwa huyu mama!

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Před rokem +1

    Tatizo mnaanza kupiga kelele kabla hamjajua kwa nini amesema hivo, kamuulize awape majibu kwa nini kasema hivo,unaweza ukakuta umeongea mambo tofauti, wewe kama kiongozi wa Dini ulipashwa umuulize ana maana gani?akishindwa kujibu basi kalaumu, hayo maneno ya uchochezi hata Mwalimu enzi zake aliwahi kuulizwa eti anabagua Waisilam katika balaza la mawazili wake, aliwajibu kwa husahihi kabisa na wakaishia kunyamaza, kwa hiyo hivi vituko havijaanza leo.

  • @saidimohamedimgotomgoto979

    Hukiweka mizani sawa razima waseme wanaonewa wamezoea kujiona wapo juu

  • @benjaminballali3581
    @benjaminballali3581 Před rokem +1

    Iko haja kusensa watu kwadini ili idadi nikupe mgawanyo wa nafasi. Kama wakiristo watakuwa 70% basi wape kawa idadi yao na waislam wAkiwa 70% nao wape kwa idadi yao. Itakuwa tiba labda.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +1

    HILO JIZEE KUNA WAKATI MAKONDA ALIMTANDIKA MAKOFI YA KUTOSHA!!ANAZEEKA NA CHUKI ZINAMSONGA!!

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      @hamzakimaro3764.Makonda ndiye yule Paul Makonda aliyekuwa Regional Commissioner wa Dar es Salaam?

    • @isaackmwakapala8663
      @isaackmwakapala8663 Před rokem

      Kila kipindi Cha uongozi wa kiisilamu, haya matatizo yanajitokeza.

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před rokem +1

    Sasa waislam wanapambana na nani?waislam adui yao ni Dini yao wenyewe hawana uwezo wa kujenga hoja za msingi kwenye mambo ya mkataba wa bandari kwasababu Rais ni mwislamu wanaleta hoja bila kuuchambua mapungufu ya mkataba

    • @BonifaceSambo-ze6jh
      @BonifaceSambo-ze6jh Před rokem +1

      E MUNGU muumba mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana naomba umpe hekima kiongozi wetu wa inchi hii suruhu hassani na wasaidizi wake, ili amani ya inchi hii isitoweke, AMINA.

    • @chinxflaaw4908
      @chinxflaaw4908 Před rokem

      Nyinyi chokoreni Islam 2 Mara wanakula nyama za nguruwe Mar a hijabu mnashindwa na Siasa Mnaingilia.waislamu.

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Před rokem

    Sheikh mziwanda si kila kazi inafanyika kidini, hivi unapo wahesabu wafanya kazi na dini zao unatafuta nini? Sijaijua elimu yako na kama unayo kajaribu kugombea udiwani kwenu ila najua ubunge huwezi kuupata huna sifa.

    • @yusuphuadhuman9085
      @yusuphuadhuman9085 Před rokem

      IV umemuelewa vzuli alicho kichambua Apo ama walioba ndio alio toa kauli kua awamu yasasa nchi inaendeshwa kiudini nae ndio anajalimu kuwelewesha walioba kosalake nn uyo Shee alikuambia anataka kugombea udiwani pia nikuku mbushe udiwani ubunge aunaelimu kiongoz Kama ulikua ajui

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Před rokem +1

    Yaani huyu mpuuzi sana! Ujinga ujinga tu anaongea hapa!

  • @laurentjoseph2957
    @laurentjoseph2957 Před rokem +4

    Sheikh unazungumza ukweli mtupu Allah akubariki, hao wanaolalamika wanna ugonjwa hatari waliouzoea wa kudhulumu,. ..... Mungu atawaumbua tuu,....Rais Samia endelea kuvaa hijabu yako achana na maneno ya wajinga

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Před rokem

    Wenzetu ukitaka kubalance mambo wao wanaona wanapunjwa walisha zoea wao kuwa zaidi kila jambo linamwisho jamani. Tunaingia maofisini wakati mwingine ofisi nzima ni wao tu na hali hiyo bado ipo. Sababu eti elimu je sasaivi kuna mtu hajasoma?

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem +1

      Wanataka muendelee kupara samaki feri na kubeba mizigo kariakoo, au muwe wakata viuno kama Daimond, ila kazi za maofisini wapumzike wao tu.
      Ila bado songombingo zote hizo bado waislamu sisi ni matajiri kuliko wao, kila wakifurukuta lazima watumie bidhaa zetu.
      Namba moja wa kwanza mimi hapa Muislamu tajiri, natania tu..... wa pili baharesa, Mo Dewji na kuendelea.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před rokem +1

      @@Sheba4651 pamoja na yote wakiristo walio wengi wanapesa kuliko waislamu mana waislamu uliowataja ni wachache sana 50 hawafiki na wengi wao wana asili ya uarabuni au India lkn matajiri wakristo kalibia wote ni wa Tanzania Halisi na hii yote shukuruni wazungu kufukuzwa na serikali ya awamu ya kwanza halafu warabu hawakufukuzwa hilo ndio unafanya muonekane waislamu wale wa asili ya kigeni wanapesa... , kama wazungu wasinge ondoshwa matajiri wakubwa wakubwa Tanzania wangekuwa wakiristo

    • @johnsulle4679
      @johnsulle4679 Před rokem

      @@Sheba4651 mshamba shoga tu una mavi tu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      @@ramadhanmahongole9293 Ni kweli wakristo mmoja mmoja wana hela, kwa sababu wao uchumi wao hata madanguro, baa wanafanya, hata uchangudoa si tatizo pia, sasa msiwe na hela vipi. Kwenye Uislamu biashara za dhambi ni marufuku.
      MATHAYO 21:31 ......... Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      @@johnsulle4679 Duh! Mimi na wewe nani mshamba?

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 Před rokem +2

    dini zenyewe tumeletewa. TU lakin kabla huajawa na hiyo dini nibinaramu kwanzaaa
    din inaweza sio huo uisilam Wala ukristo. din ilo njema. nikutenda haki nakutendeana. haki baina yetu wenyewe

    • @josephkalegea5187
      @josephkalegea5187 Před rokem

      Sheh kuanamambo yakuongea msikitini haponisehemya yamungu, sheh unajua waislam hawakusoma achanana mambo hayo

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      @@josephkalegea5187 Algebra lilianzishwa na Muislam. Pendulum ya saa ilianshishwana Muislam na walianza Chuo Kikuu cha Mwanzo duniani seuza Timbuktu University na Zanzibar Muslim Academy ilianzishwa na Waislam.

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      @levidavid1156Dini ya Mwanzo na ya Haki ni ISLAM kwa mujibu wa Qur'an. Biblia halikutaja Dini ya UKIRISTO.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před rokem

      @levidavid Kama dini ilo njema ni kutenda haki, mbona kuna kundi linataka waislamu daima wawe duni kimaisha, kama ni kazi labda iwe kama ya Daimond kukata kiuno tu.
      Wanataka waislamu wawe wapara samaki tu, ndio kutenda haki huko? Huyo mungu wao wa aina gani asiyependelea wanadamu wote waishi maisha ya furaha.

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Před rokem

      @@khatibal-zinjibari6956 Kama unaelewa vitabu vizuri, hadithi za mtume Qur'an na Biblia vyote vinataja dini ya ukristo.

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 Před rokem

    Wewe mwehu unaongea nini umekuwa mwarabu toka lini,?

  • @francomkandawile8572
    @francomkandawile8572 Před rokem

    Yani huyu shehe huwa namshangaa? Warioba nilimsikiliza mbona hakuongea kwa mantiki hii ambayo wewe shehe unazungumzia? Naiona nia yako ovu ya kupanda mbegu ya udini kwenye nchi yetu lkn hutafanikiwa hata kidogo, Nchi hii inalindwa na Mungu mwenyewe hivyo polojo zako za udini hazitapenya kwenye nchi. Huku mtaani wakristo kwa waislamu tunafurahiana na tunakula pamoja hayo mambo yenu ya siasa ya kutuchafuliana amani tupa kule huna hata aibu.

  • @vitalismmasy2308
    @vitalismmasy2308 Před rokem +1

    Shehe unachokifanya ni huchochezi sio unakemea.

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      Sheikh anafuata fundisho la Mtume Muhammad (pbuh) alivyowaambia Waislam:
      "MSIDHULUMU WALA MSIDHULUMIWE"
      Waislam wa Tanganyika wameanza kudhulumiwa 1961 mpaka sasa.
      Na Waislam wa Zanzibar wameanza kudhulumiwa 1964 mpaka sasa.

    • @bilaalmuhammad9499
      @bilaalmuhammad9499 Před rokem

      Weye vitalis mjnga

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před rokem

      @vitalismmasy2308.Sheikh Ilunga Hassan alilalamika kuwa:
      "KANISA LINA NGUVU KULIKO SERIKALI"
      Na Paul Makonda alisema yafuatayo:
      "Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania liko Mikononi mwa Kanisa.
      Uimara wa Kanisa ni Uimara wa Taifa.
      Kama Taifa halitakuwa Imara basi Kanisa pia haliko Imara.
      Kanisa kama Limesahau Wajibu Wake basi hata Viongozi Watasahau Wajibu Wao."
      PAUL MAKONDA

    • @athumaniahamadi3812
      @athumaniahamadi3812 Před rokem

      SI uchochezi ngoja alate Hondo mjinga Huyo ubaguzi Gani mama ameleta kama haugui kichwa huyo

    • @athumaniahamadi3812
      @athumaniahamadi3812 Před rokem

      Askofu Huyo ndio ulikua uwezo wake wa kufikiria

  • @emmanuelmsangi1662
    @emmanuelmsangi1662 Před rokem +1

    Huyo aliosema awamu ya sita ni yaudini alizungumzia kanisani au nikiongozi wa dini co sawa hayo maneno hayatusaidii kabisa

  • @chaganageorge7388
    @chaganageorge7388 Před rokem +1

    Kiongozi hizo takwimu ni Tanzania au ni Bara? Kama ni za bara naomba pia utoe takwimu za Zanziba viongozi wakuu kati ya wakristo na waislam

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 Před rokem

    Hijabu ni stara sio dini