Special dedication to my wife, sweet mama kijacho. Kumbuka mbali kabla ya ndoa hadi sasa miaka mitano ndani ya ndoa. Still fresh, Allah atujaalie kila la kheir katika maisha haya. Kila neno kuntu. Old Goldie
Ishara niliziona,mwanzo nawe kukutana Habib hukujiona tukaanza kupendana Si leo wala si jana,ni zaman tena sana Wazaz walipo ona shauri wakapeana Pande zote kukutana nikkahh na kuoana Sasa ni bibi na bwana,raha kufurahiana
Nakumbakaah wakati ule mwanzo wa mahaba yetuuu Sito sahau enzi zile awali ya raha zetu Wewe na mim vile vile hatukuvunja utu wetu Tulingoja mpaka pale hakhi na halali kwetu
Bibie na bwana ndivyo tunavyoitana Tamtam kila namna daima tunapeana Hakuna katu hakuna kama wewe sijaona Roho yake Maulana makaa yako mwanana Iyaa mshaharu na sinina,maneno maneno na kugombana Pendo bado latuona si sababu kutengana
❤❤❤4REAL ATA WENYE KUCHEZA HIZI ISTRUMENT ZA TARABU NI WAKALI
Sura zimeshafanana nyonyo zimeshashibana
Penzi lililoshikamana tuenzi ya Rabbana
Masha Allah a special dedication to my Hubby 5 years in marriage ALHAMDULILLAH
In memory of my late second wife Zawadi
Special dedication to my wife, sweet mama kijacho. Kumbuka mbali kabla ya ndoa hadi sasa miaka mitano ndani ya ndoa. Still fresh, Allah atujaalie kila la kheir katika maisha haya. Kila neno kuntu. Old Goldie
@ABUBAKARI ALLY It's true I was singing for her this when we was about to be married. I feel like it was yesterday
Wow I'm from Somalia 🇸🇴 I like ❤️ Tanzanians People's 🇹🇿 and love Taraab of Zanzibar
MashaAllah ❤️
❤❤❤❤❤ishara niliziona mwanzo na we kukutana❤❤❤❤❤#####OLD IS GOLD ###pambeeeeeeeee❤❤❤
Bibi eeh naaam bwanaa
Ndivyo tunavyoitana
Doh utaniua mm
Sura zimeshafnana nyoyo zimeshibana penzi lililoshikamana tuenzi ya rabbana heee mazuri hayo
Special vocals Special sounds hakikah ni wimbo mzuri sana.............pendo bado latuona si sababu kutengana ❤ my has B
Mashallah Allah old iz gold ilove swabaha songs iz perfect mashallah Allah like yangu from Kenya
Bibie na mbwana ndivyo tunavyoitana tamtam kila namna daimaa tunapeana
Taarab itabaki kuwa juu...mashairi yamepangika na sauti nzur, ujumbe unafika inavotakiwa....sabaha unasauti nzur mamaang😍
Ishara niliziona,mwanzo nawe kukutana
Habib hukujiona tukaanza kupendana
Si leo wala si jana,ni zaman tena sana
Wazaz walipo ona shauri wakapeana
Pande zote kukutana nikkahh na kuoana
Sasa ni bibi na bwana,raha kufurahiana
❤😊
Viva Old Is Gold Taarab Zanzibar
Ahsante Shangaz Sabah Muchacho
Ahsante Dada Nuru Muchacho
15 years of pure 💕💕 Love u darling husband😘😘
Mashaallah mashair mazur kusikiliza kwa wale waliopata wanaowapenda sisi wengine tunasindikiza tu 😔
sema nilete posa😊
Pole sn😮
❤
Naipenda sana we acha tu inanitouch
Mashallah old taarab are so good ♥️Na nzuri mashallah 😘
Maashaallah..! namshkuru m.mungu kwa kumpa afya mke wangu kipenzi Amina. leo miaka 11 sasa ktk ndoa bado tunapendana
Nakumbakaah wakati ule mwanzo wa mahaba yetuuu
Sito sahau enzi zile awali ya raha zetu
Wewe na mim vile vile hatukuvunja utu wetu
Tulingoja mpaka pale hakhi na halali kwetu
Yaani ninapockiliza hii nyimbo hadi akili zinanisisimka jamani
Classic taarab, we need more of these
yesssSS
Iiiii nyimbo au wimbooo
Utaishi kwenye Ubola mkubwa
Nikwamuda wote wadunia .je wafahmuu
Sauti kaliiiiiii
Nimaisha yamziki
Yanayo tugusa watu wadunian
Habibty inta mashaalla mashaalla from Muscat love yuu always💋💋💋💋💯💕💙
Nakupenda mume wangu ☺️☺️
Asanta mama wimbo huu niliupenda sana hadi nikamshauri cameraman wang aueke Kwa video yng ya harusi
MashaAllah... Love is always Love!!! Maneno matamu yaliopangika vyema!!!
🔥
Mashaallah Sabaha Salum unasauti nzuri sana
Mama n wakat wa kumrudia mola wako dunia ndo inakuacha mkono tartibu....tubia mamaang ukakutane na mola wako akiwa radhi na ww!
Ebu tuondolee upumbavu…rudi wewe ambae una muda wakuandika upuzi badala ya kuskiza mawaidha ama kufanya ibada…jilinganie wewe kwanza
Ndugu kukumbushana kupoo...ucmkarapie mwenzio ivoo...
Kweli sanaaaaa😢
NYOTE MOLA AWASAMEHE MAKOSA YENU NA AWAONGOZE KTK NJIA ILIONYOOKA AMEEN❤ KWANI HAKUNA MKAMILIFU
Kweli
Nampenda huyu mama jmn mashair yanachoma mpaka moyo
Hapo sasa msanii wetu sabaah.. namskizaa sana nikiwa mombasa
Ishara nmeziona 🥰🥰
Mpenzi chocolate habiby lozy
Mashallah haya mashairi yananikumbusha mbali all the way from 🇦🇪🩶
Mashallah mamangu🎉 mungu atakabalie kipaji chako🙏
Umeukosha moyo wangu Santana
Favourite song
It's reminds ma late husband ❤
She's an amazing woman with golden voice Mashallah
Always
Bibie naam bwana ndivyo tunavyoitana tam tam kila namna mahaba tunapea hakuna katu hakuna
Mashallah. Kitu roho inapenda
mashallah mashallah i love it😍
Yaani taam saana hii song
Habiby lozy mpenzi chocolate nakupenda sanaa❤️
Mapenzi ya dhati inshaallah Hadi mile🌹💞love you forever baby
This song taught me how to love passionately ❤...Swabah Mchacho
Bibie na bwana ndivyo tunavyoitana
Tamtam kila namna daima tunapeana
Hakuna katu hakuna kama wewe sijaona
Roho yake Maulana makaa yako mwanana
Iyaa mshaharu na sinina,maneno maneno na kugombana
Pendo bado latuona si sababu kutengana
Mama anaimba sana❤
Nitumie hii nyimbo yaitwaje
Inaitwa Tunapendana
Like her poet..👌
Hi nitumie
Eeee rararara wewewe nono jaman
I love you my husband 😘
❤
So nc 😍😍🥰🥰❣️❣️❣️❣️❣️🥰😍😍😍
The words🤗😍
Nice song
Haki sinamaneno naiyonyimbo huwainanigusa tu sana
Namuenzi uyu mama
Wataka nn eeee raha
Maashallah
Special dedication for my loml❤️🥰
nyiee 😍🥰😇
❤❤❤❤❤❤❤ Mammas die 💥💥💥 enigste 🥰🥰 die 👏👏 Mens water
A❤🎉🎉
Mashaallah
Ama kwel twapenda
Yasalaam
🥺❤️
ISHARA😊
2022😭🌊🌴💓
❤️❤️❤️voice
I love you Nuru Sehel 💗💗💗
😍😍😍😘
Dahari tutapendana,pendo kwetu ni dhamana
Huruma kuoneana,imani kuzidishana
Aalraii-noor-hasaanaa ama kweli twapendana
Aalraii-noor-hasaanaa ama kweli twapendanaaahhh
Hongera
💓
❤❤
👏🏿👏🏿🎉
Nini bado
Pendo letu ni dhamana
😍
VMware 6 I⁸⁸
Nani yupo wa kunena tumsute kiaina
Tunasemwa kwa mapana jinci tunavyopendana
Mfano uliofana kwa kila anotuona
Mwenye kujua bayana ni ambari na zinduna
🥰🥰🥰
Ngom qll
🥰🥰🥰🥰
morden tarabu
nzur sana
KILICHOCHEMA NI CHEMA HAKIBADILI TABIA
czcams.com/video/QSRdvEgww8w/video.html
Nice song
❤