Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Warongo jamani dada utaniuwa wewe nahii nyimbo Mashaallh
Weuwe penda sana marjan sempa..piga kelele kwa marjan sempa ake..weuweee
Oyoooooooooooooo
Tuletee hilo haliwezekani na wala halitakuwa,naipenda hio nyimbo lkn sijui kaimba nani
🎉🎊❤️
Nimeshajisabilia nakupenda mia miaKwa kweli nakuzimia,nimeshajisabilia kukukosa nnaumiaaahhh
Haloooo umenimaliza Nakupenda mia mia nikikukosa naumia 😍😍😘👌
❤️❤️❤️💯🇰🇪👍county 001 mambasa.waambiye waate urongo hao
12 /2/2024 warongo hawajapata kupenda ❤❤❤ ngoja like hapa twende sawa much respect RUKIA
Hapo chacha safii sanaaa... Tuletee ya mwanamtama amir old iz gold dawa ya moto ni moto akuchomae mchome mpende akupendae hasidi achana nae jina yaitwa ulilonalo nnalo
Tutaftie mtenda akitendewa ya jokha kassim na chaunabe ya khadija yusug
Huyu kijana hajawai kuniangusha Big up Brow
Mapenzi yetu adhimu,Naomba Rabbi Yadumu daima dumu dawamuuuuuhhh
Bonge la wimbo la mapenzi weka mbali na watoto
Swadakta nyimbo nzuri sana
Tenaaaaaaa warongo hao warongo hawajapata kupenda,mbona mimi nazidi kudidimiaaa,mbona mimi sichoki nawewe dear
Vvbvmn.Napenda Namibia kogonakutilia niperah
😊😅😊😊😊😊😊😊
Marjan sempa akeeeee,unatukosha kwakweliii
😘😘😘😘
Warongo
Hawajapa kupenda hakika penzi kitu tofauti sana
Asalam umeimba sana bi rukia ramadhani uko juu nyimbo zako kali mungu akujaliyee kipaji
Kwa hapa bi Ruu huna baya,, nakupenda Mia Mia, pambeeee❤❤❤👌👌👌
Me nachanganyikiwa kabisaaaah aah
Mungu amjaalie afya njema.sauti maridhawa isiokua na mfana.nakupenda mia mia DJ wetu❤❤❤❤❤
Asnte sana
Sina shaka na uimbaji ukipanda jukwaani mimii kipindikile na marehemu baba yangu mwili unanisisimkaa wallah
Hawajapata kupendaaa
Warongo hao warongo hawajapa kupenda,hawajapa kupendaMbona mim nazid kudidimia Mbona mim sichok na wewe dear
Kukicha lizid tamu,liwe tamu juu ya tamuuhh,,Kukicha lizid tamu,liwe tamu juu ya tamuuhhhTamu,tamu,tamu,tamu,juu ya tamuhh,Ahsante Bi Rukia
Mama wallah unanikosha unanilosha hasaaa moyonii mwangu mieee weeeee
Mimi binafsi mama weweee nakukubali sanaaaaaaa
safi sana warongo hawajapata kupenda
Santha Sempa wandhu
Daima husindanganywe na majilili....warongo hao warongo hawajapata kupendaaaaa.
Mstari bora
Mama utaniuwa mie jamani nakupenda mama wewe jamani acha tu
Umenijaa moyoni,niache nikutunukeNikupe pendo la ndanSiku zote ukumbuke,siku zote ukumbukehh
Apo chacha
@@ashuraalijma6659 Tam tam za mwambao
@@abdulhamidkificho5768 basi haya
@@ashuraalijma6659Karibu tuburudike bibie
@@abdulhamidkificho5768 ety eeeh
Zaman kulikua na wanawake
Aiseee si kwa raha hizi.jmniii nisaidieni mbn nikitak kudnlod hazikubali
Download na APP ya SNAPTUBE
Hata ile application ya Videorder kwenye play store App hii nzuri for CZcams download
Fantastic ❤
Patamu hapa mbonaaa umenijaa moyoni leo @Rukia Ramadhan umefanya nimefika kileleni mama 👌😂😂😂
Sofia Sofia@😀
Taraab nzuri sana
Uko vizur mama
Mmmh mashallah
Hii nyimbo ni tam jaman ukiwa mapenzini
Tulia dear ndo mwanzooo
Tuletee ubaya hauna kwao
Abuu rasul ubaya hauna kwao mbona ipp you tube
Au sio hio
Au nitext nikutumie me ninayo audio0717484735
Kukupenda mia mia mmewangu❤
Pambee hataroiiiii😚
Marjan jamani mdogo wangu unaturusha roho....
🔥🔥🔥
Raha Raha tu
Nyieeeeee rahaaaa
Mashaallah napenda
First CLASS ❤
Maashallah❤️🥰❤️
Mashaallah ❤
😘😘hatariiiiiiiiii
Mashallah
Umenijaa moyoni niache nikutunuke nikupe pendo la ndani sikuzote ukumbuke.
Santa kwamaneno yako
💥💥
Tamuu ya kale hiyoo 😅
Naaaam👌
Hizi nyimbo unazoziweka natamani nizipate audio wapi nitazipata
Mina Khalid waeza download my dia
Studio
❤❤❤❤
Sautii rahaaaaa tupuuuuu
Weka Selelea
Swadakta
Madam Rukia Ramadhan
Vyaboha..
Pambeeeeee
👌👌👌
💏💏
👏👏😍
Hao warongo ......mie sichoki nawe dear weweeeee. Nmeshajisabilia nakupenda mia mia
Me ndo nachanganyikiwa kabisa
Hashim Omary@Lol!😀
Hana kaz mbaya tumpe sifa zake jmn
Warongo jamani dada utaniuwa wewe nahii nyimbo Mashaallh
Weuwe penda sana marjan sempa..piga kelele kwa marjan sempa ake..weuweee
Oyoooooooooooooo
Tuletee hilo haliwezekani na wala halitakuwa,naipenda hio nyimbo lkn sijui kaimba nani
🎉🎊❤️
Nimeshajisabilia nakupenda mia mia
Kwa kweli nakuzimia,nimeshajisabilia kukukosa nnaumiaaahhh
Haloooo umenimaliza Nakupenda mia mia nikikukosa naumia 😍😍😘👌
❤️❤️❤️💯🇰🇪👍county 001 mambasa.waambiye waate urongo hao
12 /2/2024 warongo hawajapata kupenda ❤❤❤ ngoja like hapa twende sawa much respect RUKIA
Hapo chacha safii sanaaa... Tuletee ya mwanamtama amir old iz gold dawa ya moto ni moto akuchomae mchome mpende akupendae hasidi achana nae jina yaitwa ulilonalo nnalo
Tutaftie mtenda akitendewa ya jokha kassim na chaunabe ya khadija yusug
Huyu kijana hajawai kuniangusha Big up Brow
Mapenzi yetu adhimu,Naomba Rabbi Yadumu daima dumu dawamuuuuuhhh
Bonge la wimbo la mapenzi weka mbali na watoto
Swadakta nyimbo nzuri sana
Tenaaaaaaa warongo hao warongo hawajapata kupenda,mbona mimi nazidi kudidimiaaa,mbona mimi sichoki nawewe dear
Vvbvmn
.
Napenda Namibia kogonakutilia niperah
😊😅😊😊😊😊😊😊
Marjan sempa akeeeee,unatukosha kwakweliii
😘😘😘😘
Warongo
Hawajapa kupenda hakika penzi kitu tofauti sana
Asalam umeimba sana bi rukia ramadhani uko juu nyimbo zako kali mungu akujaliyee kipaji
Kwa hapa bi Ruu huna baya,, nakupenda Mia Mia, pambeeee❤❤❤👌👌👌
Me nachanganyikiwa kabisaaaah aah
Mungu amjaalie afya njema.sauti maridhawa isiokua na mfana.nakupenda mia mia DJ wetu❤❤❤❤❤
Asnte sana
Sina shaka na uimbaji ukipanda jukwaani mimii kipindikile na marehemu baba yangu mwili unanisisimkaa wallah
Hawajapata kupendaaa
Warongo hao warongo hawajapa kupenda,hawajapa kupenda
Mbona mim nazid kudidimia
Mbona mim sichok na wewe dear
Kukicha lizid tamu,liwe tamu juu ya tamuuhh,,Kukicha lizid tamu,liwe tamu juu ya tamuuhhh
Tamu,tamu,tamu,tamu,juu ya tamuhh,Ahsante Bi Rukia
Mama wallah unanikosha unanilosha hasaaa moyonii mwangu mieee weeeee
Mimi binafsi mama weweee nakukubali sanaaaaaaa
safi sana warongo hawajapata kupenda
Santha Sempa wandhu
Daima husindanganywe na majilili....warongo hao warongo hawajapata kupendaaaaa.
Mstari bora
Mama utaniuwa mie jamani nakupenda mama wewe jamani acha tu
Umenijaa moyoni,niache nikutunuke
Nikupe pendo la ndan
Siku zote ukumbuke,siku zote ukumbukehh
Apo chacha
@@ashuraalijma6659
Tam tam za mwambao
@@abdulhamidkificho5768 basi haya
@@ashuraalijma6659
Karibu tuburudike bibie
@@abdulhamidkificho5768 ety eeeh
Zaman kulikua na wanawake
Aiseee si kwa raha hizi.jmniii nisaidieni mbn nikitak kudnlod hazikubali
Download na APP ya SNAPTUBE
Hata ile application ya Videorder kwenye play store App hii nzuri for CZcams download
Fantastic ❤
Patamu hapa mbonaaa umenijaa moyoni leo @Rukia Ramadhan umefanya nimefika kileleni mama 👌😂😂😂
Sofia Sofia@😀
Taraab nzuri sana
Uko vizur mama
Mmmh mashallah
Hii nyimbo ni tam jaman ukiwa mapenzini
Tulia dear ndo mwanzooo
Tuletee ubaya hauna kwao
Abuu rasul ubaya hauna kwao mbona ipp you tube
Au sio hio
Au nitext nikutumie me ninayo audio0717484735
Kukupenda mia mia mmewangu❤
Pambee hataroiiiii😚
Marjan jamani mdogo wangu unaturusha roho....
🔥🔥🔥
Raha Raha tu
Nyieeeeee rahaaaa
Mashaallah napenda
Warongo
First CLASS ❤
Maashallah❤️🥰❤️
Mashaallah ❤
😘😘hatariiiiiiiiii
Mashallah
Umenijaa moyoni niache nikutunuke nikupe pendo la ndani sikuzote ukumbuke.
Santa kwamaneno yako
💥💥
Tamuu ya kale hiyoo 😅
Naaaam👌
Hizi nyimbo unazoziweka natamani nizipate audio wapi nitazipata
Mina Khalid waeza download my dia
Studio
❤❤❤❤
Sautii rahaaaaa tupuuuuu
Weka Selelea
Swadakta
Madam Rukia Ramadhan
Vyaboha..
Pambeeeeee
👌👌👌
💏💏
👏👏😍
Hao warongo ......mie sichoki nawe dear weweeeee. Nmeshajisabilia nakupenda mia mia
Tenaaaaaaa warongo hao warongo hawajapata kupenda,mbona mimi nazidi kudidimiaaa,mbona mimi sichoki nawewe dear
Me ndo nachanganyikiwa kabisa
Hashim Omary@Lol!😀
Hashim Omary@Lol!😀
Hana kaz mbaya tumpe sifa zake jmn
Mashallah