Mhubiri 12:1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
Nimekaa Arusha sometimes wanasifa tu wakiona camera nd wanajishebedua kuongea ivo ila ukiend chuga au ukiish utajionea wanaongeag tu kawaid la afudh yao , ila sas wakiona camera sijui waandish ndo wanachangany uhuni
Vijana wanapenda kazi ambazo hazitumii nguvu ndiyo Mana vijana wengi wamekimbilia kuwa madereva boda boda mbona hii nchi ina mashamba si wakalime waache kulalamika 🙌🏽
Watengenezee soko la uhakika uone kma hawatalima, shida soko mjomba alafu wasafiri kibao, utachagua mwenyewe. Serikali ndo mchawi ila kupitia vijana hawa tunaowaona inajichimbia kaburi. Sema nn, vijana wa mikoa mengine jiandaeni kufanya kazi Kaskazini soon wazalishaji hakuna kule.
Na bado zimeletwa nyingi za kuwapa ili wawapigie kura ,cha ajabu hawa wanaoenda kupewa watashangilia sana.lakini wamesahau kuwa wanapewa ili waendelee kujichicha huko mabarabarani na hawawaulizi mnatupa hii kwa kisingizio ati ni ajira je watoto wenu wana ajira hii hii mnayotupa sisi watoto wa maskini ?
Wameletewa za bure ili wazidi kujiua ila watoto wao wanawapa ajira shule wanasoma nzuri kwa kodi za mlala hoi.Mtoto wa mlala hoi anadanganywa kwa kupewa pikipiki ili atoe kura ya ndio akisahau anapewa kifo ati ajira ,ajira mbona kama ni ajira wao hawaachi kazi wakawa na ajira ya bodaboda.
Poleni sana vijana wenzangu ! Ila kutokana na mazoea mlonayo kutojua thamani ya kuvaa helmet kwa sababu zenu binafsi, basi endeleeni tu hatuna cha kiwashauri zaudi ya kuwatazama kama picha kila majanga yanapotokea
Arusha aisee yan vijana wanajiamini siku nmeenda kule najikuta rafudhi kama wao ila wanaupendo ukikutana nao wape hi katiza mitaa unakuwa salama hata upite chochoro gani usumbuliwi ukipeleka ubishoo unaumia.r.i.p fundi.
Arusha Arusha Arusha nakuita mara tatu...Arusha mmempasua ubongo kakaangu akiwa ndani ya gwanda za serikali nyie ni nchi nyingine kabisa kiukweli ubinadamu wenu ni hadi muamue wenyewe ...
Mnasema Arusha, Jamaniiiiii.... Bora Arusha wanaume bado wapoooooo!!! Sitaki kutaja mikoa yenu... ❤️❤️❤️Chuga
Huko ni kupotoka Arusha day after day vijana wanazidi kupotea kwa sifa za kipumbavu
Kwishaaaaaa
Arusha kazi IPO.., mungu auponye huu mkoa Mana Hawa wagalatia sjuwi nani aliyeroga😢
Hahaha alikua mdudu wawatu 😂😂😂
Hahaha
Kweli
Hahaa
Nihatari sana
Kweli huko arusha vijana wamevurugwa kweli!!😂😂😢😢
Jamani huyu kaka alikuwa mteja wang mpole anapendwa na watu imetuuma sana hapendi ugomvi. Tuishin na watu vizuri hakuna ambaye hajaguswa na huu msiba
Alichokitafuta amekipata. Kila nafsi itaonja umaut
@@saliminyusuph6122 kwa hiyo ume furahi mwenzako kufa?Idiot
Alikuwa mteja wako wa gongo au 😂😂 maana mwenzie kasema alikuwa anameza nae gongo
Mwenyezi Mungu atulinde Kwa Kweli🙏🏾❤️
Kama nawe unaamini Arusha ni Nchi nipe like twende saw 😂😂😂
Nikushauri huwenda hujajuwa ulicho andika kina mana tofauti ktk maswala kuwa makini na ulopokaji usije kuwa mhaini
Mhubiri 12:1
Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako,
Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema,
Mimi sina furaha katika hiyo.
“Jamaa alikuwa mdudu wa watu” 😂 😂😂 Arusha ni nchi nyingine kabisa🤣
Yaaan hawa watu n watu wengine 😅😅😅
Umenena Vyema
Ahahahaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kabisa hii itakuwa miksa na kenya
😂😂😂😂😂
Mji wangu mungu atusaidie Kwa kweli ,,hata kama ni rambi rambi sio kusimamisha magari ya watu,,🙌
1997 ni mdogo sana Mungu wasaidie vijana wetu
Uomkoa niwakuangalia kwa jicho lakipekee wanawake wamevulugwa wanaongea kiswahil chakihuni sana ukija kwa vijana wakiume ndioshida kubwa zaidi 😓😓
Nimekaa Arusha sometimes wanasifa tu wakiona camera nd wanajishebedua kuongea ivo ila ukiend chuga au ukiish utajionea wanaongeag tu kawaid la afudh yao , ila sas wakiona camera sijui waandish ndo wanachangany uhuni
@@imamuhamisi4421 adi tunaogopa sasa
@@imamuhamisi4421wandish wahabar wanawaeka hao wanao hongea kihuni ila mtu ukiongea kistarabu wakurush
Alafu kazi kusifia upuuzi wakati wanazidi kupotoka huu upumbavu kabisa
@@yusuphswai6851😂😂😂😂
Umakini jamani Arusha tumepoteza vijana wengi mnoo
May God forbid 😢
njoo uone maendeleo kulko mkoa wenu😅
Mtayakumbuka maneno ya @God bless lema .....vjana wanaisha
YANI VIJANA WANABOA HAWA WANAJIFANYA WASELA KWELI YANI.
Nimasela ndio na hiy ndo ongea yao au wew sio wa chuga
Sio pouwa
Sio wanajifanya ni masela kweli
Mwenye alituletea madawa ya kulevya !! we don't have the future in our society. Drugs Drugs!!!
Vijana wanapenda kazi ambazo hazitumii nguvu ndiyo Mana vijana wengi wamekimbilia kuwa madereva boda boda mbona hii nchi ina mashamba si wakalime waache kulalamika 🙌🏽
Yaani mtoto wa kike anaongea kiswahili cha kihuni mama wa baadaye huyo da wachaga shikamooo
Watengenezee soko la uhakika uone kma hawatalima, shida soko mjomba alafu wasafiri kibao, utachagua mwenyewe. Serikali ndo mchawi ila kupitia vijana hawa tunaowaona inajichimbia kaburi. Sema nn, vijana wa mikoa mengine jiandaeni kufanya kazi Kaskazini soon wazalishaji hakuna kule.
@@joycesanga4378 so Mama wa baadae, hapo alipo yupo na watoii 3.
Achana na mawazo mgando jombaa. Yaani hiyo kichwa umebeba haina ubongo au? Boda ni kazi nyepesi wewe panya?
Umeeongea kweli wanakazana kuwaeleza pasipo alafu wanachanganyikiwa .jembe halimtupi mtu .
Doh😢 inasikitisha. Ila wahuni wanavyoongea sasa inabidi ucheke kwa huzuni tu haina jinsi. #Chuga❤
Kabisa
Tuachieni arusha yetu❤
Arusha mm siwez ishi kabisa
Me niko uku lakin naona panishnda kabsa
Lema Alisema Mkasema Hawa Ni Maafisa Usafirishaji 😢😢😢😢
Na bado zimeletwa nyingi za kuwapa ili wawapigie kura ,cha ajabu hawa wanaoenda kupewa watashangilia sana.lakini wamesahau kuwa wanapewa ili waendelee kujichicha huko mabarabarani na hawawaulizi mnatupa hii kwa kisingizio ati ni ajira je watoto wenu wana ajira hii hii mnayotupa sisi watoto wa maskini ?
Ok wataftie ajira
Mwendo wa buku😂😂😂😂😂😂😂
Umeonaee. Hii ni kazi ya laana.
Kuna mwendo wa buku Kuna wa buku jero na buku mbili😅
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 🤔 ni mtihani kabisa 🤔🤔🤔
Lema alisema akatukanwa haya😢
Wameletewa za bure ili wazidi kujiua ila watoto wao wanawapa ajira shule wanasoma nzuri kwa kodi za mlala hoi.Mtoto wa mlala hoi anadanganywa kwa kupewa pikipiki ili atoe kura ya ndio akisahau anapewa kifo ati ajira ,ajira mbona kama ni ajira wao hawaachi kazi wakawa na ajira ya bodaboda.
Duu Arusha hata kiwahili chao nitofauti sana, kweli ni shida
Alusha sio tz kwakeli🔥🔥🔥😂😂😂😢
Arusha baadae ya miaka mitano hakuna wazee wa busara kama vijana ndo Hawa wore wanapata kitu Cha Arusha ni hatari sana
Nimependa wanavyogeuza kuwa sasa masikini ndio wanazikwa kwa umaarufu
Duh arusha nawapenda sana ❤❤❤❤❤
Polee sana
Hapo mzima ni diwani hawo wengine chenga akili mbili😂😂😂😂
Naipenda sana arusha sabu hawataki ujinga
Peace kwa wadudu wote
Nchini chuga
🔥🔥🔥
Wadudu...hili neno Mungu asimame
Vijana wamepotea. Kimsingi hakuna vijana kbsa wanafikilia maisha ni simple km wanavyofikiria.
Wengine ni.mkumbo tu
Tatizo bangi wakishavuta wanajiona wapo juu ya kila kitu
We unae fikiria maisha umefkia wap
@@jonassenkoro177. unauliza utumbo.
Kiswaili chao sasa mimi hoii kihuni kihuni tu hahahahha
ARUSHA kama California 🔥🔥🔥❤️🙌
Ujinga tu vijana wanazidi kupotoka na kupotea mji inazidi kuharibu taswira yake nzuri
Hivi sio vitu vya kusifia ujinga tu
@@lucasmhagama8166 ulilala na malaya gan mkuu jn 😏😏😏nyie ndo wale mnao kufaga kama konokono
Poleni.sana
Uhuni usio na maana yoyote😢
Arusha kwa pikipiki❤😢
Tuache kuwapotosha hawa vijana wa Arusha kwa kuwapa sifa za kijinga wakati wanazidi kupotea mnazidi kuharibu taswira ya Arusha kila siku
Shida ni kwamba sio rahis sasa
@@Djray255nyinyi ni wasenge tu kama wasenge wengine sifa za kijinga zitawauwa sana
Hawa watoto pumbavu sana wanajiona wao miamba Kumbe kamas tupu wake kahama waone chuga wenzao wanavyo jichanganya huku wengine mason now
bora hao kuliko wanaokuwa mashoga kama daslam
INJILI YA YESU KRISTO INAHITAJIKA SANA ARUSHA
Kabsa yan
Huwezi amini hakuna mkoa Tanzania wenye radio nyingi za injili kama arusha
Alo balaa lipo kwakweli mungu awasaidie
😢❤❤
Dah serikali isimame na arusha vijana wamepotea
Umakini unahitajika @ZOI Zanzibar
Arusha Ni nchi haipo Tanzania 🙌🙌🙌🙌
Jamani Arusha ni Tanzania kweli.
Hata mimi najiulza sipati jibu
Arusha itakua ni KENYA😂
Washamba tu Kila kitu wao
@@karimjuma4019 ni wajinga na malezi nayo huchangia
Daaah nacheka kama mazuri vile ila naipenda Arusha yangu
Poleni macharii. Ila punguza au hacha kabisa Bang
Poleni sana vijana wenzangu ! Ila kutokana na mazoea mlonayo kutojua thamani ya kuvaa helmet kwa sababu zenu binafsi, basi endeleeni tu hatuna cha kiwashauri zaudi ya kuwatazama kama picha kila majanga yanapotokea
Watu makini Chuga ❤
Safi sana kinukisheni
Love from home kaskazini ❤❤❤❤❤❤
Umoja ni nguvu apaaa nikweree
Arusha aisee yan vijana wanajiamini siku nmeenda kule najikuta rafudhi kama wao ila wanaupendo ukikutana nao wape hi katiza mitaa unakuwa salama hata upite chochoro gani usumbuliwi ukipeleka ubishoo unaumia.r.i.p fundi.
Katika habari zote hii ya leo kiboko 😂😂😂😂
MUNGU aibadilishe Arusha inauma Sana vijana wetu wanaangamia kwakusa maarifa jaman
Masela mavi
Yaani Arusha kuna watu wamepinda sana yani
Cha Arusha
Ushamba mwingi Arusha lugha chafu hawaoni aibu
Kwa mahojiano haya siwezi kwenda kuishi huo mkoa, maana inaonekana 70% ya vjana ni wahuni tu, yaana watu wamevurugwa,kuchafukwa khaaaah!!!
Doh! Arusha na ikubali kinyaksi❤😂
wakiona camera sifa nyingi kumamae
mambio yasio kuwa na maana na kutofat sheri za barabar zitatuw wote tukilet mchezo
Arusha rudieni mungu
Dah lkn Arusha Arusha mungu anawaona et mdudu jmn
Daah kweli uyo chalii anayo watu wa kuzidi
Dah! Mwendo wa buku ni kutaka kujiua? Ili bodaboda apunguze spid ni lazima mteja alipe zaidi, ni ujinga ulioje hao vijana kuhatarisha maisha.
Hivi watu kama hawa wanapata familia hao watoto malezi inakuaje!? Duuuh! Anyways basi sawa
tena wana watoto wengi tuu ila matunzo empty ndio maana vijana wa hivi hawatakaa waishe
Wasenge wanapenda kutafutia kiki kwenye misiba😥
Uwiiiiii jamani hii ya Meru kweli ni organic ila Mungu atuokoe
Point kabisa dad
Arusha,🙌🙌🙌🙌 lakinii daah polenii
Poleni sana
Madogo wapumbavu sana!! Shenzi kabisa!!
Hawa wataisha wengi mno kwa kuwa washamba,sifa na kujifanya wana ujasiri wakisenge hivi
Kwan wewe utaishi milele
Wewe unamkataba wa milele??
Arusha kuna Usenge mwingi sanaa
Bangi mbaya kuna mwendo wa buku na buku jero mwendo wa buku chuma inapaa juu😂😂😂😂😂😂😂😂
Acha kabisa Arusha moshi pako kipekee
@@linahmlay8512Bora Moshi hakuna vurugu za namna hii kidogo ni wastaarabu na panavutia kuishi ila Arusha inazidi kuharibika
Mnawapa sifa hawajielewi.
Wadudu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hatari kweli wadudu wakutosha arusha
Me nacheka kwenye comment
Arusha Arusha Arusha nakuita mara tatu...Arusha mmempasua ubongo kakaangu akiwa ndani ya gwanda za serikali nyie ni nchi nyingine kabisa kiukweli ubinadamu wenu ni hadi muamue wenyewe ...
Arusha 🙌🙌🙌🙌
😢😢😢japo hawa vijana wanakosea lakina wanaupendo sana yaani 😢 serikali iwape ajira vijana waachane na bodaboda zitawamaliza 😢😢
Hizo gari je. Maaana kila siku wanakufa
Naitw bahati na sibu kuish dunian majaribu😂
😂😂😂😂😂 daaah et alikua mdudu wa watu
😂😂😂😂😂😂 du hawa jamaa wamepinda aise
@@user-op7zl7fo1r😂😂😂
Wana umoja
Duu ina lilah wa inna lilah lajiin
Yani awa watu me bado sielewi kabisa😢😢😢
Dunia tunapita 😭😭
Hiyo “nyau” sasaaaaa😂😂
Mkoa una watu wa ajabu huu mmh mungu awalinde
Wanakula sana mirungi
Mkoa wa Arusha unalaana flani yaani wahuni ni wengi na ni watu wahuni Sana sio wanawake wala wanaume
Mungu akulaze pema ndugu yangu tumeumia sana
Wadudu ngaaaaa napendaa sanaa chugaaa hainaa mambo mengii wanaamini wanachoo kifanya
Arushaa❤
Mambo
Hatari sana
😂😂😂 yaani wote wanachanja miraa chuga 😂😂
Mbona mateja kibao, Arusha noma
Mwendo wa buku tairi yambele juu 😂😂
Muhuni alitaka kuteka maiki ya Ayo,.wauni wakamsanua,acha bana n waandishi Wa habri hawa😀😀
hahahahaaha nimeona hata mimi
Mungu amlaze mahali pema peponi
Mh Arusha wapeni maua yao
🔥🔥🔥🔥