Rukia Ramadhan - BUZI . audio | MARJAN SEMPA
Vložit
- čas přidán 23. 06. 2020
- #MarjanSempa
Don't Forget to SUBSCRIBE , LIKE & Share
Follow me on my INSTAGRAM ACCOUNT @MarjanSempa
The authenic and Genuine TRADITIONAL SWAHILI MUSIC, that its Origin in East AFRICA...
FeaturingFurthermore TAARAB is One of the SWAHILI people ways of Delivering Massage to Specific individual or individuals with very Special Metaphor or Language codes that Mostly likely and mostly only Swahili people can interpret, so even if you Understand Swahili that doesn't mean you comprehend the massages behind, contents and significance of TAARAB LYRICS.
#WasafiMedia
#Taarab
#WasafiMedia - Hudba
Enzii izo radio Zanzibar ..stz. kipindi cha burudan saaa 8 mchana unakata wali ndondo na kibao icho kikikusindikiza dah ukimaliza kula tu chuoni ....Nan anakumbuka enzii izo na alikua vip atoe maoni hapa...
Hatriii ilikuwaa
Dah long tamu tuweeekeee na Kwa raha zangu
Anayeikubali hii bado 2021 tujuane jmn old gold
Napenda hii nyimbo❤️
Jmni jmni marijani tuwekee nyimbo ya rukia kumbakumba
Mashaallah 1998 DDC kariakoo...wana ilala kariakoo magomeni walotangulia mbele yahaki allah awarehmu shenaz salum pia namkumbuka kwanyimbo hiii
Kumbe doi doi kumbe ujiamini❤️❤️
Nmezama ndaani,,,taaamu
Wa taka nini watu wapo kwao wana vitu vyao zumbukuku we 😅😂😂
Jmn waliozaliwa 2000 hawaelew kitu
Hahaha nyimbo iyo naikumbuka watu walikuwa wanarusha roho zamani dah
Ngangari feki,nani zaidi buzi hatariii na nusu 💃💃💃💃
@@aminamohamedy8466 Hatari voo
@@RioIpo Kbs yaan
Wallai ww unajua kufarahisha nafsi za watu.
Dah
😉
Umenikonga roho
Oohufdthvo
Top dunte😘😘😘😘
🥰🥰🥰🥰🥰
Santaaaa ungejua kwangu hana nafasi 👌👌😍
nzuri sana
Tuweeke chaunabe marjan
Nice old is Gold tulipokuwa wasichana raha raha
We acha tu sana mie ni wa jinsia nyengine ila nikikumbuka heka heka za hapa na pale kuhusu totoz enzi za kidato cha 2 duuh enzi za teenager raha sana sana.
Asantaa Bi. Rukiya😘
Aroooooo
Bi Rukia MashAllah 🧿
Pambee matezo mwaaah
nice song kitamboo
Dawa rudi chuoni ukajifunze tena alifu kwa ujiti 🦿
Nice song
Hariiii
o
💟💯
Tamu sana
Hizi ndizo taarab swafi kabisa
Enzi zile za 1998
Wataka nn we watu wapo kwao wala vitu vyao zumbukuku we sant
💞💞💞❤️❤️❤️❤️
👌👌😘😘😘 shuntuuuuuuuu taaamuuuu matho yuuu
😄😄😄
@@marjansempa tuwekee kufa na tai shingoni pls
Mashaallah....
Mashaallah
Wowww
Mashallah lako sio buzi✌️👌
Wakati huo melody wakipiga ktk kumbi za Max bar ilala, DDC magomeni kondoa, Amana social club, ilikuwa hatari, ikumbukwe kuwa Hawa jamaa walihamishia dar makazi yao baada ya awali kuwa wanakuja dar Kwa mialiko maalum ya show.
💕 u
Zumbukuku weee
👍
Kumbe ujiamin✌️
Mambo matamu hizi ndo taarab za uhakkka
Mashaallah ♥️♥️♥️🇦🇪
Mashaallah haizeeki
Swadakta
Swadaktaaa usicheze na tope zitakurukia aaaaaah zitakuchafua
Tunataka nyimbo ile bahati kuipindua alishindwa firauni
Kaimba huyu huyu rukia ramadhan
AQ W
HD hj