Kama imebaki siku,katika maisha yangu siku Ningependa hiyo siku,ishe na wewe ishe na wewe Mahasid shauri zao,na wavimbe khiyari zao Nimelengwa datia,nimelengwa datia Datia!datia!datia!datiaaaaaaahhhh
Inshaallah! Inshaallah tutaonana Inshaallah! Inshaallah tutaonana Iwe London inshaallah tutaonana Iwe Toronto inshaallah tutaonana Iwe Dubai inshaallah tutaonana Iwe Muscat inshaallah tutaonana
Kuna nyakati mimi hujiambia huu ndio wimbo bora zaidi wa mahaba uliowahi kutungwa katika lugha ya Kiswahili.
Nakubaliana nawe. Wimbo ni murua sana.
Lovely Sabah salum❤❤❤❤🎉
Mashaallah dada sabah . Mungu atulinde sote kwa Amani atuepushie n'a mashetani wanaozunguka mchana kweupe♥️
Kama imebaki siku,katika maisha yangu siku
Ningependa hiyo siku,ishe na wewe ishe na wewe
Mahasid shauri zao,na wavimbe khiyari zao
Nimelengwa datia,nimelengwa datia
Datia!datia!datia!datiaaaaaaahhhh
Nice
Love this song
Wimbo wako wanipa matumaini. Hongera
Masha' Allah quelle belle musique relaxante. Merci East Africa Melody
The song 'tambaa,' is cool and charming just from the beginning kama ime baki siku.... It as some lovely lyrics woow
Si ishi Tama moyoni insha'Allah tutaonana hongera bii mkuu
hii wimbo ni malshallah ,tamu kupita kiasi
Japo mbio za maishaa,zimetutenganushaa ipo siku tutakeshaa😍😍😍
Beautiful song
Lovely voice
Inshaallah! Inshaallah tutaonana
Inshaallah! Inshaallah tutaonana
Iwe London inshaallah tutaonana
Iwe Toronto inshaallah tutaonana
Iwe Dubai inshaallah tutaonana
Iwe Muscat inshaallah tutaonana
Ishe na wewe tukitazamana
Wazi wazi mama kama imebaki iyo sikuuuuu. Bwana weee
Beautiful mom,I luv all ur songs very nice 👌
Safi sana
Love u Aunty❤️
Thank you.I love you too
Hizo ndiyo zilikua taarabu bwana weweeeee
Zanzibar taarab💥💥💥💥
Inshallah tutaonana........
Nakupenda bure mamagu my favorit sabah 😍😘❤💕💖👄💝
ni Nouma sana Sabah salum mama La mama uko juu
Asante na mimi pia nakupenda mwanangu
@@nurusehel7068 😍😍😍😍
Nakupenda sana mom
Sabah Salum Ali nakupenda sana
Jaman dj harrry hahaha tuko pamoja
Japo mbio za maisha zimetutenganisha tamaa mie sijesha ipo siku tutakesha.
🤗🤗🤗🤗
Nice San 2
Naweza para full video ya huu wimbo
datia datia sabar mama uko juu
asante
@@nurusehel7068 pambeee tu swabah
Namkubari sana huyu mama
Namkubari sana huyu mama
I LOVE YOU MY MOM
Inshaallah tutaonana
Nimewakataa wenqi wenye ranqi tofauti wenye nywele za mashunqi nasubiri kesho yako
Siku tutapokutana eeehh,Waovu watatafutana eeehh
Watabaki kunong'ona eehh,Sisi yetu yawe Ng'aring'ari
Habib yetu yawe ng'aring'ari
Habib datia! Habib datiahhh
Love this ❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
malkia huna mpinzani
Cute
Uko vizuri mama michacho
Ahhh mama kipenzi chanqu muimbaji bora kbs wa taarabu ambaye huna mpinzan Asante nakumbuka mbari
Old is qold. Utam hadi rahaaa
Mkewagu
Inshaallah tutaonana