KIMENUKA ARUSHA:MAGARI YA POLISI 4 YASIMAMIA MAZISHI YA KIJANA WA TOYO, VIJANA WAKIAMSHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 534

  • @epema632
    @epema632 Před rokem +12

    Mnasema Arusha, Jamaniiiiii.... Bora Arusha wanaume bado wapoooooo!!! Sitaki kutaja mikoa yenu... ❤️❤️❤️Chuga

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu Před rokem +71

    Arusha kazi IPO.., mungu auponye huu mkoa Mana Hawa wagalatia sjuwi nani aliyeroga😢

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Před rokem +11

    Kweli huko arusha vijana wamevurugwa kweli!!😂😂😢😢

  • @rachelsimon2876
    @rachelsimon2876 Před rokem +41

    Jamani huyu kaka alikuwa mteja wang mpole anapendwa na watu imetuuma sana hapendi ugomvi. Tuishin na watu vizuri hakuna ambaye hajaguswa na huu msiba

    • @saliminyusuph6122
      @saliminyusuph6122 Před rokem +2

      Alichokitafuta amekipata. Kila nafsi itaonja umaut

    • @hermankihwili1095
      @hermankihwili1095 Před rokem

      @@saliminyusuph6122 kwa hiyo ume furahi mwenzako kufa?Idiot

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před rokem

      Alikuwa mteja wako wa gongo au 😂😂 maana mwenzie kasema alikuwa anameza nae gongo

  • @angelmsuya6487
    @angelmsuya6487 Před rokem +11

    Mwenyezi Mungu atulinde Kwa Kweli🙏🏾❤️

  • @RichWise671
    @RichWise671 Před rokem +51

    Kama nawe unaamini Arusha ni Nchi nipe like twende saw 😂😂😂

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před rokem

      Nikushauri huwenda hujajuwa ulicho andika kina mana tofauti ktk maswala kuwa makini na ulopokaji usije kuwa mhaini

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 Před rokem +26

    Mhubiri 12:1
    Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako,
    Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema,
    Mimi sina furaha katika hiyo.

  • @samuelmwangu3301
    @samuelmwangu3301 Před rokem +40

    “Jamaa alikuwa mdudu wa watu” 😂 😂😂 Arusha ni nchi nyingine kabisa🤣

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Před rokem +12

    Mji wangu mungu atusaidie Kwa kweli ,,hata kama ni rambi rambi sio kusimamisha magari ya watu,,🙌

  • @JailosPhilbert-vd5is
    @JailosPhilbert-vd5is Před rokem +5

    1997 ni mdogo sana Mungu wasaidie vijana wetu

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před rokem +45

    Uomkoa niwakuangalia kwa jicho lakipekee wanawake wamevulugwa wanaongea kiswahil chakihuni sana ukija kwa vijana wakiume ndioshida kubwa zaidi 😓😓

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 Před rokem +10

      Nimekaa Arusha sometimes wanasifa tu wakiona camera nd wanajishebedua kuongea ivo ila ukiend chuga au ukiish utajionea wanaongeag tu kawaid la afudh yao , ila sas wakiona camera sijui waandish ndo wanachangany uhuni

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 Před rokem

      @@imamuhamisi4421 adi tunaogopa sasa

    • @yusuphswai6851
      @yusuphswai6851 Před rokem +3

      ​@@imamuhamisi4421wandish wahabar wanawaeka hao wanao hongea kihuni ila mtu ukiongea kistarabu wakurush

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před rokem +2

      Alafu kazi kusifia upuuzi wakati wanazidi kupotoka huu upumbavu kabisa

    • @fatumabakari2640
      @fatumabakari2640 Před 9 měsíci +1

      ​@@yusuphswai6851😂😂😂😂

  • @tegemeareuben7618
    @tegemeareuben7618 Před rokem +18

    Umakini jamani Arusha tumepoteza vijana wengi mnoo
    May God forbid 😢

    • @degreatprime
      @degreatprime Před rokem

      njoo uone maendeleo kulko mkoa wenu😅

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 Před rokem +2

    Mtayakumbuka maneno ya @God bless lema .....vjana wanaisha

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před rokem +10

    YANI VIJANA WANABOA HAWA WANAJIFANYA WASELA KWELI YANI.

  • @nyaticarriersllc3075
    @nyaticarriersllc3075 Před rokem +10

    Mwenye alituletea madawa ya kulevya !! we don't have the future in our society. Drugs Drugs!!!

  • @jay-nyeye1900
    @jay-nyeye1900 Před rokem +8

    Vijana wanapenda kazi ambazo hazitumii nguvu ndiyo Mana vijana wengi wamekimbilia kuwa madereva boda boda mbona hii nchi ina mashamba si wakalime waache kulalamika 🙌🏽

    • @joycesanga4378
      @joycesanga4378 Před rokem

      Yaani mtoto wa kike anaongea kiswahili cha kihuni mama wa baadaye huyo da wachaga shikamooo

    • @josephkigembe-ec4pq
      @josephkigembe-ec4pq Před rokem +1

      Watengenezee soko la uhakika uone kma hawatalima, shida soko mjomba alafu wasafiri kibao, utachagua mwenyewe. Serikali ndo mchawi ila kupitia vijana hawa tunaowaona inajichimbia kaburi. Sema nn, vijana wa mikoa mengine jiandaeni kufanya kazi Kaskazini soon wazalishaji hakuna kule.

    • @josephkigembe-ec4pq
      @josephkigembe-ec4pq Před rokem

      ​@@joycesanga4378 so Mama wa baadae, hapo alipo yupo na watoii 3.

    • @blessedg871
      @blessedg871 Před rokem

      Achana na mawazo mgando jombaa. Yaani hiyo kichwa umebeba haina ubongo au? Boda ni kazi nyepesi wewe panya?

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před 10 měsíci

      Umeeongea kweli wanakazana kuwaeleza pasipo alafu wanachanganyikiwa .jembe halimtupi mtu .

  • @aboutz1733
    @aboutz1733 Před rokem +11

    Doh😢 inasikitisha. Ila wahuni wanavyoongea sasa inabidi ucheke kwa huzuni tu haina jinsi. #Chuga❤

  • @user-wr3pu4ng9j
    @user-wr3pu4ng9j Před rokem +5

    Tuachieni arusha yetu❤

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Před rokem +8

    Arusha mm siwez ishi kabisa

  • @josephluvanga5233
    @josephluvanga5233 Před rokem +9

    Lema Alisema Mkasema Hawa Ni Maafisa Usafirishaji 😢😢😢😢

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Na bado zimeletwa nyingi za kuwapa ili wawapigie kura ,cha ajabu hawa wanaoenda kupewa watashangilia sana.lakini wamesahau kuwa wanapewa ili waendelee kujichicha huko mabarabarani na hawawaulizi mnatupa hii kwa kisingizio ati ni ajira je watoto wenu wana ajira hii hii mnayotupa sisi watoto wa maskini ?

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 Před rokem

      Ok wataftie ajira

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 Před rokem

      Mwendo wa buku😂😂😂😂😂😂😂

    • @michaelmaja-1699
      @michaelmaja-1699 Před rokem

      Umeonaee. Hii ni kazi ya laana.

    • @sumamwashamwasha3286
      @sumamwashamwasha3286 Před 10 měsíci

      Kuna mwendo wa buku Kuna wa buku jero na buku mbili😅

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +3

    Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 🤔 ni mtihani kabisa 🤔🤔🤔

  • @fridaphilemon8898
    @fridaphilemon8898 Před rokem +7

    Lema alisema akatukanwa haya😢

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Wameletewa za bure ili wazidi kujiua ila watoto wao wanawapa ajira shule wanasoma nzuri kwa kodi za mlala hoi.Mtoto wa mlala hoi anadanganywa kwa kupewa pikipiki ili atoe kura ya ndio akisahau anapewa kifo ati ajira ,ajira mbona kama ni ajira wao hawaachi kazi wakawa na ajira ya bodaboda.

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps Před 8 měsíci

    Duu Arusha hata kiwahili chao nitofauti sana, kweli ni shida

  • @bagoomary8358
    @bagoomary8358 Před 10 měsíci

    Alusha sio tz kwakeli🔥🔥🔥😂😂😂😢

  • @sistymbombo1616
    @sistymbombo1616 Před rokem +5

    Arusha baadae ya miaka mitano hakuna wazee wa busara kama vijana ndo Hawa wore wanapata kitu Cha Arusha ni hatari sana

  • @josephatmathiasgalagalabuh786

    Nimependa wanavyogeuza kuwa sasa masikini ndio wanazikwa kwa umaarufu

  • @antoniamkilindi7744
    @antoniamkilindi7744 Před rokem +1

    Duh arusha nawapenda sana ❤❤❤❤❤

  • @MatonangeMathias
    @MatonangeMathias Před 2 měsíci

    Polee sana

  • @shaushaibu9792
    @shaushaibu9792 Před rokem +2

    Hapo mzima ni diwani hawo wengine chenga akili mbili😂😂😂😂

  • @deborahcharles4916
    @deborahcharles4916 Před rokem +2

    Naipenda sana arusha sabu hawataki ujinga

  • @Djray255
    @Djray255 Před rokem +4

    Peace kwa wadudu wote
    Nchini chuga
    🔥🔥🔥

  • @richardchristopher589
    @richardchristopher589 Před rokem +18

    Vijana wamepotea. Kimsingi hakuna vijana kbsa wanafikilia maisha ni simple km wanavyofikiria.

  • @rosefredy5398
    @rosefredy5398 Před rokem

    Kiswaili chao sasa mimi hoii kihuni kihuni tu hahahahha

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 Před rokem +8

    ARUSHA kama California 🔥🔥🔥❤️🙌

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před rokem +1

      Ujinga tu vijana wanazidi kupotoka na kupotea mji inazidi kuharibu taswira yake nzuri
      Hivi sio vitu vya kusifia ujinga tu

    • @blackeagle4441
      @blackeagle4441 Před rokem

      @@lucasmhagama8166 ulilala na malaya gan mkuu jn 😏😏😏nyie ndo wale mnao kufaga kama konokono

  • @YahayaHamadi-lz6ic
    @YahayaHamadi-lz6ic Před 9 měsíci

    Poleni.sana

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 Před rokem +13

    Uhuni usio na maana yoyote😢

  • @user-ye1eu9dh6n
    @user-ye1eu9dh6n Před 9 měsíci

    Arusha kwa pikipiki❤😢

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před rokem +20

    Tuache kuwapotosha hawa vijana wa Arusha kwa kuwapa sifa za kijinga wakati wanazidi kupotea mnazidi kuharibu taswira ya Arusha kila siku

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 Před rokem +1

      Shida ni kwamba sio rahis sasa

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      ​@@Djray255nyinyi ni wasenge tu kama wasenge wengine sifa za kijinga zitawauwa sana

    • @abdulyabdunuru1476
      @abdulyabdunuru1476 Před rokem

      Hawa watoto pumbavu sana wanajiona wao miamba Kumbe kamas tupu wake kahama waone chuga wenzao wanavyo jichanganya huku wengine mason now

    • @danielromario5183
      @danielromario5183 Před rokem +1

      bora hao kuliko wanaokuwa mashoga kama daslam

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 Před rokem +4

    INJILI YA YESU KRISTO INAHITAJIKA SANA ARUSHA

    • @Catherine-u6g
      @Catherine-u6g Před rokem

      Kabsa yan

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před rokem

      Huwezi amini hakuna mkoa Tanzania wenye radio nyingi za injili kama arusha

  • @user-ff8jq8nz1n
    @user-ff8jq8nz1n Před 9 měsíci

    Alo balaa lipo kwakweli mungu awasaidie
    😢❤❤

  • @HusnaSimbila
    @HusnaSimbila Před rokem

    Dah serikali isimame na arusha vijana wamepotea

  • @zoizanzibar5923
    @zoizanzibar5923 Před rokem +3

    Umakini unahitajika @ZOI Zanzibar

  • @mama_mlezi7744
    @mama_mlezi7744 Před rokem +10

    Arusha Ni nchi haipo Tanzania 🙌🙌🙌🙌

  • @user-ot7wh1jy6t
    @user-ot7wh1jy6t Před rokem

    Daaah nacheka kama mazuri vile ila naipenda Arusha yangu

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 10 měsíci

    Poleni macharii. Ila punguza au hacha kabisa Bang

  • @pascalphilemon9916
    @pascalphilemon9916 Před 9 měsíci

    Poleni sana vijana wenzangu ! Ila kutokana na mazoea mlonayo kutojua thamani ya kuvaa helmet kwa sababu zenu binafsi, basi endeleeni tu hatuna cha kiwashauri zaudi ya kuwatazama kama picha kila majanga yanapotokea

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 Před rokem +6

    Watu makini Chuga ❤

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n Před rokem +1

    Safi sana kinukisheni

  • @gmavoice1893
    @gmavoice1893 Před rokem

    Love from home kaskazini ❤❤❤❤❤❤

  • @user-ou7jp8ug7z
    @user-ou7jp8ug7z Před rokem

    Umoja ni nguvu apaaa nikweree

  • @mercyherbert8978
    @mercyherbert8978 Před rokem +2

    Arusha aisee yan vijana wanajiamini siku nmeenda kule najikuta rafudhi kama wao ila wanaupendo ukikutana nao wape hi katiza mitaa unakuwa salama hata upite chochoro gani usumbuliwi ukipeleka ubishoo unaumia.r.i.p fundi.

  • @fatmahamesa2449
    @fatmahamesa2449 Před rokem +3

    Katika habari zote hii ya leo kiboko 😂😂😂😂

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 Před rokem

    MUNGU aibadilishe Arusha inauma Sana vijana wetu wanaangamia kwakusa maarifa jaman

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Před rokem

    Masela mavi

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Před rokem +5

    Yaani Arusha kuna watu wamepinda sana yani

  • @jumabisale9974
    @jumabisale9974 Před rokem +2

    Kwa mahojiano haya siwezi kwenda kuishi huo mkoa, maana inaonekana 70% ya vjana ni wahuni tu, yaana watu wamevurugwa,kuchafukwa khaaaah!!!

  • @user-ye1eu9dh6n
    @user-ye1eu9dh6n Před 9 měsíci

    Doh! Arusha na ikubali kinyaksi❤😂

  • @mokhancarlito
    @mokhancarlito Před rokem +2

    wakiona camera sifa nyingi kumamae

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 Před rokem +3

    mambio yasio kuwa na maana na kutofat sheri za barabar zitatuw wote tukilet mchezo

  • @user-fr8li9vj9v
    @user-fr8li9vj9v Před rokem +3

    Arusha rudieni mungu

  • @user-jr3mo3je3k
    @user-jr3mo3je3k Před rokem +1

    Dah lkn Arusha Arusha mungu anawaona et mdudu jmn

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem +1

    Daah kweli uyo chalii anayo watu wa kuzidi

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 Před rokem +2

    Dah! Mwendo wa buku ni kutaka kujiua? Ili bodaboda apunguze spid ni lazima mteja alipe zaidi, ni ujinga ulioje hao vijana kuhatarisha maisha.

  • @c75923
    @c75923 Před rokem +2

    Hivi watu kama hawa wanapata familia hao watoto malezi inakuaje!? Duuuh! Anyways basi sawa

    • @alibakari7176
      @alibakari7176 Před rokem +1

      tena wana watoto wengi tuu ila matunzo empty ndio maana vijana wa hivi hawatakaa waishe

  • @Ellythegreat-cl5jv
    @Ellythegreat-cl5jv Před rokem +7

    Wasenge wanapenda kutafutia kiki kwenye misiba😥

  • @christinesulle5051
    @christinesulle5051 Před rokem +1

    Uwiiiiii jamani hii ya Meru kweli ni organic ila Mungu atuokoe

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa976 Před rokem

    Point kabisa dad

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Před rokem

    Arusha,🙌🙌🙌🙌 lakinii daah polenii

  • @JOHNLAINZER
    @JOHNLAINZER Před 4 měsíci

    Poleni sana

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 Před rokem +19

    Madogo wapumbavu sana!! Shenzi kabisa!!

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 Před rokem +13

    Hawa wataisha wengi mno kwa kuwa washamba,sifa na kujifanya wana ujasiri wakisenge hivi

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 Před rokem +3

    Arusha kuna Usenge mwingi sanaa

  • @ElizaJose-zn7td
    @ElizaJose-zn7td Před rokem +1

    Bangi mbaya kuna mwendo wa buku na buku jero mwendo wa buku chuma inapaa juu😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @linahmlay8512
      @linahmlay8512 Před rokem +1

      Acha kabisa Arusha moshi pako kipekee

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před rokem

      ​@@linahmlay8512Bora Moshi hakuna vurugu za namna hii kidogo ni wastaarabu na panavutia kuishi ila Arusha inazidi kuharibika

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před rokem +2

    Mnawapa sifa hawajielewi.

  • @mbecheterombeche3375
    @mbecheterombeche3375 Před rokem +1

    Wadudu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tato8979
    @tato8979 Před rokem +1

    Hatari kweli wadudu wakutosha arusha

  • @jacklinejohn222
    @jacklinejohn222 Před rokem

    Me nacheka kwenye comment

  • @HalimaNyauba
    @HalimaNyauba Před rokem +1

    Arusha Arusha Arusha nakuita mara tatu...Arusha mmempasua ubongo kakaangu akiwa ndani ya gwanda za serikali nyie ni nchi nyingine kabisa kiukweli ubinadamu wenu ni hadi muamue wenyewe ...

  • @nelsongabriel6324
    @nelsongabriel6324 Před rokem +1

    Arusha 🙌🙌🙌🙌

  • @ameenamohammed4413
    @ameenamohammed4413 Před rokem +6

    😢😢😢japo hawa vijana wanakosea lakina wanaupendo sana yaani 😢 serikali iwape ajira vijana waachane na bodaboda zitawamaliza 😢😢

  • @imamuhamisi4421
    @imamuhamisi4421 Před rokem +4

    Naitw bahati na sibu kuish dunian majaribu😂

    • @user-op7zl7fo1r
      @user-op7zl7fo1r Před rokem +1

      😂😂😂😂😂 daaah et alikua mdudu wa watu

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před rokem +1

      😂😂😂😂😂😂 du hawa jamaa wamepinda aise

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před rokem

      ​@@user-op7zl7fo1r😂😂😂

  • @carlyboytz
    @carlyboytz Před rokem +1

    Wana umoja

  • @user-hd9bh1ky2e
    @user-hd9bh1ky2e Před 9 měsíci

    Duu ina lilah wa inna lilah lajiin

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 8 měsíci

    Yani awa watu me bado sielewi kabisa😢😢😢

  • @daniellevoso523
    @daniellevoso523 Před rokem +4

    Dunia tunapita 😭😭

  • @STDz
    @STDz Před rokem +1

    Hiyo “nyau” sasaaaaa😂😂

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 Před rokem +1

    Mkoa una watu wa ajabu huu mmh mungu awalinde

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Před rokem +1

    Wanakula sana mirungi

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 9 měsíci

    Mkoa wa Arusha unalaana flani yaani wahuni ni wengi na ni watu wahuni Sana sio wanawake wala wanaume

  • @user-dv2jo9yq2s
    @user-dv2jo9yq2s Před rokem

    Mungu akulaze pema ndugu yangu tumeumia sana

  • @kelvintairo7271
    @kelvintairo7271 Před rokem

    Wadudu ngaaaaa napendaa sanaa chugaaa hainaa mambo mengii wanaamini wanachoo kifanya

  • @aloyceandrew1855
    @aloyceandrew1855 Před rokem +3

    Arushaa❤

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před rokem

    Hatari sana

  • @aminayusuphu8300
    @aminayusuphu8300 Před 9 měsíci

    😂😂😂 yaani wote wanachanja miraa chuga 😂😂

  • @razackndeze-pv5bm
    @razackndeze-pv5bm Před rokem +1

    Mbona mateja kibao, Arusha noma

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Před rokem

    Mwendo wa buku tairi yambele juu 😂😂

  • @jerryandrew9989
    @jerryandrew9989 Před rokem +1

    Muhuni alitaka kuteka maiki ya Ayo,.wauni wakamsanua,acha bana n waandishi Wa habri hawa😀😀

  • @DonPrince11
    @DonPrince11 Před rokem

    Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Před 10 měsíci

    Mh Arusha wapeni maua yao

  • @IamRaySmartTz
    @IamRaySmartTz Před rokem

    🔥🔥🔥🔥