Napenda mmoja nae anajua sitowapa jina roho zenu mbaya.. Hapo tu..hizo ndio taarab enzi hizo taarab inaheshma..sio siku hizi mpaka wakurya wanaimba taarabu.. 😀😀
best song ever,nakumbukaga Mango garden Kinondoni,kila niangaliapo hii nyimbo! Those were the Pure Taarab days bana! TOT,EA MELODY NA MUUNGANO,kudadeki ,kazi siendi...lol
Nimezama kwenye huba zako wala sitaki kuvuliwa mpenzi fanya imani uniweke mi moyoni unifiche mie ndani hahahahh nampenda mmoja mie
Kuntu
Yap nimezama
Mungu akubariki mama Rukia kwa kutuburudisha. Jina langu Abdikadir Mohamed nakusikiza nikiwa Sudan kusini....I LOV3 YOU MAMA RUKIA.
Nimepata Mimi kwako Mambo najua kwengine hakuna👌👌👌
A calm afternoon, cruising outside the city. Wallahi this song hits differently
Nalizwa miyeeee, tena bure
Hii nyimbo naipenda mpaka najihisi kuumwa jaman
Hata mie Wallah
2020 November.....mashallah
☝️who is listening this 2018!!! Best taarab ever👌
🔥🔥🔥🔥
Jorry Amani 21/09/2019
2021
2023-08
2023
Who is here 2019? me. Miss home
Napenda mmoja nae anajua sitowapa jina roho zenu mbaya.. Hapo tu..hizo ndio taarab enzi hizo taarab inaheshma..sio siku hizi mpaka wakurya wanaimba taarabu.. 😀😀
Aaaaah
@@khalafmwalimu3891 vp imekukuna nyimbo au
@@salhanassor5201 😄marshallah
@@khalafmwalimu3891 santee
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀. Wakurya
Weeee2020 rahaa2 song bado ipo vizuri
Taarab at its pick dat time was ever song blows the East Africa air.reflecting really good music with all instrumental well played.
Masha Allah, ❤❤❤ ushafichwa hofu ondoa
Old is gold. Listening to it, it's September 2023.❤❤❤
2023 still my favourite 😻
Sauti yako....! Ooh... Sauti yako.... 😍😍😍👌👌👌. Naipenda sauti yako
Ashki majununi napenda napenda napendaaaa ❤❤❤❤❤ hapo tu yan❤❤❤❤
Naipenda saana shukran bi rukia kwa wimbo huu
Wen Taarab was real...big bbie
mnakuja mjini Nairobi kenya lini jamani
Napenda mmoja naye anajua sitawapa jina
2020 bado napenda hii nyimbo❤ Napenda mmoja nae anajua sitowapa jina roho zenu mbaya👌👌
Weeh umeigusa roho ya mimi hiyo kitu inasugua roho yangu
Mpenzi mpenzi fanya imani Aaah tam sana maneno mazuri pia
huu wimbo unanikumbusha mengi sana napousikiliza Sina budi kumsifu mwimbaji
mimi nimezama kwa nyimbo zako,nasitaki kufuliwa.
East african one amongst it's best.
2019 am listening
2022 old is gold mashaallah
Walai huyu mama anafanya vitu na kujiamini sna nampenda❤ Hana haraka Yan taratibu tu lkn moto..
Bi rukia ramadhan mwenyewe mchawi wa kubembeleza 2018
Najiona Mimi bora Wengine Nawatambiaaa x4
Dah mama unanikosha
Mashallah bi rukia wimbo mtamu huo
best song ever,nakumbukaga Mango garden Kinondoni,kila niangaliapo hii nyimbo! Those were the Pure Taarab days bana! TOT,EA MELODY NA MUUNGANO,kudadeki ,kazi siendi...lol
Bora kabisa
Wow nyimbo ajaab sana..kenya
Lovely.....nnzuri sana
Naupnda xn hii song , yaan hii special for my love❤❤
Old is gold
2020 Let's camp here
Hii Taarab enzi hizo Niko pande za Dolphin Tanga iyoioo..Daah kitambo sn
January 2019 nipo.....
Bi rukia sauti ya dhahabu vyakale ni dhahabu
hahahhah nampenda mmoja sitowapa jina roho zenu mbayaa ....santhaa bi rukia
Napenda mmoja naye anajua ❤❤❤ Tudi
Nampenda sana huyu mama jamani 😍😍😍😍
21.7.2020 bado tamuuuuu masikioni mwangu
Mambo bull bull
ndio shua la ng'oa nanga!
Sichoki kuisikiliza, masterpiece!
Those days aki wallahi
Aaaa bi rukiii kweli ashk majnun mm jina sitioi mahasidi wataninyakulia
Who is watching in 2020
Mashaallah 🥰 mama mrembo 2021
safi sana mama endelea kutuburudisha
Super cute
All time favourite
Nyimbo za zamani nzuri mno
Yaa salaam napendaa nawaona khadija yussuf org colour
Present madam. Watching from Narok +254
Swadakta
Nyimbo safi sana
Duh!!! Kitambo sana
2020 iam still listen
😀😀😀😀😀😀
tamu sana tena sana
mashallah
Ashiki majinuni,. Napenda, napenda.. Nampendaaaa... Duh!
Naachwa Hoi bin taabani...
Waaaah wimbo huu naupenda naupenda naupenda!!
Lovely,,, Memories are forever
Naapeeenda naapeeenda . ash........
2021!!!!!!!!!!!
Noma sana ❤❤❤❤❤❤
Wimbo mtamu
❤❤❤❤❤
Namuona dada yangu mosi Suleiman
Then akaja Sabah salum Kwa style kama Io io
Yaan acha una nizama vibaya meseg sent
naupenda sana huu wimbo
Ama km eli hiki ni kipaji si haba baraka toka tumboni,
Ama km eli hiki ni kipaji si haba baraka toka tumboni,
Zanzibar hii hakuna wakumzidi bi rukia sauti, ghani, mawimbi pumzi na umahiri wa Hali ya juuu kabisa da huyu Nini anajua sannnnnna
mashallah
Daah mambo n motoo
31st oct 2023
Very nice song
naombeni jamani rabi nilinde ya mwanahawa
Naimani siku zote 'na wangu mmoja,wengine wanajisumbua,anajifanya ananipenda kumbe kavaa ngozi ya kondoo,kumbe simba mla watu,atasubiri sana
Nyimbo xa heri
Hizi ndio taarabu nazielewaga
Siach kupenda raha za melody jmn
Watching 23 Jan 2020 romantic song
still listening to this 2021 august
Light years
Sabah salum❤
Great band..Talented musicians
November 2023 still here
vitu adimu hvyo
Dahh.. huu wimbo mzr sana.
Kupenda raha jamani
Nipende basi
Ucjali nshakupenda tyr
@@sabihaibrahim3393 nshakupenda mwaya Sabiha
@@johnpol7656 sawa njoo uniowe
@@sabihaibrahim3393 kwani hujaolea jaman sabiha
Nimalupe lupe
nakpenda wallah Mama rukia
Safi 2saana inakubalika
Swabha
NapendA song
Hii taarabu huwa yanipa rakha kwelikweli a
Taarab iheshimike miaka yake yote
❤❤❤
Adija yusufu nimemuona
💖
Cool
Miaka yake yote