She is a legend Tanzanian need to crown this woman, ama mwangoja afariki ndio muanze sifa zakumpost na show off nyingi. Celebrate this woman now wen she is alive.
Uyu mama waga akosei kwa stage nawala azeeki alaka yaani ndio kwanza ana kuwa sister duu mrembo mbaya mbovu ww kwl khadja kopa sizn Kama kuna mwingine atakuja tokea akija tokea atakuja kuwa khadija rejeshaa sio kopa tena
Adija kopa anajuakuimba nyinyi ndomana atamwanaee zuchu naeanajuakuimba mama akealimuwekew misingi mizur Sana penda Sana Adija kopa ngonga like kamaunamkubar
She is a legend Tanzanian need to crown this woman, ama mwangoja afariki ndio muanze sifa zakumpost na show off nyingi. Celebrate this woman now wen she is alive.
I am from Uganda and i agree with you 😍
Sure sweetheart
Umenena Mama
Mama kopa hongera sana utabaki kuwa juu mawinguni
The best taarab musician from Tanzania, much love from Qatar
Team doha halima
Vipi uko poa
Mama mpango mzima no.1 in taarab 👃😄👍
@@kassimahmed2189 ✊
Kama umesikia harafu anasema haushi kuvutana Mawigi gonga like
Malkia wa taraab nakwaminia tuu Sana....nyimbo zako hazinipitii ninazo zote na pia kuziimba.KHADIJA KOPA you're my role model 😍😘
Nyimbo zake tamu Sana,hii nyimbo yaitwaje
Mjini chuo kikuu
Huyu mama nampenda sana 💕💋💋🇨🇩🇨🇩💋💋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💋💋💋
Kama umemuona shilole weka laiki yako apa jaman!!
Ok
Shilole kapendeza Mashallah... simple but best
Hawa Sham
nakupe sana
Alidamshi sana mnyamwezi mwenzangu
Khadija kopa atabaki kileeen hatari firee utabaki mawingun
Waoooooo
@@halimamoto3217 😘😘
Uko juu kutoka kenya
The Africa’s Tanzania 🇹🇿 queen ☝🏽⭐️🌟💫🪐🌍👏🏽🙏🏽🔥🔥☄️☄️☄️
Uyu mama waga akosei kwa stage nawala azeeki alaka yaani ndio kwanza ana kuwa sister duu mrembo mbaya mbovu ww kwl khadja kopa sizn Kama kuna mwingine atakuja tokea akija tokea atakuja kuwa khadija rejeshaa sio kopa tena
Kwa sababu hajichubui ndo mana
@@saudabakarnassor7886 mmmmh
Hii nyimbo naitaka aki
🤣🤣🤣🤣🤣
Mama la mama nakupenda mno wallah najifunza vingi sana kutoka kwako sikat taamaa katika kutafuta ridhik
The woman made me fall in love with Tarab 🥰
Same here her and the late Bi Kidude RIP Mama
Nakukumbuka Hadija Morogoro enzi yako ya TOT, Big up
Wa mama sikuizi mlikosea wapi...ata vigelegele hampigi...fyuuuu
Asc
She is a legend both Tanzania and East Africa as a whole
Powerful Queen. She deserves accolades. African Voice
Adija kopa anajuakuimba nyinyi ndomana atamwanaee zuchu naeanajuakuimba mama akealimuwekew misingi mizur Sana penda Sana Adija kopa ngonga like kamaunamkubar
I love you khadija kopa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
mimi nampenda sana mama Khadija kopa hasa ile mwanamke jeuri mchukulie mumewe inanikosha sana.
Napenda yako mashine 💕💖💖🤣🤣
😂
My favorite ogopa kopa
Ww mama nakupendaga mno ♥️ mungu akuweke miaka mingi
Good women 🙏🏽🙏🏽beutiful Songs❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Namuheshimu mume wanguuu,
Anachotaka simuhiniii
Sio ustar wangu nimvunjie heshima jamaniiii eeeeee, 😘😘😘😘😘😘
kopa umepungua umependeza
Queen of taarab Afrika mashariki yote. Much love.
Nampenda sana huyu mama,hanaga skendo
Love ❤️ Sana hafijakopaaaaa
Hongera sana khadijah napenda sana nyimbo zako.😍
Amazing performance kopa🔥🔥🔥🔥🔥
Tiktok brought me here all the way from Kenya
Ilove kopa💞
Umependza Mamy
Uko juu my Mommy Queen 😘😘😘😘
Oyooo wachaweee ongera mama wamipasho jamani tunaitaji jina yaiyo taharabu nzuri jamani
Huy Mam Anajua Mpk Anakera
Bi khadija upo juu kila wakati
Tufunde mama
Namuona shilole haha dada wewe 😘😘
Shilole a.k.a dada wa igunga. 😆😆😆
Basi shilole kajiachia hapo ndo mahala pake
Umegonga ndipo Khadija Kopa
Hongera Sana Mama Khadija kipa
I love her
Kabisa mama nakupenda sana kazi kazi mm
Kopa ni wetu Ahsant😘😘🖐
Hatariii 🔥🔥🔥
Mungu akutunze mama
Kopa Wacha muziki utubie kwa ALLAH,mauti hayana taarifa mamangu.
Usipende kuhukumu Allah ye ndo mtoa hukumu tuombeane mwisho mwema2
Nakukubali xana mama wa ngwasuma ( wachane wasio jielewa)
Wow umependeza dada uko vizuri
Zuchu kavaa kiatu kbx,Like mother like daughter💥💥💥
Hadija Kopa naona hapa kapungua kidogo amependeza sana na mwili huu.
Malkia wa nguvu 2019, lkn nampenda khadija kopa anastara ya maongez, mavaz, na at a nyimbo zake zina stara na mafunzo
Mama kopa uko juu sana
❤❤❤❤❤
Long live mama khadija I love this woman from Addis @ Ethiopia
kukupenda siachi nakupenda had naisi mm mwenyewe aijipendi 😂😂😂
Santaaaaa Malkia wa Mipashoooo.
🔥🔥🔥🔥
Nimependa Sana mamaa nyimbo yk
I Like this song very much ❤
Khadija we ni konki wa kitaa, penda sn ww, ila umepungua kamwili nipe sir ya urembo!!!
😂😂😂
Amina ubarikiwe sana👏👏
Mashallah 🥰
MashaaAllah mumy😘😘😘😘
Kkk piaa hikuu dada
@@abumoyo840 🤣🤣🤣🤣🤣haya ukanimanya mweneu
Nakupenda sana mama
Nakupenda sana
Nakupenda bure Kopa❤❤❤
waambie wasiojielewa mume hafungiwi mlango..wala hakoromewi.waambie mama la mama..waciwe kama mbweha ..ongea malkia wangu kitaa kimekuamini..
Jmn nakupenda sana
Penda sana mama khadija kupa
❤❤❤❤❤Tamu kama ya wameru
Nimekubali mambo ni kwenye Stage
huyo ndo kopa bwana..unapewa live
Hatar
Ascribed Ascribed
Sauti yako bi Hadija Mungu aendelee kukulinda
Asanteeee sichoki kukusikiliza mama.
Super woman Hadija Kopa
Keepupmamazuvhu!
Nakupendadana
Hongera mummy
Wewe umoja Hauniangushagi Hata Siku moja.
Wahooooo mama la mama
Noma sana
Ogopa Kopa
Ila huyu Mama ni hatari 🔥🔥🔥
Nomaaa sanaa
Sadakita mama
Jamani band munaniangushia mamangu.mna piga rythm gani
Mama wa nguvu penda sana
Hadija kopaa asantee mama ❤❤
Mariam Mohamed
@@nassormuhidin7562 ndio wasemaje Nassor muhidin
8ò9
Mama azeeki...
Nakubali
Khadija kopa ilove you mum
Jaman hii nyimbo inaitwaje
Vyombo na uimbaji tofauti
Mama na mama nakukubali sana
Hadija kopa uko juu
Aah Khadija weweeeee 👌
Baby shishi Hi😍😍
Ako poa kabisa sauti Nyoro
Taarabu barida mama east Africa
Ww Dada nakupendaga sana basitu
The name of this song
Mama la mama, kubwa la maadui miaka miaa malkia