UTASHANGAA TAZAMA MUONEKANO HUU MPYA WA NGORONGORO BAADA YA WAMASAI KUHAMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 2

  • @simonkipondo1453
    @simonkipondo1453 Před rokem

    Huku msomera mnao leta watu maisha ni magumu hakuna malisho. Kuwepo Kwa umeme shule kituo Cha afya na maji siyo tatizo, ila tatizo ni kwamba ule ufugaji walio kuwa nayo wataendelea kuwa nayo? Jibu ni hapana Kwa maana Mimi ni mkazi wa msomera na sasahivi tumeanza kuteseka hakuna malisho eneo limejengwa kiholela kila Kona ni nyumba na shamba, mi ningependekeza badala ya kuitwa eneo la wafugaji serkali waseme eneo la mpango mji na mashamba ili kama kuna wananchi waishio ngorongoro watakubali Kwa hiari kuja mpango mji na mashamba iwe ni hiari Yao, msiwadanganye watu kwamba kuna eneo la kufugia ng'ombe huku msomera hakuna limeisha