Pia namjua babu Warioba anahekima sana na anabusara kubwa sana, ninauhakika hatakujibu chochote. Kwasababu kuanza kujibizana na wewe ni sawa na kujizalilisha, Halafu Shekhe tambua warioba sio level yako hata kidogo. Amekuzidi vitu vingi kuanzia umri, elimu, hekima, busara na maarifa, ufahamu na kazalika hivyo kuwa na heshima pia unapomzunguzia Mzee warioba. Ila kwa sababu mdomo ni mali yako basi naishia hapa kukushauri. Mpe heshima yake, pia umepata bahati ya kusimama mbele ya halaiki na kuzungumza basi tumia hiyo nafasi kutangaza amani, umoja, upendo na mshikamano kwenye nchi yetu bila kujali dini zetu. Wafundishe watu jinsi ya kuishi maisha matakatifu ili wakamwone Mungu ukiwa kama shekhe hayo mambo ya siasa za udini walau basi ingeenda kuongelea kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa kupitia chama unachokipenda lkn sio msikitini, msikitini ni sehemu ya ibada sio sehemu ya kuwasema watu na kuzungumzia udini.
Mungu akuongoze sheikh uzidi kutufungua macho pia Mungu atupe subira sisi wa Tanzania sote ili tuishi kwa amani tuachane na uchochezi ambao unaweza ukaharibu amani yetu
Wanalalamika sana oh mfumo Kristo,kwenye safu ya viongozi waislamu wanalalamika eti wakristo wanapendelewa,eti akitawala mkristo ni shida,akitawala muislamu ni raha,haya yote ni yaashiria kuwa waislamu ji walalamikaji na wabinafsi
Nikujibu kwa niaba. Mtume wetu ni Muhamad, huenda hautaliewa lakini hiyo ni sawa na wale wanaotamani rais wa awamu ya sita awe mkiristo wakati ukweli ni muislam..Yaani maisha yako hivi kila kitu na wakati wake, wakati wa Magufuli ulipita leo ni wakati wa samia hatujui ajae ni nani. Kama watanzania tunakiwa kuwa flexible. Wanakosea wale wanaosema bora ya utawala wa magufuli, au kikwete au mkapa au mwinyi au nyerere wakati zama zao zimepita..Hivyo hata sasa Muhamad amekuja baada ya Yesu naye kaja na uislam nasi tunafuata hivyo. Mtu anayesema mtume wetu awe muafrika ni sawa mtu anaesema anatamani mama yake awe rais badala ya samia. Mambo yanaandaliwa muda mrefu. Hawa mitume waliandaliwa na Muumba toka wanazaliwa ndio maana hatujawahi kuskia makosa makosa yao tofauti na tulivyo sisi wengine. Tujifunze, tusome, na tuulize wanaojua
Nchi yetu haina dini lkn Dini zilizopo Tanzania nyingi zinaingilia majukumu ya serikali.hizi dini zitatwingiza kwenye vita vikali sana.nchi nyingi Afrca chokochoko hunzia Dini .ukabila nk.mungu tusaidie ktk hili.
Kauli hizi ni za mfarakano, bahati mbaya sana zinajitokeza kkt vipindi fulani, Lakini ninaamini Hakuna anaeshangaa, Dunia nzima haya yapo kwa upande wa pili.
Ndio kila anapokuwa kiongozi muislamu Lazima wengine waseme Ana udini, aliambiwa Mwinyi, Kikwete na Sasa Raisi Samia. wanasema Ana udini kwa sababu anavaa hijabu; ni ujinga mtupu.
Hawatakubali mpaka tufate dini yao NA usimwamini yeyote yule hata aki fanya wema kwako itabaki moyo wake sio nzuri tahathari NA watu hao NA sio kitu ukafanya uwma nao NA kumtembelea jirani wako mkristu kwa sababu mtume wetu alikua anaingia kwao NA kutembelea wagonjwa wayahudi NA kula kwao huo mtume anawaomba kusilimu ili awaokowe moto akhera maana asio taamka shahada mambo yake mabaya habib mohamed
unachojaribu kuongea nikuamsha udini Zaid utamalaki katk nchi huo udini unakusaidia Nini Sasa ninyi mnabishana. wenzenu wananyonya rasilimali. ajabu sana africa
@mohammadabdallah8711 Allah ameteremsha Surah kukhusu Wanafiki ingawa jina la Abdullah bin Ubayy halikutajwa. Na Mtume Muhammad (SAW) ameeleza sifa tatu za Wanafiki. Baadhi ya viongozi wetu wanakubaliana na Wazanzibari lakini wakifika Dodoma. wanaufata mkia.
Tatizo mnaanza kupiga kelele kabla hamjajua kwa nini amesema hivo, kamuulize awape majibu kwa nini kasema hivo,unaweza ukakuta umeongea mambo tofauti, wewe kama kiongozi wa Dini ulipashwa umuulize ana maana gani?akishindwa kujibu basi kalaumu, hayo maneno ya uchochezi hata Mwalimu enzi zake aliwahi kuulizwa eti anabagua Waisilam katika balaza la mawazili wake, aliwajibu kwa husahihi kabisa na wakaishia kunyamaza, kwa hiyo hivi vituko havijaanza leo.
Iko haja kusensa watu kwadini ili idadi nikupe mgawanyo wa nafasi. Kama wakiristo watakuwa 70% basi wape kawa idadi yao na waislam wAkiwa 70% nao wape kwa idadi yao. Itakuwa tiba labda.
Sasa waislam wanapambana na nani?waislam adui yao ni Dini yao wenyewe hawana uwezo wa kujenga hoja za msingi kwenye mambo ya mkataba wa bandari kwasababu Rais ni mwislamu wanaleta hoja bila kuuchambua mapungufu ya mkataba
E MUNGU muumba mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana naomba umpe hekima kiongozi wetu wa inchi hii suruhu hassani na wasaidizi wake, ili amani ya inchi hii isitoweke, AMINA.
Sheikh mziwanda si kila kazi inafanyika kidini, hivi unapo wahesabu wafanya kazi na dini zao unatafuta nini? Sijaijua elimu yako na kama unayo kajaribu kugombea udiwani kwenu ila najua ubunge huwezi kuupata huna sifa.
IV umemuelewa vzuli alicho kichambua Apo ama walioba ndio alio toa kauli kua awamu yasasa nchi inaendeshwa kiudini nae ndio anajalimu kuwelewesha walioba kosalake nn uyo Shee alikuambia anataka kugombea udiwani pia nikuku mbushe udiwani ubunge aunaelimu kiongoz Kama ulikua ajui
Sheikh unazungumza ukweli mtupu Allah akubariki, hao wanaolalamika wanna ugonjwa hatari waliouzoea wa kudhulumu,. ..... Mungu atawaumbua tuu,....Rais Samia endelea kuvaa hijabu yako achana na maneno ya wajinga
Wenzetu ukitaka kubalance mambo wao wanaona wanapunjwa walisha zoea wao kuwa zaidi kila jambo linamwisho jamani. Tunaingia maofisini wakati mwingine ofisi nzima ni wao tu na hali hiyo bado ipo. Sababu eti elimu je sasaivi kuna mtu hajasoma?
Wanataka muendelee kupara samaki feri na kubeba mizigo kariakoo, au muwe wakata viuno kama Daimond, ila kazi za maofisini wapumzike wao tu. Ila bado songombingo zote hizo bado waislamu sisi ni matajiri kuliko wao, kila wakifurukuta lazima watumie bidhaa zetu. Namba moja wa kwanza mimi hapa Muislamu tajiri, natania tu..... wa pili baharesa, Mo Dewji na kuendelea.
@@Sheba4651 pamoja na yote wakiristo walio wengi wanapesa kuliko waislamu mana waislamu uliowataja ni wachache sana 50 hawafiki na wengi wao wana asili ya uarabuni au India lkn matajiri wakristo kalibia wote ni wa Tanzania Halisi na hii yote shukuruni wazungu kufukuzwa na serikali ya awamu ya kwanza halafu warabu hawakufukuzwa hilo ndio unafanya muonekane waislamu wale wa asili ya kigeni wanapesa... , kama wazungu wasinge ondoshwa matajiri wakubwa wakubwa Tanzania wangekuwa wakiristo
@@ramadhanmahongole9293 Ni kweli wakristo mmoja mmoja wana hela, kwa sababu wao uchumi wao hata madanguro, baa wanafanya, hata uchangudoa si tatizo pia, sasa msiwe na hela vipi. Kwenye Uislamu biashara za dhambi ni marufuku. MATHAYO 21:31 ......... Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu
dini zenyewe tumeletewa. TU lakin kabla huajawa na hiyo dini nibinaramu kwanzaaa din inaweza sio huo uisilam Wala ukristo. din ilo njema. nikutenda haki nakutendeana. haki baina yetu wenyewe
@@josephkalegea5187 Algebra lilianzishwa na Muislam. Pendulum ya saa ilianshishwana Muislam na walianza Chuo Kikuu cha Mwanzo duniani seuza Timbuktu University na Zanzibar Muslim Academy ilianzishwa na Waislam.
@levidavid Kama dini ilo njema ni kutenda haki, mbona kuna kundi linataka waislamu daima wawe duni kimaisha, kama ni kazi labda iwe kama ya Daimond kukata kiuno tu. Wanataka waislamu wawe wapara samaki tu, ndio kutenda haki huko? Huyo mungu wao wa aina gani asiyependelea wanadamu wote waishi maisha ya furaha.
Yani huyu shehe huwa namshangaa? Warioba nilimsikiliza mbona hakuongea kwa mantiki hii ambayo wewe shehe unazungumzia? Naiona nia yako ovu ya kupanda mbegu ya udini kwenye nchi yetu lkn hutafanikiwa hata kidogo, Nchi hii inalindwa na Mungu mwenyewe hivyo polojo zako za udini hazitapenya kwenye nchi. Huku mtaani wakristo kwa waislamu tunafurahiana na tunakula pamoja hayo mambo yenu ya siasa ya kutuchafuliana amani tupa kule huna hata aibu.
Sheikh anafuata fundisho la Mtume Muhammad (pbuh) alivyowaambia Waislam: "MSIDHULUMU WALA MSIDHULUMIWE" Waislam wa Tanganyika wameanza kudhulumiwa 1961 mpaka sasa. Na Waislam wa Zanzibar wameanza kudhulumiwa 1964 mpaka sasa.
@vitalismmasy2308.Sheikh Ilunga Hassan alilalamika kuwa: "KANISA LINA NGUVU KULIKO SERIKALI" Na Paul Makonda alisema yafuatayo: "Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania liko Mikononi mwa Kanisa. Uimara wa Kanisa ni Uimara wa Taifa. Kama Taifa halitakuwa Imara basi Kanisa pia haliko Imara. Kanisa kama Limesahau Wajibu Wake basi hata Viongozi Watasahau Wajibu Wao." PAUL MAKONDA
Jazaakallahu khairah. Allah Akulipe kila Kheri na Akuongoze
Nakuaminia kijana wangu Allah Akuhifadhi
Pia namjua babu Warioba anahekima sana na anabusara kubwa sana, ninauhakika hatakujibu chochote. Kwasababu kuanza kujibizana na wewe ni sawa na kujizalilisha, Halafu Shekhe tambua warioba sio level yako hata kidogo. Amekuzidi vitu vingi kuanzia umri, elimu, hekima, busara na maarifa, ufahamu na kazalika hivyo kuwa na heshima pia unapomzunguzia Mzee warioba. Ila kwa sababu mdomo ni mali yako basi naishia hapa kukushauri. Mpe heshima yake, pia umepata bahati ya kusimama mbele ya halaiki na kuzungumza basi tumia hiyo nafasi kutangaza amani, umoja, upendo na mshikamano kwenye nchi yetu bila kujali dini zetu. Wafundishe watu jinsi ya kuishi maisha matakatifu ili wakamwone Mungu ukiwa kama shekhe hayo mambo ya siasa za udini walau basi ingeenda kuongelea kwenye mikutano ya hadhara ya kisiasa kupitia chama unachokipenda lkn sio msikitini, msikitini ni sehemu ya ibada sio sehemu ya kuwasema watu na kuzungumzia udini.
Allah akujaze hekima tunashukuru sana kama namuona sheikh ilunga
Mungu akuongoze sheikh uzidi kutufungua macho pia Mungu atupe subira sisi wa Tanzania sote ili tuishi kwa amani tuachane na uchochezi ambao unaweza ukaharibu amani yetu
Mashekhe kama hawa wazidi kujitokeza kuelimisha na kufichuwa yanayofichwa. Na Mashekhe wa Uamsho tuamsheni.
WAISILAMU WANAJIAMINI NA IMANI YAO, SIO WATU WA KULALAMIKA HOVYO
Wanalalamika sana oh mfumo Kristo,kwenye safu ya viongozi waislamu wanalalamika eti wakristo wanapendelewa,eti akitawala mkristo ni shida,akitawala muislamu ni raha,haya yote ni yaashiria kuwa waislamu ji walalamikaji na wabinafsi
Walizoea enzi zile za baada ya uhuru kwa mtoto wa kasisi kupewa uwaziri wa elimu ili makusudi kuwazuia Waislamu wasiende sekondari waishie la saba.
Mashaallah jazakumllah kheir
E❤😊😊
Tuombe amani katika nchi yetu.
Shekh ukweili usemwe hadharani watoto wajifunze
Haya unayo tufundisha mbona wayasema kwenye hadhara,unapo sema kwenye umaunajifunza
Maa shaa llah
Hii nchi haya kama serikali hamna ngoja tuone mwisho wa hili ila tunataka katiba mpya na mkataba wa bandari ufutwe😢😭
Mashallah ukweli mtupu
Serikali ya awamu ya 6 sio wa udini bali ni ya upuuzi
Mnapigania dini au kuabudu? Kuabudu ipasvyo ndio lengo la dini tutakua na amani.
Mashallah
Ndio ukakubali kua mwanamke awekingozi wako kwasababu tunakwenda na wakati
Dini zimeletwa hapa afrika shehe naomba nikuulize swali mtume wetu nani
Nikujibu kwa niaba. Mtume wetu ni Muhamad, huenda hautaliewa lakini hiyo ni sawa na wale wanaotamani rais wa awamu ya sita awe mkiristo wakati ukweli ni muislam..Yaani maisha yako hivi kila kitu na wakati wake, wakati wa Magufuli ulipita leo ni wakati wa samia hatujui ajae ni nani. Kama watanzania tunakiwa kuwa flexible. Wanakosea wale wanaosema bora ya utawala wa magufuli, au kikwete au mkapa au mwinyi au nyerere wakati zama zao zimepita..Hivyo hata sasa Muhamad amekuja baada ya Yesu naye kaja na uislam nasi tunafuata hivyo. Mtu anayesema mtume wetu awe muafrika ni sawa mtu anaesema anatamani mama yake awe rais badala ya samia. Mambo yanaandaliwa muda mrefu. Hawa mitume waliandaliwa na Muumba toka wanazaliwa ndio maana hatujawahi kuskia makosa makosa yao tofauti na tulivyo sisi wengine. Tujifunze, tusome, na tuulize wanaojua
Nyie mashehe ndio mnaleta udini, sijawahi kuona viongozi wa dini nyingine wakiongea haya
Nchi yetu haina dini lkn Dini zilizopo Tanzania nyingi zinaingilia majukumu ya serikali.hizi dini zitatwingiza kwenye vita vikali sana.nchi nyingi Afrca chokochoko hunzia Dini .ukabila nk.mungu tusaidie ktk hili.
Mambogani hayo Sasa hii nchi ishaharibika tayari
☝♥️
Kauli hizi ni za mfarakano, bahati mbaya sana zinajitokeza kkt vipindi fulani,
Lakini ninaamini Hakuna anaeshangaa, Dunia nzima haya yapo kwa upande wa pili.
Ndio kila anapokuwa kiongozi muislamu Lazima wengine waseme Ana udini, aliambiwa Mwinyi, Kikwete na Sasa Raisi Samia. wanasema Ana udini kwa sababu anavaa hijabu; ni ujinga mtupu.
Hatushangai na maneno yenu.Sisi Mtume wetu ashatutahdharisha na madui zetu.Amewataja kwa majina. Hatubabaiki na mavumbo.
Hawatakubali mpaka tufate dini yao NA usimwamini yeyote yule hata aki fanya wema kwako itabaki moyo wake sio nzuri tahathari NA watu hao NA sio kitu ukafanya uwma nao NA kumtembelea jirani wako mkristu kwa sababu mtume wetu alikua anaingia kwao NA kutembelea wagonjwa wayahudi NA kula kwao huo mtume anawaomba kusilimu ili awaokowe moto akhera maana asio taamka shahada mambo yake mabaya habib mohamed
Kuzunguzia dini na kuiunganisha na serikali ni upumbavu. Kila mtu asali anakotaka.
Sisi tulikuwa tunajua samia ni kiongozi wa wtanzania sikujua ila waislamu wamemgeuza kuwa wakwao
💯🤲🙏
Bweka tu nyingi hamtusimbui
kumbe mmesha jijua kuwa dini ya kupigana na kupalulana siyo din sindio nyinyi hao ugaidi
Ushenzi ni tabia pia
wazeewetu wakiislaam walipigana na ukoloni halisi sisi wajukuu hatuwezi shindwa pigana na makombo ya ukoloni
Gaidi mmoja hilo
Una ugomvi gani na warioba? Sheikh mziwanda umesoma mpaka darasa la ngapi?
Hamna kitu Apo unamuonea Elimu apate wapi siunaona ana lopoka
unachojaribu kuongea nikuamsha udini Zaid utamalaki katk nchi
huo udini unakusaidia Nini Sasa
ninyi mnabishana. wenzenu wananyonya rasilimali. ajabu sana africa
Tuvumiliane tutafika, Msameheni tu yaishe
Waislamu mukishika Quran kwa mikono miwili hakuna adui atawaweza
Waislam wapo na Viongozi wa Wanafiki akina Abdullah bin Ubay, Kiongozi wa Wanafiki zama za Mtume Muhammad (SAW) pia wapo.
@@khatibal-zinjibari6956 Inna ba'ada dhana ithmuun.Uwe na hakika unalosema. Kila unalosema na kuandika utaulizwa
@mohammadabdallah8711 Allah ameteremsha Surah kukhusu Wanafiki ingawa jina la Abdullah bin Ubayy halikutajwa. Na Mtume Muhammad (SAW) ameeleza sifa tatu za Wanafiki.
Baadhi ya viongozi wetu wanakubaliana na Wazanzibari lakini wakifika Dodoma. wanaufata mkia.
Mambo haya yanafanyika kupalilia huu udini,kwa faida ya nani?mbona Rais ana vyombo vyake vya kumtetea?
Hizi mada zilikuwa hazipo kipindi cha magu kikwete zilikuwepo samia zipo tatzo nini🤣🤣🤣🤣
Sababu Waislamu ni wastahmilifu.Watu wa amani.
ukweli unauma
Walikuwa wa dini
magu aliongoza kuwaweka masheikh ndani kwa kesi za kubambikiza lakini waislamu walikaa kimya
Utazoea Rais Muislamu.
Mmeanza mambo yenu! Kwa mwinyi, Kwa kikwe, naona mmeanza na Kwa huyu mama!
Ndivyo mlivyo mnaanza tukijibu mnatuona wabaya
Wivu mbaya
Tatizo mnaanza kupiga kelele kabla hamjajua kwa nini amesema hivo, kamuulize awape majibu kwa nini kasema hivo,unaweza ukakuta umeongea mambo tofauti, wewe kama kiongozi wa Dini ulipashwa umuulize ana maana gani?akishindwa kujibu basi kalaumu, hayo maneno ya uchochezi hata Mwalimu enzi zake aliwahi kuulizwa eti anabagua Waisilam katika balaza la mawazili wake, aliwajibu kwa husahihi kabisa na wakaishia kunyamaza, kwa hiyo hivi vituko havijaanza leo.
Hukiweka mizani sawa razima waseme wanaonewa wamezoea kujiona wapo juu
Iko haja kusensa watu kwadini ili idadi nikupe mgawanyo wa nafasi. Kama wakiristo watakuwa 70% basi wape kawa idadi yao na waislam wAkiwa 70% nao wape kwa idadi yao. Itakuwa tiba labda.
Nimaoni yangu tu. Tupendane jaman mapishi mfupi tu haya.
HILO JIZEE KUNA WAKATI MAKONDA ALIMTANDIKA MAKOFI YA KUTOSHA!!ANAZEEKA NA CHUKI ZINAMSONGA!!
@hamzakimaro3764.Makonda ndiye yule Paul Makonda aliyekuwa Regional Commissioner wa Dar es Salaam?
Kila kipindi Cha uongozi wa kiisilamu, haya matatizo yanajitokeza.
Sasa waislam wanapambana na nani?waislam adui yao ni Dini yao wenyewe hawana uwezo wa kujenga hoja za msingi kwenye mambo ya mkataba wa bandari kwasababu Rais ni mwislamu wanaleta hoja bila kuuchambua mapungufu ya mkataba
E MUNGU muumba mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana naomba umpe hekima kiongozi wetu wa inchi hii suruhu hassani na wasaidizi wake, ili amani ya inchi hii isitoweke, AMINA.
Nyinyi chokoreni Islam 2 Mara wanakula nyama za nguruwe Mar a hijabu mnashindwa na Siasa Mnaingilia.waislamu.
Sheikh mziwanda si kila kazi inafanyika kidini, hivi unapo wahesabu wafanya kazi na dini zao unatafuta nini? Sijaijua elimu yako na kama unayo kajaribu kugombea udiwani kwenu ila najua ubunge huwezi kuupata huna sifa.
IV umemuelewa vzuli alicho kichambua Apo ama walioba ndio alio toa kauli kua awamu yasasa nchi inaendeshwa kiudini nae ndio anajalimu kuwelewesha walioba kosalake nn uyo Shee alikuambia anataka kugombea udiwani pia nikuku mbushe udiwani ubunge aunaelimu kiongoz Kama ulikua ajui
Yaani huyu mpuuzi sana! Ujinga ujinga tu anaongea hapa!
Sheikh unazungumza ukweli mtupu Allah akubariki, hao wanaolalamika wanna ugonjwa hatari waliouzoea wa kudhulumu,. ..... Mungu atawaumbua tuu,....Rais Samia endelea kuvaa hijabu yako achana na maneno ya wajinga
Wenzetu ukitaka kubalance mambo wao wanaona wanapunjwa walisha zoea wao kuwa zaidi kila jambo linamwisho jamani. Tunaingia maofisini wakati mwingine ofisi nzima ni wao tu na hali hiyo bado ipo. Sababu eti elimu je sasaivi kuna mtu hajasoma?
Wanataka muendelee kupara samaki feri na kubeba mizigo kariakoo, au muwe wakata viuno kama Daimond, ila kazi za maofisini wapumzike wao tu.
Ila bado songombingo zote hizo bado waislamu sisi ni matajiri kuliko wao, kila wakifurukuta lazima watumie bidhaa zetu.
Namba moja wa kwanza mimi hapa Muislamu tajiri, natania tu..... wa pili baharesa, Mo Dewji na kuendelea.
@@Sheba4651 pamoja na yote wakiristo walio wengi wanapesa kuliko waislamu mana waislamu uliowataja ni wachache sana 50 hawafiki na wengi wao wana asili ya uarabuni au India lkn matajiri wakristo kalibia wote ni wa Tanzania Halisi na hii yote shukuruni wazungu kufukuzwa na serikali ya awamu ya kwanza halafu warabu hawakufukuzwa hilo ndio unafanya muonekane waislamu wale wa asili ya kigeni wanapesa... , kama wazungu wasinge ondoshwa matajiri wakubwa wakubwa Tanzania wangekuwa wakiristo
@@Sheba4651 mshamba shoga tu una mavi tu
@@ramadhanmahongole9293 Ni kweli wakristo mmoja mmoja wana hela, kwa sababu wao uchumi wao hata madanguro, baa wanafanya, hata uchangudoa si tatizo pia, sasa msiwe na hela vipi. Kwenye Uislamu biashara za dhambi ni marufuku.
MATHAYO 21:31 ......... Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu
@@johnsulle4679 Duh! Mimi na wewe nani mshamba?
dini zenyewe tumeletewa. TU lakin kabla huajawa na hiyo dini nibinaramu kwanzaaa
din inaweza sio huo uisilam Wala ukristo. din ilo njema. nikutenda haki nakutendeana. haki baina yetu wenyewe
Sheh kuanamambo yakuongea msikitini haponisehemya yamungu, sheh unajua waislam hawakusoma achanana mambo hayo
@@josephkalegea5187 Algebra lilianzishwa na Muislam. Pendulum ya saa ilianshishwana Muislam na walianza Chuo Kikuu cha Mwanzo duniani seuza Timbuktu University na Zanzibar Muslim Academy ilianzishwa na Waislam.
@levidavid1156Dini ya Mwanzo na ya Haki ni ISLAM kwa mujibu wa Qur'an. Biblia halikutaja Dini ya UKIRISTO.
@levidavid Kama dini ilo njema ni kutenda haki, mbona kuna kundi linataka waislamu daima wawe duni kimaisha, kama ni kazi labda iwe kama ya Daimond kukata kiuno tu.
Wanataka waislamu wawe wapara samaki tu, ndio kutenda haki huko? Huyo mungu wao wa aina gani asiyependelea wanadamu wote waishi maisha ya furaha.
@@khatibal-zinjibari6956 Kama unaelewa vitabu vizuri, hadithi za mtume Qur'an na Biblia vyote vinataja dini ya ukristo.
Wewe mwehu unaongea nini umekuwa mwarabu toka lini,?
Yani huyu shehe huwa namshangaa? Warioba nilimsikiliza mbona hakuongea kwa mantiki hii ambayo wewe shehe unazungumzia? Naiona nia yako ovu ya kupanda mbegu ya udini kwenye nchi yetu lkn hutafanikiwa hata kidogo, Nchi hii inalindwa na Mungu mwenyewe hivyo polojo zako za udini hazitapenya kwenye nchi. Huku mtaani wakristo kwa waislamu tunafurahiana na tunakula pamoja hayo mambo yenu ya siasa ya kutuchafuliana amani tupa kule huna hata aibu.
Shehe unachokifanya ni huchochezi sio unakemea.
Sheikh anafuata fundisho la Mtume Muhammad (pbuh) alivyowaambia Waislam:
"MSIDHULUMU WALA MSIDHULUMIWE"
Waislam wa Tanganyika wameanza kudhulumiwa 1961 mpaka sasa.
Na Waislam wa Zanzibar wameanza kudhulumiwa 1964 mpaka sasa.
Weye vitalis mjnga
@vitalismmasy2308.Sheikh Ilunga Hassan alilalamika kuwa:
"KANISA LINA NGUVU KULIKO SERIKALI"
Na Paul Makonda alisema yafuatayo:
"Taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania liko Mikononi mwa Kanisa.
Uimara wa Kanisa ni Uimara wa Taifa.
Kama Taifa halitakuwa Imara basi Kanisa pia haliko Imara.
Kanisa kama Limesahau Wajibu Wake basi hata Viongozi Watasahau Wajibu Wao."
PAUL MAKONDA
SI uchochezi ngoja alate Hondo mjinga Huyo ubaguzi Gani mama ameleta kama haugui kichwa huyo
Askofu Huyo ndio ulikua uwezo wake wa kufikiria
Huyo aliosema awamu ya sita ni yaudini alizungumzia kanisani au nikiongozi wa dini co sawa hayo maneno hayatusaidii kabisa
Kiongozi hizo takwimu ni Tanzania au ni Bara? Kama ni za bara naomba pia utoe takwimu za Zanziba viongozi wakuu kati ya wakristo na waislam
Hijabu ni stara sio dini