Vionjo vya game wakati Yanga ikiwaadhibu Iringa United

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 12. 2019
  • Vionjo vya mechi ambayo Yanga walionyesha umahiri wao kuwazidi vijana kutoka nyanda za juu kusini Iringa United. Magoli kibaoo!
    ASFC - 21/12/2019

Komentáře • 52

  • @deavistz5162
    @deavistz5162 Před 4 lety +5

    Kama unamkubali moringa gonga like twende sawa

  • @suzanmgaya4323
    @suzanmgaya4323 Před 4 lety +1

    Mungu ibariki yanga African

  • @johnriver3078
    @johnriver3078 Před 4 lety +7

    Kama una amini hizo level za yanga like hApa

  • @dreambutterfly244
    @dreambutterfly244 Před 4 lety +4

    Waja wasio na jema utasikia ooh mmewaonea ohhh hamna kitu hapo mtajiju moto tushauwasha mpooooo

  • @regiuscloud5678
    @regiuscloud5678 Před 4 lety +2

    Yangaaaaaa 💪💪💪💪💪

  • @ickiimontana6242
    @ickiimontana6242 Před 4 lety +1

    Anakwenda sasa eeeh molinga molinga molingaaaa ayayayyaaaa umesikia hyo

  • @nasrasuleiman2552
    @nasrasuleiman2552 Před 4 lety +6

    We mtangazaji ulitaman tufungwe nn et iringa 2

  • @chrislikalagala480
    @chrislikalagala480 Před 4 lety +1

    woow

  • @ickiimontana6242
    @ickiimontana6242 Před 4 lety +1

    Tunachambua mpaka goli lenyewe

  • @daudiminde8596
    @daudiminde8596 Před 4 lety +1

    Mumeweka na ile season ya nyuki kabla sijafika mpka mwishk

  • @edydio3556
    @edydio3556 Před 4 lety +8

    Ole wenu viongozi wa yanga mumkose naodha wa UD songo mashabiki hatuto waelewa kabissa (jose miquissone

  • @abdulrazakallymbano8231
    @abdulrazakallymbano8231 Před 4 lety +1

    game ndogo tu yanga mnaleta mpaka nyuki

  • @bonifasgervas3777
    @bonifasgervas3777 Před 4 lety +1

    Naniamesikia mtangazaji iringa mbili yanga bila

  • @samoy5481
    @samoy5481 Před 4 lety +1

    Nan mwingine kamuona dante kwa jukwaaa

  • @abelmunuo3677
    @abelmunuo3677 Před 4 lety +1

    Magoli gani ayo ata paka ukimueka apo.anafunga

    • @dreambutterfly244
      @dreambutterfly244 Před 4 lety +1

      😃😃😃😃😃kukwerwa hakuna paswade dear mngekua nyie mngesifia mpaka mwakani tushawajua hamtupi presha mlikua zamani enz za Zahera saivi pole

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 Před 4 lety

    Simba acheni uhasidi mbona nyinyi mlifungwa na mashujaa ya Kigoma ? yanga chama kubwa ndio maana tumetoa Doz

  • @mansourlikamba6289
    @mansourlikamba6289 Před 4 lety +4

    Mtani hata ukileta nyuki kipigo kipo palepale tar 4/12

    • @edgarndoleki7639
      @edgarndoleki7639 Před 4 lety

      Ahaaaaaa

    • @edgarndoleki7639
      @edgarndoleki7639 Před 4 lety

      Kwan unateseka

    • @dreambutterfly244
      @dreambutterfly244 Před 4 lety

      Vyenye mlishajipa matokeo hongereni dk ndo tutjua hamtaamini hata wachawi wanafiwa😅😅😅😅😅

    • @lissarichard1220
      @lissarichard1220 Před 4 lety

      @@dreambutterfly244 😂😂😂kwel kbx walipo wanaona tayar wamexhind hawajui mpira dkk90

    • @dreambutterfly244
      @dreambutterfly244 Před 4 lety +1

      @@lissarichard1220 waache dear washasahau kama akina nionzima nchimbi Makame Fei toto na akina balama hawkucheza jana na tumeshinda tulia kikubwa uzima

  • @douglashaule5546
    @douglashaule5546 Před 4 lety +2

    Kama unamkubali anko dondosha apa

  • @egbertmichael3845
    @egbertmichael3845 Před 4 lety +4

    Kama umeski mtangazaji ansema iringa mbili yanga ziro gonga like

  • @omarymkapanda2518
    @omarymkapanda2518 Před 4 lety +1

    Dadeq tunawaomba tena trh 04 hao nyuki wambane 'kagere' tyu

  • @mkudemisoti
    @mkudemisoti Před 4 lety

    LAANA YA KUPELEKA 200,000/- KATIKA MSIBAWA MZEE AKILIMALI

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 Před 4 lety

    Simba kama mabush star

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před 4 lety +2

    et wajipima ubavu na iringa alafu ukutane na simba si maajabu

    • @edgarndoleki7639
      @edgarndoleki7639 Před 4 lety

      Kwan wew mashindano haya unashiriki au haupo

    • @africanboy6921
      @africanboy6921 Před 4 lety

      Makosa yenu mtakuja kuyajutia

    • @iringadc2099
      @iringadc2099 Před 4 lety

      Maneno ya nini mbona amuna kitu

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety

      Unafanya mazoezi ya kumkimbia swala mwituni halafu unaenda kupambana na simba si ajabu hii fanya mazoezi ya kumshinda chui ndipo upambane na simba ndipo ushangilie kwa bidii jamani tafuteni timu bora za kufanya nazo mazoezi acheni kuchagua timu mwanzo mtafurahia lakini badae italeta shida fanyeni utafiti wa maana kwa hili Ahsanteni sana

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety

      @@robertterry8909 haaahaaaaahaaaa Asante Sana kwa kuniita boya nimefurahi sana ila Katina mtazamo inaweza ikawa