Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Tuliko hapa baada ya kuhojiwa na zamaradi tv tujuane
😅😅😅😅😅😅 tupooo
nipo
😂😂😂😂😂❤❤🎉🎉
Napumua, Nahema sina chuki nao, wazi naungamaaa❤❤❤
Moyoni sina shaka,,semeni munayo taka mupo kwenu nipo kwangu 🤫♥️♥️♥️
Tamu mnoo hii ndo nyimbo bora kbs ya taarab kwangu naipenda sana......
Najua walisema tangu nipo tumboni kwa mamaNa wakaendelea kusema nulipo zaliwa mengi walisemaBado watasema mpaka mwana ndan inshallah salama
Atwari
Tarab naipenda nilikuwa naitafuta,shukran bi hawa
Tueke na ya sabah Salum. Yaimba hiviii. Ikiwa yametendeka labalaa na mimi sija husika naktaa
Rabbiy nilinde na wenye nia mbaya kwangu asante mwanahawa ally
Nilinde daima👏 rabii☺
Pambe tuu raby nilinde🙏
Semeni mnayotaka mpo kwenu nipo kwangu hayawi mnayo takaMpo kwenu nipo kwangu Muyapangayo pangeni hamutonibadilishaNdio Mimi na nyinyi ndio nyinyiSote waja wa manan hamtonitisha
Asanteeeeeee tenaaaaa
Rabbi nilinde
Mwenyezi..akuponye..mwahawa.aliy..nyimbo..zinabusara
Pambe tuu Asante kwa Ujumbe mzuri ubalikiwe Sana ALLAH akuongoze
Rabbi nilinde Yeye ndio ngao kweli😍🤲
sitishiki kamweee husda zao washindweeee na walegeee
Kila mja na liziki,paaambe ttu
Si kwa pupa si haraka taratibu mambo yanguNa halitonifika kila apangalo MunguNa moyoni sina shaka hio ndo iman yanguBure kujipa wahaka na kujitia machungu
Mashabiki zake....bi mwanahawa anahitaji usaidizi wenu anaumwa mukiweza mumsaidie na yy
Tunataka mawasiliano yake
@@oscarjulius5723 rakama tayari ziliwekwa
sawa hapo
Ànqnmmamkakakakwkfjannnnjj😅😮😮⁸9àq0😮yjuuuuuuuii4p8o88
Tuwekee na Nisipokuona nalia ukiwa,jua raha sina mgonjwa nakuaa...
Tangu juzi nautafuta huu wimbo. Hatimaye nimeupata. Shukrani sana kwa kutuwekea hapa
Woow asante wallahy nime furahi sanaaa kuipata
Marjan Sempa weye ni noumaUmeleta bonge la songi,Sarut kwakoTupe vitu vzur kama hivi
Ushasema! Abdulhamid
Yaani Vitu vake Konki sana
@@marjansempa kuna wimbo mmoja Aisha Masanja unaitwa Usijisahau na dunia hebu utafute na uuweke!!
@@mvoih4854 mbna siujui huo wimbo
Tuekee na mzomeeni mnoko @@marjansempa
Teeeena kilicho chema ni chema asali si kama maji 😅❤❤
Mwanahawa Allah akulinde uko juu
Swadakta❤ Bi mkubwa
Twakupata mamy, safi sana
santhaaaaaa💃💃💃💃💃💃
mambo shatashata 👌👌👌imenoga 🎧🎧🎧🎻🎻🎷🎷🎺🎺🎺📢 📢📢📢
Kbsaaaa
@@marjansempa good 👍
Asante bi mwanahawa nyimbo pambee
Sauti ya Raha, Burudani na Kupumbaza. Kiumbe kimepewa sauti ya kumtoa nyoka pangoni
Nilinda yarab🤲 Santa mummy kazi njema Allah akujalie afya utupe mzik mzuri.
Ameen
Dadangu huyoooo.
Yasaatir yaraaab
Sina cha kusema juu ya hili song linavyonikonga moyo wangu najua mwenyewe
Marjan tuletee na last warning ya mwanahawa Ally
Fanya mpango wa mama shughulu naipenda sana
Mwambie uyo
Swadaqtaaaaaaa,,, bi mkubwa
Sana
Mi pia naipenda sana
@@saumubakarimfaki7822 naipenda sana lakini CZcams haipo
santaaaaa
Manenooo👌👌pambee
Ma Shaa Allah ma Shaa Allah napenda mashairi yako yalo kwenda shule nautaratibu wake yani bonge la song hawakomboi🔥🔥🔥🔥🔥✨✨🔥👌
Tenna
Niliitaka sana hii👌
Wa Mia upata Mia ni kesi isiyo jaji❤️❤️2023 bado konki
Namoyoni Sina shaka hiyo ndio Imani yangu
Nakupata uzuri mamy Allah akuweke💖Rome Italy
Mama umenikosha kwa maneno mazuri
Mwanahawa mama nakupata vizuri kutoka Dubai buzabi 😗😗
Msaidie kipenzi chetu
old is gold
Hatinaye nimeipata hii nyimbo nimeangaika mnooo duh! thank you so much mwaaaaaaaa!
Hapo sw pambe
Kash kash nakuchakachua kwao
Mambo yangu hayo Marjan nampenda sana Mwanahawa Ally Mkongwe na mjuzi wa haya mambo Nyingine tena 😀
Ushalonga
خسن موس Mamaangu mwanahawa nakupenda Sana mungu Akupe maishamalefu
Yarrabi tulinde milele daima na Familia yangu
Pambeeee
Ii nyimbo inaukosha Sana moyo wangu
Santeeeeeeeeeeee
upo vzr mama ramama
Mama uko vizuli
What a great piece of work. Please post Mkataa pema by East Africa melodies.
Nice taarabu
👏👏👏👏
favourite song 💯%♥️
Alla atampa afwa njema
Rabbi nilinde nawenye nia mbaya kwaku
Marjan uko Vizury
Pambe sana mamy mwanahawa ally kwa ukarimu wako wa nyimbo,yenye ufunzo mzuri, lnshaallah mungu azidi kukupa kipaji zaidi na ukulinde na maadui,🤲🙏
Ameen Rabi nilinde
My favourite song inanikumbusha Lango la jiji Magomeni 🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️😜😜😜
Big up bi mwanahawa kwa mara ya kwanz kuiskiliza lkn mambo moto...dida frm 🇦🇪
Tramuuuuuu👌
Bibi anazeeka nautamu wake kama muwa
kweri kila mja na liziki yake
Rabbi nilinde mie
mashallah endelea kutuwekea za kale tuburudike😄🙃
KatU
Kabisa.rabbi nilinde
Mashaallah uko juu manenoz
Nyimbo nizuli sana
Maneno mazuri kabisa ❤❤❤❤
Kelele yake Mwanahawa Ally weeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeee
Naipenda sana
Noma Sana hiii
Rabi nilinde
Mashaallah
Na mahasidiIn Shaa Allah
Nilinde ya rabbih, kumthu mama mwanahawa.
Mwanahawa mama Hadi rahaaa
Merci beaucoup 💃💃💃💃
mwanahawa ally twaomba ulete youtube channel yako,,mama wanikoshwa mwanao kwa nyimbo zako za kistaraab..mkenya halisi kutoka kule mombasani hadi raha
👌👌👌💕
U kill it momy tokea zamani nakupenda bure,Rabbi atulinde sote 😘
Napumua nahema sina chuki nao 👌
♥️♥️♥️🇰🇪🔥🔥🔥🔥📢
Uko juu mama
Kuna nyingine kaimba bi mwanahawa ally inaitwa Sina chuki nao
Tamu sana
Amin 🙏
Hasidi upoo
yaan km usizeeke wewe bibi
Mama mungu akulinde sanaaa asanteeh
Очень хороший Таараб😂
😂😂😂umenipa tabu san kusoma
Nice😁
Semeni mpaka mtiwe kaburini
❤️
Good
Hapa patamu woyoooo
Wimbo mzur sana
Mtabaki walikola walikola
Bure Yao mahasidi
Tuliko hapa baada ya kuhojiwa na zamaradi tv tujuane
😅😅😅😅😅😅 tupooo
nipo
😂😂😂😂😂❤❤🎉🎉
Napumua, Nahema sina chuki nao, wazi naungamaaa❤❤❤
Moyoni sina shaka,,semeni munayo taka mupo kwenu nipo kwangu 🤫♥️♥️♥️
Tamu mnoo hii ndo nyimbo bora kbs ya taarab kwangu naipenda sana......
Najua walisema tangu nipo tumboni kwa mama
Na wakaendelea kusema nulipo zaliwa mengi walisema
Bado watasema mpaka mwana ndan inshallah salama
Atwari
Tarab naipenda nilikuwa naitafuta,shukran bi hawa
Tueke na ya sabah Salum. Yaimba hiviii. Ikiwa yametendeka labalaa na mimi sija husika naktaa
Rabbiy nilinde na wenye nia mbaya kwangu asante mwanahawa ally
Nilinde daima👏 rabii☺
Pambe tuu raby nilinde🙏
Semeni mnayotaka mpo kwenu nipo kwangu hayawi mnayo taka
Mpo kwenu nipo kwangu
Muyapangayo pangeni hamutonibadilisha
Ndio Mimi na nyinyi ndio nyinyi
Sote waja wa manan hamtonitisha
Asanteeeeeee tenaaaaa
Rabbi nilinde
Mwenyezi..akuponye..mwahawa.aliy..nyimbo..zinabusara
Pambe tuu Asante kwa Ujumbe mzuri ubalikiwe Sana ALLAH akuongoze
Rabbi nilinde Yeye ndio ngao kweli😍🤲
sitishiki kamweee husda zao washindweeee na walegeee
Kila mja na liziki,paaambe ttu
Si kwa pupa si haraka taratibu mambo yangu
Na halitonifika kila apangalo Mungu
Na moyoni sina shaka hio ndo iman yangu
Bure kujipa wahaka na kujitia machungu
Mashabiki zake....bi mwanahawa anahitaji usaidizi wenu anaumwa mukiweza mumsaidie na yy
Tunataka mawasiliano yake
@@oscarjulius5723 rakama tayari ziliwekwa
sawa hapo
Ànqnmmamkakakakwkfjannnnjj😅😮😮⁸9àq0😮yjuuuuuuuii4p8o88
Tuwekee na Nisipokuona nalia ukiwa,jua raha sina mgonjwa nakuaa...
Tangu juzi nautafuta huu wimbo. Hatimaye nimeupata. Shukrani sana kwa kutuwekea hapa
Woow asante wallahy nime furahi sanaaa kuipata
Marjan Sempa weye ni nouma
Umeleta bonge la songi,Sarut kwako
Tupe vitu vzur kama hivi
Ushasema! Abdulhamid
Yaani Vitu vake Konki sana
@@marjansempa kuna wimbo mmoja Aisha Masanja unaitwa Usijisahau na dunia hebu utafute na uuweke!!
@@mvoih4854 mbna siujui huo wimbo
Tuekee na mzomeeni mnoko @@marjansempa
Teeeena kilicho chema ni chema asali si kama maji 😅❤❤
Mwanahawa Allah akulinde uko juu
Swadakta❤ Bi mkubwa
Twakupata mamy, safi sana
santhaaaaaa💃💃💃💃💃💃
mambo shatashata 👌👌👌imenoga 🎧🎧🎧🎻🎻🎷🎷🎺🎺🎺📢 📢📢📢
Kbsaaaa
@@marjansempa good 👍
Asante bi mwanahawa nyimbo pambee
Sauti ya Raha, Burudani na Kupumbaza. Kiumbe kimepewa sauti ya kumtoa nyoka pangoni
Nilinda yarab🤲 Santa mummy kazi njema Allah akujalie afya utupe mzik mzuri.
Ameen
Dadangu huyoooo.
Yasaatir yaraaab
Sina cha kusema juu ya hili song linavyonikonga moyo wangu najua mwenyewe
Marjan tuletee na last warning ya mwanahawa Ally
Fanya mpango wa mama shughulu naipenda sana
Mwambie uyo
Swadaqtaaaaaaa,,, bi mkubwa
Sana
Mi pia naipenda sana
@@saumubakarimfaki7822 naipenda sana lakini CZcams haipo
santaaaaa
Manenooo👌👌pambee
Ma Shaa Allah ma Shaa Allah napenda mashairi yako yalo kwenda shule nautaratibu wake yani bonge la song hawakomboi🔥🔥🔥🔥🔥✨✨🔥👌
Tenna
Niliitaka sana hii👌
Wa Mia upata Mia ni kesi isiyo jaji❤️❤️2023 bado konki
Namoyoni Sina shaka hiyo ndio Imani yangu
Nakupata uzuri mamy Allah akuweke💖Rome Italy
Mama umenikosha kwa maneno mazuri
Mwanahawa mama nakupata vizuri kutoka Dubai buzabi 😗😗
Msaidie kipenzi chetu
old is gold
Hatinaye nimeipata hii nyimbo nimeangaika mnooo duh! thank you so much mwaaaaaaaa!
Hapo sw pambe
Kash kash nakuchakachua kwao
Mambo yangu hayo Marjan nampenda sana Mwanahawa Ally
Mkongwe na mjuzi wa haya mambo
Nyingine tena 😀
Ushalonga
خسن موس
Mamaangu mwanahawa nakupenda Sana mungu Akupe maishamalefu
Yarrabi tulinde milele daima na Familia yangu
Pambeeee
Ii nyimbo inaukosha Sana moyo wangu
Santeeeeeeeeeeee
upo vzr mama ramama
Mama uko vizuli
What a great piece of work. Please post Mkataa pema by East Africa melodies.
Nice taarabu
👏👏👏👏
favourite song 💯%♥️
Alla atampa afwa njema
Rabbi nilinde nawenye nia mbaya kwaku
Marjan uko Vizury
Pambe sana mamy mwanahawa ally kwa ukarimu wako wa nyimbo,yenye ufunzo mzuri, lnshaallah mungu azidi kukupa kipaji zaidi na ukulinde na maadui,🤲🙏
Ameen Rabi nilinde
My favourite song inanikumbusha Lango la jiji Magomeni 🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️😜😜😜
Big up bi mwanahawa kwa mara ya kwanz kuiskiliza lkn mambo moto...dida frm 🇦🇪
Tramuuuuuu👌
Bibi anazeeka nautamu wake kama muwa
kweri kila mja na liziki yake
Rabbi nilinde mie
mashallah endelea kutuwekea za kale tuburudike😄🙃
Kat
U
Kabisa.rabbi nilinde
Mashaallah uko juu manenoz
Nyimbo nizuli sana
Maneno mazuri kabisa ❤❤❤❤
Kelele yake Mwanahawa Ally weeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeee
Naipenda sana
Noma Sana hiii
Rabi nilinde
Mashaallah
Na mahasidi
In Shaa Allah
Nilinde ya rabbih, kumthu mama mwanahawa.
Mwanahawa mama Hadi rahaaa
Merci beaucoup 💃💃💃💃
mwanahawa ally twaomba ulete youtube channel yako,,mama wanikoshwa mwanao kwa nyimbo zako za kistaraab..mkenya halisi kutoka kule mombasani hadi raha
👌👌👌💕
U kill it momy tokea zamani nakupenda bure,Rabbi atulinde sote 😘
Napumua nahema sina chuki nao 👌
♥️♥️♥️🇰🇪🔥🔥🔥🔥📢
Uko juu mama
Kuna nyingine kaimba bi mwanahawa ally inaitwa Sina chuki nao
Tamu sana
Amin 🙏
Hasidi upoo
yaan km usizeeke wewe bibi
Mama mungu akulinde sanaaa asanteeh
Очень хороший Таараб😂
😂😂😂umenipa tabu san kusoma
Nice😁
Semeni mpaka mtiwe kaburini
❤️
Good
Hapa patamu woyoooo
Wimbo mzur sana
Mtabaki walikola walikola
Bure Yao mahasidi
Rabbi nilinde
Pambeeee