MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WA NGORONGORO "HAPA NI PAZURI SANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 115

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma4522 Před 2 lety +2

    Daah kuzuri sana, well done serikali kwa kweli, mi naona bora mana kule ngorongoro na wanyama wakali na wao na vijumba vile si hatari jamani bora hapo

  • @princeemanuel5347
    @princeemanuel5347 Před 2 lety +1

    Hongereni sana wamasai walioamua kuhama.
    Hongera sana Serikali

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Před 2 lety

    Kwa zoezi hili naipongeza Sana serikali ! Hongera serikali kazi nzuri sana

  • @nazarethally9509
    @nazarethally9509 Před 2 lety +3

    Huyu ni mmasai original kabisa tatizo munataka kila mmasai atoboe sikio ndo muamini hamtaki wamasai wapate maendeleo acheni wahamie kwenye nyumba Bora maisha yanabadilika wataishi porini mpaka lini

  • @AfricabeyondtheLimits
    @AfricabeyondtheLimits Před 2 lety +6

    hapa tumepigwaa😀🤣🤣mama kashauza nchi kwa waarabu

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 Před 2 lety +12

    Kweli na vitambi vyenu kweli nyie ni wamasai wa Ngorongoro!!!

    • @petersilas4234
      @petersilas4234 Před 2 lety +1

      Hawa ni wamasai halisi wa Tanzania, sio wale wanaozungumza kiingereza kule Nairobi.

  • @LUSOMYA
    @LUSOMYA Před 2 lety +6

    Wanahitaji maeneo ya malisho ...najua wakija hapo handeni lazima watapigana na wakulima maeneo ya jirano

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před 2 lety +1

    Nipaziri mashaallh bora wakubali wahame wote

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Před 2 lety +6

    Ni heri kuhama kwa hiar bila kushurutishwa hawa waliokubali kuhama kwa hiari wamehitambua sana maana kuamishwa kinguvu sio poa na wanao sema sio wamasai wa Ngorongoro muache kukalili maisha wamasai washabadilika wamesomesha watoto zao na wanaenda kwa wakat hata km bado wako na mila zao

  • @lemayanelisha9867
    @lemayanelisha9867 Před 2 lety

    Usanii huu! Hapa tumepigwa

  • @kiswantatv3817
    @kiswantatv3817 Před 2 lety +5

    Lakini masai ahitaji nyumba ya kisasa

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 2 lety

      Alaa unataka kusema kuwa LOWASA si MMASAI😅

  • @muhulamayenga462
    @muhulamayenga462 Před 2 lety

    Hapan sio wa ngorongoro

  • @baydaabel1974
    @baydaabel1974 Před 2 lety +1

    safi sana hameni wote wataishi porini mpaka lini?

  • @lekishonmolele1921
    @lekishonmolele1921 Před 2 lety

    Nyie mungu hanawaona nyinyi toeni tu uongo

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před 2 lety +3

    Sawa! Lakin unakuta mtu alikuwa na wake wanne na watoto 20 je hicho kinyumba kitatosha? Kwa nn serikali isingechukua idadi ya Kila kaya Ina idadi ya watu wangap ndipo iaandae makazi? Serikali mmejenga nyumba kiholela bila kujali uhalisia wa idadi ya waliomo ndan ya kaya moja

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih2815 Před 2 lety

    hongera mamaa samia

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před 2 lety +2

    Wamasai wakiama wataalibu utamaduni wao

  • @allyfarahani3029
    @allyfarahani3029 Před 2 lety

    Mbona hao wanaohojiwa kama vile ni wa mchongo kama Vipi Watoe mashuka hayo tuone uhalisia wao kimuonekano 😂😂😂

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 2 lety +1

    Safi sana

  • @mariomsenga
    @mariomsenga Před 2 lety

    Jaman huyo anae ongea sio masai

  • @jolojist929
    @jolojist929 Před 2 lety

    Huyu sio masai

  • @immaculataroeser9094
    @immaculataroeser9094 Před 2 lety +1

    Wangetanua hifadhi ya wanyama hapo ningewasifu ,lakini kumbe mnauza it's horroble .l get sick with it.

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před 2 lety +2

    Masai Moja ana wake 6 na zaidi watakaaje Wawa ulize kila Moja wamjengee na wake zake slio kuwa nao

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety

      Sasa hzo mila za kuoa wake wengi ndo zinaenda kupotea watapata elimu bora Yan wataachana na yale maisha waliyoyazoea Zaman! Kuozesha watt humr mdogo + kukeketa! Vyote vtapungua inshallah

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 Před 2 lety +3

    In such???😃😃😃😃hawa ndo wangorongoro kweli??

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před 2 lety +1

    Viongoz wetu si wazalendo

  • @omaryteddy62
    @omaryteddy62 Před 2 lety

    Ase masi una saa mbona una kacha ndiyo mana unatamani kuamia

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson3257 Před 2 lety

    Huyu sio masai kabisa

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 Před 2 lety +1

    Huyu siyo mmasai

  • @pendaelistanley1240
    @pendaelistanley1240 Před 2 lety

    Aosio wamasai

  • @lekishonmolele1921
    @lekishonmolele1921 Před 2 lety

    Hawa sio wamasai bali niwagosi tu hii nikifumba macho tu ya serikali

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 2 lety +1

    Yaani ningekua Ngorongoro nisengeacha hii bahati

  • @kayangismaili9946
    @kayangismaili9946 Před 2 lety

    Ww sio masai

  • @josephfrank6080
    @josephfrank6080 Před 2 lety

    Na hpo watahamishwa tena ... season... inaendelea...,:;:!!

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před 2 lety +1

    Huyo masai wakwanza sio masai ni wa mchongo tu hata kiswahili chake hakina rafudhi ya kimasai

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 Před 2 lety

      Kumbuka Kuna Wamasai wengne n wasomi so ile lafdh OG y kimasai huwa inaondoka ! So don't judge a book by its cover

  • @hassanhamudy982
    @hassanhamudy982 Před 2 lety +2

    Jamaa wakwanza namfaam ni maasai pure nimefika mpaka kwao na amesoma sheria....in such jamaa kafanya maamuzi mazuri xana

    • @twahathomas3514
      @twahathomas3514 Před 2 lety

      Kafanya maamuzi kweli anapiga hela taratibu ila vilevile huwa haishi ngorongoro so alishahama zamani

  • @barakalowasa9736
    @barakalowasa9736 Před 2 lety +3

    Wakora nyie iyo kiswahili imekuusa siyo. Ya kimaasai

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před 2 lety

    Kwani huyu anayehojiwa ni mmasai kweli?? 🙌🙌

    • @jonathanakhabuhaya1693
      @jonathanakhabuhaya1693 Před 2 lety

      Na mimi sidhani kama ni Mmasai.Na kama si Mmasai, basi amejitwisha dhambi ambayo siyo yake.

  • @apple9711
    @apple9711 Před 2 lety +2

    Hao siyo wamasai ni waswahili TU

  • @frankezakayo4447
    @frankezakayo4447 Před 2 lety

    Masai kikosi kaz

  • @taikolemayian8848
    @taikolemayian8848 Před 2 lety

    Nonsense

  • @johnzacharia6892
    @johnzacharia6892 Před 2 lety +1

    hapa serikali ime pigwa, hamna masai hapo mtu anaongea kama mzaramo

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před 2 lety +1

    Muelewe wafugaji waliokuwa wanaishi ngorongoro sio wamasai tu"hata warangi ni wafugaji pia"kuna wamburu nao wanavaa mashuka kama wamasai

  • @lokeredavid9754
    @lokeredavid9754 Před 2 lety

    Hawa ni wabantu sio masaai bure kabisa Tanzania

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 2 lety

    Hawa ndiyo wamasai wa Tanzania, sio wale wanaozungumza kiingereza kule Nairobi.

  • @taikolemayian8848
    @taikolemayian8848 Před 2 lety +1

    Ngombe la mbuzi ya familia 70,000 zitapata malisho wapi?

  • @thomaslali705
    @thomaslali705 Před 2 lety

    Kujaribu kumuhamisha mmasai kutoka eneo lake la asili ni kujaribu kubadili utamaduni wake kwa Hila za wasio wakweli juu ya ngororo.

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 Před 2 lety

    🥰

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 Před 2 lety

    Pazuri ila wahusika ndio wanaweza kutuambia

  • @raiderking4637
    @raiderking4637 Před 2 lety

    Wananchi watanzania hawajui kupinga

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 Před 2 lety

    Wamasai sikuizi niwanene

  • @Sahra3718
    @Sahra3718 Před 2 lety

    Warabu ndio walileta huo ujinga kwasababu hawashib kunyakua....

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 Před 2 lety

    Sasa ivi kunauwezekano kabisa wamasai kuolewa na watu wasio Wa masai na waokuoa wasio wamasai Dunia ni kijiji masai hawezi kupambana na wakati tena.nilazima achane na mila zilizopitwa na wakati

  • @ngusadisala2746
    @ngusadisala2746 Před 2 lety +1

    Uongo mkubwa huoni Kama wameuza eneo utawezaje kumjengea mwananchi nyumba Kama siyo uongo.unajua mahitaji ya kila familia dawa ya nchi hii ni Vita ndipo viongozi wataona faida yao haswa huyu mama

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 Před 2 lety

    Mbona haongei kiswaili cha kimasai?

  • @Melodicasd257
    @Melodicasd257 Před 2 lety +1

    Ibindi hano
    Vinavyofuata hapa
    czcams.com/video/keY6REgfpUc/video.html
    czcams.com/video/keY6REgfpUc/video.html
    I

  • @yohanamoikan7709
    @yohanamoikan7709 Před 2 lety

    Rais ashauza nchi

  • @immaculataroeser9094
    @immaculataroeser9094 Před 2 lety +2

    Kwendeni huko mnauza nchi tena kwa vikaragosi waarabu inasikitisha!

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Před 2 lety

      Wewe unawaona waarabu hawana shida na nchi yenu vikaragosi nyie mtatawaliwA na wazungu na kupora madini wamekubakishieni mashimo mzungu hata hata akitaka chochote utampa kwa kasumba zenu nenda kawaangalie waarabu wanavyo ishi hakuna ombaomba serikali zao zinawapa mishara nakuwajengea majumba wale wasioweza kufanya kazi na mshahara kila mwezi

    • @anwarabdallah1301
      @anwarabdallah1301 Před 2 lety

      Warabu sio vikaragosi maku mmoja wewe kikaragosi ni wewe unayependa kuchezewa na wazungu kunguru wewe mshono unakuasha

  • @samuellukumay5337
    @samuellukumay5337 Před 2 lety

    Acheni uzenge nyinyi ww sio masai

  • @saiguranlaurent441
    @saiguranlaurent441 Před 2 lety

    Hata mkujenga magorofa hatutoki hapa Kama mumeshauzwa semeni tuko rasi kulipia wazungu pesa zao Kama mumeshakula semeni wazi Kama Kuna muekezaji wa kizungu munamuhitaji aje ajiwekeze hata sisi watanzania tutauza ngombe zote tujiwekeze sio kutuwekea mikataba ovyo na wazungu miaka 100

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Hutaki kuama msituni

    • @twahathomas3514
      @twahathomas3514 Před 2 lety

      @@Mpakauseme na ww hutaki kuhama uswahilini a.k.a ushenzini

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Před 2 lety +2

    Mchongo huo wasiowafahamu wamasai ndiyo watadanganyika. Hakuna mmasai wa ngoro ngoro hapo.

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Kwa nini mnawabeza Wamasai wenzenu? Nyie mnaosema huyu si Massai, nyie ni Massai wenzie, mpo kwa propaganda za kukaidi matakwa ya Serikali! Sasa kwenye karne ya 21, bado mnang'ang'ania maisha duni ya Ngorongoro? Komboeni fikra, ndugu ! Mmepewa fursa, kaitumieni vizuri ! Tena mmependelewa kuliko sisi Watz wengine! Acheni hifadhi yetu iendelee, na nyie muendelee na maisha mengine!

  • @meshacklukumai4358
    @meshacklukumai4358 Před 2 lety

    huyu sio masai tunachezwa

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi9120 Před 2 lety

    Tatizo wanaotoa maelezo are not the Maasai people

  • @apple9711
    @apple9711 Před 2 lety +2

    Tafuteni chanel inayoitwa watetezi TV. HIYO NDIYO inaelezea Habari sahihi za wamasai wa ngoro ngoro

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Před 2 lety

    TUTAMKUMBUKA MAGU song lyrics video #karromia

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Před 2 lety

    Wewesio masai.wewe police

  • @marandaalfayo4505
    @marandaalfayo4505 Před 2 lety

    Hii yooote mnafanya ili tu waarabu waje kuchukua wanyama na kutengeneza hifadhi zao uarabuni wakisha fanya hivyo nani atakuja kutalii kwenye mbuga zenu.Wewe mmsxai kweli?wamasai wanataka kupreserve asilia yao hawana haja na hivyo vijumba wamasai wenyewe wana uwezo wa kujenga zaidi ya hivyo vijumba.acheni spinning hizo

  • @barakalowasa9736
    @barakalowasa9736 Před 2 lety

    Uyu sio Masai mnatudanganya wakora nyie

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 2 lety

      Issue sio kuwa Mmasai au si Mmasai bali ni wakaazi wa hifadhi ya Ngorongoro waondoke kwa hiari.

  • @ligwalambakondeo5199
    @ligwalambakondeo5199 Před 2 lety

    Mi najiuliza mahela mengi ya ghafla hivi kujengea watu wengiiiii zimepatikanaje???? Sijui kama pesa hii kama ipo ktk bajeti. Kama ipo sawa Ila kama haipo kwenye bajeti mhhhhhhhh!

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 Před 2 lety

    To be honest huyu sio mfugaji mbona kama amekodiwa hv jaman???😃😃😃😃😃anajua mpk English anasema by the way

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Nani kakwambia Wamasai hawasomi?! Wapo wengi tu ni Wasomi! Na kwa kweli, kuondoka kwenye hifadhi ya Taifa ni jambo zuri, kwa maendeleo yao, na kwa Taifa kwa ujumla ... Muhimu, wahakikishe kuwa ahadi walizopewa zimetekelezwa... Sio kwa hisani ni haki yao... Wahakikishe kuwa Miundo mbinu waliyoahidiwa imekamilika 100%!!! 😎😎😎 Vinginevyo, haina maana yoyote kuondoka Ngorongoro!

    • @mwankenjatv9330
      @mwankenjatv9330 Před 2 lety

      Mm nawaona kama sio hao hao mbona wamekodiwa na mm nipo huku ngorongoro sasa hv

    • @hassanhamudy982
      @hassanhamudy982 Před 2 lety

      Jamaa namfaam nimekaa nae mtaa mmoja na amesea sheria ni maasai pure

    • @twahathomas3514
      @twahathomas3514 Před 2 lety

      @@hassanhamudy982 ni masai pure ila si mfugaji ni muhuni tu ambaye anaishi huko mjini

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před 2 lety +1

    Masai wa mchongo..Maasai wa kweli mnawajua nyie..Acheni kuchezea watu akili..

  • @theosaimon6933
    @theosaimon6933 Před 2 lety +1

    Nikwambie tu hao ni waarusha wa mjini arusha sio wamasai wa ngorongoro? Nikwambieni tu wamasai wa ngorongoro hawawezi kukubali kuja ?? Wameona waachukue warusha ili kuwaonyesha Watu but the truth is sio wamasai hao ni.waarusha msidanganywe

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Asante Wasafi media kwa kutuonesha kinachoendelea huko Handeni! Next time, onesheni vizuri nyumba, ndani vipi, WC vipi ??? Maswali mengine, wamejenga nyumba ngapi ? Wanapanga kujenga nyumba ngapi kwenye hilo eneo ? Nimeshangaa kuona fundi wachache sana! Kama kweli hela zipo, kwa nini sioni fundi zaidi ya 500 kazini?! Nyumba hizi zitajengwa kweli? Na sio nyumba tu, hapa tunazungumzia huduma za jamii pia!!! Shule niliyoiona kule na kituo cha afya, majengo tayari ni mabovu... Hata wakiyaboresha hayatatosha kwa Wenyeji pamoja na Jamii ya Kimasai itakapohamia kule... Watoto watarundikana kama samaki darasani! Walimu watachanganyikiwa na Watoto hawatajifunza chochote! Kupata huduma za afya Watu watakuwa wanapanga mstali tangu asubuhi hadi jioni! Na Jamii hizi mbili zitaanza kuzozana! Kwa nini Serikali wasipeleke hizi huduma kama walivyoahidi mwanzoni? Kwa nini wameanza kubadilisha maneno? Ndugu zangu, kuweni makini ! Subirini kwanza kazi zote zikamilike, kama wana nia njema, miezi 2 tu inatosha! Wakiweka nguvu zote kwenye huo mradi, fundi wa kutosha, vifaa vya ujenzi, kazi zinaweza kukamilika katika miezi miwili tu!

    • @dominickjohn1128
      @dominickjohn1128 Před 2 lety +2

      Huyu ni masai namfaham nilimuacha shule sec na sasa ni mfanyakaz ngorongoro na ni mzawa wa ngorongoro asilimia mia moja'hawa ni baadhi ya waliokubali kuamia

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Makazi ni mazuri, yanapendeza mno ! Pongezi kwa Serikali! Mama ni mstaarabu, anapenda mambo mazuri ! 🌹😃😃 Lakini Watu wasikubali kuhama haraka haraka kabla mambo hayajakamilika! Kumbukeni, "Madarasa ya Mama Samia" elfu 15 yamejengwa katika miezi miwili tu! Kama waliweza hilo, kwa nini hili lisiwezekane kwa muda ule ule?! Wasitafute kisingizio cha muda! Kama badjeti ipo, basi wakajenge katika miezi miwili, hiyo inatosha ! Halafu wajenge miundo mbinu ya huduma za jamii kama walivyoahidi: SHULE na ZAHANATI (Kituo cha afya) ni muhimu sana. Ikiwezekana wajenge Soko na Kituo cha Polisi pia... Watu wakifanya kosa la kuhama haraka haraka kabla ya kila kitu kuwekwa sawa, watajuta wenyewe ! Majaliwa hawatamuona tena! Ahadi zitaishia hapo hapo! Watasahaulika! Bungeni hawatajadiliwa tena! Vyombo vya habari hawataviona tena!!!

    • @jafarikideghesho6509
      @jafarikideghesho6509 Před 2 lety

      @@j.c.maxima816 🥺😱

    • @rockcitynative9985
      @rockcitynative9985 Před 2 lety +1

      Ahaa kumbe kuna wamasai OG wa Ngorongoro ambao hawatokubali kuhama!?
      Nipe miaka mitano kama utaowaona hao unaowaita masai OG wakiiharibu Ngorongoro.

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Před 2 lety +2

    Wamasai hawataki majengo wanataka sehemu ya malisho

  • @tumainimano9953
    @tumainimano9953 Před 2 lety +2

    Huyu jamaa si Masai

  • @edithadam7621
    @edithadam7621 Před 2 lety

    Wewe sio mmasai bhana hebu toa hiyo Rubega...