Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Mashallah tabarakallah very nice
Mashaallah my i like it's 🥰😘😘🥰🥰
Easy to follow and great outcome .. Asante sana 💕
Mashallah nitajaribuu dear ahsantee kwa SoMo zuri
Upo vizuri sana.
Recipe nzuri sana
😊mashallah
I ❤ this reasipe 😊😘😘😘
❤ mashallah sister ❤😊
I like ur steps
Nice recipe
Nimeipenda sn
Nice ❤❤❤❤
Shukrani dear
Shukrani dia ❤
Napenda video lakini translate in English. You are a good teacher. Very simple explanation
❤
Ukizipata na swaum hii jioni😋
Acha maneno😋😋
Vp mbon haujawek mafuta?
Shukran sana kwa somo zur Nitajarib weekend hii inshallah, maana zangu nikipika huwa zinajaa mafuta
usiache kunipa feedback 🥰
i must start this business
💪💪💪
Asante mpenz kwa maujuz, lazima nifanye hii
Karibu dear
Nimependa pishi hilo dear
je vy kupika nasukar ikiw imechnganywa ndanii inakuwaj
Thanks dear
nice❤
kama nina sukari nyeupe inafaa kutengeneza shila
bakiing powdar so lazima kuweka
Chapa mandazi utumia
Naswal kwn haiwekwi sukar
Ningeomba kujua huu upishi wa kaimati wacha niwe macho
Sukari unaweza muda gani
Ahsante lkn karai mbona imejaa kutu 😢
Asante kwa somo zuri dear! Hamira ya chenga inasaidia nini?
Kuumua dear
Mafuta mbon sikuona hutumii
Ni nzuri sana naenda kuipika SS hivi ila mm Sina vanila
Sio lazima vanilla weka hiliki au uwache kama hauna pika hivyohivyo
@@mziwandabakers8297 ....vinnila vipi?
Leo nimefanya kaimati kupitia guidelines zako lakini baada ya muda Sukari ikaanza kutoka ikawa imelowa nimekosea wapi my dear thanks
Hongera sana hakikisha unaipika shira vizuri
Hi Mimi ni Janet swali langu mbona kaimati zangu ziko na unga mwingi ndani nifanye nini?
Unga upatie muda wa kuumuka
Asante s*
What is hiliki??
Cardamom spice
Jamai Shira inavutika ntakuwa nimekosea wapi
Umeiacha sn jikon dear
Samahani icho kikombe cha unga ni cha gram 250 au 500
250
Kama ni unga kilo1 hamira kiasi gan?
Kidude kimoja chote
@@mamahamisi6690 Asante mamy
Kama cna iliki inafaa tu au?
I think si lazima
vanilla inapatikana wapi sister
Maduka ya vyakula...
Au maduka ya viungo viungo vya chakulaa
Mashallah tabarakallah very nice
Mashaallah my i like it's 🥰😘😘🥰🥰
Easy to follow and great outcome .. Asante sana 💕
Mashallah nitajaribuu dear ahsantee kwa SoMo zuri
Upo vizuri sana.
Recipe nzuri sana
😊mashallah
I ❤ this reasipe 😊😘😘😘
❤ mashallah sister ❤😊
I like ur steps
Nice recipe
Nimeipenda sn
Nice ❤❤❤❤
Shukrani dear
Shukrani dia ❤
Napenda video lakini translate in English. You are a good teacher. Very simple explanation
❤
❤
Ukizipata na swaum hii jioni😋
Acha maneno😋😋
Vp mbon haujawek mafuta?
Shukran sana kwa somo zur Nitajarib weekend hii inshallah, maana zangu nikipika huwa zinajaa mafuta
usiache kunipa feedback 🥰
i must start this business
💪💪💪
Asante mpenz kwa maujuz, lazima nifanye hii
Karibu dear
Nimependa pishi hilo dear
je vy kupika nasukar ikiw imechnganywa ndanii inakuwaj
Thanks dear
nice❤
kama nina sukari nyeupe inafaa kutengeneza shila
bakiing powdar so lazima kuweka
Chapa mandazi utumia
Naswal kwn haiwekwi sukar
Ningeomba kujua huu upishi wa kaimati wacha niwe macho
Sukari unaweza muda gani
Ahsante lkn karai mbona imejaa kutu 😢
Asante kwa somo zuri dear! Hamira ya chenga inasaidia nini?
Kuumua dear
Mafuta mbon sikuona hutumii
Ni nzuri sana naenda kuipika SS hivi ila mm Sina vanila
Sio lazima vanilla weka hiliki au uwache kama hauna pika hivyohivyo
@@mziwandabakers8297 ....vinnila vipi?
Leo nimefanya kaimati kupitia guidelines zako lakini baada ya muda Sukari ikaanza kutoka ikawa imelowa nimekosea wapi my dear thanks
Hongera sana hakikisha unaipika shira vizuri
Hi Mimi ni Janet swali langu mbona kaimati zangu ziko na unga mwingi ndani nifanye nini?
Unga upatie muda wa kuumuka
Asante s*
What is hiliki??
Cardamom spice
Jamai Shira inavutika ntakuwa nimekosea wapi
Umeiacha sn jikon dear
Samahani icho kikombe cha unga ni cha gram 250 au 500
250
Kama ni unga kilo1 hamira kiasi gan?
Kidude kimoja chote
@@mamahamisi6690 Asante mamy
Kama cna iliki inafaa tu au?
I think si lazima
vanilla inapatikana wapi sister
Maduka ya vyakula...
Au maduka ya viungo viungo vya chakulaa
Nimeipenda sn