@@lissarichard1220 waache dear washasahau kama akina nionzima nchimbi Makame Fei toto na akina balama hawkucheza jana na tumeshinda tulia kikubwa uzima
Unafanya mazoezi ya kumkimbia swala mwituni halafu unaenda kupambana na simba si ajabu hii fanya mazoezi ya kumshinda chui ndipo upambane na simba ndipo ushangilie kwa bidii jamani tafuteni timu bora za kufanya nazo mazoezi acheni kuchagua timu mwanzo mtafurahia lakini badae italeta shida fanyeni utafiti wa maana kwa hili Ahsanteni sana
Kama unamkubali moringa gonga like twende sawa
Mungu ibariki yanga African
Kama una amini hizo level za yanga like hApa
Waja wasio na jema utasikia ooh mmewaonea ohhh hamna kitu hapo mtajiju moto tushauwasha mpooooo
Yangaaaaaa 💪💪💪💪💪
Anakwenda sasa eeeh molinga molinga molingaaaa ayayayyaaaa umesikia hyo
We mtangazaji ulitaman tufungwe nn et iringa 2
Nasra wll maxatiri bal noomacnee wll
Mtangazaji hakukosea alimaanisha kona mbili kwa bila mue mnasikiliza
@@paulinamziray7116 anafel mtangazaj
woow
Tunachambua mpaka goli lenyewe
Mumeweka na ile season ya nyuki kabla sijafika mpka mwishk
Ole wenu viongozi wa yanga mumkose naodha wa UD songo mashabiki hatuto waelewa kabissa (jose miquissone
edy dio siku tukikutana na mikia au
Umetowa hela tushuku had hapo tulipo fika
Kasign simba
Yeah tukimpata ni raha sana
game ndogo tu yanga mnaleta mpaka nyuki
Naniamesikia mtangazaji iringa mbili yanga bila
Nan mwingine kamuona dante kwa jukwaaa
Magoli gani ayo ata paka ukimueka apo.anafunga
😃😃😃😃😃kukwerwa hakuna paswade dear mngekua nyie mngesifia mpaka mwakani tushawajua hamtupi presha mlikua zamani enz za Zahera saivi pole
Simba acheni uhasidi mbona nyinyi mlifungwa na mashujaa ya Kigoma ? yanga chama kubwa ndio maana tumetoa Doz
Mtani hata ukileta nyuki kipigo kipo palepale tar 4/12
Ahaaaaaa
Kwan unateseka
Vyenye mlishajipa matokeo hongereni dk ndo tutjua hamtaamini hata wachawi wanafiwa😅😅😅😅😅
@@dreambutterfly244 😂😂😂kwel kbx walipo wanaona tayar wamexhind hawajui mpira dkk90
@@lissarichard1220 waache dear washasahau kama akina nionzima nchimbi Makame Fei toto na akina balama hawkucheza jana na tumeshinda tulia kikubwa uzima
Kama unamkubali anko dondosha apa
Kama umeski mtangazaji ansema iringa mbili yanga ziro gonga like
Dadeq tunawaomba tena trh 04 hao nyuki wambane 'kagere' tyu
😆😆😆😆😆😆umeonaeee
@@dreambutterfly244 👍🏻
Itapendeza zaidi
@@prochesjustine3488 👍🏻
LAANA YA KUPELEKA 200,000/- KATIKA MSIBAWA MZEE AKILIMALI
Simba kama mabush star
nyinyi yangamapimbikwiri kuifunga iringa mnafuraia aaaaaa
Haha
et wajipima ubavu na iringa alafu ukutane na simba si maajabu
Kwan wew mashindano haya unashiriki au haupo
Makosa yenu mtakuja kuyajutia
Maneno ya nini mbona amuna kitu
Unafanya mazoezi ya kumkimbia swala mwituni halafu unaenda kupambana na simba si ajabu hii fanya mazoezi ya kumshinda chui ndipo upambane na simba ndipo ushangilie kwa bidii jamani tafuteni timu bora za kufanya nazo mazoezi acheni kuchagua timu mwanzo mtafurahia lakini badae italeta shida fanyeni utafiti wa maana kwa hili Ahsanteni sana
@@robertterry8909 haaahaaaaahaaaa Asante Sana kwa kuniita boya nimefurahi sana ila Katina mtazamo inaweza ikawa