Nakuambia bi kopa tangu 2009 sipumui jameni...kopa yanafanya nile mihogo mbichi kila wakati...raha naenjoy ingawa sijawahi mwona uso bin uso...nakuoenda bibiye
Oyoooo hapo chachaaaa achia nyongaaa hyoooo achia bodi waapi mama hidaya Kati ya kinondoni first lead mwanamke mpambanaji strong leady penda Sana tupa jiwe litakae mpata akasema woooi meseji send
mume wangu nakupenda asikwambie mwingine hayo maneno maneno waache wapambe waseme si kwa wako wembamba napenda yako mengineee mahaba ya dhati eee aisee bimkubwa hatar💃💃💃
As ww vip watu wahumu ndani muko sawa ok mama wamiye bihadidja kopa nakupenda sana mama nyimbo zako zote nzuri sana burundi tunakufata sana mamy wakuwace kwakweli wuko bien sana napenda sana nibembeleze wuniluwaze ikotamusana nikweli kabisa wambiye wasikiye wanawokukwaza hiyo kali kabi njowo kwetu burundi tuwunakutaka sasa
watoto wa mjini sote tuna namba zetu bibi tunaenda kwa step hahahahah mjini ukija na jembe shoga utalima lami mjini akili bibi nguvu peleka kijijin hahahah lako ilo
Bado hii nyimbo naipenda sana ,,nashimu kazi yangu inayoniweka mjini,,,hii imenda 2024
2024 nasikiliza hii nyimbo nakupenda sana
Kama unaukubali huu wimbo nipe like yako hapa
Wimbo unakubalika hauna dosali Aisha Oman
🥰🥰
@@KhalidKhalid-ox4pg kweli kabisa
❤❤❤❤
hadija kopa nimwisho wa reli,baada ya hapo panda boda boda umalizie safari
Nakuambia bi kopa tangu 2009 sipumui jameni...kopa yanafanya nile mihogo mbichi kila wakati...raha naenjoy ingawa sijawahi mwona uso bin uso...nakuoenda bibiye
Namuomba allah akujaaliye uache kuimba umrejee allah maisha haya tunapita
duh!usijipe ufahiri wewe rofa hapa mjini
Amin thuma Amin
Aaamin thumma Aaamin
@@leonardboy2558 🤣🤣🤣
Hata Muhogo Kwa Papa Uwezo Wangu Jaman Kariakoo Sendi na Rapa nnaendea Choon Wallah maneno Kuntu Bi Khadijah Allah Akuweke Miaka Dahrii👌👌
Khadija kopa aka mama mukubwa. marekani hakuna, ugiriki hakuna, uchina hakuna yupo Tanzania tuu ❤️ gonna like kama unaskiliza in 2021
ananikosha waalah
Usijipe ufahari wewe Lofa mjini. Mjini shule,chuo kikuu Masha a Allah. Mama mkubwa Khadija Omar Kopa.
Jaman tunaoendelea kuburudika 2021 na ji songi pambe👌👌👌👌
Nimerudi kwa mara nyingine tena hapa 2022.💕💕
Oyoooo hapo chachaaaa achia nyongaaa hyoooo achia bodi waapi mama hidaya Kati ya kinondoni first lead mwanamke mpambanaji strong leady penda Sana tupa jiwe litakae mpata akasema woooi meseji send
*"Tink of taarab,think of Khadija Kopa"*. That's my thinking 🙉❤️❤️. Kopa umeweza, unatesa mama mkubwaaaaa💪💪💪💪
Mambo ni 🔥🔥🔥👍❤ waweza kuwa na sm usipigiwe wara sms usitumiwe mineno kuntu kuntuba
Yan cpendi taarab ila hii kitu jaman mistar yake inanikuna mimi jaman💕😍💕😍😂😇
Mambo
😂😂😂😂😂 wacha tu
wapi kaka tamimu kazi kwao mimi ndio uyo na sepa mdogo mdogo chezea mpaka langi wewe mtoto wa man town
apapap pambeeee umenifikisha mama wamichambo
Konga like tujuane wapenda taarabu
Mm moj
Napenda taarabu
mume wangu nakupenda asikwambie mwingine hayo maneno maneno waache wapambe waseme si kwa wako wembamba napenda yako mengineee mahaba ya dhati eee aisee bimkubwa hatar💃💃💃
Njoo uniiimbie basi ehh
Naheshimu kazi yangu ndo inaniweka mjini anae nilinda ni Mungu......
Kweli mjini chuo kikuu inahitaji umakinifu mombasani
Waliosikiliza 2021🇨🇩🇰🇪🇹🇿🇷🇼🇧🇮🇺🇬👌🏼👌🏼tuko hapa!
I guess it is quite off topic but does anyone know of a good website to stream newly released movies online ?
@Caden Josiah i use Flixzone. You can find it by googling :)
@Matthew Zachariah Yea, been using FlixZone for months myself :)
@Matthew Zachariah Thanks, I went there and it seems to work :) Appreciate it !!
@Caden Josiah You are welcome =)
Aisha Oman asante mjini chuo unajiita mtt wa mjini ujaweza hata kumiliki mume wa mtu huwachi 👌
Kweli mjini chuo kikuuu. Utabaki juu kileleni.bi khadija kopa
Kweli mjini chuo kikuu
Yaan wee acha 2 naipendaga san hii nyimbo
M
naipenda hii nyimbo jaman hehehehe "sio Kwa wako wembamba napenda yako menginee eeh👌
mume wangu nakupenda usifikir matan sio kwa wako wembamba napenda yako menginee teyyyyna raha mpaka barabaran chezea khadija kopa ww
Wasafilass Bby
pimpi
pimpi
Wasafilass Bby penda kabiisaaaaa
Wewe mama usife
penda sana mama mukubwa👌👌👌👌👌👌
Teenaaa kopa mama lao mama lakudamshi penda sana wewe mamy ilove nakukubal tangu nipo mdogo zanzibar rusharo mambo ya mduara
Nimekua nikiutafta sana huu wimbo asante
Inanimaizaga
Kweli mjini chuo kikuu inahitaji taaluma😍😍😍😍😍😍
Barkaad 22 khadija kopa ujawai kuniangusha, nakupenda bule Mama🍉😘😘
❤️
Napenda cku moja niimbe na ww malkia wa mipasho, nakupendaje!!!
Sagpk a
zaassds
Lete Raha Malkia wa Mipasho East Africa Na Duniani hakuna
Mjini chuo kikuu 2020 gonga like tujuane
Pambeee tu
Jeminah taka Rogers anpenda music wa khadijja kopa natunatamanikumuanfariya tafazari
Still The Top Taarab Song Ilionyooka To Date in 2025 🔥🔥🔥 Khadija Kopa with the 👑
Kalii sana nipeni like jamani
Fathma Ali Sadi NJ
waambie usiwaache😀😀😀😀Nakuelewa sana bimkubwa
Naheshimu kazi yangu ndio inaniweka mjini ni kweli
Bila kaz kweli mjini hukai
Uko famous kweli mamake mrembo chu.
Yani huu wimbo ilikua nausaka kweli bado ule wa mwanahawa ally mama Shuhuli
Mama shuhuli iko Jikoni.....Usisahau KuSUBSCRIBE na KuShare 😋
@@marjansempa yani nausubiri kwa hamu
Bonge song upo juu mama
Jamani kama tupenda nyimbo ii tukumbuke kupenda kufanya ibada
uko vizuri shost mjini chuo kikuu asante tumekuelewa
Amina
Nyie hii taarabu
Na heshimu kazi yangu mama kopa Pamoja sana.
Hakima ungelijua jinzi unavyo onekana kizoga bila kioo, ungegeuza mienende kuwa wastani. Dr. Ogeto International
Up to Zambia l listen this song Tanzanian 🔥🔥🔥🔥🔥
Up to zimbabwe tupo
Niliimiss sana hisongi
Mzikii utamu kabisa 🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️👌🏽👌🏽
This song deserves more than a million viewers ngoma tamu
Kabisaaa
👌💥mambo ni hiv👋nakupenda mamii hadija kopa😘😘😘😘😘🖤🖤🖤❤❤❤
Ushakuwa mtu mzima,kaa utubiye kwa allah
Naheshimu kazi yangu mana ndoinaweka mjini
malkia mwenye crown zak mjin... mom wa mjin na best vocalist! nakukubal sana mamaaaaaaaa
Nakubali mama yang
Aiii.mama mukubwa
jamani napenda sana taarabu 😍😍😍
Thanx🎶
Nimeipenda xana khadija uko juuu
Kama na wewe unaisikiliza hi taarabu 2019 mwezi was 11 gonga like hapa
Mjin shule, Mjin chuo kikuu
Kwa kweli mjini ni chuo kikuuu eeh...pongezi sana malkia wa mipasho
Afadhali leo nimekupat we song
Usisahau Kulike na kuShare pia unaweza toa Maoni yako
@@marjansempa tuwekee na uso wa guzo ya khadija yusuff
Hhhhh haya mafumbo ya mzee yusuf hhhhhhhh mzee utakoma
Bi khadija mpe aliye rudimjini
Hanalolote mzee yusuf.
Mpe vijembee
Naitaka hiii song jamani
Mama wakujiamini💪💪khadija koppa mwenyewe tamu sana mamaa. 😘😘
Mume wangu nakupenda,usimwabie mwengine,waache waseme…nyie nampenda Toto la mama mkwe
waliosikiliza april 2020 like 👍 hapa
tamimu mpaka langi na wapa
umetisha bibie
Woyooooo mama la mama malkia wa mipasho full love from Saudi
Tu nakupenda marikia wanguvu bi khadija kopa.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mmm haya kwana mambo sasa
Nakupenda bimkubwa
Nakubiliii uwa aufanyangi kaz mbovu
Kama naweww unaisikiliza hii nyimbo2019 mwezi wa9 ngonga likee
Napenda xana hii song
love you kopa mamaaa kubwa
raaaa sana
@@mchopamchopa5725 napenda Sana mipasho
Narry Dankan umeona
Kweli kuishi mjini yaitaji maarifa.kongiiii
Jamani mzee yusuf niyako hayo
Eti umerudi mjini hhhhhh
Mjini chuokikuu baba hhhhh
Bi khadija hoyeeeeee
Jamani Jamani Fanyeni Ku SHARE ili Ipate Kuongezeka Viewers...Kuna Vibao Vipya Vipya Nataka Ku UPLOAD
Nathaka audio plzz
Jaman jaman mhhhhh
Nata wimbo anaosema kasifiwa na obama jaman naomben jinalake naupenda sana
@@zubedaally5499 lady with confidence
Plz nataka ubaya hauna kwao wala kabila plz plz
Mambo ya bi khadija kopa hayo
Mjini ukija na jembe utalima lami..safi safi
😂😂
Huyu mama ni nzuri jamani
Nzuri❤
Kubwa lao! Mama la mama! Miaka 10000
Nakupenda mpenzi wangu nakupenda usiniacheeee
Malikia wa nguvu
konkiiii bi Mkubwa kwalaha zang nahipikisha khadija pembeni
Naheshimu Kazi yangu ndo ilonieka mjini anayenilinda mungu ndo maana najiamini
Hahahahaha.......asante sana mama khadija kopa mimi nacheza tuu kwa raha zangu
🚴karudi kijijin mjini chuo kikuuu
Upo?
Nipo
Yaani naitafuta hii song sana Leo imejileta yenyewe.....🤣🤣🤣
Nassra unishindi mm hadi raha
Na Nyengine zinakuja
Same to me 😂😂😂
Kumbe tuko wangu
Hata naona mwaigiza...mimi ndio natafuta mpka chini ya maji
thiz reminds me of ma journey to nakawa uganda...💋
Kopa pekeee😂😂🖐🖐🖐
Nakubali sana mama la mama 🙏
naikubalii
pooòoaaa
As ww vip watu wahumu ndani muko sawa ok mama wamiye bihadidja kopa nakupenda sana mama nyimbo zako zote nzuri sana burundi tunakufata sana mamy wakuwace kwakweli wuko bien sana napenda sana nibembeleze wuniluwaze ikotamusana nikweli kabisa wambiye wasikiye wanawokukwaza hiyo kali kabi njowo kwetu burundi tuwunakutaka sasa
Wakisha Khadija twende ❤❤❤❤❤
Hapooooo bi khadija poa💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞🇴🇲👍
Woyooooooooooooooo✌✌✌✌2019
Nice
Niko naisikiliza vizur sana
🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊oyoooooooooo
KHADIJA KOPA MALKIA WA TAARABU NCHINI 🙌
Safi dada yangu
Mkumbuke Allah asa hivi
Khadija kopa uko saw songs taarabu
I love yu song i am yu fun of Nairobi
Hatuachi hadi kieleweke
Penda sana ww
Jisongi pambe
watoto wa mjini sote tuna namba zetu bibi tunaenda kwa step hahahahah mjini ukija na jembe shoga utalima lami mjini akili bibi nguvu peleka kijijin hahahah lako ilo
Upo juu tangu enzi za ngwi nji
Copa mama utaniua Mimi na mifuraha ndani Lusaka Zambia 2021 kuelekea 2022 love Copa jamani
Makubwa yacha. Endelea kutazama! Kizoga ni wazola gumbo. Nani alijiona Dr. Ogeto International
Ngoma kali saana...wanatuonaje hawa wanyangu wazamiaji wa mjini cheefu.
Waoooooh honger b mkubwa ww hatari wape pole
Nampendaga sana huyu mama atali